< Aisaia 9 >

1 Ilia da amo bidi hamoi amoga hobeale masunu da hamedei ba: mu. Sebiula: ne fi dunu amola Na: badalai fi dunu da musa: gogosiasu fawane ba: i. Be fa: no eno dunu da amo soge fi dunu ilima nodone dawa: mu. Amo soge da Medidela: inia Wayabo Bagade amoga eso mabe la: ididili asili, soge amo Yodane eso mabe la: ididi diala doaga: sa. Amola amo soge ganodini da Ga: lili Hano wayabo soge (amo ganodini ga fi dunu esala)
Viza itaondolewa kwa yeyote ambaye yuko kwenye dhiki. Katika kipindi cha awali aliifedhehesha nchi ya Zebuluni na nchi ya Naftali, lakini kipindi cha baadae ataifanya itukuke, njia ya kuelekea baharini, mbele ya Yordani na mataifa ya Galilaya.
2 Dunu ilia da gasi ganodini ahoasu da hadigi bagade ba: i dagoi. Ilia da soge amo ganodini baba fawane galu. Be wali hadigi bagade da ilima diga: i dagoi.
Watu wanotembeakatika giza wameona wameona mwanga mkubwa; wale waishio katika nchi ya uvuli wa mauti, mwanga umewaka juu yao.
3 Hina Gode! Di da ilia fi bu bagade hamoi. Di da ilima hahawane bagade i. Dunu da gagoma faisia, o dunu enoma hasanasiba: le, ilia liligi laha, ilia da hahawane ba: sa, amo defele, Dia hamobeba: le, ilia da hahawane bagade gala.
Umeliongeza taifa; umeongeza furaha yao. Wamefurahia mbele yako kama furaha ya kipindi cha mavuno, kama watu wanavyofurahi kugawanya nyara.
4 Dia da musa: Midia: ne dadi gagui dunu ili hasali. Amo defele, di da Isala: ili dunu ilia da: i dioi bagade ‘youge’ fi dagoi, amola galiamo amo da ilia gida da: iya fasu, amo Di da wadela: lesi. Fi amo da Dia fi ilima se bagade iasu, amo Di da hasali dagoi.
Maana nira ya mzigo wake, boriti katika mabega yake, fimbo ya mkandamizaji, umesambaratisha ndoto kama siku ya Midiamu.
5 Ganodini golili doaga: la: su dadi gagui dunu ilia emo salasu amola ilia abula amo da maga: mega ledo hamoi, huluane da laluga nei dagoi ba: mu.
Kila buti likanyagalo gasia na vazi limekwisha kwenye damu itachomwa, mafuta kwa moto.
6 Bai ninima da Mano lalelegei. Gode da ninima Dunu Mano i dagoi. E da ninima ouligisu esalumu. Ema da dio agoane asuli ba: mu, amo, “Noga: idafa Fada: i Sia: su, Gode Bagadedafa, Fifi Ahoanusu Ada, Olofosu Ouligisu Bagade.”
Kwetu mtoto amezaliwa, kwetu mtoto ametoka; na mtawala atakuwa kwenye mabega yake; na jina lake ataitwa mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa Amani.
7 Ea ouligisu hou da mae dagole, asigilalumu. Amola Ea Hinadafa Hou amo ganodini, olofosu fawane ba: mu. E da Hina bagade Da: ibidi ea ouligisu hou lamu. Ea ouligisu hou da moloidafa amola moloidafa fofada: su hou ba: mu, amola E da mae fisili, eso huluane ouligilalumu. Hina Gode Bagadedafa da amo hou huluane hamone dagomu.
Enzi yake na amani yake haitakuwa na mwisho, maana anatawala katika kiti cha enzi cha Daudi, na juu ya ufalme wake, ataanzisha hukumu ya haki, tangu sasa na hata milele. Bidii ya Yahwenwa majeshi itafanya haya.
8 Hina Gode da Isala: ili Fi (Ya: igobe egaga fi) ilima fofada: ne se ima: ne sia: i dagoi.
Bwana alituma neno juu ya Yakobo, na ikaanguka juu ya Israeli,
9 Hina Gode da amo hou hamoi dagoi, amo Isala: ili fi dunu huluane amola dunu huluane Samelia moilai bai bagade amo ganodini esala da dawa: mu. Wali ilia da gasa fili agoane,
Watu wote watajua, Hata Samaria na wakazi wote wa Samaria, wanaongea kwa kiburi na moyo wenye kiburi,
10 amane sia: sa, “Osoboga hamoi ga: i (brick) diasu huluane da mugululi dagoi, be ninia da bu igiga hamoi diasu gagumu. Figi ifa huluane da abi dagoi, be ninia da bu dolo ifa bugimu.”
Matofali yameanguka, lakini tutajenga tena kwa jiwe la patasi; mkuyu umekatwa chini, lakini tutaotesha mierezi katika eneo lao.
11 Hina Gode da Isala: ili dunu ilia ha lai ilima doagala: musa: , dogo denesi.
Hivyo basi Yahwe atamwinua juu yao Rezini, adui zake, atawakoroga adui zake,
12 Ilima eso mabe la: idi Silia amola eso dabe la: idi Filisidia da Isala: ili moma: ne, ela lafi dagalesi dagoi. Be Hina Gode Ea ougi da hame dagoi. E da ilima se ima: ne, Ea lobo ililua: le lela.
Waaramea upande wa mashariki, na wafilisti upande wa magharibi. Nao watamla Israeli kwa mdomo uliowazi. katika mambo yote haya hasira yake haijapungua; badala yake ameunyosha mkono wake nje.
13 Isala: ili fi dunu da hame gogosiane, Godema hame sinidigi. Hina Gode Bagadedafa da ilima se i dagoi, be ilia da Ema hame sinidigi.
Lakini hawatageuka kwa yule anayewapiga wao, wala kumtafuta Yahwe wa majeshi.
14 Hina Gode da eso afadafa fawane amo ganodini Isala: ili dunu amola ilia ouligisu dunu ilima se bidi imunu. E da ili hedofamu. Dialuma amola la: go, huluane E da hedofamu.
Hivyo basi yao atakata kichwa nakiwiwili cha Israeli, kuti na nyasi, katika siku moja.
15 Asigilai dunu amola dunu ilima eno dunu da nodosa, amo da Isala: ili ea dialuma. Amola ogogosu ba: la: lusu dunu amo da ilima ogogole olelesa, amo da la: go.
Viongozi na watu wenye vyeo na manabii wanaofundisha kuwa uongo ni mkia.
16 Isala: ili dunu ilia bisisu dunu da ilima ogogoiba: le, ilia da adi dafawaneyale dawa: ma: bela: le dawa: lala.
Wale wanaowaongoza watu hawa wanawaongoza vibaya, na wale wanaongozwa wameangamia.
17 Amaiba: le, Hina Gode da ayeligi dunu ilima hobeale logo hame olelemu. E da didalo amola guluba: mano ilima hame asigimu. Bai dunu huluane da Gode Ea hou yolesi dagoi. Ilia hou da wadela: i fawane ba: sa amola ilia sia: huluanedafa da wadela: i fawane. Be Hina Gode da amo se ianu, Ea ougi da hame dagoi ba: mu. E da se eno ima: ne, Ea lobo ililua: le lela.
Hivyo basi Bwana atafurahia juu ya vijana wadogo wala hatakuwa na huruma kwa yatima na wajane, maana kila mmoja hana Mungu na ni watenda dhambi, na kila mdomo unazungumza matendo mabaya. Mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake umenyooka hata sasa.
18 Dunu huluane ilia wadela: i hou da lalu amo da aya: gaga: nomei amola gagalobo ulagilala defele gia: i bagade ba: sa. Ilia wadela: i hou da lalu amo da iwila ulagisia, mobi mogomogoi heda: sa, amo defele gia: i bagade ba: sa.
Matendo mabaya yataungua kama moto, moto hulao mbigili na miiba; itachoma hata vichaka vya mwitu, na safu ya moshi mkubwa upaa.
19 Amola Hina Gode Bagadedafa da ougi bagadeba: le, Ea ougi da Isala: ili soge ganodini lalu agoane, dunu wadela: ma: ne nenana. Amola dunu da ea sama fane legesa.
Japo hasira ya Yahwe wa majeshi imeunguza, na watu ni kama mafuta kwenye moto. Hakuna mtu aliyemuacha ndugu yake.
20 Isala: ili soge ganodini, dunu huluane da ha: i bagadeba: le, ha: i manu lama: ne logo hogosa, be ilia da hamedafa sadisa. Ilia da ilia manodafa amo gobele naha.
Watanyakuwa chakula katika mkono kulia lakini bado watasikia njaa; watakula chakula kwa mkono wa kushoto lakini hawataridhika. Kila mmoja atakula nyama ya mkono wake mwenyewe.
21 Mana: se fi dunu da Ifala: ime fi dunu ilima doagala: sa amola Ifala: ime dunu da ilima bu doagala: sa. Amola ela gilisili Yuda dunuma doagala: sa. Be Hina Gode Ea ougi da hame gumi ba: sa. E da ilima se ima: ne, Ea lobo ililua: le lela.
Manase; kwa pamoja watavamia Yuda. Mambo yote haya, hasira yake haitapungua; badala yake, amenyoosha mkono wake hata sasa.

< Aisaia 9 >