< Gesami Hea:su 71 >
1 Hina Gode! Na da Dia gaga: ma: ne Dima misi. Nama enoga maedafa hasalasima: ma!
Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
2 Bai Di da moloidafaba: le, na fidili gaga: ma. Na sia: nabawane, na gaga: ma!
Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
3 Dia na ougihalisima! Na gaga: musa: , na gagili salima! Di da na gagili salasu amola gaga: sudafa gala.
Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
4 Na Gode! Wadela: i amola dodona: gi dunu da na wadela: lesisa: besa: le, na gaga: ma!
Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
5 Hina Gode! Na da Dima dafawane hamoma: beyale dawa: sa! Na da na goihadini eso amoganini, Dima dafawaneyale dawa: su.
Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
6 Na da na esalusu huluane Dima fa: no bobogesu. Na lalelegei eso amoganini, Dia da na gaga: i. Na da eso huluane Dima nodone sia: mu.
Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
7 Na da Dia hou gasawane lalegaguiba: le, dunu bagohame da Dia hou lalegagui. Bai Di da na gasa bagade gaga: su dunu galu.
Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
8 Hahabe asili daeya, na da Dima nodone sia: sa amola Dia hadigi eno dunuma sisia: i laha.
Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
9 Na da da: i hamoiba: le, na mae higale yolesima! Na da da: i hamone gasa hamedeiba: le, na mae higale yolesima!
Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
10 Nama ha lai dunu da na fane legemusa: hanai gala. Ilia da na fane legemusa: ilegele sia: daha.
Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
11 Ilia da amane sia: sa, “Gode da amo dunu fisiagai dagoi. Ninia da e bobogele, gagula: di! E gaga: mu dunu da hame gala.”
Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
12 Gode! Nama badiliadafa mae esaloma! Na Gode! Hedolo na fidila misa!
Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
13 Dunu amo ilia da nama doagala: sa, amo hasalasili, gugunufinisima: ma! Dunu amo ilia da nama se ima: ne hamosu dunu, amo gogosiama: ma!
Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
14 Na da eso huluane Dima dafawane hamoma: beyale dawa: lumu. Na Dima gebewane baligili nodone sia: nanumu. Dia gaga: su hou amo na dawa: mu gogolesa.
Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
15 Na da Dia noga: idafa hou amo eno dunuma sisia: i lamu. Be hahabe asili daeya huluane, na da Dia gaga: su amo sisia: i lamu.
Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
16 Ouligisudafa Hina Gode! Na da Dia gasa bagade hou amoma nodonanumu. Di fawane da noga: idafa. Dia noga: idafa hou amo na da sisia: i lamu.
Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
17 Dia da na goihadini esoganini nama Dia hou olelesu. Amola na da mae fisili, Dia ida: iwane hamosu hou sisia: i lala.
Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
18 Wali na da da: i hamone, na dialuma da gago aligi gala. Be Gode! Dia na mae fisiagama! Na da Dia gasa bagade hou fifi asi gala manebe dunu ilima sisia: i lasea, Di da ani galoma: ma.
Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
19 Gode! Dia moloidafa hou heda: le muagado doaga: sa. Di da liligi bagadedafa hahamoiba: le, dunu afae da Di agoai hame gala.
Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
20 Di da nama bidi hamosu amola se nabasu amo huluane nama iasi dagoi. Be Di da na gasa bu nama imunu. Di da na bogoi uli dogoi amo gudu mae sa: ima: ne gaga: mu.
Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
21 Di da na bu baligili bagadedafa hahamonesimu, amola Di da na bu hahawane hahamonesimu.
Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
22 Na da dafawane Dima sani baidama dusa nodone sia: mu. Bai Di da Isala: ili Hadigi Godedafa! Na: Gode! Na da Dia mae fisili dafawane noga: i hou amoma nodone sia: mu.
Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
23 Na sani baidama dusia, na da hahawane wele sia: mu. Na da na da: i huluane amoga gesami hea: mu. Bai Dia da na gaga: i dagoi!
Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
24 Hahabe asili daeya huluane, na da Dia moloidafa hou sisia: i lamu. Bai dunu ilia da nama se imunusa: dawa: i, ilia da hasalasali amola gogosia: i dagoi ba: sa.
Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.