< Aisaia 13 >

1 Gode da Ba: bilone fi ilima fa: no misunu hou olelema: ne, amo sia: Aisaia (A: imose egefe) ema adosi,
Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
2 “Goumi gadodili, gegesu eso gosa: gisu gaguia gadole gosa: gisima. Dadi gagui dunu ilima wele sia: ma! Ilia da gasa fi moilaiga doagala: musa: dawa: digima: ne, dia lobo ligia gadoma.
Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu, wapazieni sauti, wapungieni mkono waingie katika malango ya wenye heshima.
3 Hina Gode da Isala: ili fi ilia ha lai ilima ougiba: le, E da gasa fi dadi gagui amo da hadigi gegesu ilima hamoma: ne, Ea dadi gagui amo misa: ne wele sia: i dagoi.
Nimewaamuru watakatifu wangu; nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu: wale wanaoshangilia ushindi wangu.
4 Nabima! Goumiga da ha lasu bagade naba. Amo da dunu bagohame gilisisa. Amo da fifi asi gala amola hina bagade ilia fi bagohame da gegemusa: gilisisa. Hina Gode, Dadi Gagui Ouligisudafa, da Ea dadi gagui gegemusa: momagesa.
Sikilizeni kelele juu ya milima, kama ile ya umati mkubwa wa watu! Sikilizeni, makelele katikati ya falme, kama mataifa yanayokusanyika pamoja! Bwana Mwenye Nguvu Zote anakusanya jeshi kwa ajili ya vita.
5 Ilia soge sedaga amo osobo bagade bega: esala, amoga maha. Hina Gode da ougi bagadeba: le, Ba: bilone soge huluane gugunufinisimusa: dawa: lala.
Wanakuja kutoka nchi za mbali sana, kutoka miisho ya mbingu, Bwana na silaha za ghadhabu yake, kuangamiza nchi yote.
6 Se nababeba: le, ha: giwane huma! Hina Gode Ea Esodafa da gadenesa. Amo esoga, Hina Gode Bagadedafa da liligi huluane gugunufinisimu.
Ombolezeni, kwa maana siku ya Bwana i karibu, itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.
7 Dunu huluane ilia lobo da bodola: mu. Huluane da beda: i bagade ba: mu.
Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea, moyo wa kila mtu utayeyuka.
8 Ilia huluane beda: ne, se nabasu amo uda da mano lalelegemu gadenesea, se nababe amo defele ilia da se nabimu. Ilia da dunu eno dunu eno beda: iwane ba: lalu, ilia da gogosiabeba: le, ilia odagi da gia: iwane ba: mu.
Hofu itawakamata, uchungu na maumivu makali yatawashika, watagaagaa kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa. Watatazamana kwa hofu kila mtu na mwenzake, nyuso zao zikiwaka kama moto.
9 Hina Gode Ea esodafa da manebe. Amoga, Ea nimi bagade ougi da ba: mu. Osobo bagade da wadela: lesi dagoi ba: mu. Amola wadela: i hamosu dunu huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu.
Tazameni, siku ya Bwana inakuja, siku katili, yenye ghadhabu na hasira kali, kuifanya nchi kuwa ukiwa na kuwaangamiza wenye dhambi waliomo ndani yake.
10 Gasumuni amola gasumuni gilisisu huluane amola da ha: ba: doi dagoi ba: mu. Eso da heda: sea, gasi agoane ba: mu amola oubi da hame hadigimu.
Nyota za mbinguni na makundi ya nyota havitatoa mwanga wake. Jua linalochomoza litatiwa giza na mwezi hautatoa nuru yake.
11 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da osobo bagadega bidi hamosu imunu amola wadela: i hamosu dunu dabema: ne, se imunu. Nowa da hi hou hidale gaguia gadosea, Na da fofonobomu. Amola gasa fi dunu amola dodona: gi dunu huluane ilima se dabe imunu.
Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake, waovu kwa ajili ya dhambi zao. Nitakomesha majivuno ya wenye kiburi, na nitakishusha kiburi cha watu wakatili.
12 Gouli da osobo bagadega fonobahadi fawane ba: sa. Be amo baligili, dunu da hame bogole, esalebe, bagahamedafa ba: mu.
Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi, watakuwa wachache sana kuliko dhahabu ya Ofiri.
13 Na da mu yagugumu, amola osobo bagade yagugubiba: le, e da ea sogebi yolesimu. Bai amo esoga, Na, Hina Gode Bagadedafa, da Na ougi hou olelemu.
Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke, nayo dunia itatikisika kutoka mahali pake katika ghadhabu ya Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika siku ya hasira yake iwakayo.
14 Ga fi dunu Ba: bilone soge ganodini esala da Ba: bilone yolesili, ilia sogedafa amoga buhagimu. Dia da benea ahoasu dunu amoga hobeasa, amola sibi amo da ouligisu dunu hameba: le afafasa, amo defele ilia afafane hobeamu.
Kama swala awindwaye, kama kondoo wasio na mchungaji, kila mmoja atarudi kwa watu wake mwenyewe, kila mmoja atakimbilia nchi yake ya kuzaliwa.
15 Dadi gagui dunu da nowa gagulaligisia, amo ilia gobihei amoga sone fane legemu.
Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo, wote watakaokamatwa watauawa kwa upanga.
16 Ilia da udigili ba: lalu, ilia dudubu fane legei dagoi ba: mu, amola ilia diasu liligi huluane lai dagoi amola ilia uda amo, dunu enoga wadela: lesi dagoi ba: mu.”
Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande mbele ya macho yao; nyumba zao zitatekwa na wake zao watatendwa jeuri.
17 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Midi dunu ilia dogo ganodini olelelalebeba: le, ilia da Ba: bilone soge dunu ilima doagala: mu. Ilia da silifa amola gouli da hamedei liligi agoane dawa: sa.
Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao, ambao hawajali fedha wala hawafurahii dhahabu.
18 Ilia oulali amola dadi amoga ayeligi dunu medole legemu. Ilia da dudubu amola mano fonobahadi ilima hame asigimu.
Mishale yao itawaangusha vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga wala hawataangalia watoto kwa huruma.
19 Ba: bilone ea ida: iwane ba: su da soge huluane eno ilia ba: su baligisa. Ba: bilone dunu da gasa fili, ilia soge hahawane ba: sa. Be Na, Hina Gode da Sodame amola Goumola amo wadela: lesi, amo defele Ba: bilone gugunufinisimu.
Babeli, johari ya falme, utukufu wa kiburi cha Wababeli, itaangushwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
20 Dunu da amo soge ganodini bu hamedafa fimu. A: la: be dunu udigili lalebe, da ea abula diasu amo ganodini hame gagumu, amola sibi ouligisu afae da amo soge ganodini ea sibi gisi manusa: hame oule masunu.
Hautakaliwa na watu kamwe wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote. Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko, hakuna mchungaji atakayepumzisha makundi yake huko.
21 Be Ba: bilone soge amo ganodini da hafoga: i soge ohe fi fawane esalebe ba: mu, amola gasia lalebe sio fawane ilia bibia gagumu. “Osadaligi” sio da amogawi esalebe ba: mu, amola sigua goudi da ilia moilai mugului amo ganodini hehenamu.
Lakini viumbe wa jangwani watalala huko, mbweha watajaza nyumba zake, bundi wataishi humo nao mbuzi-mwitu watarukaruka humo.
22 Ba: bilone ea sedade diasu gagula heda: i amola hina bagade diasu amo ganodini ‘hayina’ ohe amola ‘ya: ga: le’ ohe ilia dibi fawane nabimu. Ba: bilone ea wadela: mu eso da doaga: i dagoi. Amo soge ea wadela: mu eso da gadenesa.”
Fisi watalia ndani ya ngome zake, mbweha ndani ya majumba yake ya kifahari. Wakati wake umewadia, na siku zake hazitaongezwa.

< Aisaia 13 >