< Gesami Hea:su 115 >
1 Hina Gode! Ninia da Dia hadigidafa hou amoma fawane nodomu da defea. Dunu da nini hadigi gala sia: mu da defea hame. Bai Di fawane da mae fisili, asigidafa hou hamonana, amola nini fisima: ne hame dawa:
Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
2 Fifi asi gala dunu da abuliba: le, “Dilia Gode da habila: ?” amane sia: sala: ?
Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
3 Bai ninia Gode da Hebene ganodini esala. Amola E da Hi hanaiga fawane hamosa.
Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
4 Eno fifi asi gala ilia ‘gode’ da silifa amola gouliga hamoi liligi, osobo bagade dunu ilia loboga hamoi fawane.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
5 Ilia da lafi gala, be sia: baoumu hame dawa: Ilia da si gala, be ba: mu gogolesa.
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
6 Ilia da ge gala be nabimu hamedei. Ilia da mi gala, be amoga gaha amola gabusiga: nabimu hamedei.
zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
7 Ilia da lobo gala, be digili ba: mu hamedei. Ilia da emo gala be masunu gogolesa. Ilia da ouiya: le diala.
Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
8 Dunu da amo loboga hamoi ogogosu ‘gode’ hahamoi amola ilima dafawaneyale dawa: sa, ilia da amo ogogosu liligi ilia hamoi, amo defele hamomu da defea.
Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
9 Be dilia Isala: ili fi dunu! Hina Godema dafawaneyale dawa: ma! E da dili fidisa amola gaga: sa.
Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
10 Dilia Gode Ea gobele salasu dunu! Hina Godema dafawaneyale dawa: ma! E da dili fidisa amola gaga: sa.
Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
11 Dilia Hina Godema nodone sia: ne gadolalebe dunu! Hina Godema dafawaneyale dawa: ma. E da dili fidisa amola gaga: sa.
Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
12 Hina Gode da nini dawa: lala, amola ninima hahawane hou imunu. E da Isala: ili fi dunu amola Gode Ea gobele salasu dunu huluane Ilima hahawane imunu.
Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
13 E da dunu huluane, bagade amola fonobahadi defele, ilia da Ema nodone dawa: sea, ilima hahawane hou imunu.
Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
14 Hina Gode da dili amola diligaga fi dunuma mano imunu da defea.
Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
15 Hina Gode da mu amola osobo bagade hahamoi. E da dilima hahawane hou imunu da defea.
Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
16 Hebene da Hina Gode Ea Hisu soge. Be E da osobo bagade amo nini osobo bagade dunuma i dagoi.
Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
17 Bogoi dunu ilia da ouiya: i soge amoga gudu daha. Bogoi dunu, ilia Hina Godema nodone sia: mu hamedei ba: sa.
Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
18 Be nini esalebe dunu, ninia da Ema eso huluane mae fisili, nodonanumu. Hina Godema nodoma!
bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.