< Ma:diu 13 >

1 Amo esoga, Yesu da amo moilai yolesili, hano wayabo bega: doaga: i. E da dunu ilima olelemusa: esalu.
Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.
2 Dunu bagohamedafa da gilisibiba: le, Yesu da dusagai ganodini fila heda: i. Dunu huluane da hano bega: lelefulu.
Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari.
3 Yesu da fedege sia: bagohame ilima olelei. E amane sia: i, “Ifabi ouligisu dunu da gagoma bugimusa: asi.
Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
4 Hawa: fasilalu, mogili logoga sa: iba: le, hame dedeboiba: le, sioga lidili na dagoi.
Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.
5 Mogili wadela: i igi magufu da: iya amo osoboga sa: ili, hedolo heda: i.
Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
6 Be eso mabe galu, amo da difi sa: imu gogoleiba: le, hedolowane bioi.
Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
7 Hawa: mogili da aya: gaga: nomei amola gisi labala sa: ili, heda: le, aya: gaga: nomeiga gigisiba: le, noga: le hame heda: i.
Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.
8 Be eno da osobo ida: idafa amoga sa: iba: le, heda: le, ha: i manu ida: iwane legei. Eno da gagoma hodo 100 agoane, eno da 60 amola eno da 30 agoane hamoi.
Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, nyingine mara sitini, na nyingine mara thelathini.
9 Dilia da ge galea, nabima!”
Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
10 Yesu Ea fa: no bobogesu dunu da Ema misini, amane sia: i, “Di da dunu gilisi ilima sia: olelesea, abuli fedege sia: musu olelebela: ?”
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
11 E da bu adole i, “Gode da Ea Hinadafa Hou amo wamolegei dawa: su dilima olelesa. Be E da eno dunuma hame olelesa.
Akawajibu, “Ninyi mmepewa kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini wao hawajapewa.
12 Bai nowa dunu da gagui galebe, amo dunuma Gode da bagadedafa bu imunu. Be E da hame gagui dunuma ea lai huluane bu samogemu.
Kwa maana yule aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
13 Amaiba: le, Na da fedege sia: fawane ilima olelesa. Ilia siga ilia ba: sa, be asigi dawa: suga hame dawa: sa. Ilia gega naba, be asigi dawa: suga hame naba.
Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano: “Ingawa wanatazama, hawaoni; wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.
14 Amo dunu ilia hou olelema: ne, balofede dunu Aisaia da musa: sia: i, ‘Dilia da nabalumu be hame dawa: mu. Dilia da ba: lalumu be hame dawa: mu.’
Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema: “‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama lakini hamtaona.
15 Amo dunu fi ilia asigi dawa: su da ga: nasi hamoi dagoi. Ilia ge da ga: siwane diala amola ilia si da sisigi dagoi. Amo hou ilia da hahamoi ganiaba, ilia da siga bu ba: la: loba amola ilia gega bu naba: loba amola ilia asigi dawa: suga bu dawa: la: loba amola ilia da Nama sinidigibiba: le, Na uhinisu hou ilia ba: la: loba. Be hamedei.’
Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
16 Be dilia da siga ba: beba: le, amola dilia da gega nababeba: le, dilia da hahawane bagade.
Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.
17 Na da dilima dafawane sia: sa! Balofede dunu bagohame amola ida: iwane hamosu dunu bagohame da dilia waha ba: su liligi ba: mu hanai galu. Be hame ba: i. Ilia da dilia waha nababe liligi nabimu hanai galu, be hame nabi.
Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.
18 “Dilia hawa: bugisu dunu ea sia: dawa: loma: ne nabima amola dawa: ma!
“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:
19 Nowa dunu da Gode Ea Hinadafa Hou Sia: olelesu mae dawa: iwane nabasea, Sa: ida: ne da amo sia: ea dogoga bu samogesa. Amo da hawa: logoga bugi fedege agoane.
Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme naye asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. Hii ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
20 Hawa: magufu da: iya bugi da dunu e Gode Ea sia: hahawane nababeba: le hedolowane lalegagusa, amo ea fedege sia:
Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha.
21 Be e da difi hameba: le, fonobahadi lalu, amalalu, e da lalegaguiba: le se nabasea, hedolowane dafasa.
Lakini kwa kuwa hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, yeye mara huchukizwa.
22 Hawa: aya: gaga: nomei sogega bugi, da Gode Ea sia: nabasu dunu eno agoane. E da se nababeba: le amola osobo bagade hou amola muni hanai hou bagade dawa: beba: le, Gode Ea Sia: ea dogo ganodini diala da amoga bagade gigisiba: le, e da dulu hame legesa. (aiōn g165)
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
23 Hawa: eno osobo ida: iwane gala amoga bugi da Gode Sia: noga: le nabasu dunu. E da dulu legesa, gagoma afadafa da dulu 100agoane, oda da 60 agoane, oda da 30 agoane legesa.”
Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na kulielewa. Naye hakika huzaa matunda, akizaa mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya mbegu iliyopandwa.”
24 Yesu Ea eno fedege sia: olelei da agoane, “Gode Ea Hinadafa Hou da dunu e da widi hawa: ida: iwane gala osoboga bugi agoane.
Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
25 Be amo dunu da golale, ema ha lai dunu misini, wadela: i gisi amo ea bugi ganodini wamowane bugilalu asi.
Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
26 Widi da heda: le, dulu legele, wadela: i gisi amola da gilisili heda: i.
Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.
27 Amo soge hina ea hawa: hamosu dunu da ema misini, amane sia: i, ‘Ada! Di da hawa: ida: iwane bugi dagoi. Amaiba: le, wadela: i gisi da habidili misibela: ?’
“Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’
28 E da bu adole i, ‘Ha lai dunu da amo hamoi!’ Ea hawa: hamosu dunu da bu adole ba: i, ‘Ninia amo wadela: i liligi a: le fasima: bela: ?’
“Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’
29 Hina da bu adole i, ‘Hame mabu! Dilia da wadela: i gisi a: le fasisia, widi ea difi amola wadela: mu.
“Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo.
30 Ela gilisili heda: mu da defea. Faimu eso doaga: sea, na da faimu dunu ilia da wadela: i gisi lale, la: gili, laluga ulagima: ne sia: mu. Be widi ha: i manu ida: iwane gala, amo na diasu ganodini salima: ne, na da ilima sia: mu.’”
Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’”
31 Yesu da eno fedege sia: agoane olelei, “Gode Ea Hinadafa Hou da masada hawa: , dunu e da ea soge ganodini bugi agoane.
Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake.
32 Masada hawa: da eno hawa: huluane ba: sea, fonobahadidafa ba: sa. Be heda: le, e da ifa agoane alebeba: le, sio fi da ea amoda amoga fisa.”
Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”
33 Yesu da eno fedege sia: olelei, “Gode Ea Hinadafa hou da agoane. Uda da falaua ganodini yisidi sala. Yisidi da hawa: hamobeba: le, falaua huluane da afadenene heda: sa.”
Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
34 Yesu da dunu huluanema fedege sia: fawane olelei. E da eno sia: hamedafa sia: i. Fedege sia: fawane olelei.
Yesu alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.
35 Musa: balofede dunu da amo hou olelei agoane, “Na da fedege sia: fawane ilima olelemu. Hemonega osobo bagade hahamosu eso amogainini wamolegei sia: na da olelemu.”
Hii ilikuwa ili kutimiza lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii aliposema: “Nitafungua kinywa changu niseme nao kwa mifano; nitahubiri mambo yaliyofichika tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.”
36 Yesu da dunu huluane yolesili, diasu ea gelabo ganodini bu sa: ili, Ea ado ba: su dunu da Ema misini, amane sia: i, “Gisi bugi sia: dawa: loma: ne, amo ninima olelema.”
Kisha Yesu akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”
37 Yesu E bu adole i, “Hawa: bugisu dunu da Dunu Egefe.
Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
38 Osobo da osobo bagade. Hawa: ida: iwane gala da Gode Ea Fi dunu. Wadela: i gisi da Sa: ida: ne ea fi dunu.
Shamba ni ulimwengu na mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu.
39 Wadela: i gisi bugisu dunu da Sa: ida: ne. Faimu Eso da soge wadela: mu eso. Faisu dunu da a: igele dunu. (aiōn g165)
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
40 Gisi da gilisili laluga ulagibi, agoaiwane hou ninia da soge wadela: mu eso doaga: sea ba: mu. (aiōn g165)
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
41 Dunu Egefe da Ea a: igele dunu asunasimu. Ilia da Gode Ea Hinadafa Hou ganodini esalebe wadela: i hamosu dunu amola dafama: ne olelesu dunu huluane lidimu.
Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka Ufalme wake kila kitu kinachosababisha dhambi na watenda maovu wote.
42 Amo dunu ilia lalu bagadega galadigimu. Ilia da bagadewane bese ini dinanumu.
Nao watawatupa katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
43 Amalalu, dunu ida: iwane ilia da eso ea hadigi defele, Gode Ea Hinadafa Hou soge ganodini ba: mu. Dilia da ge galea, nabima!”
Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.
44 “Gode Ea Hinadafa Hou da agoane. Dunu e da udigili ahoasea, muni bagade liligi ifabi ganodini wamolegei amo ba: sa. Amo e da bu wamolegemusa: dedebosa. E da hahawanebagadeba: le, ea diasuga asili, ea liligi huluane bidi lale, amo muni lai amoga e da goe ifabi bidi lasa.
“Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
45 Eno, Gode Ea Hinadafa Hou da bidi lasu dunu, e da su wagebi hogolala.
“Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
46 Su wagebi afadafa ida: iwanedafa ba: beba: le, e da ea liligi huluane bidi lale, amo muni lai amoga amo su wagebi bidi lasa.
Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
47 Eno, Gode Ea Hinadafa Hou da menabo gasa: su agoane. Hanoga galadigiba: le, amo gasa: su da menabo hisu hisu gagui dialebe ba: sa.
“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.
48 Nabaiba: le, hano bega: hiougisia, menabo ida: iwane gala ilia daba ganodini sala. Be ilia da wadela: i menabo udigili galagasa.
Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa.
49 Amo hou da soge wadela: mu eso amoga ba: mu. A: igele dunu da misini, dunu fi ganodini ida: iwane dunu yolesili, wadela: i dunu lidili, (aiōn g165)
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
50 lalu bagadega galadigimu. Lalu ganodini ilia da bese ini dinanumu.”
Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
51 Yesu E amane adole ba: i, “Go liligi huluane dilia da dawa: bela: ?” “Ma!” ilia bu adole i.
Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
52 E da bu amane sia: i, “Amaiba: le, sema olelesu dunu, e Gode Ea Hinadafa hou nababeba: le, dawa: lalu, e da diasu hina ea hou agoane hamosa. E da ea ligisisu sesei amoga gaheabolo liligi ida: iwane gala amola musa: liligi ida: iwane gala gaguli maha.”
Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
53 Yesu da amo fedege sia: olelei dagoloba, amo soge yolesili,
Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
54 Ea moilaidafa amoga bu misi. E da sinagoge diasu ganodini oleleiba: le, dunu huluane da fofogadigili, amane sia: i, “E da habidili goe bagade dawa: su hou amola gasa bagade hou labala?”
Alipofika mji wa kwao, akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao wakastaajabu, wakauliza, “Mtu huyu amepata wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya miujiza?”
55 “E da diasu gagusu egefe. Ea: me da Meli amola Ea eyalali da Ya: mese, Yousefe, Saimone amola Yudase.
“Huyu si yule mwana wa seremala? Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu zake si Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
56 Ea dalusi huluane da ninia moilai ganodini esala. Ea hou da habidili labala?”
Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”
57 Amaiba: le, ilia da Yesu higa: i. Yesu da ilima amane sia: i, “Dunu huluane da balofede dunu amo ea sia: naba. Be balofede dunu ea moilai fidafa dunu da hame naba.”
Wakachukizwa naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”
58 Ilia da Ea hou dafawaneyale hame dawa: beba: le, E da musa: hame ba: su gasa bagade hou bagahame fawane amo moilaiga hamosu.
Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.

< Ma:diu 13 >