< Mahte 7 >

1 Pamhnama ngthumkhyahnak üngka naw nami lät vaia khyanga lei käh nami mtai vai.
Usihukumu, nawe usije ukahukumiwa.
2 Khyang nami mtainak am khyang naw ning jah mtai be lü, khyang nami mcäpnak am khyang naw ning jah mcäp pet be khai.
Kwa hukumu unayohukumu, nawe utahukumiwa. Na kwa kipimo unachopima na wewe pia utapimiwa hicho hicho.
3 Ivaia na mik üng cungbäng veki am hmuhei lü, na püia mik üngka mikbengca na hmuh petki ni?
Na kwa nini unatazama kipande cha mti kilichoko kwenye jicho la ndugu yako, lakini hutambuwi kipande cha gogo ambalo limo katika jicho lako?
4 Ihawkba na mik üng cungbäng am hmuhei lü, na püi üng “Na mik ek ning lawh pe vang” na tiki ni?
Unawezaje kusema kwa ndugu yako, ngoja nikutolee kipande kilichomo kwenye jicho lako, wakati kipande cha gogo kimo ndani ya jicho lako?
5 Hypocrite aw, akcüka na mik üngka cungbäng loei maki lü, acunkäna na püia mik ek na lawh pet vaia angtea na hmuh khai.
Mnafiki wewe; kwanza toa gogo lililomo kwenye jicho lako, na ndipo utakapoweza kuona vizuri na kukitoa kipande cha mti kilichomo kwenye jicho la ndugu yako.
6 Ui am angcimcaih käh nami pet vai, nghlat lü ning jah cui khaie. Pale Lunge vawk üng käh nami jah pet vai, ami kainaka thea ning jah nghlatsih u lü ning jah cui khaie ni.
Usiwape mbwa kilicho kitakatifu, na usiwarushie nguruwe lulu mbele yao. Vinginevyo wataviharibu na kuvikanyaga kwa miguu, na tena watakugeukia wewe na kukurarua vipande vipande.
7 Tä ua nami yah khai; sui ua nami hmuh khai; ksawh khawk ua, ning jah nghmawn pet khai ni.
Omba, nawe utapewa. Tafuta, nawe utapata. Bisha hodi, na wewe utafunguliwa.
8 Au pi täki naw yahki, suiki naw hmuki, ksawh khawki üng nghmawn pet khai ni.
Kwa yeyote anayeomba, hupokea. Na kwa yeyote anayetafuta, hupata. Na kwa mtu ambaye anayebisha hodi, atafunguliwa.
9 Nangmi üng a ca naw muk tä se lung pe khai u veki ni?
Au kuna mtu miongoni mwenu ambaye, ikiwa mtoto wake amemwomba kipande cha mkate atampa jiwe?
10 Nami ca naw nga tä se kphyu pe khai u veki ni?
Au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka?
11 Nangmi khyang ksee naw pi nami ca üng akdaw pet vai nami ksing üng, nami pa khana ka naw täki üng nangmia kthaka dawki pe khai aw?
Kwa hiyo, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, Je! Ni kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wanao muomba yeye?
12 Namimäta khana khyang naw a pawh vai nami ngjak hlüa mäiha, namimät naw pi khyanga khana nami pawh vai. Acun cun Mosia thum ja sahma he naw jah mtheh pängki he ni.
Kwa sababu hiyo, unapotaka kufanyiwa kitu chochote na watu wengine, nawe pia itakupasa kuwafanyia hivyo hivyo wao. Kwa kuwa hiyo ni sheria na manabii.
13 Mkawt kdik üng lut ua, isetiüng ta mulaia cehnak lam cun ngbaü lü ceh pi jäkia kyase khyang khawkäna cehnak lam ni.
Ingieni kwa kupitia geti jembamba. Kwa kuwa geti ni pana na njia ni pana inayoongoza kwenye uharibifu, na kuna watu wengi wanaopitia njia hiyo.
14 Mkawt kdik cun khak lü, xünnaka lama kya se, cetkia khyang ngcekie.
Geti ni jembamba, Geti jembamba ni njia inayongooza katika uzima na ni wachache wanaoweza kuiona.
15 Pamhnama sahma mäiha nghmüneikie nami jah yeteinak vai, toa vun büng u lü, nami veia law kyawkie, ak'uma mhngea kyaki he.
Jihadhari na manabii wa uongo, wanaokuja wamevaa ngozi ya kondoo, lakini kweli ni mbweha wakali.
16 Acun he cun ami ngtheipai am nami jah ksing khai. Nghling thing capyita ngthei khawiki aw? Nghling thing üng fik ngthei khawiki aw?
Kwa matunda yao mtawatambua. Je watu wanaweza kuvuna matunda kwenye miba, au mtini kwenye mbengu ya mbaruti?
17 Acuna mäiha thing kdaw naküt naw kthei kdaw ktheih na lü, thing kse naküt naw kthei ksea ngtheiki.
Kwa jinsi hiyo, kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini mti mbaya huzaa matunda mabaya.
18 Thing kdaw cun ktheih ksea am ngthei, thing kse naw pi ktheih kdaw am kthei na khawi.
Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.
19 Aktheih am dawki thing naküt cun khyu u lü, mei üng ami xawtin khawi.
Kila mti ambao hauzai matunda mazuri utakatwa na kutupwa katika moto.
20 Acunakyase, sahma ksee cun ami kthei am nami jah ksing khai.
Hivyo basi, utawatambua kutokana na matunda yao.
21 Bawipa, Bawipa ti lü na khüki naküt khankhaw pha khaie am ni, ka pa khana kaa hlüei pawhki va khankhaw pha khai.
Si kila mtu aniambiaye mimi, 'Bwana, Bwana,' ataingia katika ufalme wa mbinguni, bali ni yule pekee atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Ngthumkhyahnaka mhnüp üng, “Bawipa, Bawipa, na ngming üng Pamhnam ngthu pyen lü, na ngming üng khawyame jah ksät lü, müncanksee kami jah pawhki am niki aw? ti law khaie.
Watu wengi wataniambia siku hiyo, 'Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako, hatukutoa mapepo kwa jina lako, na kwa jina lako tulifanya matendo mengi makuu?'
23 Acunüng kei naw, “Nangmi am ning jah ksing khawi nawng, khyang ksee, ka vei üngka naw cit ua” ka ti khai.
Ndipo nitawaambia wazi, 'sikuwatambua ninyi! Ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu!'
24 Acunakyase, au pi ka pyen ngja lü ka pyena mäiha veki cun lunga khana im saki khyang kthem üng tängki ni.
Kwa hiyo, kila mmoja asikiaye maneno yangu na kutii atafanana na mtu mwenye hekima aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.
25 Khaw a law lü tui däm law sepi, khawkhi naw buh law lü pi, isüm am kyu. Isetiüng ta lunga khana saka kyase am kyu thei.
Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, na upepo ukaja na ukaipiga nyumba hiyo, lakini haikuweza kuanguka chini, kwa kuwa ilikuwa imejengwa juu ya mwamba.
26 Cunüngpi ka jah pyene jah ngja lü ka pyena mäiha am veki cun mdiha khana im sakia khyang nghmawng üng tängki ni.
Lakini kila mtu anayesikia neno langu na asilitii, atafananishwa na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga.
27 Khaw ngkyawi law lü, tui kdäm naw ceh khai, khawkhi naw buk law se mdiha khana im cun kyu lü pyüpye theiki ni.
Mvua ikaja, mafuriko yakaja, na upepo ukaja na kuipiga nyumba hiyo. Na ikaanguka, na uharibifu wake ukakamilika.”
28 Jesuh naw acukba a pyen käna khyangpäe naw a jah mtheimthang cun müncan na lawki he.
Ulifika wakati ambao Yesu alipomaliza kuongea maneno haya, makutano walishangazwa na mafundisho yake,
29 Isetiüng ta, Jesuh cun thum mthei hea mäih am ni, khyaihbahnak takia mäiha a jah mtheimthanga phäha kyaki.
kwa kuwa alifundisha kama mtu mwenye mamlaka, na si kama waandishi wao.

< Mahte 7 >