< Esela 9 >

1 Amalalu, Isala: ili fi ouligisu dunu mogili da nama sia: na misini, gobele salasu dunu amola Lifai dunu da dunu fi ilima na: iyado soge amo A: mone, Moua: be, Idibidi, Ga: ina: ne dunu, Hidaide dunu, Belisaide dunu, Yebiusaide dunu amola A: moulaide dunu ilima hame afafasu ilia sia: i. Ilia da amo dunu ilia wadela: idafa hou hamosu amoma fa: no bobogei dagoi.
Kipindi mambo hayo yanatendeka, wakuu wakaja kwangu na kuniambia,”Watu wa Israel, Makuhani na walawi hawakuweza kujitenga wenyewe kutoka kwa watu wa nchi zingine na maovu yao: Wakanaani, Wahiti, Waperuzi, wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.
2 Yu dunu da ga fi uda labeba: le, Gode Ea hadigi fi dunu da wadela: lesi dagoi ba: i. Be Yu ouligisu dunu amola ouligisu hina dunu, ilia amola da ga fi uda laiba: le, ilia da amo wadela: i hou amo ganodini baligili wadela: i hamosu dunu agoai ba: i.
Kwa kuwa wamewachukua baadhi ya binti na watoto wa kiume, wamejichanganya watu watakatifu na watu wa nchi nyingine na wakuu na viongozi wamekuwa wa kwanza katika imani hii potofu.
3 Na da amo sia: nababeba: le, se bagade nabi. Na abula gadelale, na dialuma hinabo amola mayabo mogili golole fasili, da: i dioi bagadewane esalu.
Niliposikia haya, nikachana nguo zangu na kanzu na kunyoa nywele kichwani na ndevu na nikakaa chini kutafakari.
4 Na da amanewane da: i dione esaloba, daeya galu Godema gobele salasu da doaga: i. Amalalu, dunu da na esaloba, na guba: le sisiga: le aligi. Ilia da Isala: ili Godema bagade beda: i. Bai Gode da mugululi asi buhagi dunu ilia wadela: i hou ba: i dagoi, amola Ea sia: ilia da nabi.
Na wale wote waliotetemeka kwa neno la Mungu wa Israel kuhusu imani potofu walikusanyika kwangu wakati nimakaa chini nikiwa na aibu hadi kufikia kipindi cha sadaka za jioni.
5 Daeya gobele salasu hou da doaga: loba, na da ni musa: udigili esalua amoga da: i dione esalu, amoga wa: legadole, amola na abula gadelai ga: i amola na da muguni bugili, na Hina Godema lobo ligia gadole, Ema sia: ne gadoi.
Lakini katika sadaka ya jioni nikasimama kwenye nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu na nguo ilichanika na kanzu, na nikapiga magoti na kunyoosha mikono yangu kwa Yahwe Mungu wangu. Nikasema
6 Na da amane sia: i, “Na Gode! Na da bagadewane gogosia: iba: le, Dia hadigi amoma na dialuma molole gadomu hamedei agoane ba: sa. Ninia wadela: i hou da bagadedafa, fedege agoane bi hamone ninia dialuma baligili muagado heda: sa.
“Mungu wangu, nina aibu na sistahili kuinua uso wangu kwako, makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni.
7 Musa: aowalali ilia fifi mana, wali wadela: i hou bu baligili bagadedafa ninia hamonana. Ninia wadela: i houba: le, ninia hina bagade dunu amola ninia gobele salasu dunu da ga fi hina bagade ilia baiga dafai dagoi. Ga fi dunu da ninia fi dunu medole legele, ilia liligi wamolai amola mogili udigili hawa: hamomusa: mugululi oule asi. Ninia wadela: i hou hamoiba: le, bagadewane gogosiasu, amola waha da amomane diala. Ninia Hina Gode!
Kuanzia siku ya watangulizi wetu mpaka sasa tumekuwa katika maovu makuu. Makosa yetu, viongozi, makuhani, walikuwa katika mikono ya mfalme wa dunia hii, katika upanga, matekani na kunyanyaswa na tuna aibu ya uso hata leo.
8 Waha, eso fonobahadi amoga, Di da ninima asigiba: le, ninia se iasu diasuga fisili masa: ne gadili asunasi, wali ninia da Dia hadigidafa soge amoga gaga: iwane esala. Di da wali ninima hadigi ganodini udigili lalusu amola gaheabolo esalusu ninima i dagoi.
sasa kwa kipindi kifupi, neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja kutuacha mabaki wachache na kutupa kuhimmili sehemu takatifu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu wetu kututia nuru macho yetu na kutupa unafuuu sisi tulio watumwa.
9 Nini da udigili se iasu diasua esalebe hawa: hamosu dunu agoai galu, be di da nini se iasu diasua esalebe hawa: hamoma: ne hame yolesi. Di da Besia hina bagade dunu ilia asigi dawa: su olelebeba: le, ilia da ninima asigisu. Ilia da nini hame fane legei. Be ninia da Dia Debolo musa: wadela: lesi dagoi, amo bu gagumusa: amola ninia Yuda soge amola Yelusaleme amo ganodini gaga: iwane esaloma: ne, ilia da logo doasi dagoi.
Kwa kuwa sisi tu watumwa, lakini Mungu bado hajatusahau lakini ameongeza agano la uaminifu kwetu, ameyatenda haya mbele ya macho ya mfalme wa Uajemi ili kwamba haweze kutupatia nguvu mpya. Ili kwamba tuweze kujenga nyumba ya Mungu na tuweze kuondoa majuto. Alitenda hayo ili kwamba aweze kutupatia msingi wa usalama katika Yuda na Yerusalem.
10 Be wali, Na Gode! Amo hou da doaga: beba: le, ninia da adi sia: ma: bela: ? Ninia da Dia sema amola hamoma: ne sia: i bu hame nabasu.
Lakini sasa Mungu wetu, tuseme nini baaada ya haya? Tumesahau amri zako.
11 Di da ilima olelebeba: le, Dia hawa: hamosu dunu amo balofede dunu, da amo sema amola hamoma: ne sia: i ninima olelei. Ilia da ninima adoi amane, soge amo ninia da gesowale fimu da ledo bagade soge. Ga: ina: ne dunu fi amo ganodini da wadela: i hou bagade hamobeba: le, soge huluanedafa da ledo bagade ba: i.
amri ambazo uliwapa manabii watumishi wako, pale uliposema, “Nchi hii mnayoingia kuimiliki ni nchi chafu. Imechanganyikana na watu wasio na utaratibu. ameenea kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa uchafu wao.
12 Ilia da ninima amane sia: i, ‘Dilia da amo soge ganodini hahawane esalumusa: dawa: sea, amola amo ganodini diligaga fi da eso huluane hahawane esaloma: ne ilima imunusa: dawa: sea, dilia amo soge fi ilia uda maedafa lama, amola ilia muni labe hou amola hou huluanedafa mae fidima,’ balofede dunu da amane sia: i.
Hivyo sasa, msiwape binti zenu kwa watoto wao, msichukue binti zao kwa ajili ya watoto wenu, msitafute amani kwao na fadhili, ili kwamba muweze kuwa imara na kula vizuri vya nchi, hivyo utasababisha watoto wenu kumiliki kwa wakati wote.”
13 Ninia da wadela: i hou bagade hamobeba: le, se dabe iasu bagade lai. Be ninia Gode, ninia dawa: Di da nini hame fane legei, amola ninia wadela: i hou se dabe iasu defele ninima hame i.
Baada ya yote kutokea kwetu kwa sababu ya uovu wetu na makosa yetu makuu, tokea hapo, Mungu wetu, hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na ukatuacha kama mabaki.
14 Amaiba: le, ninia da abuliba: le da Dia hamoma: ne sia: i bu mae nabawane, amo wadela: i fi ilia uda lama: bela: ? Agoane hamosea, Dia ougi da heda: sea, nini huluane wadela: lesi dagoi ba: mu. Dunu afadafa esalebe hamedafa ba: mu.
Tunaweza kuvunja tena amri zako na kuingiliana katika ndoa, na hawa watu wasiofuata utaratibu? Je hautachukia na kututowesha sote hakuna wa kubaki, hakuna wa kutoroka?
15 Isala: ili Hina Gode! Di da moloidafa fofada: su dunu! Di da nini bogoma: ne hame fane legei! Ninia wadela: i hou Dima fofada: ne iaha! Ninia da Dia hadigi amoga misunu da ninima hamedei liligi agoai,” Esela da amane sia: ne gadoi.
Yahwe, Mungu wa Israel, wewe ni mwenye haki, kwa kuwa tumebaki wachache mabaki hadi siku ya leo. Tazama, tuko mbele yako na makosa yetu, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele kwa sababu ya hili.

< Esela 9 >