< Gesami Hea:su 93 >

1 Gode da Hina Bagadedafa. E da Hinadafa hou amola gasa bagade hou amoga ga: i gala. Osobo bagade da fogomu gogolele noga: le bugisiba: le fogomu gogolei.
Bwana anatawala, amejivika utukufu; Bwana amejivika utukufu tena amejivika nguvu. Dunia imewekwa imara, haitaondoshwa.
2 Hina Gode, Dia hadigi fisu da musa: dafa osobo bagade hame hahamoi eso amoganini mae fogole amaiwane dialu.
Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani; wewe umekuwako tangu milele.
3 Hina Gode! Hano wayabo bagade da ha: giwane gosa.
Bahari zimeinua, Ee Bwana, bahari zimeinua sauti zake; bahari zimeinua sauti za mawimbi yake.
4 Hina God gadodafa da Hebene amo ouligisa. Ea gasa da hano wayabo amo ea fugala: gobe amo baligisa, amola hano wayabo bagade ea gafulubi gasa amo baligidafa.
Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu, ni mkuu kuliko mawimbi ya bahari: Bwana aishiye juu sana ni mkuu.
5 Hina Gode, Dia sema da mae yolele amanewane dialusu, amola Dia Debolo diasu da dafawanedafa hadigi mae fisili amanewane dialumu.
Ee Bwana, sheria zako ni imara; utakatifu umepamba nyumba yako pasipo mwisho.

< Gesami Hea:su 93 >