< Segalaia 2 >

1 Na da esala ba: su eno amo ganodini, dunu amo ea loboga sedade defesu efe gagui dialebe ba: i.
Kisha nikatazama juu: pale mbele yangu alikuwepo mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake!
2 Na da ema adole ba: i, “Di da habi ahoa!” E da bu adole i, “Na da Yelusaleme defemusa: ahoa. Na da ea sedade amola ba: de amo defemusa: ahoa!”
Nikamuuliza, “Unakwenda wapi?” Akanijibu, “Kupima Yerusalemu, kupata urefu na upana wake.”
3 Amalalu, na da ba: loba, a:igele dunu nama adolalu amo alia guda: lebe ba: i. Amola a: igele eno e gousa: musa: misi.
Kisha malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, malaika mwingine akaja kukutana naye
4 Bisili misi a: igele dunu da eno a: igelema amane sia: i, “Hehenaia asili, ayeligi dunu defesu efe gagui ema amane sia: ma, ‘Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini, dunu amola bulamagau bagohamedafa ba: muba: le, moilai bai bagade gagomu da hamedei ba: mu.
na kumwambia: “Kimbia, umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo.
5 Hina Gode da amane ilegele sia: i dagoi. ‘Na Nisu fawane da laluga sisiga: le disi gagoi agoane moilai bai bagade fi gaga: ma: ne esalumu. Amola Na da hadigiwane amogai esalumu.’”
Mimi mwenyewe nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema Bwana, ‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’
6 Hina Gode da Ea fi dunu ilima amane sia: i “Na da la: idi bega: la: idi bega: dilia huluane afagogolesi. Be dilia mugululi asi dunu! Waha dilia Ba: bilone soge yolesili, hobeale asili, Yelusalemega buhagima.
“Njooni! Njooni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kaskazini,” asema Bwana, “Kwa kuwa nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,” asema Bwana.
7
“Njoo, ee Sayuni! Kimbia, wewe ukaaye ndani ya Binti Babeli!”
8 Nowa da dili fasea, da Nama dogolegei liligi fasa.” Amaiba: le, Hina Gode Bagadedafa da fifi asi gala amo da Ea fi dunu ilia liligi doagala: le lai, ilima amo sia: sia: musa: , na asunasi,
Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Baada ya yeye kuniheshimu na kunituma mimi dhidi ya mataifa yaliyokuteka nyara, kwa kuwa yeyote awagusaye ninyi, anaigusa mboni ya jicho lake,
9 “Hina Gode Hisu da dilima gegemu. Amo dunu ilia da dilia hawa: hamosu dunu galu, ilia da dilia liligi doagala: le lamu.” Amane hamobe ba: sea, dunu huluane da Hina Gode Bagadedafa da na asunasi, amo dawa: mu.
hakika nitauinua mkono wangu dhidi yao ili watumwa wao wawateke nyara. Ndipo mtakapojua ya kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma.
10 Hina Gode da amane sia: i, “Yelusaleme dunu! Nodone gesami hea: ma! Na da dili bisili fifi lamusa: mana!”
“Piga kelele na ufurahie, ee Binti Sayuni, kwa maana ninakuja, nami nitaishi miongoni mwenu,” asema Bwana.
11 Amo esoga, fifi asi gala bagohame da Hina Godema misini, Ea fidafa hamomu. E da dili bisili fifi lamu. Amasea, E da na dilima asunasi, amo dilia da dawa: digimu.
“Mataifa mengi yataunganishwa na Bwana siku hiyo, nao watakuwa watu wangu. Nitaishi miongoni mwenu nanyi mtajua kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma kwenu.
12 Bu enowane, Yuda da Hina Gode Ea dogolegei fi Ea sema soge amo ganodini ba: mu. Amola Yelusaleme da Ea baligili dogolegei moilai bai bagade ba: mu.
Bwana atairithi Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na atachagua tena Yerusalemu.
13 Hina Gode Ea midadi, dunu huluane ouiya: ma! Bai E da Ea Hadigi fifi esalebe sogebi amoganini manebe!
Tulieni mbele za Bwana, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka kutoka makao yake matakatifu.”

< Segalaia 2 >