< Ma:diu 14 >

1 Amo esoga, dunu huluane da Yesu Ea hou sia: dasu.
Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Yesu,
2 Amo sia: nababeba: le, Helode (Ga: lili soge ouligisu dunu) da ea eagene ouligisu dunuma amane sia: i, “Amo dunu da Yone Ba: bodaise. E bogole bu wa: legadoiba: le, gasa bagade hamosa.”
akawaambia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji; amefufuka kutoka kwa wafu! Hii ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza zinafanya kazi ndani yake.”
3 Musa: , Helode da Yone gaguli, afugili, se iasu diasu ganodini sali. Bai Helode da ea ola Filibe amo idua Heloudia: se lai dagoi.
Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake,
4 Be Yone da Helodema amane sia: su, “Di da amo uda lamu da defea hame galu!”
kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia Herode: “Si halali kwako kuwa na huyo mwanamke.”
5 Amaiba: le, Helode da Yone medole legemusa: dawa: i galu. Be eno Yu dunu huluane da Yone da balofede dunu dawa: i galu. Amaiba: le, Helode da amo dunuma beda: iba: le, Yone hame medole legei.
Herode alitaka sana kumuua Yohana, lakini akaogopa watu, kwa maana walimtambua kuwa ni nabii.
6 Helode ea lalelegei eso doaga: beba: le, dunu bagohame gilisibiba: le, Heloudia: se idiwi da dunu huluane midadi siogoi. Helode da hahawane bagade ba: i.
Katika siku ya kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode, binti wa Herodia alicheza mbele ya watu waliohudhuria, akamfurahisha sana Herode,
7 Amaiba: le, Helode da ema amane sia: i, “Na da dafawane sia: sa! Dia da nama adole ba: sea, na da dia hanai liligi dafawane imunu.”
kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.
8 Amalalu, Heloudia: se idiwi da ea: me ea sia: nababeba: le, amane sia: i, “Yone Ba: bodaise ea dialuma damuni, yaeya da: iya ligisili, amo nagili gaguli misa!”
Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
9 Helode da da: i dioi nabi. Be dunu huluane da ea musa: sia: nababeba: le, e da gogosiamu higa: i. Amaiba: le, e da amo sia: ea hawa: hamosu dunuma olelei.
Mfalme akasikitika, lakini kwa sababu ya viapo alivyoapa mbele ya wageni, akaamuru kwamba apatiwe ombi lake.
10 Ea sia: beba: le, ilia da Yone Ba: bodaise se iasu diasu ganodini esalu, amo ea dialuma damuni fasi.
Hivyo akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle gerezani.
11 Ilia da ea dialuma yaeya da: iya ligisili, a:finima gaguli misi. Amalalu, e da amo ea: mema gaguli asi.
Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.
12 Yone Ba: bodaise ea fa: no bobogesu dunu da misini, ea da: i hodo lale, uli dogoiga sali. Amalu ilia da Yesuma asili, amo hou olelei.
Wanafunzi wa Yohana wakaja na kuuchukua mwili wake kwenda kuuzika. Kisha wakaenda wakamwambia Yesu.
13 Amo sia: nababeba: le, Yesu da amo soge yolesili, dusagaiga fila heda: le, Hisu dunu hame esalebe sogega asi. Dunu huluane da Ea asi nababeba: le, ilia moilai yolesili, Ema doaga: musa: , biba: le sisiga: i.
Yesu aliposikia yaliyokuwa yametukia, aliondoka kwa chombo akaenda mahali pasipo na watu ili awe peke yake. Lakini watu walipopata habari, wakamfuata kwa miguu kupitia nchi kavu kutoka miji.
14 Yesu da hano bega: doaga: le, dunu bagohame gilisibi ba: i. E da ilima asigiba: le, ilia oloi dunu huluane uhinisi.
Yesu alipofika kando ya bahari, aliona makutano makubwa ya watu, akawahurumia na akawaponya wagonjwa wao.
15 Daeya doaga: loba, Yesu Ea ado ba: su dunu da Ema misini, amane sia: i, “Go soge da dunu hame esalebe soge. Gasimu galebe! Di da dunu huluane moilaiga ha: i manu bidi lama: ne asunasima.”
Ilipofika jioni, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na muda sasa umekwisha. Waage makutano ili waende zao vijijini wakajinunulie chakula.”
16 Be Yesu E bu adole i, “Ilia guiguda: esalumu da defea. Dilisu ha: i manu ilima ima.”
Yesu akawaambia, “Hakuna sababu ya wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.”
17 Ilia da amane sia: i, “Ninia da agi ga: gi biyale gala, amola menabo aduna, amo fawane gala.”
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
18 Yesu E amane sia: i, “Amaiba: le, Nama gaguli misa!”
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
19 Yesu da dunu huluane gisi da: iya fima: ne sia: i. Amalalu, E da agi ga: gi biyale gala amola menabo aduna lale, Ea si ba: le gadole, Godema nodone sia: ne gadole, agi fifili, Ea ado ba: su dunuma sagoi. Amalalu, ilia da dunu huluanema bu sagoi.
Yesu akaagiza makutano wakae chini kwenye nyasi. Akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia makutano.
20 Ilia huluane nanu, sadi dagoi. Amalalu, ilia da ha: i manu hame mai dialu, daba fagoyale bu lai.
Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
21 Dunu 5,000 agoane, uda amola mano da huluane defele maiba: le sadigia: i ba: i.
Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
22 Amalalu, Yesu da sia: beba: le, Ea ado ba: su dunu da dusagaiga fila heda: le, Ga: lili hano na: iyado bega: doaga: musa: asi. E da dunu huluane masa: ne sia: i.
Mara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda ngʼambo ya bahari, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.
23 Huluane asiba: le, Yesu Hisu sia: ne gadomusa: goumiba: le heda: i. Daeya doaga: loba, Yesu da Hisu esalebe ba: i.
Baada ya kuwaaga, akaenda zake mlimani peke yake kuomba. Jioni ilipofika, Yesu alikuwa huko peke yake.
24 Isu da gibula bobodobeba: le, dusagai da hano dogoa bagadewane gigiwigi.
Wakati huo ile mashua ilikuwa mbali kutoka nchi kavu ikisukwasukwa na mawimbi, kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho.
25 Amalalu, hadigibi galu, Yesu da Ea fa: no bobogesu dunuma doaga: musa: , hano da: iya mae magufale asi.
Wakati wa zamu ya nne ya usiku, Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji.
26 Yesu da mae magufale manebe ba: beba: le, Ea ado ba: su dunu da bagade beda: i galu. Ilia da E da bogoi a: silibuyale dawa: beba: le, bagade beda: iba: le wele sia: i.
Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, “Ni mzimu.” Wakapiga yowe kwa kuogopa.
27 Amalalu, Yesu E amane sia: i, “Mae beda: ma! We da Na!”
Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope.”
28 Amaiba: le, Bida da Yesuma amane sia: i, “Hina! Di da dafawane misi galea, na Dima misa: ne Dia sia: ma!”
Petro akamjibu, “Bwana, ikiwa ni wewe, niambie nije kwako nikitembea juu ya maji.”
29 Yesu E bu adole i, “Misa!” Amalalu, Bida da hano da: iya aligila sa: ili, mae magufale Yesuma doaga: musa: asi.
Yesu akamwambia, “Njoo.” Basi Petro akatoka kwenye chombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.
30 Be Bida da fo gasa bagade ba: beba: le, bu beda: i galu. Beda: iba: le, magufasa dabeba: le, e Yesuma bagade wele sia: i, “Hina! Di fidila misa!”
Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!”
31 Amalalu, Yesu da Ea lobo molole, Bida ea lobo gaguli, lobolele gadoi. E Bidama amane sia: i, “Dia dafawaneyale dawa: su hou abuli fisibala: ?”
Mara Yesu akaunyoosha mkono wake na kumshika, akamwambia, “Wewe mwenye imani haba, kwa nini uliona shaka?”
32 Ela da bu dusagaiga fila heda: beba: le, fo da yolesi dagoi ba: i.
Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.
33 Dunu dusagai ganodini fila heda: i ilia huluane da nodone, Yesuma amane sia: i, “Dafawane! Di da Gode Ea Manodafa!”
Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Yesu, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.”
34 Ilia da hano degele, Genesalede sogega doaga: i.
Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti.
35 Amo soge ganodini fi dunu da Yesu da doaga: i dagoi sia: be nababeba: le, ilia da oloi dunu huluane Yesuma oule misi.
Watu wa eneo lile walipomtambua Yesu, walipeleka habari sehemu zote za jirani. Watu wakamletea wagonjwa wao wote,
36 Ilia da oloi dunu Yesu Ea abula fe digili ba: musa: , Ema edegei. Amola nowa dunu da Ea abula digili ba: loba bu uhi dagoi ba: i.
wakamsihi awaruhusu wagonjwa waguse tu pindo la vazi lake, nao wote waliomgusa, wakaponywa.

< Ma:diu 14 >