< Maga 12 >

1 Yesu da fedege sia: ilima amane olelei, “Dunu afae da waini sagai bugili, noga: le gagole, waini fage dabasu diasu hamomusa: , uli dogoi. Amo bugi noga: le sosodo aligima: ne, e da diasu sedade gagagula heda: i. E da eno ouligisu dunu ilima waini bugi ouligima: ne sia: nanu, soge badilia asi.
Yesu akaanza kusema nao kwa mifano, akawaambia: “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akachimba shimo ndani yake kwa ajili ya shinikizo la kusindika divai, na akajenga mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha shamba hilo la mizabibu kwa wakulima fulani, kisha akasafiri kwenda nchi nyingine.
2 Waini faimu eso da doaga: beba: le, e da amo ouligisu dunuma ea dabe lamusa: , ea hawa: hamosu dunu asunasi.
Wakati wa mavuno ulipofika, mwenye shamba akamtuma mtumishi wake kwa hao wapangaji ili kuchukua sehemu yake ya mavuno ya shamba la mizabibu kutoka kwa hao wapangaji.
3 Be hawa: hamosu dunu bidi lala asi doaga: beba: le, ouligisu dunu ilia da e gasawane gaguli, fegasuga fane, dabe mae iawane se fasi.
Lakini wale wakulima walimkamata yule mtumishi, wakampiga, wakamfukuza mikono mitupu.
4 E da eno hawa: hamosu dunu ilima asunasi. Be ilia da amo dunu ea dialuma fane, ema wadela: le hamoi.
Kisha yule mwenye shamba akamtuma mtumishi mwingine kwao; nao wale wakulima wakampiga kichwani na kumfanyia mambo ya aibu.
5 E da eno dunu asunasi. Be ilia da amo dunu medole legei. E da eno bagohame asunasiba: le, mogili ilia fai, mogili ilia medole legei dagoi.
Kisha akamtuma mtumishi mwingine, naye huyo wakamuua. Akawatuma wengine wengi; baadhi yao wakawapiga, na wengine wakawaua.
6 Be dunu afadafa esalu. Amo da ea dogolegei manodafa. Amalalu, e da ea dogolegei dunu mano asunasi. E da agoane dawa: i, “Ilia da na manodafa hahawane ba: mu!”
“Mwenye shamba alikuwa bado na mmoja wa kumtuma, mwanawe aliyempenda. Hatimaye akamtuma akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’
7 Be waini sagai ouligisu dunu ilia da amane sia: dasu, “Hina ea mano manebe goea! E da hobea soge huluane lamu. Amaiba: le, amo dunu ninia medole legele, ea nana huluane ninia fawane lamu.”
“Lakini wale wapangaji wakasemezana pamoja, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, nao urithi utakuwa wetu.’
8 Amalalu, ilia da hina ea mano gaguli, medole legele, waini sagai amo gadili ha: digi.
Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
9 Amaiba: le, waini sagai hina da adi hamoma: bela: ? E da misini, wadela: i ouligisu dunu medole legele, ea waini sagai ouligisu hou eno dunuma imunu.
“Sasa basi yule mwenye shamba atafanya nini? Atakuja na kuwaua hao wapangaji, kisha atawapa wapangaji wengine hilo shamba la mizabibu.
10 Dilia Gode Sia: Dedei idibala: ? Na agoane dawa: Dilia da idi dagoi. Amo sia: , `Diasu gagusu dunu da igi afae higa: iba: le yolesi. Be wali amo igi da mimogo hamoiba: le, igi eno huluane baligisa.
Je, hamjasoma Andiko hili: “‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni;
11 Gode da amo hou hamoiba: le, ninia fofogadigili nodone ba: sa,’”
Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni ajabu machoni petu’?”
12 Yu ouligisu dunu da Yesu afugili gagulaligimusa: dawa: i galu. Bai amo fedege sia: da ilia hou olelei, amo ilia da dawa: i galu. Be ilia da eno dunu gilisi ilima beda: iba: le, yolesili asi.
Walipotambua kuwa amesema mfano huo kwa ajili yao, wakataka kumkamata, lakini wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha, wakaondoka, wakaenda zao.
13 Ilia da Yesuma sia: ga sani agoane hamomusa: , Fa: lisi dunu amola Helode ea fidisu dunu amo Yesuma asunasi.
Baadaye wakawatuma baadhi ya Mafarisayo na Maherode ili kwenda kumtega Yesu katika yale anayosema.
14 Amo da Ema doaga: le, amane sia: i, “Olelesu! Dia hou da moloidafa ninia dawa: Di da osobo bagade dunu mae dawa: le, Gode Ea hou fawane olelesa. Ninima adoma! Su lidisu muni amo Gamane Hina Sisa ema iabe da ninia Sema wadela: sala: ? Amo imunu da defea o defea hamela: ?”
Wakamjia, wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwadilifu. Wewe huyumbishwi na wanadamu, kwa kuwa huna upendeleo. Lakini wewe huifundisha njia ya Mungu katika kweli. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?
15 Be Yesu da ilia ogogosu hou dawa: beba: le, ilima amane sia: i, “Dilia abuliba: le Na saniga sa: ima: ne, Na hou ado ba: sala: ? Dilia silifa muni fage Na ba: ma: ne olema!”
Je, tulipe kodi au tusilipe?” Lakini Yesu alijua unafiki wao. Akawauliza “Mbona mnajaribu kunitega? Nileteeni hiyo dinariniione.”
16 Ilia da muni fage afae gaguli misi. Yesu da ilima amane adole ba: i, “Amoga dedei da nowa ea odagi amola nowa ea dio dedebela: ?” Ilia bu adole i, “Sisa!”
Wakamletea hiyo sarafu. Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?” Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.”
17 Amalalu, Yesu E amane sia: i, “Defea! Dilia Sisa ema imunu liligi hima ima! Be dilia Godema imunu liligi Hima ima!” Ilia da Eba: le bagadewane fofogadigi.
Ndipo Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho cha Mungu.” Nao wakamstaajabia sana.
18 Sa: diusi dunu fi da agoane dawa: sa. Osobo bagade dunu da bogosea, ilia da bu hame wa: legadosa. Sa: diusi dunu mogili da Yesuma doaga: le, Ema amane adole ba: i,
Kisha Masadukayo, wale wasemao kuwa hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Yesu,
19 “Olelesu! Mousese da ninima hamoma: ne sia: amane dedei, ‘Dunu da mano hame lalelegeiwane bogosea, ea ola eya da ea didalo lale, amo ea mano lalelegesea da musa: bogoi amo buga: i ilia sia: sa.
wakasema, “Mwalimu, Mose alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.
20 Eso afaega, dunu da dunu mano fesuale galu. Magobo mano da uda lale, be mano mae lalelegeiwane bogoi.
Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa pasipo kuwa na mtoto yeyote.
21 Amalalu, magobo mano bogoi amo ea eya da ea didalo hi lai. E amola mano mae lale bogoi. Eno eya amola da ea didalo lale, e amola agoane bogoi.
Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.
22 Amalalu, fesuale huluane agoane hamoi. Uda da dunu fesuale amoga lai dagoi, be mano hame lalelegei. Fa: no, amo uda amola da bogoi.
Hakuna hata mmojawapo wa hao ndugu wote saba aliyeacha mtoto. Hatimaye yule mwanamke naye akafa.
23 Osobo bagade bogoi dunu huluane da Bogoi Wa: lesisu Eso amoga uhini wa: legadosea, amo uda da dunu fesuale amoga lai dagoiba: le, e da nowa dunu ea uda esaloma: bela: ?”
Kwa hiyo wakati wa ufufuo, yeye atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”
24 Yesu E bu adole i, “Dilia da Gode Sia: Dedei amola Gode Ea Gasadafa Hou hame dawa: beba: le, giadofale dawa: !
Yesu akawajibu, “Je, hampotoki kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu?
25 Be Bogoi Wa: lesisu Eso amoga, dunu da uda hame lamu amola uda da gawa hame fimu. Dunu amola uda huluane da gilisili Hebene a: igele fi amo defele ba: mu.
Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
26 Be dilia bogoi uhini wa: legadosu hou dawa: musa: , Mousese ea sia: dedei dawa: ma. Mousese da ifa nei amo hame susai ba: loba, Gode da ema amane sia: i, “Na da A: ibalaha: me ea Gode esala amola Aisage ea Gode esala amola Ya: igobe ea Gode esala!”
Basi kuhusu wafu kufufuliwa, je hamjasoma katika Kitabu cha Mose jinsi Mungu alivyosema na Mose kutoka kile kichaka akisema, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo?’
27 Gode da ilia Gode esala Hi da sia: beba: le, ilia da hame bogoi esala amo ninia dawa: Gode da bogoi dunu ilia Gode hame be esalebe dunu ilia Gode! Dilia da dafawane giadofale dawa: sa!”
Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.”
28 Sema olelesu dunu afae da amogawi esalu. E da amo sia: dasu nabi dagoi. E da Yesu da Sa: diusi dunuma noga: le adole iabe ba: i dagoi. Amaiba: le, e da Yesuma amane adole ba: i, “Hamoma: ne Sia: i baligili bagadedafa da habola: ?”
Mwalimu mmoja wa sheria akaja, akawasikia wakijadiliana. Akiona kwamba Yesu amewajibu vyema, naye akamuuliza, “Katika amri zote, ni ipi iliyo kuu?”
29 Yesu E bu adole i, “Bisili Hamoma: ne sia: i da amo, ‘Isala: ili fi nabima! Hina Gode da ninia Gode afadafa fawane.
Yesu akajibu, “Amri iliyo kuu ndiyo hii: ‘Sikia ee Israeli. Bwana Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja.
30 Dilia dogoga, dilia a: silibuga, dilia asigi dawa: suga amola dilia gasaga, Godema asigima!’
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.’
31 Amo bagia, Hamoma: ne Sia: i bagade da amane diala, ‘Dilia da: i hodo amoma asigi hou defele, dilia na: iyadoma asigima.’ Amo Hamoma: ne Sia: i aduna da baligi bagadedafa. Eno Hamoma: ne Sia: i da amo aduna hame baligisa.”
Ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
32 Sema olelesu dunu da Yesuma bu adole i, “Defea Olelesu! Di da noga: le sia: i! Gode da afae fawane eno hame. Di da dafawane sia: i.
Yule mwalimu wa sheria akamwambia Yesu, “Mwalimu, umejibu vyema kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ila yeye.
33 Amola ninia dogoga, ninia asigi dawa: suga amola ninia gasaga Godema asigimu da defea. Amola ninia asigi hou ninia da: i hodo amoma asigi hou defele, ninia na: iyadoma asigimu da defea. Amo hou da Godema ohe fi medole legele, gobele salasu hou huluane bagadewane baligisa.”
Kumpenda Mungu kwa moyo wote na kwa akili zote na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama mtu anavyojipenda mwenyewe ni bora zaidi kuliko kutoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu zote.”
34 Amo Sema olelesu dunu da dawa: iwane adole iabe, amola Yesu da amo ba: beba: le, Yesu da ema amane sia: i, “Di da Gode Ea Hinadafa Hou gadenene lela.” Amo fa: no, eno dunu da beda: iba: le, Yesuma bu hame adole ba: i.
Yesu alipoona kwamba amejibu kwa busara, akamwambia, “Wewe hauko mbali na Ufalme wa Mungu.” Tangu wakati huo, hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumuuliza maswali tena.
35 Yesu da Debolo Diasu ganodini olelelaloba, E amane adole ba: i, “Sema olelesu dunu da abuliba: le Mesaia da Da: ibidi ea aowa fawane olelesala: ?
Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, akauliza, “Imekuwaje walimu wa sheria wanasema kwamba Kristoni Mwana wa Daudi?
36 Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala olelebeba: le, Da: ibidi hi da amane sia: i, ‘Hina Gode da na Hina Gode Ema amane sia: i, ‘Na lobodafadili fima. Dia emoga osa: le heda: ma: ne, Na da dia ha lai dunu hasalasimu.’
Kwa maana Daudi mwenyewe, akinena kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu, alisema: “‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”’
37 Da: ibidi hi da Mesaiama Hina Gode Dio asuli. Amaiba: le, E da Da: ibidi ea aowa fawane hame!” Dunu huluane da amo sia: hahawane nabi.
Kwa hiyo Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana.’ Awezaje basi yeye kuwa mwanawe?” Ule umati wote wa watu wakamsikiliza kwa furaha.
38 Dunu bagohame ilima olelelaloba, Yesu E amane sia: i, “Dilia Sema olelesu dunu ilia hou dawa: ma! Ilia da abula sedadedafa salawane, bidiga lama: ne diasuga ahoa. Ilia da dunu eno ilima nodone begudumu hanai gala.
Alipokuwa akifundisha, Yesu alisema, “Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
39 Ilia da sinagoge diasu ganodini, fisu ida: iwane hedolo lasa. Ilia da lolo nasu amoga ahoasea, fisu noga: i amoga hedolo fisa.
Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu.
40 Ilia da didalo ea labe hedolo wamolasa. Ilia da ogogolewane, sedadewane sia: ne gadosu hiougisa. Ilia se iasu da bagadewane baligimu.”
Wao hula nyumba za wajane, na ili waonekane kuwa wema wanasali sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu iliyo kuu sana.”
41 Yesu da Debolo Diasu muni salasu gadenenewane lelu. E da dunu bagohame muni amoga salalebe ba: i. Bagade gagui dunu bagohame da muni bagade sali.
Kisha Yesu akaketi mkabala na sehemu ambapo sadaka zilikuwa zinawekwa na kuangalia umati wa watu wakiweka fedha zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa cha fedha.
42 Amalalu, hame gagui didalo afae da misini, muni fage fonobahadi aduna, 2 doea agoane muni salasu ganodini sali.
Lakini mjane mmoja maskini akaja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye thamani ya senti mbili.
43 Amo hou ba: beba: le, Yesu da Ea ado ba: su dunuma misa: ne sia: i. E da ilima amane sia: i, “Amo hame gagui didalo ea iasu da eno dunu huluane ilia iasu amo baligi dagoi.
Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka katika sanduku la hazina zaidi ya watu wengine wote.
44 Ilia da bagade gaguiba: le, ilia hame hanai liligi la: idi fawane iasu. Be amo didalo da hame gagui, be e da ea labe huluanedafa i.”
Wengine wote wametoa kutokana na ziada ya mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake, akaweka kila kitu alichokuwa nacho, hata kile alichohitaji ili kuishi.”

< Maga 12 >