< Gesami Hea:su 91 >

1 Nowa da Hina Gode Ea gaga: ma: ne masunusa: dawa: sea, amola nowa da Bagadedafa Ea gaga: su amoha esalumusa: dawa: sea,
Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana, atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.
2 ilia da Ema agoane sia: musa: dawa: , “Di da na gesu amola na Gaga: sudafa! Di da na: Gode! Na da Dima fawane dafawaneyale dawa: le, lalegagusa!”
Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”
3 Hina Gode da se nabasu, bogosu, olo bagade amola fa: no misunu wamo dialebe huluane dima doagasa: besa: le, amoga di gaga: mu.
Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji, na maradhi ya kuambukiza ya kuua.
4 E da di Ea ougia amoga usilimu, amasea di da Ea gene gaga: i ba: mu amola Ea didili hamosu hou amoga di da gene gaga: i ba: mu.
Atakufunika kwa manyoya yake, chini ya mbawa zake utapata kimbilio, uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.
5 Di da gasia se nabasa: besa: le beda: su amo hame ganumu amola ha yoga hedolole se nabasu hame ba: mu, amola gasi ganodini se nabasu bagade doaga: su hame ba: mu, amola ha yoga doagala: su hame ba: mu. 10,000
Hutaogopa vitisho vya usiku, wala mshale urukao mchana,
6
wala maradhi ya kuambukiza yanayonyemelea gizani, wala tauni iharibuyo adhuhuri.
7 Dunu bagohamedafa10,000 agoane da dia guga gala: lasa: ili bogogia: i dialebe ba: sea, be di da hame wadela: lesi ba: mu.
Ijapo watu elfu wataangukia kando yako, kumi elfu mkono wako wa kuume, lakini haitakukaribia wewe.
8 Di da ba: le gale ba: sea, wadela: i hou hamosu amoma se bidi i hou amo ba: mu.
Utatazama tu kwa macho yako na kuona adhabu ya waovu.
9 Di da Hina Gode Baligili Bagadedafa amo dia Gaga: su hamoi dagoi.
Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako: naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,
10 Amaiba: le se nabasu amoga da di hame fane legemu, amola gegene susugudasu da dia diasua hame misunu.
basi hakuna madhara yatakayokupata wewe, hakuna maafa yataikaribia hema yako.
11 Hina Gode da di habodili ahoasea ouligilaloma: ne, Ea a: igele dunu dima asunasimu.
Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako, wakulinde katika njia zako zote.
12 Ilia da dia emo gele damana dabagala: sa: besa: le, ilia loboga di da: mu.
Mikononi mwao watakuinua, ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.
13 Di da laione wa: me gasa bagade amola sania amo gasonasea bogosu liligi galebe, amo huluane banene osa: gilisimu.
Utawakanyaga simba na nyoka wakali, simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.
14 Gode da amane sia: sa, “Na da dunu Nama hanabe amo fawane gaga: mu, amola Na da ilia Hina Gode, amane dawa: digibi amo fawane Na da gaga: mu.
Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa; nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.
15 Ilia da Nama wele sia: sea, Na da ilima dabe adole imunu. Se nabasu da ilima doaga: sea, Na da ili amola gilisili esalumu. Na da ili gaga: mu amola ilima nodone sia: mu.
Ataniita, nami nitamjibu; nitakuwa pamoja naye katika taabu, nitamwokoa na kumheshimu.
16 Na da ilima fifi ahoanusu sedadedafa bidi imunu. Na da ili gaga: mu”
Kwa siku nyingi nitamshibisha na kumwonyesha wokovu wangu.”

< Gesami Hea:su 91 >