< Da:niele 1 >

1 Hina bagade Yihoiagimi da Yuda soge amoga ouligisia, amola amogawi da ode udiana esalu, Nebiuga: denese amo da Ba: bilone soge amoga hina bagade esalu. E da Yelusaleme moilai bai bagadega doagala: musa: asi. Amola ea dadi gagui dunu ilia da soge amo huluane eale disi.
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na kuuzunguka mji ili kuzuia mahitaji yake yote.
2 Hina Gode da logo doasiba: le, Nebiuga: denese da Yihoiagimi gagulaligi. Amola hano dili nasu liligi amola faigelei Gode Ea Debolo diasu ganodini dialu mogili e da lai. E da Yu dunu amola uda mogili, amo udigili hawa: hamomusa: Ba: bilone sogega oule asi. Amola Debolo liligi lai huluane e da ea ogogosu ‘gode’ ilia debolo diasu Ba: bilone sogega amo ganodini sali.
Bwana alimpa Nebukadneza ushindi dhidi ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, na alimpatia vitu vitakatifu kutoka nyumba ya Mungu. Alivipeleka vitu hivyo mpaka katika nchi ya Babeli, kwa nyumba ya mungu wake, na aliviweka vitu vitakatifu katika hazina ya mungu wake.
3 Amola hina bagade Nebiuga: denese da sia: beba: le, ea bisili ouligisu dunu amo ea dio da A: sebena: se, e da mugululi asi Isala: ili dunu amo ganodini hogolalu, ayeligi amo musa: da Isala: ili hina bagade amola eno dunu bagade ilia sosogo fi ganodini esalu, amo ilegei.
Mfalme akamwambia Ashipenazi, afisa wake mkuu, awalete baadhi ya watu wa Israeli, wa familia ya kifalme na za kiungwana -
4 Nebiuga: denese da ayeligi noga: idafa odagi da noga: idafa amola da: i noga: idafa amai ayeligi ilegema: ne sia: i. Ilia da: i amoga da eno wadela: i hamedafa, ayeligi bagade dawa: galea amai ayeligi sugulu noga: le heda: i ayeligi fawane lasu. Amai ayeligi ilia da hedolo dawa: su lamu amola hina bagade ea diasu ganodini noga: le hawa: hamomu, ilia dawa: i. Amola A: sebena: se hi fawane, da amo ayeligi ilima dedesu amola idisu olelema: ne sia: i. Amo da Ba: bilone ilia sia: ga olelesu.
vijana wasio na hila, wenye mwonekano wa kuvutia, wenye ujuzi katika hekima yote, wenye kujawa na ufahamu na weledi, na wenye sifa za kutumika katika ikulu ya mfalme. Alitakiwa kuwafundisha maandiko na lugha ya Babeli.
5 Amola hina bagade da amane sia: i, goe esoga ayeligi ilia ha: i nasu amola hano nasu da hina bagade amola ea ouligisu dunu ilia lasu defele lamu da defea. Amola ilia da goe sugulu da ode udiana heda: lalu, amalu ilia da hina bagade ea hawa: hamomusa: ema adoba: mu.
Mfalme aliwatengea kwa ajili yao fungu kutoka katika chakula chake kizuri kwa kila siku na katika divai aliyokunywa. Vijana hawa walitakiwa kufunzwa kwa miaka mitatu, na baada ya hapo, wangeweza kumtumikia mfalme.
6 A: sebena: se da Yuda fi ayeligi mogili ilegei dagoi. Amo ilegei gilisisu ganodini, ayeligi biyaduyale ba: i. Ilia dio da Da: niele, Ha: nanaia, Misa: iele amola A: salaia. Huluane da Yuda fi dunu.
Miongoni mwao walikuwa ni Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria, baadhi ya watu wa Yuda.
7 A: sebena: se da ilia dio bu gaheabolo asuli. Da: niele ea dio gaheabolo da Beledesia: sa. Amola Ha: nania ea dio gaheabolo da Sia: dala: ge, Misa: iele ea dio gaheabolo da Misia: ge amola A: salaia ea dio gaheabolo da Abedenigou.
Afisa mkuu aliwapa majina: Danieli alimwita Belteshaza, Hanania alimwita Shadraka, Mishaeli alimwita Meshaki, na Azaria alimwita Abedinego.
8 Hina bagade amo ianoba, Ba: bilone ouligisu dunu da ha: i manu amola waini hano gaguli misi. Be amo ha: i manu da Yu sema ganodini ledo gala amo e dawa: beba: le, Da: niele da hihini hame manusa: dawa: i galu. Da: niele ea amane dawa: su. Amo ha: i manu amola waini na nanu, Gode Ea sida: iya giadofale hamomu e amane sia: i. Amaiba: le e da bisili ouligisu A: sebena: se ema adole ba: i, “Defea ha: i manu eno imunu defeala: ?” amane adole ba: i.
Lakini Danieli alinuia katika akili yake kuwa asingejitia ujanisi mwenyewe kwa chakula kizuri cha mfalme wala kwa divai ambayo alikunywa.
9 Amola Gode da A: sebena: se ea dogoga sia: beba: le, e da Da: nielema asigi galu.
Basi, aliomba ruhusa kutoka kwa afisa mkuu ili kwamba asije akajitia uchafu yeye mwenyewe. Hivyo, Mungu alimpa Danieli kibali na huruma kupitia katika heshima ambayo afisa mkuu alikuwa nayo kwake.
10 Be A: sebena: se da hina bagadema beda: iba: le, e da Da: nielema amane sia: i, “Hina bagade da dia ha: i manu amola waini nasu ilegei dagoi. Amaiba: le, dilia da amo hame nabeba: le, dilia da: i da geloga: i amola eno ayeligi ilia da: i da noga: i ba: sea, hina bagade da na medole legemu.”
Afisa mkuu alimwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme. Ameagiza aina ya chakula na vinywaji mnavyotakiwa kutumia. Kwa nini awaone ninyi mkiwa mnaonekana vibaya kuliko vijana wengine wa umri wenu? Mfalme aweza kukitwaa kichwa changu kwa sababu yenu.
11 Amaiba: le, Da: niele da sosodo aligisu dunu amo A: sebena: se da Da: niele, Ha: nanaia, Misa: iele amola A: salaia ouligimusa: ilegei, ilima asili amane sia: i,
Kisha Daniel akamwambia msimamizi ambaye afisa mkuu alikuwa amemweka juu ya Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria.
12 “Na hanai da dia eso nabuane ganodini nini adoba: ma. Dadami ha: i manu amola hano nasu amo fawane nini moma: ne ima.
Alisema, “Tafadhari tujaribuni, sisi watumishi wako kwa siku kumi. Tupatieni tu mboga mboga za kula na maji ya kunywa.
13 Amola fa: no goe eso nabuane amoga di sodoma. Ayeligi dunu oda da hina bagade ea ha: i manu defele naha, amo ilia da: i da ninia da: i baligisa o hame baligisa, amo noga: le ba: ma. Amola ninia da: i hodo ea hou ba: beba: le, dia fa: no ninima adi hou hamoma: bela: , amo dawa: ma.”
Kisha ulinganishe mwonekano wetu na mwonekano wa vijana wanaokula vyakula vya mfalme, na mtutendee, sisi watu wako kulingana na kile unachokiona.”'
14 Sosodo aligisu e da Da: niele ea sia: defele eso nabuane amoga amo hou hamomusa: sia: i.
Hivyo msimamizi alikubaliana naye kufanya hivi, na aliwajaribu kwa siku kumi.
15 Amola eso nabuane amo fisili, ouligisu dunu ea ba: loba: , ilia da: i hodo da noga: idafa ba: i. Amola ilia da: i hodo ba: su da ayeligi dunu eno ilia ha: i manu hina bagade ea ilima ilegei, amo ilia da: i hodo ba: su baligi dagoi.
Katika mwisho wa siku kumi mwonekano wao ulikuwa ni wenye afya nzuri kuliko wa wale vijana waliokula vyakula vya kifalme.
16 Amaiba: le, sosodo aligisu e da Da: niele amola ea sama udiana ilima ha: i manu amo hina bagade ea iasu liligi ilima hame i. E da dadami fawane ilima iasu.
Basi, msimamizi aliliondoa fungu lao la chakula na vivywaji vyao na walipewa mboga mboga tu.
17 Amola Gode da dawa: su noga: i amo ayeligi biyaduyale ilima i. Amola Gode da fidibiba: le, ilia da idisu hou, dedesu hou amola osobo bagade dawa: su hou huludafa, ilia dawa: i galu. Amola Gode da dawa: su Da: nielema simasia ba: su olelesu i dagoi.
Na kuhusu vijana hawa nne Mungu aliwapa uelewa na ufahamu katika maandiko yote na hekima, na Danieli aliweza kupambanua aina zote za maono na ndoto.
18 Amola ayeligi dunu ode udiana hina bagade Nebiuga: denese ea sugulu heda: lalu. Amo ode da gidigisia, A:sebena: se da ili hina bagade ema oule asi.
Katika mwisho wa muda uliokuwa umepangwa na mfalme kuwaleta ndani, afisa mkuu aliwaleta mbele ya Nebukadneza.
19 Amola hina bagade da dunu oda ilima sia: sa: ili, e amane ba: i, Da: niele, Ha: nanaia, Misa: iele amola A: salaia, ilia dawa: su da eno ayeligi dunu ilia dawa: su baligi dagoi. Amaiba: le ilia da ea ouligisu fi amo ganodini hawa: hamosu lidi dagoi.
Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia.
20 Hina bagade da ilima liligi bagade adole ba: i. Amola ilia dawa: su da bagadeba: le, ilia da ea adole ba: i huluane amoma adole imunusa: dawa: i. Ilia dawa: su da nabi dunu amola ba: la: lusu dunu huluane Ba: bilone soge ganodini esalu amo ilia dawa: su bagadewane baligi dagoi ba: i.
Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote.
21 Amaiba: le Da: niele da eso bagohamedafa hina bagade ea ouligisu fi amo ganodini hawa: hamosu. Besia hina bagade amo ea dio Sailase, da Ba: bilone amoma hasalasiba: le fawane fisi.
Danieli alikuwa hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.

< Da:niele 1 >