< Hosia 2 >
1 “Amaiba: le, dia na: iyado Isala: ili dunu ilima amo dio asulima, “Gode Ea fi dunu” amola “Hina Gode da ilima asigisa.”
Waambie ndugu zenu wanaume, 'Watu wangu!' na kwa dada zako, 'umeonyeshwa huruma.'”
2 “Na mano dilia! Dilia ha: giwane dilia amema edegema. E da wali na uda hame. Amola na da wali ea dunu hame. Amola inia: dunu adole lasu hou amola hina da: iga bidi lasu hou yolema: ne ha: giwane sia: ma.
Leteni mashtaka dhidi ya mama yenu, leteni mashtaka, kwa kuwa yeye si mke wangu, wala mimi si mumewe. Na auondoe uzinzi wake mbele yake, na matendo yake ya uzinzi kati ya matiti yake.
3 Be e da dilia sia: i defele hame hamosea, Na da ea abula gagadelale fasili, bu da: i nabado hi musa: emea lalelegei amo defele ba: ma: mu. Amola Na da e soge hano hamedei amola ifa hame heda: i, amo defele hamomu. Amola e da hano hanaga bogomu.
Ikiwa sio, nitamvua nguo na kumuonyesha uchi wake kama siku aliyozaliwa. Nami nitamfanya kama jangwa, kama nchi iliyoharibika, nami nitamfanya afe kutokana na kiu.
Sitakuwa na rehema kwa watoto wake, kwa maana wao ni watoto wa ukahaba.
5 Na da ema amola ea manoma hame asigimu. Bai ea mano da inia: wamomanoba: le, e da hame gogosiasa amola hame beda: sa. Amola uda da hisu amane sia: i, ‘Na da na gilisili golabe dunu ilima masunu. Ilia da nama ha: i manu amola hano, sibi hinabo, abula, olife susuligi amola waini hano iaha.’
Maana mama yao amekuwa kahaba, na yeye aliye mimba amefanya mambo ya aibu. Alisema, “Nitawafuata wapenzi wangu, kwa maana wananipa mkate wangu na maji, sufu yangu na kitani, mafuta yangu na kinyweji.”
6 Amaiba: le, Na da asili, aya: gaga: nomei aya: lidili, ea masunu logo hedofama: ne gagomu.
Kwa hiyo nitajenga ua wa kuzuia njia yake kwa miiba. Nitajenga ukuta dhidi yake ili asiweze kupata njia. Yeye atawafuatilia wapenzi wake, lakini yeye hatawafikia.
7 E da ea sasagesu dunu gagumusa: hehenamu amomane hame gagulaligimu. Ea da amo hogomu be amomane hame ba: mu. Amalalu, e da amane sia: mu, ‘Na ni musa: fi dunu ema sinidigimu. Amola musa: esalusu amo dawa: le, waha esalebe we dawa: loba da musa: esalusu amo da defeadafa dawa: sa.’
Yeye atawatafuta, lakini hatawapata. Kisha atasema, “Nitarejea kwa mume wangu wa kwanza, kwa maana ilikuwa ni bora kwangu zamani kuliko sasa.”
8 Ea da gagoma, waini, olife susuligi, silifa amola gouli amoga Ba: ilema nodone sia: ne gadosu. Be amo liligi huluane Na da ema i dagoi, amo e da hamedafa dawa: i.
Kwa maana hakujua kwamba mimi ndimi niliyempa nafaka, divai mpya na mafuta, na ambaye nilimwongezea fedha na dhahabu, ambazo walizitumia kwa Baali.
9 Amaiba: le, na da gamisu eso amoga gagoma amola waini hano Na ema i, amo bu Ni lamu. Amola wulo amola abula Na ema gasisa: lima: ne i, amo bu Ni lamu.
Kwa hiyo nitachukua nafaka yake wakati wa mavuno, na divai yangu mpya katika msimu wake. Nitachukua sufu yangu na kitambaa kilichotumiwa kufunika uchi wake.
10 Amola Na da ea sasagesu dunu ilia si da: iya ea abula sali gagadelale fasimu. Amola Na gasa bagadeba: le, e da enoga gaga: mu hamedei ba: mu.
Ndipo nitamvua nguo machoni pa wapenzi wake, wala hakuna mtu atakayemwokoa mkononi mwangu.
11 Na da ea lolo nabe gilisisu huluane, ea odega amola oubiga amola Sa: bade amola sia: ne gadosu gilisisu, amo huluane Na da dagolesimu.
Nitasitisha furaha yake yote- sikukuu zake, mwandamo wa mwezi, sabato zake na sikukuu zake zote zilizowekwa.
12 Na da ea waini efe sagai amola figi ifa (amo da ea gilisili golabe dunu ilia da ema dabe agoane i e da sia: su) amo huluane wadela: lesimu. Na da amo wadela: lesisia, soge da hafoga: i wadela: i soge agoane ba: mu. Amola sigua ohe da amo wadela: lesimu.
Nitaharibu mizabibu yake na mtini wake, ambayo alisema, 'Hii ni mishahara ambayo wapenzi wangu walinipa.' Nitawafanya kuwa msitu, na wanyama wa shambani watakula.
13 Na da ema se bagade imunu. Bai eso bagohame, e da Na gogolele, ogogosu ‘gode’ Ba: ile ema gabusiga: manoma gobele salasu amola nina: hamosu liligi gaga: ne ea sasagesu dunu ilia ahoabe fa: no bobogesu,” Hina Gode da sia: i dagoi.”
Nami nitamuadhibu kwa ajili ya Sikukuu ya Baali, alipowafukizia uvumba, akijipamba kwa pete zake na mavazi yake, naye akafuata wapenzi wake, akanisahau.” Hili ndilo tamko la Bwana.
14 “Amaiba: le, Na da e bu hafoga: i sogega oule masunu. Amogawi, Na da e Nama bu sinidigima: ne, asigi sia: sia: mu.
Kwa hiyo nitaenda kumshawishi. Nitamleta jangwani na kumwambia kwa huruma.
15 Na da ea musa: waini efe sagai duga: i amo ema bu imunu. Na da Bidi Hamosu Fago afadenene, bu hahawane misunu logo holei agoane hamomu. E da ea a: fini esoga Idibidi yolesili, Nama asigi galu. Amo defele, e da Nama bu asigimu.
Nami nitamrudishia mizabibu yake, na bonde la Akori kama mlango wa tumaini. Yeye atanijibu huko kama alivyofanya katika siku za ujana wake, kama katika siku ambazo alitoka katika nchi ya Misri.
16 Amasea, e da bu Nama ‘Nagoa’ sia: mu. E da Nama ‘Na Ba: ile’ amo bu hame sia: mu.
“Itakuwa katika siku hiyo”-hili ndilo tamko la Bwana-”kwamba utaniita, 'Mume wangu,' na hutaniita tena mimi, 'Baal wangu.'
17 Amola e da Ba: ile ea dio bu hamedafa sia: ma: ne, Na da hamomu.
Kwa maana nitaondoa majina ya Baali kinywani mwake; majina yao hayatakumbukwa tena.”
18 Amo esoha, Na da sigua ohe amola sio fi huluane ilima gousa: su hamomu. Ilia da Na fi dunu hamedafa wadela: lesima: ne, Na da gousa: su hamomu. Amola Na da Isala: ili sogega gegesu liligi (gobihei sedade amola dadi) amo huluane samogele fasimu. Amasea, Na hamobeba: le, Na fi dunu da olofole amola gaga: iwane esalumu.
“Siku hiyo nitafanya agano pamoja na wanyama katika mashamba kwa ajili yao, na ndege wa angani, na vitu vya kutambaa chini. Nitaondoa upinde, upanga, na vita katika nchi, nami nitakufanya ulale kwa usalama.
19 Isala: ili fi! Na da di Na uda hamomu! Na da di hamedafa yolesimu. Na da dima asigidafa hou amola gogolema: ne olofosu hou olelemu. Amola di da Na udadafa agoane esalalalumu.
Nitakuwa mume wako milele. Nitakuwa mume wako katika haki, hukumu, uaminifu wa agano, na huruma.
20 Na da Na dafawane ilegei sia: i noga: le ouligili, di Na udadafa hamomu. Amola di da Nama dia Hina Godedafa sia: mu.
Nitakuwa mume wako kwa uaminifu. Nawe utanijua mimi, Bwana.
Na siku ile, nitajibu”-hili ndilo tamko la Bwana. “Nitazijibu mbingu, nao watajibu dunia.
22 Amo esoga Na da Na fi Isala: ili dunu ilia sia: ne gadosa adole ba: i liligi ilima imunu. Na da gibu defele imunu. Amasea, osoboga gagoma amola waini fage amola olife fage bagade heda: lebe ba: mu.
Dunia itashughulikia nafaka, divai mpya na mafuta, na watajibu Yezreeli.
23 Na da hamobeba: le, Na fi dunu da ilia sogega hahawane amola bagade gaguiwane esalebe ba: mu. Na da musa: Na fi dunuma, ‘Ilima hame Asigisa’ dio asuli. Be Na da ilima asigidafa hou bu olelemu. Amola Na musa: Na fi dunuma ‘Na fi dunu hame’ dio asuli. Be Na da fa: no ‘Dilia da Na fidafa dunu’ ilima sia: mu. Amola ilia da Nama amane sia: mu, ‘Di da ninia Gode.’”
Nitatampanda mwenyewe katika nchi kwa ajili yangu, na nitamhurumia Lo Ruhama. Nami nitamwambia Lo Ami, 'Wewe ni Ami Ata,' nao wataniambia, 'Wewe ni Mungu wangu.'”