< Gesami Hea:su 106 >
1 Hina Godema nodoma! Hina Godema nodone sia: ma! Bai E da noga: idafa, amola Ea asigi hou da mae fisili dialumu.
Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Nowa da Ea gasa bagade hamoi amo adoma: bela: ? Nowa da Ema defele nodoma: bela: ?
Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
3 Nowa dunu ilia da Ea hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea, amola eso huluane moloi hou hamosea, ilia da hahawane gala.
Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
4 Hina Gode! Di da Dia fi dunu fidisia amola ili gaga: sea, na mae gogolema!
Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
5 Na da Dia fi dunu ilia bagade gagui hou ba: ma: ne, amola ilia hahawane nodone hidasu hou amoma gilisima: ne, Dia logo doasima.
Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
6 Ninia da ninia aowalali defele wadela: i hou hamoi. Ninia da baligiliwane wadela: le hamoi.
Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
7 Ninia aowalali da Idibidi soge ganodini, Gode Ea noga: idafa hamosu hou hame dawa: digi. E da eso bagohame ilima asigidafa hou hamoi. Be ilia amo gogolele, Maga: me Hano Wayabo Bagade amoga Gode Bagadedafa Ema odoga: gia: i.
Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
8 Be Hina Gode Ea gasa bagade hou olelema: ne, Ea musa: ilegele sia: i defele, ili gaga: i.
Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
9 E da Maga: me Hano Wayabo amo dogoa damuni hamoma: ne sia: beba: le, e da dogoa damuna asili, hafoga: i ba: i. E da amo hafoga: i logoga hano degema: ne, Ea fi dunu oule asi.
Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
10 E da ilia higabe ha lai dunu ili mae hasalasima: ne, gaga: i.
Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
11 Be hano da ilima ha lai dunu huluane dedebole, ilia hano mai da: gini bogogia: i. Dunu afae esalebe hame ba: i.
Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
12 Amalalu, Hina Gode Ea fi dunu ilia da Ea ilegele sia: i huluane dafawaneyale dawa: i. Ilia da Ema nodone gesami hea: i.
Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
13 Be ilia da hedolowane Ea ili fidi amo gogolei. Ilia da Ea fada: i sia: su mae oualigili, hedolowane ili hanaiga hamosu.
Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
14 Ilia da hafoga: i soge ganodini, Gode Ea iabe mae dawa: le, baligili lamusa: hanai galu. Ilia Godema adoba: su hou hamoi.
Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
15 Amaiba: le, E da ilia adole ba: i defele, ilima i. Be wadela: i olo bagade gilisili ilima i.
Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
16 Amo hafoga: i sogega, ilia da Mousese amola Elane (Hina Gode Ea hadigi hawa: hamosu dunu) elama mudasu.
Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
17 Amalalu, osobo bagade da eala asili, Da: ida: ne amola Abaila: me amola ea sosogo fi huluane, mogosali.
Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
18 Lalu da wadela: i dunu elama fa: no bobogesu, amo ilima sa: ili, ili nene dagoi.
Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
19 Ilia da Sainai sogega, bulamagau gawali gouliga hamone, amoma nodone sia: ne gadosu.
Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
20 Ilia da Gode Ea hadigi amoma nodone sia: su afadenene, bu ohe gisi nabe agoaila, amoma nodone sia: ne gadosu.
Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
21 Gode da Idibidi sogega gasa bagadewane hamobe hou, amoga ili gaga: i. Be ilia da amo gogolei.
Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
22 Gode da Idibidi sogega hou noga: idafa hamoi. E da Maga: me Hano Wayabo amoga fofogadigisu musa: hame ba: su hou hamoi.
Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
23 Gode da Ea ilegei fi amo gugunufinisimusa: dawa: beba: le, Mousese da amo logo mae hamoma: ne ga: laligi.
Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
24 Amalalu, Isala: ili dunu da Ga: ina: ne noga: idafa soge higa: i galu. Bai ilia da Gode Ea ilima hamomusa: ilegele sia: i, amo dafawaneyale hame dawa: i.
Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
25 Ilia da ilia abula diasu ganodini esafula, egane sia: dalusu. Amola, Hina Gode Ea sia: hame nabasu.
bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
26 Amaiba: le, E da ilima sisasu gasa bagade sia: i. E da ili huluane hafoga: i soge ganodini fane legele,
Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
27 amola iligaga fifi mabe huluane, Gode Ea hou hame dawa: su dunu ilia soge ganodini afagogolesili, amogawi ilia huluane da bogogia: mu, E sia: i.
akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
28 Amalalu, Bio goumi sogega, Gode Ea fi dunu da ogogosu ‘gode’ Ba: ilema nodone sia: ne gadosu hou, amoma gilisi. Ilia da gobele salasu ha: i manu, hame esalebe ogogosu ‘gode’ ilima iasu liligi, mai dagoi.
Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
29 Ilia da Hina Gode E bagade ougima: ne wadela: i hou bagade hamobeba: le, wadela: i olo bagade da ilima madelai.
Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
30 Be Finia: se da wa: legadole, wadela: i hamosu dunuma se dabe iabeba: le, wadela: i olo da fisi ba: i.
Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
31 Dunu ilia da Finia: se ea hamoi amo nodone dawa: sa, amola mae fisili eso huluane dawa: lalumu.
Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
32 Meliba hano bubuga: su amoga, Isala: ili dunu da bu Hina Gode ougima: ne hamoi. Amola ilia hamobeba: le, Mousese da se nabi.
Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
33 E da ilima ougiba: le, mae dawa: le, momabo sia: i
Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
34 Hina Gode da Isala: ili dunuma, ilia Godema higa: i dunu medole legema: ne sia: i. Be ilia da amo dunu hame medole legei.
Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
35 Be ilia da amo dunuma gilisili, uda lasu hou hamosu, amola ilia ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu hou lalegagui.
bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
36 Gode Ea fi dunu da ogogosu loboga hamoi ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadobeba: le, ilia da gugunufinisi dagoi ba: i.
nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
37 Ilia da Ga: ina: ne ogogosu loboga hamoi ‘gode’ ilia oloda da: iya, ilisu dunu mano amola uda mano gobele salasu.
Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
38 Ilia da mano, amo da wadela: le hame hamoi, amo udigili medole lelegei. Amaiba: le, soge huluane da ledo hamoi dagoi ba: i.
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
39 Ilia da wadela: le hamoiba: le, nigima: agoai ba: i. Amola ilia Godema baligi fa: su.
Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
40 Amaiba: le, Hina Gode da Ea fi dunuma ougi galu. E da ili bagadedafa higasu.
Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
41 E da ili Gode Ea hou hame dawa: dunu banenesima: ne, ilima yolesi. Amola ilima ha lai dunu fawane da ili ouligi.
Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
42 Ilima ha lai dunu da ili banenesi. Amola Isala: ili dunu da ilima ha lai dunu, amo ilia hamoma: ne sia: be fawane nabawane hamoi.
Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
43 Eso bagohame, Hina Gode da Ea fi dunu gaga: su. Be ilia da Ema odoga: su fawane hamoi, amola bu baligiliwane wadela: le hamosu.
Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
44 Be ilia da se nabawane Ema digini wele sia: beba: le, E da ilia wele sia: be nabi, amola ilia se nabasu asigiwane ba: i.
Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
45 E da ilima asigiba: le, E da Ea musa: gousa: su ilima hamoi, amo bu dawa: i. Ea asigidafa hou da bagadeba: le, E da ilima se dabe ianoba amo yolesi.
Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
46 Gode da Isala: ili dunu ilima banenesisu dunu ilia asigi dawa: su afadenene, ilia da bu Isala: ili dunuma asigisu.
Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
47 Hina Gode! Ninia Gode! Nini gaga: ma! Ninia da fifi asi gala amo ganodini esala, amoga nini Isala: ili sogega buhagimusa: oule misa. Amasea, ninia da Dia Hadigi Dio amoma nodone sia: mu.
Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
48 Hina Godema nodoma! Isala: ili ilia Godema nodoma! Wali amola eso huluane mae fisili, Ema nodone sia: nanoma! Dunu huluane da “Ama” sia: ma: ma. Hina Godema nodoma!
Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.