< Yosiua 21 >

1 Lifai fi ouligisu dunu da gobele salasu dunu Elia: isa, Yosiua (Nane egefe) amola Isala: ili dunu fi huluane ilia ouligisu dunu ilima misi.
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 Amogawi, Siailou sogebi amo Ga: ina: ne soge ganodini, ilia da ilima amane sia: i, “Hina Gode da Mousesema ninia da moilai bai bagade amo ganodini esaloma: ne amola amo sisiga: le ninia ohe fi soge amola ninima ima: ne sia: i.”
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 Amaiba: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amo defele, Isala: ili dunu da Lifai dunuma moilai bai bagade amola sogebi ilia soge amo ganodini mogili, ilegele, ilima i.
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 Ilia degabo amo Lifai fi afae amo Gouha: de fi ilima moilale i. Gobele salasu dunu Elane egaga fi ilima ilia da moilai bai bagade galoyale amo Yuda, Simione amola Bediamini ilia soge amo ganodini i.
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 Gouha: de fi enoma ilia da moilai bai bagade nabuane gala Ifala: ime, Da: ne amola Eso Dabe la: idi Ma: na: se ilia soge ganodini galu i.
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 Ilia da moilai bai bagade galoyale amo Isaga, A:sie, Na: fadalai amola Eso Mabadi la: idi Ma: na: se fi ilia soge ganodini galu, amo Gesione fi ilima i.
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 Ilia da moilai bai bagade fagoyale amo Liubene, Ga: de amola Sebiulane ilia soge ganodini galu, amo Milalai fi ilima i.
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 Isala: ili dunu da ululuale ilegele, amo moilai amola sisiga: le dialu ohe fi soge, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele Lifai fi dunuma i.
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 Ilegesu age. Moilai bai bagade amo da Yuda soge amola Simione soge amo ganodini dialu, ilia da Elane egaga fi afae amo Gouha: de dunu (ilia da Lifai egaga fi) moilai bai bagade dio da hagudu dedei.
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 Ilia da Aba (Aba da A: nege eda) amo moilai bai bagade ea dio wali da Hibalone, Yuda agolo soge ganodini gala, amo amola ohe fi soge amo sisiga: le dialu lai dagoi.
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 Be amo moilai bai bagade ea soge amola ea moilai fonobahadi huluane da Yefane ea mano Ga: ilebe ema ia dagoi ba: i.
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 Gobele salasu dunu Elane egaga fi da Hibalone (Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afae) amo lale amola eno moilale bai bagade lai amo Libina,
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 Ya: de, Esedimou,
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 Houlone, Dibe,
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 Aini, Yada amola Bedesimese amola ilima sisiga: le dialu ohe fi soge lai. Ilia da Yuda amola Simione fi ilima moilai bai bagade sesegeyale lai dagoi.
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 Bediamini soge amoga ilia da moilai bai bagade biyaduyale lai amo Gibione, Giba,
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 A: nadode amola A: lamone amola amo moilai bai bagade sisiga: le dialu ohe fi sogebi.
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 Huluane da galoyale moilai bai bagade amola ilima sisiga: le dialu ohe fi sogebi. Gobele salasu dunu, Elane egaga fi da amo moilai bai bagade lai dagoi.
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 Eno Lifai sosogo fi Gouha: de fi amo ganodini esalu, ilia da Ifala: ime fi ilima moilale bai bagade lai.
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 Ilia da moilai bai bagade biyaduyale lai. Amo da Siegeme amola ea ohe fi sogebi, (Siegeme da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai Ifala: ime agolo soge ganodini galu), Gisa,
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 Gibasa: ime amola Bede Houlone amola amo moilai ilia sisiga: le dialu ohe fi sogebi.
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 Ilia da Da: ne ea soge amoma moilai bai bagade biyaduyale lai. Amo da Eledige, Gibidone,
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 A: iyalone amola Ga: idelimane amola ilima sisiga: le dialu ohe fi sogebi amo lai.
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 Ilia da Eso Dabe Mana: se fi ilima moilai bai bagade aduna lai amo Da: iana: ge amola Ga: idelima: ne amola amoma sisiga: le dialu ohe fi sogebi.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 Amo sosogo fi Gouha: de fi amo ganodini esalu da moilai bai bagade nabuane gala huluane amola amo moilai bai bagade ilia ohe fi sogebi lai.
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 Lifai gilisisu eno amo Gesione dunu da Eso Mabadi Ma: na: se fi ilima moilai bai bagade aduna lai. Amo da Goula: ne (Ba: isa: ne soge ganodini, Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afadafa) amola Bisidila amola ela sisiga: le dialebe ohe fi sogebi.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 Ilia da Isaga fi ilima moilai bai bagade biyaduyale amola ilima sisiga: i ohe fi sogebi lai. Amo da Gisione, Da: bela: de,
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 Yamade amola Enega: nimi.
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 Ilia da A: sie fi ilima moilai bai bagade biyaduyale amola ilima sisiga: le dialu ohe fi sogebi lai. Amo da Maisa: le, A:badone,
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 Helegade amola Lihoube.
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 Ilia da Na: fadalai fi soge ilima moilai bai bagade udiana amola ilia ohe fi sogebi lai. Amo da Ga: lili soge ganodini Gedese (Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afae), Ha: modedo amola Gada: ne.
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 Gesione fi ilia fi huluane da moilai bai bagade galoyale gala amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi lai dagoi.
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 Lifai fi eno da Milalai fi. Ilia da Sebiulane soge amoga moilai bai bagade amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi biyaduyale lai dagoi. Amo da Yogenia: me, Gada,
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 Dimina amola Na: ihala: le.
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
36 Ilia da Liubene fi soge amoga moilai bai bagade biyaduyale amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi lai. Amo da Bisa, Ya: iha: se,
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
37 Gedimode amola Mefa: ide.
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 Ilia da Ga: de fi soge amoga moilai bai bagade biyaduyale amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi lai. Amo da La: imode, Ma: ihana: imi,
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
39 Hesiabone amola Ya: isa.
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 Milalai fi ilima iasu huluane da moilai bai bagade nabuane ilegele i dagoi.
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 Soge amo Isala: ili dunu da lai amoga ilia da fifili, mogili Lifai dunuma i. Ilia da moilai bai bagade amola gebo fi ha: i nasu sogebi amo moilai sisiga: le dialu amo 48agoane Lifai dunuma i dagoi.
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 Amaiba: le, Hina Gode da soge huluane amo e da ilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo Isala: ili fi ilima i. Ilia soge huluane lale, moi dogole hahawane fi.
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 Hina Gode da ilia aowalali ilima ilegele sia: i defele, E da ilima olofosu amola helefisu i. Ilima ha lai afae da ilima hasalimu hamedei ba: i. Bai Hina Gode da ilima hasalasu hou i dagoi.
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 Hina Gode da Isala: ili dunuma Ea ilegele sia: i liligi amo huluane afae mae fisili, hahamoi dagoi.
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.

< Yosiua 21 >