< Segalaia 1 >

1 Oubi godo amola ode ageyadu amo Da: liase ea Besia sogega ouligisu hou amoga, Hina Gode da amo sia: ne iasu amo Segalaia (Belegaia egefe amola Idou ea aowa) ema i.
Katika mwezi wa nane wa mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia, mwana wa Ido, kusema:
2 Hina Gode Bagadedafa da Segalaiama amo sia: Ea fi dunu ilima alofele olelema: ne sia: i, “Na, Hina Gode, da dilia aowalali ilima bagadewane ougi galu.
“Bwana aliwakasirikia sana baba zako wa zamani.
3 Be wali Na da dilima sia: sa, ‘Nama buhagima! Amasea, Na da dilima bu misunu!
Kwa hiyo waambie watu: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Nirudieni mimi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitawarudia ninyi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
4 Dilia aowalali ilia hou agoane mae hamoma. Hemonega, balofede dunu da Na sia: ne iasu ilima i. Ilia da wadela: i hou fisimusa: ilima sia: i. Be ilia da Na sia: hamedafa nabi amola Na hamoma: ne sia: be nabawane hame hamosu.
Msiwe kama baba zenu, ambao manabii waliotangulia waliwatangazia: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Geukeni, mziache njia zenu mbaya na matendo yenu maovu.’ Lakini hawakunisikiliza wala kufuata maelekezo yangu, asema Bwana.
5 Dia aowalali amola amo balofede huluane ilia da bogoi dagoi.
Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je, wanaishi milele?
6 Na hawa: hamosu balofede dunu amo ilimadi, Na da dilia aowalali ilima hamoma: ne sia: i amola sisasu dawa: digima: ne sia: ne i. Be ilia amo sia: mae nabane, se dabe lai dagoi. Amalalu, ilia da bu sinidigili, amo Na, Hina Gode Bagadedafa, da ilia hamoi defele amola Na ilegei defele, se dabe ilima i, amo da dafawane ilia da sia: i dagoi.”
Je, maneno yangu na amri zangu nilizowaagiza manabii watumishi wangu, hayakuwapata baba zenu?” “Kisha walitubu na kusema, ‘Bwana Mwenye Nguvu Zote ametutenda sawasawa na njia zetu na matendo yetu yalivyostahili, kama alivyokusudia kufanya.’”
7 Eso 24 amola oubi gidayale (oubi Siba: de) amola ode ageyadu Da: liase ea Besia soge ouligisu amoga, Hina Gode da gasi afaega nama esala ba: su iasi.
Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, yaani mwezi uitwao Shebati, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido.
8 Na da ba: loba, Hina Gode Ea a: igele dunu yoi hosi da: iya fila heda: le ahoanebe ba: i. E da ‘medele’ ifa labala fago, amo ganodini aliligibi ba: i. Ea baligia hosi eno, mogili yoi, mogili hoholei, mogili ahea: iai, lelebe ba: i.
Wakati wa usiku nilipata maono, mbele yangu alikuwepo mtu akiendesha farasi mwekundu! Alikuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi kwenye bonde. Nyuma yake walikuwepo farasi wekundu, wa kikahawia na weupe.
9 Na da ema adole ba: i, “Hina! Amo hosi ilia bai da adi olelesala: ?” E bu adole i, “Na da dima amo ea bai olelemu!
Nikauliza, “Hivi ni vitu gani bwana wangu?” Malaika aliyekuwa akizungumza na mimi akanijibu, “Nitakuonyesha kuwa ni nini.”
10 Hina Gode da ili osobo bagade hou abodelalu masa: ne asunasi.”
Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao Bwana amewatuma waende duniani kote.”
11 Hosi ilia da a: igele dunuma amane sia: ne i, “Ninia da osobo bagade huluane hohogola lalu. Ninia da ba: loba, osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da gasa hamedene amola banenesi dagoi ba: i.”
Nao wakatoa taarifa kwa yule malaika wa Bwana, aliyekuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi, “Tumepita duniani kote na kukuta ulimwengu wote umepumzika kwa amani.”
12 Amalalu, a:igele dunu da amane sia: i, “Hina Gode Bagadedafa! Di da waha ode 70 agoane, Yelusaleme fi amola Yuda moilai bai bagade hamone gagai fi ilima ougi galu. Di da habogala ilima asigi hou bu olelema: bela: ?”
Kisha malaika wa Bwana akasema, “Bwana Mwenye Nguvu Zote, utazuia mpaka lini rehema kutoka Yerusalemu na miji ya Yuda, ambayo umeikasirikia kwa miaka hii sabini?”
13 Hina Gode da a: igele dunu ea dogo denesima: ne, ema dabe adole i.
Kwa hiyo Bwana akazungumza maneno ya upole na ya kufariji kwa malaika aliyezungumza nami.
14 Amola a: igele da nama Hina Gode Bagadedafa Ea sia: i amo sisia: i lama: ne amane sia: i, “Na da Yelusaleme, Na Hadigi Moilai bai bagade, amoma bagade fofagisa.
Kisha malaika yule aliyekuwa akizungumza nami akasema, “Tangaza neno hili: Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nina wivu sana kwa ajili ya Yerusalemu na Sayuni,
15 Amola, Na da ilima ha lai fifi asi gala amo da hahawane amola olofole esala, ilima bagadewane ougi. Na da Na fi dunuma fonobahadi ougiba: le, ilima se dabe i. Na da eno fifi asi gala dunuma amo hamoma: ne sia: beba: le, ilia da Na fi dunuma gegebeba: le, ilima se bagade i. Be ilia da Na hamoma: ne sia: i baligili, Na fi dunuma se baligili i.
lakini nimeyakasirikia sana mataifa yanayojisikia kuwa yako salama. Nilikuwa nimewakasirikia Israeli kidogo tu, lakini mataifa hayo yaliwazidishia maafa.’
16 Amaiba: le, Na da Yelusaleme fi ilima asigi hou olelema: ne, Yelusalemega buhagi. Na Debolo da bu hahamoi amola Yelusaleme moilai bai bagade da bu buga: le gagui dagoi ba: mu.”
“Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Nitairudia Yerusalemu kwa rehema na huko nyumba yangu itajengwa tena. Nayo kamba ya kupimia itanyooshwa Yerusalemu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
17 Amola a: igele da nama na da eno sisia: i lama: ne amane sia: i, “Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, ‘Na moilai bai bagade ilia da bu bagade gagui ba: mu. Amola Na da Yelusaleme fi bu fidimu amola Yelusaleme da Na moilai bai bagadedafa Na da bu sia: mu.’”
“Endelea kutangaza zaidi kwamba: Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Miji yangu itafurika tena ustawi na Bwana atamfariji tena Sayuni na kumchagua Yerusalemu.’”
18 Esala ba: su eno ganodini, na da bulamagau hono biyaduyale ba: i.
Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne!
19 Na da a: igele dunu (amo da nama sia: dasu) ema amane adole ba: i, “Amo hono ilia bai da adila: ?” E da nama bu adole i, “Ilia bai da gasa bagade fifi asi gala amo da Yuda, Isala: ili amola Yelusaleme amo fi dunu afagogolesi dagoi.”
Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Ni nini hivi?” Akanijibu, “Hizi ni zile pembe zilizowatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu.”
20 Amalalu, Hina Gode da ha: ma gagui hawa: hamosu dunu biyaduyale nama olei.
Kisha Bwana akanionyesha mafundi wanne.
21 Na da amane adole ba: i, “Amo dunu ilia adi hamomusa: misibala: ? E da dabe adole i,” Fifi asi gala ha lai dunu ilia da Yuda fi dunu hasalasili, afagogolesi. Ha: ma gagui dunu da amo ha lai fifi asi gala amo beda: ma: ne hamone, hasalasimusa: misi dagoi.”
Nikauliza, “Hawa wanakuja kufanya nini?” Akanijibu, “Hizi ndizo pembe zilizowatawanya Yuda ili asiwepo atakayeweza kuinua kichwa chake, lakini mafundi wamekuja kuzitia hofu na kuzitupa chini hizi pembe za mataifa ambayo yaliinua pembe zao dhidi ya nchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.”

< Segalaia 1 >