< Maga 13 >

1 Yesu da Debolo Diasu yolesili, Ea ado ba: su dunu afae da Ema misini, amane sia: i, “Olelesu! Ba: ma! Diasu amola igi ida: iwane goea.”
Yesu alipokuwa akitoka Hekaluni, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu! Tazama jinsi mawe haya yalivyo makubwa, na majengo haya yalivyo mazuri!”
2 Yesu E bu adole i, “Dafawane! Diasu noga: le ba: ma! Be hobea, amo diasu da mugulubiba: le, igi afae igi eno da: iya ligisi dialebe da hamedafa ba: mu.”
Ndipo Yesu akajibu akasema, “Je, unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali yote yatabomolewa.”
3 Debolo Diasu amo na: iyadodili da Olife Goumi dialebe ba: i. Yesu da Olife Goumia esalu. Bida, Ya: mese, Yone, amola A: dalu da wamowane Yesuma misini, amane adole ba: i,
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni mkabala na Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamuuliza faraghani,
4 “Amo hou da habogala doaga: ma: bela: ? Amo hou doaga: mu gadenesea, ninia da adi dawa: digima: ne olelesu ba: ma: bela: ?”
“Tafadhali tuambie, mambo haya yatatukia lini? Nayo dalili ya kuwa hayo yote yanakaribia kutimia itakuwa gani?”
5 Yesu da ilima amane sia: i, “Dilia noga: le sosodo aligima! Dunu eno da dilima ogogosa: besa: le dawa: ma: i!
Yesu akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.
6 Dunu bagohame da misini, “Na da Gelesu!” ilia da sia: mu. Dunu eno bagohame da giadofale ilia sia: dafawaneyale dawa: mu.
Wengi watakuja kwa Jina langu wakidai, ‘Mimi ndiye,’ nao watawadanganya wengi.
7 Dilia da gegesu amola gegesu fada: i sia: bagohame nabimu. Be mae beda: ma! Amo hou da doaga: mu, be soge wadela: mu eso da asa.
Msikiapo habari za vita na uvumi wa vita, msiwe na hofu. Mambo haya hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.
8 Dunu fi da heda: le, dunu fi enoma bagadewane gegenanumu. Soge eno amola soge eno da ha: bagade ba: mu. Bebeda: nima bagohame amola ba: mu. Goe da osobo bagade se nabasu hou ea muni hamosu agoane ba: mu. Uda da mano lalelegemu gadenesea, fedege agoane, amo se nabasu defele da ba: mu.
Taifa litainuka dhidi ya taifa na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na mitetemeko sehemu mbalimbali na njaa. Haya yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
9 Be dilia dawa: ma! Eno dunu da dili fofada: musa: , afugili oule masunu. Ilia da sinagoge diasu ganodini dili famu. Be dilia da Gode Ea Sia: Ida: iwane ilima olelemusa: , ouligisu dunu amola hina bagade dunu ilima fofada: musa: doaga: mu.
“Lakini ninyi jihadharini. Kwa maana watawapeleka katika mabaraza yao na kupigwa mijeledi katika masinagogi. Mtashtakiwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushuhuda kwao.
10 Be hidadea, soge wadela: mu eso mae doaga: le, Na fi dunu da olelebeba: le, dunu fifi asi gala huludafa da Gode Ea Sia: Ida: iwane nabimu.
Nayo habari njema lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote kabla ule mwisho haujawadia.
11 Be ilia da dili afugili, fofada: musa: gagulaligisia, dilia fofada: su dunuma sia: muba: le, mae da: i dioma. Amo esoga, dilia dogo ganodini sia: musa: dawa: sea, sia: ma. Be dilia lafidili sia: sea, amo sia: da dilia sia: hame be Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amo Hi fawane da dilia lafidili sia: mu.
Mtakapokamatwa na kushtakiwa, msisumbuke awali kuhusu mtakalosema. Semeni tu lolote mtakalopewa wakati huo, kwa kuwa si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho Mtakatifu.
12 Dunu mogili da ilia olalali hohonone, ouligisu dunu medole legema: ne ilima imunu. Eda da ea mano bogoma: ne, hohonone, ouligisu dunuma imunu. Mano ilia wa: legadole, ilia eda amola ame medole legema: ne, hohonone, ouligisu dunuma imunu.
“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, naye baba atamsaliti mtoto wake. Watoto nao wataasi dhidi ya wazazi wao na kusababisha wauawe.
13 Dilia da Na hou lalegaguiba: le, dunu huluane da dili higamu. Be nowa da mae yolele, soge wadela: mu eso amoga doaga: sea, e da Gode Ea gaga: su hou ba: mu.
Watu wote watawachukia kwa ajili ya Jina langu. Lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
14 Be Wadela: i Bagade liligi, amo sema sogebi ganodini lelebe ba: sea (Idisu dunu! Dilia noga: le dawa: ma!), Yudia soge dunu ilia goumiga doaga: musa: hobeama: ma!
“Mtakapoona ‘chukizo la uharibifu’ limesimama mahali pasipolipasa (asomaye na afahamu), basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
15 Nowa dunu da diasu da: iya gadodili dabuagado esalea, e da ea diasu ganodini ea liligi lamusa: maedafa masa: ma.
Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke au kuingia ndani ili kuchukua chochote.
16 Nowa dunu da odagiaba esalea, ea diasuga abula lala bu sinidigili maedafa masa: ma.
Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
17 Amo eso ganodini, uda da abula agui galea, amola uda ilia mano dodo nanebe, ilia da se bagade nabimu.
Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!
18 Dilia hobeale masunu eso da anegagi esoga mae ba: ma: ne, Godema sia: ne gadoma.
Ombeni mambo haya yasitokee wakati wa baridi.
19 Amo eso ganodini se nabasu bagadedafa ba: mu. Gode osobo bagade hahamone, fa: no se nabasu eno huluane, amo eso da baligimu. Amola gowane eso da bu hame ba: mu.
Kwa maana siku hizo zitakuwa za dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo, hapo Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka leo, na wala haitakuwako tena kamwe.
20 Be Gode da amo se nabasu eso hame hedofamu ganiaba, dunu huluane da bogogia: la: loba. Be Gode Ea ilegei dunuma asigiba: le, E da amo eso hedofamu.
Kama Bwana asingelifupisha siku hizo, kamwe asingeliokoka mtu yeyote. Lakini kwa ajili ya wateule, wale aliowachagua, amezifupisha siku hizo.
21 Amo esoga, eno dunu da dilima amane sia: mu, `Ba: ma! Gelesu da goea’ o `E da goegawi esala!’ Amo sia: mae nabima.
Wakati huo mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama, Kristohuyu hapa!’ au, ‘Tazama, yuko kule,’ msisadiki.
22 Ogogosu Mesaia dunu amola ogogosu balofede dunu da heda: le, gasa bagade musa: hame ba: su hou hamomu. Amaiba: le, Gode Ea ilegei dunu da amo wadela: i dunuma gadenenewane fa: no bobogemusa: dawa: mu.
Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watafanya ishara na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale wateule.
23 Be dilia sosodo aligima! Bai Na da wali amo hou mae doaga: iwane dilima fa: no misunu hou huluane olelei dagoi.
Hivyo jihadharini. Nimekwisha kuwaambia mambo haya yote mapema kabla hayajatukia.
24 Amo esoga, se nabasu eso fa: no agoane, eso ea hadigi da afadenene bu gasi agoane ba: mu. Oubi amola da hame hadigimu.
“Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, “‘jua litatiwa giza nao mwezi hautatoa nuru yake;
25 Gasumuni huluane da muga sa: ili, mu ganodini liligi huluane da bagadewane ugugumu.
nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
26 Amasea, osobo bagade dunu huludafa da Dunu Egefe hadigi amola gasa bagade hamoi, mumobi ganodini manebe ba: mu.
“Ndipo watu wote watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na utukufu.
27 Amasea, E da Ea a: igele dunu ili asunasili ga (north), ga (south), guma: goe amola gusugoe osobo bagade ea dibiga eno dibiga amoga hogole ba: loba, ilia da Gode Ea ilegei dunu huluane lidimu.
Naye atawatuma malaika wake wawakusanye wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka miisho ya dunia hadi miisho ya mbingu.
28 Figi ifa fedege olelesu sia: dawa: ma. Maga: me heda: le, lubi lasea, esoi bagade da gadenesa galebe dilia dawa:
“Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: Matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
29 Amaiba: le, dilia da Na olelei liligi ba: sea, ilegei eso da gadenesa galebe dawa: ma. E da logo holeiga doaga: i dagoi, amo dawa: ma.
Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba wakati u karibu, hata malangoni.
30 Na dilima dafawane sia: sa! Waha esalebe dunu mogili da mae bogole, amo hou huluane ba: mu.
Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
31 Muagado amola osobo bagade da mugululi, hamedafa ba: mu. Be na sia: da mae mugululi, dialalalumu.
Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
32 Be dunu huluane da Na bu misunu ilegei eso hame dawa: A:igele dunu amola Na da hame dawa: Ada Gode Hi fawane dawa:
“Kwa habari ya siku ile na saa hakuna yeyote ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
33 Be sosodo aligima amola ha: esaloma! Bai eso ilegei dilia hame dawa: beba: le!
Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
34 Amo misunu liligi da dunu e badilia ga sogega masunu agoane. Ea diasu yolesimuba: le, e da ea hawa: hamosu dunuma ea diasu noga: le ouligima: ne amola ea hawa: hamoma: ne sia: sa. Diasu logo ouligisu dunuma, logo noga: le ouligima: ne e da sia: sa.
Ni kama mtu anayesafiri. Anaiacha nyumba yake na kuwaachia watumishi wake kuiangalia, kila mtu na kazi yake, kisha akamwamuru yule bawabu aliye mlangoni akeshe.
35 Amaiba: le dilia dawa: ma: i! Diasu hina ea bu misunu ilegei olelei amo dilia hame dawa: Amabela: ? Daeya, gasimogoa, gagala ga: be galu, hahabe o habogala doaga: ma: bela: ?
“Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko.
36 E doaga: le, dilia golai dialebe ba: sa: besa: le, dawa: ma: i!
Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.
37 Na dilima sia: i, amowane na da osobo bagade dunu huluanema sia: sa. Sosodo aligima!”
Lile ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: ‘Kesheni!’”

< Maga 13 >