< Mahte 6 >

1 Khyang hea maa, khyang he hmuha käh nami petmsawt vai. Khyanga hmuha nami bilawh üng ta khana ka nami pa naw aphu ning jah pe khaia am kya.
Zingatia kutotenda matendo ya haki mbele ya watu ili kujionyesha, vinginevyo hutapata thawabu kutoka kwa Baba aliye mbinguni.
2 Acunakyase msih mpyaki he üng nami jah petmsawt üng angdang käh nami pet vai. Ngpumim ja lama khyanga jah hmuh hmuha khyanga jah mhlünmtai vai hlawheikie hypocrite kba käh nami pawh vai. Ka ning jah mthehki, acun he cun ami ngkhengnak yah pängki he ni.
Hivyo basi unapotoa usipige tarumbeta na kujisifu mwenyewe kama wanafiki wanavyofanya katika masinagogi na katika mitaa, ili kwamba watu wawasifu. Kweli nawaambia, wamekwisha kupokea thawabu yao.
3 Cunüngpi na petmsawt üng na kut vang naw a pet cen na kut vang naw käh ksing se.
Lakini wewe unapotoa, mkono wako wa kushoto usijue kinachofanywa na mkono wa kulia,
4 Na petmsawt üng anghmüa nami petmsawt vai. Acunüng, angthupa ka pi hmuh theiki nami pa naw angdanga ning jah kheng khai.
ili kwamba zawadi yako itolewe kwa siri. Ndipo Baba yako aonaye sirini atakupatia thawabu yako.
5 “Nami ktaiyü üng hypocritea kba käh ktaiyü ua! Amimi cun naw Sinakok ja lam kyuma khyanga hmuh vaia ngdüi hü u lü ktaiyüki he ni. Ka ning jah mthehki, acun he cun naw ngkhengnak yah pängki he ni.
Na unapokuwa ukiomba, usiwe kama wanafiki, kwa kuwa wanapenda kusimama na kuomba kwenye masinagogi na kwenye kona za mitaani, ili kwamba watu wawatazame. Kweli nawaambia, wamekwishapokea thawabu yao.
6 Acunüngpi, na ktaiyü üng na im k'um ahinaka lut lü ksawh na khaih käna, ahawia pi ve lü am hmuh theia na Pamhnama veia na ktaiyü üng ning pe khai.
Lakini wewe, unapo omba, ingia chumbani. Funga mlango, na uombe kwa kwa Baba yako aliye sirini. Ndipo Baba yako aonaye sirini atakupatia thawabu yako.
7 Nami ktaiyü üng am jumeikia khyang he naw ami pyen kce ami pyen be bea kba käh nami ktaiyü vai. Ami ktaiyü a saüa phäh ami mhname naw jah ngjak khaia ngaieikie.
Na unapokuwa ukiomba, usirudie rudie maneno yasiyo na maana kama mataifa wanavyofanya, kwa kuwa wanafikiri kwamba watasikiwa kwa sababu ya maneno mengi wanayosema.
8 Acun he mäiha käh nami ve vai. Isetiüng ta i nami hlüki ti cun nami pa naw am nami tä ham üng a ksing päng ni.
Kwa hiyo, usiwe kama wao, kwa kuwa Baba yako anatambua mahitaji yako hata kabla hujaomba kwake.
9 Acunakyase, hikba nami ktaiyü vai: Khana vekia kami pa, na ngming ngcim naw leisawngnak yah se.
Hivyo basi omba hivi: Baba yetu uliye mbinguni, ulitukuze jina lako.
10 Na khaw pha law se; Na hlüei khankhawa ami pawha kba khawmdeka pi pawh u se.
Ufalme wako uje, mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
11 Tuhngawi kami ei khyawh vai ei jah pe bä.
Utupatiye leo mkate wetu wa kila siku.
12 Kami khana mkhyekatki he kami jah mhläta kba, kami mkhyekatnak pi jah mhlät bä.
utusamehe deni zetu, kama nasi tunavyowasamehe wadeni wetu.
13 Mkhyekat vaia hlawhlepnaka käh jah cehpüi lü, Khawyaipaa kut üngkhyüh pi jah yung kawpi. Khaw ni, johit ja hlüngtainak he cun na kaa kya se. Amen.
Na usitulete katika majaribu, lakini utuepushe kutoka kwa yule mwovu.'
14 Khyang hea ami ning jah mkhyekatnak nami jah mhlät üng khankhawa ka nami pa naw pi nangmia mkhyekatnak pi ning jah mhlät khai.
Ikiwa mtawasemehe watu makosa yao, Baba yako aliye mbinguni pia atawasamehe ninyi.
15 Acunüng pi khyang hea ami mkhyekatnak am nami jah mhlät üng, khana ka nami pa naw pi nami mkhyenak am ning jah mhlät khaia kyaki.
Lakini ikiwa hamtawasamehe makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe makosa yenu.
16 Ei nami jeih üng hypocrit hea kba pukseki hea mäiha nami hmai käh nami tak vai. Khyang he naw ei jeihki he ti ami jah ksing vaia ami hmai hngasaki he ni. Akcanga ka ning jah mtheh hlüki. Acun he cun ami ngkhengnak yah pängki he ni.
Zaidi ya yote, unapokuwa umefunga, usioneshe sura ya huzuni kama wanafiki wanavyofanya, kwa kuwa wanakunja sura zao ili kwamba watu wawatambue wamefunga. Kweli ninakuambia, wamekwisha kupokea thawabu yao.
17 Ei nami jeih üng nami lu ksi am hluk u lü mthik lü nami hmaiei vai.
Lakini wewe, unapokuwa umefunga, paka mafuta kichwa chako na uoshe uso wako.
18 Acunüng, khyang he naw ei nami jeih am ksing u. Nami pa angthupnaka ve lü angthup hmuh theiki däk naw angdanga ning jah khyeng khai.
Hivyo haitakuonesha mbele ya watu kuwa umefunga, lakini tu itakuwa kwa Baba yako aliye sirini. Na Baba yako aonaye sirini, atakupa thawabu yako.
19 Mthiek ja mkhyaa ei thei ja, mpyukei hea kpyeh thei, khawmdek khana khawhthem käh mcun ua.
Usijitunzie hazina yako mwenyewe hapa duniani, ambapo nondo na kutu huharibu, ambapo wezi huvunja na kuiba.
20 Mthiek ja mkhyaa am a ei thei ja mpyukei hea am ami kpyeh thei khankhaw khawh mcun ua.
Badala yake, jitunzie hazina yako mwenyewe mbinguni, ambapo wala nondo wala kutu hawezi kuharibu, na ambapo wezi hawawezi kuvunja na kuiba.
21 Isetiüng ta, khawhthem nami taknaka nami mlungmthin, nami ngainak ve khaia kyaki.
Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakapokuwepo pia.
22 Mik cun pumsa akvai ni. Acunakyase na mik a daw üng, na pumsa avan vai khai.
Jicho ni taa ya mwili. Kwa hiyo, ikiwa jicho lako ni zima, mwili wote utajazwa na nuru.
23 Acunüng pi, na mik a mü üng ta na pumsa avan nghmüp päihki ni. Acunakyase, na pumsa k'uma veki akvai hin anghmüp ani üng ihlawka kyühkse khai aw?
Lakini ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote umejaa giza totoro. Kwahiyo, ikiwa nuru ambayo imo ndani yako ni giza hasa, ni giza kubwa kiasi gani!
24 U naw pi bawi nghngiha khut am pawh khawh. Bawi mat kphya na lü; bawi mat hneng khai. Am ani üng mata pyen ngai lü, mat ksekha na khai. Nangmi pi Pamhnam ja ngui xüi ani nghngiha khut am jah mkhyawp khawh uki.
Hakuna hata mmoja anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa kuwa atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au la sivyo atajitoa kwa mmoja na kumdharau mwingine. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.
25 Acunakyase, ka ning jah mtheh hlü ta, i ka ei khai, i ka aw khai, i ka suisak khai ti lü nami pumsaa phäh käh cäicing ua. Sak hin eiawka kthaka am phumah bawki aw? Pumsa hin suisaka kthaka am phumah bawki aw?
Kwa hiyo nakuambia, usiwe na mashaka kuhusu maisha yako, kuwa utakula nini au utakunywa nini, au kuhusu mwili wako, utavaa nini. Je! Maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?
26 Khana kha he jah teng ua: mci am saw u, cang am at u, kheia pi am mcunei u. Cunüngpi nami pa khana ka naw jah mcahki ni! Kha hea kthak nami phumah bawkie am niki aw?
Tazama ndege walioko angani. Hawapandi na hawavuni na hawakusanyi na kutunza ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je ninyi si wa thamani zaidi kuliko wao?
27 Acun he nami cäicingnaka phäh a khawkum apica saülawki veki aw?
Na ni nani miongoni mwenu kwa kujihangaisha anaweza kuongeza dhiraa moja kwenye uhai wa maisha yake?
28 Acunakyase, ivaia suisaka phäha nami cäicingki he ni? Mawkpyawnga ka he lili khyeipai he cen jah teng süm ua, ami suisak vai am khüi na u, nghmüi pi am bi u.
Na kwa nini mna kuwa na wasiwasi kuhusu mavazi? Fikiria kuhusu maua kwenye mashamba, jinsi yanavyokua. Hayafanyi kazi na hayawezi kujivisha.
29 Ka ning jah mthehki, Sangpuxang Solamona a khawhkhyam naküt naw khyeipai matcaa ngtongtai pi am kpha.
Bado ninawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya.
30 Nami jumnak ngceki he aw, tuhngawi xüng lü angawi üng thikia khyeipai he pi Pamhnam naw a jah ngtongtaisak üng ta, acuna kthaka daw bawkia ning jah msuimsak khai ni.
Ikiwa Mungu anayavalisha majani katika mashamba, ambayo yadumu siku moja na kesho yanatupwa katika moto, je ni kwa kiasi gani atawavalisha ninyi, ninyi wenye imani ndogo?
31 Acunakyase, i kami ei khai, i kami aw khai, i kami suisak khai? ti lü ä cäicing ua.
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi nakusema, 'Je tutakula nini?' au “Je tutakunywa nini?” au “Je tutavaa nguo gani?”
32 (Ahin he cun Pamhnam am ksingki he naw ni ami suihjap khawi.) Nangmi cun khana ka nami pa naw nami hlükaw naküt cun ksingki.
Kwa kuwa mataifa wanatafuta mambo haya, na Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnahitaji hayo.
33 Akcüka Pamhnama khaw ja a hlüei sui ma ua, acun käna ahin he avan ning jah pe khai.
Lakini kwanza tafuteni ufalme wake na haki yake na haya yote yatakabidhiwa kwako.
34 Acunakyase, khawngawia phäha käh cäicing ua, khawngawi amäta phäh cäicingei khai ni. Tuhngawi na cäicingnak hin tuhngawia phäha khäk ve.
Kwa hiyo, usione shaka kwa ajili ya kesho, kwa kuwa kesho itajishughulikia yenyewe. Kila siku inatosha kuwa na tatizo lake yenyewe.

< Mahte 6 >