< Aisaia 10 >

1 Dilia da se iasu bagade ba: mu! Dilia da Na fi dunu se nabima: ne, sema moloihame hamonana.
Ole wao watimizao sheria zisizo za haki na waandikao sheria zisizo na haki.
2 Amoga, hame gagui dunu ilia hou moloidafa hame ba: sa. Amo sema moloihame hamobeba: le, dilia da didalo amola guluba: mano ilia soge amola liligi wamolaha.
Wanawanyima wahitaji haki yao, wanawaibia watu wangu walio masikini haki zao, wajane mateka wao, na kuwafanya waliofiwa na baba zao mawindo yao!
3 Gode da dilima se iasea, dilia da adi hamoma: bela: ? Gode da dili wadela: musa: , sedaga esala ga fi oule masea, dilia da adi hamoma: bela: ? Dilia da eno dunu dili fidima: ne, habidili hobeama: bela: ? Dilia muni amola noga: i liligi, habodili wamolegema: bela: ?
Hutafanya nini siku ya hukumu pale siku ya uaribifu itakapokuja kutoka mbali, utakimbilia msaada kwa nani? na utauacha utajiri wako wapi?
4 Dilia da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: mu. Mogili, dilia da enoga afugili, se iasu diasuga hawa: hamoma: ne mugululi asi dagoi ba: mu. Be amo hamonanu, Hina Gode Ea ougi da hame gumi ba: mu. E da se eno ima: ne, Ea lobo ililua: le lelebe ba: mu.
Hakuna kitakachobaki, utaota miongoni mwa wafungwa au kuanguka miongoni mwa wauwaji. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake ameunjoosha hata sasa.
5 Hina Gode da amane sia: i, “Na da Asilia hina bagade amo dunu amoma Na da ougi gala ilima se ima: ne, Na da Asilia hina bagade ogoma agoane hamoi.
Ole kwa watu wa Asiria klabu ya asira yangu, fimbo ya asira yangu!
6 Na da Asilia dunu amo dunu fi da Na fisibiba: le amoma Na da ougi gala, ilima doagala: musa: asunasi. Ilia da amo dunu ilia liligi wamolale, amola ilima osobo agoane osa: gili, hasanasima: ne, Na da Asilia dunu amo asunasi dagoi.
Nimemtuma juu ya taifa lenye kiburi na juu ya watu waliobeba uwingi wa hasira. Ninaamuru chukua nyara, chukua mawindo, na kuwakanyaga wao kama matope mitaani.
7 Be Asilia hina bagade, e da hi nimi bagade hi hanai hou hamomusa: dawa: lala. E da dunu fifi asi gala bagohame wadela: musa: dawa: lala.
Lakini hichi sicho alichomaanisha, wala sivyo afikiriavyo. Maana katika moyo wake ni kuharibu na kuondoa mataifa.
8 E da gasa fili agoane sia: sa “Na dadi gagui ouligisu dunu afae afae huluane da hina bagade gala.
Maana amesema, '' wakuu wote sio wafalme?
9 Na da Ga: lanou, Gagimisi, Ha: ima: de, Aba: de, Samelia amola Dama: sagase, amo moilai bai bagade huluane hasali dagoi.
Je? kalno si kama Karkemish? Je Hamathi si kama Arpadi? Je Samaria si kama Demeski?
10 Na da fifi asi gala amo da loboga hamoi ‘gode’ ilima sia: ne gadosa, (ilia loboga hamoi liligi idi da Yelusaleme amola Samelia ilia ‘gode’ hamoi liligi idi baligisa) ilima se ima: ne, na da doagala: i.
Kama mikono yangu imeshinda falme za ibada ya sanamu, ikiwa sanamu zao za kuchonga ni bora kuliko sanamu za Yerusalemu
11 Na da Samelia dunu fi amola ilia loboga hamoi ‘gode’ amo wadela: lesi dagoi. Amola na da Yelusaleme amola, ilia loboga hamoi liligi amoma ilia sia: ne gadosa, amo defele gugunufinisimu.”
na Kama nilivyofanya kule Samaria na sanamu zake zisizo na maana, je sitaweza kufanya hivyo Yerusalemu na sanamu zake?''
12 Be Hina Gode da amane sia: sa, “Na da wali hamobe Saione Goumi amola Yelusaleme amo ganodini amo dagosea, Na da Asilia hina bagade ema se bidi imunu. Bai e da hidale gasa fi bagade hamosa.”
Pindi ambapo Bwana alipoimaliza kazi kwenye mlima Sayuni na juu ya Yerusalemu, nitayaadhibu maneno ya moyo wenye kiburi ya mfalme wa Asiria na majivuno yake.
13 Asilia hina bagade da hidale agoane sia: sa, “Na nisu agoane hamoi. Na da gasa bagade amola bagade dawa: su. Na da fifi asi gala ilia alalo legesu mugululi, ilia ha: i manu amola liligi legesu amo lai dagoi. Na da bulamagau gawali defele, dunu amogawi esalu amoga osa: gi dagoi.
Kwa maana amesema, ''Kwa nguvu zangu na kwa hekima yangu niliyoifanya. na Nimeelewa, na nimeondoa mipaka ya watu. nimewaibia akiba yao, ni kama nilioileta chini kwa wenyeji wake.
14 Osobo bagade fifi asi gala da sio bibi agoane ba: i. Na da sio ea oso labe defele, asabole fifi asi gala ilia liligi huluane lai dagoi. Na beda: ma: ne, ougia afae yagugui hame ba: i. Nama gua: ma: ne, misu afae da hame dagai.”
Na mkono wangu umezitoa mali za mataifa kama vile mtu ayakusanyavyo mayai, kama nilivyokusanya dunia yote. Hakuna atakayeperusha mabawa yake au kufungua midomo yake au kulia.''
15 Be Hina Gode da amane sia: sa, “Goahei da dunu amoga hawa: hamosa, amo ea hou baligisala: ? So hedofasu da dunu amoga hawa: hamosa, amo ea hou baligisala: ? Ogoma da dunu hame gaguia gadosa. Be dunu da ogoma gaguia gadosa.”
Je shoka lijisifu lenyewe juu ya mtu anayelitumia? Je litajisifia lenyewe zaidi ya yule anaelitumia kukatia? Au fimbo imuinuae yeye ambaye si mti.
16 Hina Gode Bagadedafa da dunu amo da wali sadi gala ilima se ima: ne, olo iasimu. Ilia da olo madelabeba: le, ilia da: i hodo ganodini, lalu mae ha: ba: done nenanumu.
Hivyo basi Yahwe wa majeshi atatuma wadhaifu miongoni mwa wasomi wa kijeshi; na chini ya utukufu na kuteketea kama kuteketea kwa moto.
17 Gode da Isala: ili fi ilima hadigi gamali agoane. Be E da afadanene bu lalu agoane hamomu. Isala: ili ilia Hadigi Gode da lalu gona: su agoane ba: mu. Amo da eso afadafa amoga, liligi huluane amola aya: gaga: nomei amola gagalobo nei dagomu.
Mwanga wa Isreli utakuwa moto, na Mtakatifu wake atakuwa ni moto unaoteketeza na kula mbigiri siku moja.
18 Iwila ida: iwane gala amola ifabi nasegagi amola da bogosu olo da dunu wadela: sa defele, amo wadela: lesi dagoi ba: mu.
Yahwe atauteketeza utukufu wa msitu wake na shamba lake linalostawi, vyote nafsi na mwili; itakuwa kama vile mgonjwa apotezae maisha yake.
19 Isala: ili sogega da ifa bagahame dialebeba: le, mano fonobahadi ilia idimu da defele ba: mu.
Mabaka ya miti ya misitu itakuwa michache sana, ambayo mtoto anaweza kuyahesabu.
20 Eso da misunu, amoga Isala: ili dunu amo da mae bogole esala, ilia da dunu fi da ilia fi wadela: lesi, ilima hame fa: no bobogemu. Be ilia da Hina Gode, Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, amo Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le, lalegagumu.
Siku hiyo, mabaki ya Israeli, familia ya Yakobo ambayo imekimbia, hawatategemea kushindwa, lakini watamtegemea Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
21 Isala: ili dunu mogili bagahame da ilia Gode Bagadedafa Ema sinidigimu.
Mabaki ya Yakobo yatarudi kwa Mungu mwenye nguvu.
22 Wali Isala: ili dunu ilia idi da hano wayabo bagade bega: sa: iboso dialebe, amo ea idi defele ba: sa. Be dunu bagahame fawane da buhagimu. Isala: ili dunu fi da wadela: lesi dagoi ba: mu. Amola ilia da amo dabe ba: mu da defeadafa.
Kwa kupitia watu wako, Israeli ni kama mchanga kama pwani ya bahari, Mabaki yao tu ndio yatakayorudi. Uaribifu wa amri, na mahitaji ya wingi wa haki.
23 Dafawane! Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da Ea sia: i defele soge huluane amo ganodini, gugunufinisisu fawane iasimu.
Maana Bwana wa majeshi, anakaribia kuleta uharibifu utachukua nafasi kubwa kitika nchi.
24 Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da Ea dunu ilia Saione Goumi amoga esala, ilima amane sia: sa, “Asilia dunu da Idibidi dunu defele, dilima se imunu. Be iliba: le mae beda: ma.
Hivyo basi Bwana Yahwe wa majeshi anasema, ''watu wangu mhishio Sayuni, msiwaogope watu wa Asiria. Atawangamiza nyie kwa fimbo na atawanyua wafanyakazi juu yenu, kama ilivyotokea kwa Wamisri.
25 Na da eso bagahame fawane dilima se ianu, dagomu. Amasea, Na da Asilia dunu gugunufinisimu.
Msimuogope, kwa mda mfupi hasira yangu itakwisha juu yenu, na hasira yangu italeta uharibifu.''
26 Na, Hina Gode Bagadedafa, da Na fegasuga Midia: ne dunu Oulebe Igi sogega fasu. Amo defele Na da Asilia dunu Na fegasuga famu. Na da Idibidi fi dunu ilima se iasu amo defele, Na da Asilia dunuma se bidi imunu.
Hivyo Yahwe wa majeshi atapiga mjeledi juu yenu kama vile alivyoishinda Midiani karibu na mwamba Orebu. Na atanyanyua fimbo yake juu ya bahari kama alivyofanya kule Misri.
27 Amo esoga, Na da Asilia ilia gasa bagade hou amo da wali dilima hasanasisa, amo Na da gugunufinisimu. Ilia dioi bagade “youge” da fa: no dilia gidagi bu hame banenesimu.”
Siku hiyo mzigo wake utanyanyuliwa kwenye mabeba yako na nira katika shingo yako, nayo nira itaharibiwa kwa sababu ya unene.
28 Isala: ili dunu ilia ha lai da A: iai moilai bai bagade suguli lai dagoi. Ilia da Migalone moilai golili sa: ili baligi dagoi. Ilia momagei liligi ilia da Migema: se moilaiga legele yolesi.
Adui amekuja Aiathi na amepitia Migroni; katika Michmashi ameyahifadhi mahitaji yake.
29 Ilia da goumi logo holei goulosu amo baligili, wali gasia Giba moilai bai bagadega diaha. Lama moilai fi dunu da bagadewane beda: be amola hina bagade Solo ea moilai (Gibia) amo ea fi dunu huluane da hobea: i dagoi.
Wamevuka juu ya njia na wamepunzika huko Geba. Rama inatetemeka na Gibea ya Sauli imekimbia.
30 Ga: limi moilai dunu! Wema mabu! La: isia moilai bai bagade dunu! Nabima! A: nadode moilai dunu! Bu adole ima!
Lia kwa sauti, ewe binti wa Galimu! sikiliza, Laishashi! Maskini Anathothi!
31 Ma: damina moilai dunu da hobeale asi dagoi. Gibimi moilai dunu da hobeale, wamoaligisa.
Madmena ni mkimbizi na mkazi wa Gebuni wamejikusanya wanakimbia kutafuta msada.
32 Wali eso, ninia ha lai dunu da Noube moilai bai bagadega doaga: le, ilia lobo usunawane, Saione Goumi amola Yelusaleme, amoga yagugusa.
Siku hizi za leo atasimulia huko Nobi na atatingisha mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
33 Be Hina Gode Bagadedafa da dunu ilia da ifa amoda abasea, ilia osoboga gisalugala: sa, amo defele E da Asilia dunu gisalugala: mu. Gasa fi dunu gado bagade heda: i, amo huluane da hedofai dagoi ba: beba: le, gogosiasu lamu.
Tazama, Bwana Yahwe wa majeshi atapunguza matawi kwa nguvu za kutisha; miti mirefu itakatwa chini, wanaojivuna wataangushwa.
34 Dunu ilia da iwila ifa amola ifa noga: iwane Lebanone soge ganodini gala, amo goaheiga abasu, amo defele, Hina Gode da Asilia dunu abimu.
Atang'oa vichaka vya msitu kwa shoka, Lebanoni na utukufu wake utaanguka.

< Aisaia 10 >