< 马太福音 23 >
Baadaye aliongea na umati wa watu na wanafunzi wake. Akasema,
“Waandishi na Mafarisayo wanakalia kiti cha Musa.
3 凡他们吩咐你们所做之事,你们都要遵行和谨守,但不可效法他们的行为,因为他们不会实践所宣扬的事情。
Kwa hiyo chochote wanacho waamuru kufanya, fanyeni huku mkiwachunguza. Lakini msije mkaiga matendo yao, kwa sababu wao hutamka mambo wasiyoyafanya.
4 他们把重担捆起来,压在人的肩头,但自己却一个指头也不肯动。
Kweli, wao hufunga mizigo mizito ambayo ni vigumu kuibeba, na kisha huwabebesha watu mabegani mwao. Lakini wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba.
5 他们所做的一切都只是做给人看,把经文的匣子做大,把他们衣服的流苏做长,
Matendo yao yote, huyafanya ili watazamwe na watu. Kwa sababu wao hupanua masanduku yao na huongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao.
Wao hupendelea kukaa maeneo ya kifahari katika sherehe na katika viti vya heshima ndani ya masinagogi,
7 他们喜欢民众在市场向他们问安,称呼他们为‘拉比’
na kusalimiwa kwa heshima maeneo ya sokoni, na kuitwa “Walimu” na watu.
8 然而不要让人们称你为‘拉比’,因为只有一人是你们的老师,其他人都是兄弟。
Lakini ninyi hampaswi kuitwa “Walimu,” Kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja, na ninyi wote ni ndugu.
9 不要称呼世上之人为父,因为只有一位为你们之父,就是天父。
Msimuite mtu yeyote hapa duniani kuwa baba yenu, kwa kuwa mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
10 也不要让人们称你为老师,因为只有一位是你们之师,那就是弥赛亚。
Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
Bali aliye mkubwa miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
12 凡自称伟大的人,必被看轻,凡自己谦卑者,必被称为伟大。
Yeyote ajiinuae atashushwa. Na yeyote anaye jishusha atainuliwa.
13 虚伪的宗教老师和法利赛人呐,你们即将面临灾祸!你们在人面前关了天国之门,自己不进去,还拦着想要进去之人。
Lakini ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnawafungia watu ufalme wa mbinguni. Nanyi hamwezi kuuingia, na hamwaruhusu wanaoingia kufanya hivyo.
(Zingatia: Msitari wa 14 hauonekani katika nakala bora za kale. Baadhi ya nakala huongeza msitari huu baada ya msitari wa 12. Msitari wa 14 “Ole wenu wandishi na Mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnawameza wajane”).
15 虚伪的宗教老师和法利赛人呐,你们即将面临灾祸!你们走遍海洋陆地,只为让人入教。但当其他人入了教,你们却使他沦为哥和拿之子,比你们有过之而不及。 (Geenna )
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna )
16 你们说:‘凡指着神庙起誓,皆无用处,凡指着神庙的金子起誓,必须遵守。’这样说多么愚蠢,你们就是盲人啊!
Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Yeyote aapaye kwa hekalu, si kitu. Lakini anayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amefungwa na kiapo chake.
17 你们这些盲目的愚昧人,到底是金子伟大,还是赋予黄金神圣地位的神庙伟大?
Enyi vipofu wapumbavu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhahabu au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu kwa Mungu?
18 你们又说:‘凡指着祭坛起誓,皆无用处,但指着坛上的祭物起誓,必须遵守。’
Na, yeyote aapaye kwa madhabahu, si kitu. Bali anayeapa kwa sadaka iliyo juu yake, amefungwa na kiapo chake.
19 盲目之人呐!到底是祭物伟大,还是赋予祭物上帝圣的祭坛伟大?
Enyi watu vipofu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
20 所以,凡指着祭坛起誓,他就是指着祭坛和其上的一切起誓;
Kwa hiyo, yeye aapaye kwa madhabahu huapa kwa hiyo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.
21 指着神庙起誓,就是指着神庙和住在里面的上帝起誓;
Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo na kwa yeye akaaye ndani yake.
22 指天起誓,就是指着上帝宝座和宝座上的上帝起誓。
Na yeye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketie juu yake.
23 虚伪的宗教老师和法利赛人呐,你们即将面临灾祸!你们把十分之一的薄荷、茴香和孜然献祭,却忽略律法上更重要的内容:正义、怜悯和信任。固然献出十分之一的财富很重要,但你们忘记了其他事情。
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, lakini mnaacha mambo mazito ya sheria- haki, rehema, na imani. Lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya, na siyo kuacha mengine bila kuyatekeleza.
24 你们这些盲目的向导,你们滤掉了水中的蚊虫,却把骆驼吞下去。
Enyi viongozi vipofu, ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia!
25 虚伪的宗教老师和法利赛人呐,你们即将面临灾祸!你们清洗了杯子和盘子的外在,内在却满是贪婪和自我放纵。
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya vikombe na nje ya sahani, lakini ndani pamejaa dhuluma na kutokuwa na kiasi.
26 瞎眼的法利赛人呐,先把杯和盘的里面洗净,才能让外面也干净。
Enyi Mafarisayo vipofu, safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili upande wa nje nao pia uwe safi.
27 虚伪的宗教老师和法利赛人呐,你们即将面临灾祸!你们就是这样,
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje huonekana mazuri, lakini kwa ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila kitu kilicho kichafu.
Vivyo hivyo, nanyi kwa nje mwaonekana wenye haki mbele ya watu, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na udhalimu.
29 虚伪的宗教老师和法利赛人呐,你们即将面临灾祸!你建造坟墓纪念先知,装饰漂亮的坟墓。
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
30 你们说:‘我们若活在祖先的时代,决不会和先知一样流血。’
Ninyi mwasema, kama tungeishi siku za baba zetu, tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao kumwaga damu za manabii.
31 但这样说,你们就是指证自己就是杀害先知之人的子孙。
Kwa hiyo mwajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa hao waliowaua manabii.
Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.
33 你们就是蛇,就是毒蛇所生,你们怎能逃脱定罪的审判呢? (Geenna )
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna )
34 我派先知、智慧人和宗教老师到你们那里,但有的你们要杀害,钉在十字架上,有的你们要在会堂里鞭打,从这城追到那城。
Kwahiyo, tazama, nawatuma kwenu manabii, watu wenye hekima, na waandishi. Baadhi yao mtawaua na kuwasulibisha. Na baadhi yao mtawachapa ndani ya masinagogi yenu na kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.
35 所有义人流在地上的血, 从义人亚伯到你们在神庙和祭坛之间所杀的巴拉加的儿子赛迦利亚,都归到你们身上。
Matokeo ni kwamba juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani, kuanzia damu ya Habili mwenye haki hadi kwa damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliye muua kati ya patakatifu na madhabahu.
36 告诉你们吧,这一切的后果必落在这代人的身上。
Kweli, nawaambieni, mambo haya yote yatakipata kizazi hiki.
37 耶路撒冷啊,耶路撒冷,你们杀害先知,又用石头把派过去的人杀害。我屡次想招聚你的民众,如母鸡将小鸡招到翅膀下,只是你们不愿意。
Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, lakini haukukubali!
Tazama, nyumba yako imebaki ukiwa.
39 我告诉你们,从今后你们一定见不到我,直到那一天你们说:‘愿上帝保佑那位以主的名义来的。’”
Nami nakuambia, Kuanzia sasa na kuendelea hautaniona, hadi utakaposema, 'Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.”'