< Aisaia 14 >

1 Fa: no agoane, Hina Gode da Ea fi dunu Isala: ili fi ilima bu asigimu. E da ili Ea fidafa bu ilegemu, amola ilia da ilia sogedafa amo ganodini bu esaloma: ne, E da logo fodomu. Amola ga fi dunu da misini, ilia amola gilisili Isala: ili soge ganodini esalumu.
Bwana atamhurumia Yakobo, atamchagua Israeli tena, na kuwakalisha katika nchi yao wenyewe. Wageni wataungana nao na kujiunga na nyumba ya Yakobo.
2 Fifi asi gala bagohame da Isala: ili fi ilia soge amo Hina Gode da ilima i, amoma buhagimusa: ili fidimu. Amola amo ganodini, fifi asi gala dunu da Isala: ili dunu ilia udigili hawa: hamosu dunu ba: mu. Dunu fi da musa: Isala: ili dunu ilima hasanasili, afugili gaguli asi, amoma Isala: ili dunu da hasanasili gaguli masunu. Amola Isala: ili dunu da ilima hinawane esalebe ba: mu.
Mataifa watawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe. Nayo nyumba ya Israeli itamiliki mataifa kama watumishi na wajakazi katika nchi ya Bwana. Watawafanya watekaji wao kuwa mateka, na kutawala juu ya wale waliowaonea.
3 Hina Gode da Isala: ili dunu ilima helefisu imunu. Ilia da se bu hame nabimu, amola udigili enoga sesebe hawa: hamosu yolesimu.
Katika siku Bwana atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili,
4 Hina Gode da agoane hamosea, Isala: ili dunu da Ba: bilone hina bagade ema oufesega: ne amane sia: mu da defea, “Nimi bagade hame asigi hina bagade da dafai dagoi. E da dunu eno ilima se bu hame imunu.
utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli: Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho! Tazama jinsi ghadhabu yake kali ilivyokoma!
5 Hina Gode da wadela: i ouligisu dunu ilia gasa hedofai dagoi.
Bwana amevunja fimbo ya mwovu, fimbo ya utawala ya watawala,
6 Ilia da dunu eno ilima se iasu amola fifi asi gala ilima ilia da hasanasi, ilima se ima: ne hame yolesi.
ambayo kwa hasira waliyapiga mataifa kwa mapigo yasiyo na kikomo, nao kwa ghadhabu kali waliwatiisha mataifa kwa jeuri pasipo huruma.
7 Be wali osobo bagade fifi asi gala huluane da helefili, olofosu ba: sa. Amola dunu huluane da hahawaneba: le, gesami hea: sa.
Nchi zote ziko kwenye mapumziko na kwenye amani, wanabubujika kwa kuimba.
8 ‘Saibalase’ ifa amola Lebanone dolo ifa da hina bagade dafaiba: le, hahawane nodosa. Bai e da asiba: le, ili hedofama: ne, dunu da hame esala.
Hata misunobari na mierezi ya Lebanoni inashangilia mbele yako na kusema, “Basi kwa sababu umeangushwa chini, hakuna mkata miti atakayekuja kutukata.”
9 Bogoi sogebi ouligisu dunu ilia da Ba: bilone hina bagade aowamusa: momagesa. Musa: esalu osobo bagade ouligisu dunu ilia a: silibu da nedigisa. Ilia da fisu fisili, wa: legadosa. (Sheol h7585)
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol h7585)
10 Ilia huluane da ema agoane wele sia: sa, “Di da ninima gilisi dagoi. Dia da wali nini defele gasa hame gala.
Wote wataitikia, watakuambia, “Wewe pia umekuwa dhaifu, kama sisi tulivyo; wewe umekuwa kama sisi.”
11 Musa: dunu da dima nodomusa: , sani baidama dusu, be wali di da guiguda: bogoi sogebi amoga misi doaga: i. Di da ifidi gilisisu amoga diaha amola dia da daba: amoga dedeboi dagoi. (Sheol h7585)
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol h7585)
12 Ba: bilone hina bagade! Hadigi gusubia gasumuni di! Dia da Hebene amo ganodini esalu, dafai dagoi. Di da musa: fifi asi gala ilima hasanasi, be wali di da osobo bagadega gisalugala: i dagoi ba: sa.
Tazama jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, ewe nyota ya asubuhi, mwana wa mapambazuko! Umetupwa chini duniani, wewe uliyepata kuangusha mataifa!
13 Di da Hebene sogega heda: le, dia fisu amo Gode Ea gadodafa gasumuni amo baligili, gadodafa legemusa: dawa: i galu. Dia da hina bagade agoane, goumi ga (north) gala amoga ogogosu ‘gode’ liligi da gilisisa, amoga fimusa: dawa: i galu.
Ulisema moyoni mwako, “Nitapanda juu hadi mbinguni, nitakiinua kiti changu cha enzi juu ya nyota za Mungu, nitaketi nimetawazwa juu ya mlima wa kusanyiko, kwenye vimo vya juu sana vya Mlima Mtakatifu.
14 Di da heda: le, mu mobi amo da: iya fila heda: le, Hina Gode bagadedafa amo defele esalomusa: dawa: i galu.
Nitapaa juu kupita mawingu, nitajifanya kama Yeye Aliye Juu Sana.”
15 Be amo hame hamone, di da bogoi sogebi osodogone amoga gisalugala: i dagoi ba: sa. (Sheol h7585)
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol h7585)
16 Bogoi dunu da ilia lafi dagale, dima hamugini ba: mu. Ilia da amane adole ba: mu, “Amo da gasa fi dunu musa: osobo bagade yagugui, amola ea hamoiba: le, fifi asi gala da ugugui. Amo da amo dunula: ?
Wale wanaokuona wanakukazia macho, wanatafakari hatima yako: “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia na kufanya falme zitetemeke,
17 Amo dunu da moilai bagohame wadela: lesi, amola ea hamobeba: le, osobo bagade da hafoga: i, wadela: i soge agoane ba: i. Amola ea se iasu diasu hamosu dunu gagui amo ilia sogega buhagima: ne, e da ili se iasu diasu logo hamedafa doasi. Amo da amo dunula: ?”
yule aliyeifanya dunia kuwa jangwa, aliyeipindua miji yake, na ambaye hakuwaachia mateka wake waende nyumbani?”
18 Osobo bagade hina bagade dunu huluane ilia da: i hodo da bogoi uli dogoi ida: iwane ganodini diaha.
Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima kila mmoja katika kaburi lake.
19 Be di da uli dogoi hame gala. Dia da: i hodo da gadili dasama: ne galadigi dagoi. Dia da: i hodo da dadi gagui dunu gegesu ganodini medole legei ilia da: i hodo amoga dedeboi dagoi. Amola di amola ili da gilisili gele gelabo ganodini galadigili banenesi dagoi ba: sa.
Lakini wewe umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lililokataliwa, umefunikwa na waliouawa pamoja na wale waliochomwa kwa upanga, wale washukao mpaka kwenye mawe ya shimo. Kama mzoga uliokanyagwa chini ya nyayo,
20 Di da hina bagade eno defele noga: le uli dogoi hame ba: mu, amola dia wadela: i sosogo fi afae esalebe hame ba: mu. Bai di da dia sogedafa wadela: lesi dagoi, amola dia fidafa dunu medole legei dagoi.
Hutajumuika nao kwenye mazishi, kwa kuwa umeharibu nchi yako na kuwaua watu wako. Mzao wa mwovu hatatajwa tena kamwe.
21 Medole legesu wahadafa muni hamomu da defea. Amo hina bagade ea egefelali ilia da aowalalia wadela: i hou hamoiba: le, bogomu. Afae da osobo bagade ouligima: ne, o osobo bagade amo moilai bai bagade gilisi gaguma: ne, da esalebe hame ba: mu.”
Andaa mahali pa kuwachinjia wanawe kwa ajili ya dhambi za baba zao, wasije wakainuka ili kuirithi nchi na kuijaza dunia kwa miji yao.
22 Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Na da Ba: bilone fi amo doagala: le, ili gugunufinisimu. Dunu afae o mano afae esalebe hame ba: mu. Huluane da gugunufinisi dagoi ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
Bwana Mwenye Nguvu Zote asema, “Nitainuka dhidi yao, nitalikatilia mbali jina lake kutoka Babeli pamoja na watu wake walionusurika, watoto wake na wazao wake,” asema Bwana.
23 Na da Ba: bilone soge wadela: le, bu fafu soge agoane hamomu. Gugunia sio fawane da amogawi esalebe ba: mu. Na da isu doga: su defele amoga Ba: bilone soge doga: le, liligi huluane da hamedafa ba: mu. Na, Hina Gode Bagadedafa da sia: i dagoi.”
“Nitaifanya kuwa mahali pa bundi, na kuwa nchi ya matope; nitaifagia kwa ufagio wa maangamizi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
24 Hina Gode Bagadedafa da dafawane hamoma: ne sia: i dagoi, “Na ilegei huluane da ba: mu. Na da hamomu sia: i liligi huluane hamoi dagoi ba: mu.
Bwana Mwenye Nguvu Zote ameapa, “Hakika, kama vile nilivyopanga, ndivyo itakavyokuwa, nami kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyosimama.
25 Na da Asilia dunu amo Na soge Isala: ili amo ganodini gugunufinisimu. Amola Na goumiga Na da ilima osa: gili banenesimu. Asilia dunu da Na fi ilima ‘youge’ dioi bagadewane gala. Be amo ‘youge’ Na da ilima fadegamu.
Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu, juu ya milima yangu nitawakanyagia chini. Nira yake itaondolewa kutoka kwa watu wangu, nao mzigo wake utaondolewa kutoka mabegani mwao.”
26 Amo hou Na da osobo bagadega hamoma: ne ilegei dagoi. Amola Na lobo da fifi asi gala ilima se ima: ne, ililua: i dagoi.”
Huu ndio mpango uliokusudiwa kwa ajili ya ulimwengu wote, huu ni mkono ulionyooshwa juu ya mataifa yote.
27 Hina Gode Bagadedafa da amo hamoma: ne, dafawane ilegei dagoi. E da se ima: ne, lobo ilua: le lela. Amola dunu afae da Ea ilegesu hedofamu hamedei ba: sa.
Kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amekusudia, ni nani awezaye kumzuia? Mkono wake umenyooshwa, ni nani awezaye kuurudisha?
28 Ode afae amoga hina bagade A: iha: se da bogoi, Aisaia da sia: eno dunu huluane nabima: ne sisia: i.
Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:
29 Filisidini dunu, dilia! Galiamo da dili fasu amo da fi dagoi. Be dilia da hahawane hame ba: mu. Saya: be afae da bogosea, baligili nimi bagade eno da ea sogebi lama: ne maha. Saya: be ea oso amoga hagili ahoabe hanome agoane da lalelegesa.
Msifurahi, enyi Wafilisti wote, kwamba fimbo iliyowapiga imevunjika; kutoka mzizi wa huyo nyoka atachipuka nyoka mwenye sumu kali, uzao wake utakuwa joka lirukalo, lenye sumu kali.
30 Hina Gode da Ea dunu fi amo ganodini hame gagui dunu ilima sibi ouligisu agoane ba: mu. E da ili gaga: iwane esaloma: ne, noga: le fidimu. Be E da dili Filisidini dunu dilima ha: i bagade iasimuba: le, dilia fi dunu afae esalebe hame ba: mu.
Maskini kuliko maskini wote watapata malisho, nao wahitaji watalala salama. Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa, nayo njaa itawaua walionusurika.
31 Dilia Filisidini moilai bai bagade esalebe dunu! Digini wele sia: ma! Fidima: ne wele sia: ma! Dilia huluane beda: mu da defea! Osobo su mobi agoane da ga (north) amoga maha. Amo mobi da dadi gagui gilisisu defele ba: sa, amola amo gilisisu ganodini, beda: i dunu o hobeale ahoasu dunu da hame ba: sa.
Piga yowe, ee lango! Bweka, ee mji! Yeyukeni, enyi Wafilisti wote! Wingu la moshi linakuja toka kaskazini, wala hakuna atakayechelewa katika safu zake.
32 Filisidini dunu fi da ninima sia: adole ba: su dunu asunasi. Ninia ilima adi adole ima: bela: ? Ninia da ilima amane sia: mu, “Hina Gode da Saione Goumi amo mae muguluma: ne ilegei dagoi. Amola Ea fi dunu wali se nabaha, amo da amogawi gaga: su ba: mu.”
Ni jibu gani litakalotolewa kwa wajumbe wa taifa hilo? “Bwana ameifanya imara Sayuni, nako ndani yake watu wake walioonewa watapata kimbilio.”

< Aisaia 14 >