< Isigiele 28 >

1 Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Dunu egefe! Daia hina bagade ema, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da ema amane sia: sa, amo ema adosima, ‘Di da gasa fifili, di da ‘gode’ dina: sia: sa. Di da ‘gode’ defele, dia fisu da: iya fili amola hano wayabo bagade huluane da dia fisu sisiga: sa, amo dina: di sia: sa. Di da ogogole,’ na da ‘gode’ sia: sa, be di da ‘gode’ hame. Di da osobo bagade dunu fawane.
“Mwanadamu, mwambie mfalme wa Tiro, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Kwa sababu moyo wako umejivuna na umesema, “Mimi ni mungu; nami ninaketi katika kiti cha enzi cha mungu katika moyo wa bahari.” Lakini wewe ni mwanadamu, wala si mungu, ingawa unafikiri kuwa una hekima kama mungu.
3 Di da dia asigi dawa: su da Da: niele ea asigi dawa: su baligisa, amo dia dawa: sa. Di da dunu huluane ilia wamolegei hou ba: sa, amo disu dawa: lala.
Je, wewe una hekima kuliko Danieli? Je, hakuna siri iliyofichika kwako?
4 Dia dawa: lai amola hahamosu dawa: amoga hawa: hamobeba: le, di da gouli amola silifa bagade lale, bagade gagui agoane ba: sa.
Kwa hekima yako na ufahamu wako, umejipatia utajiri, nawe umejikusanyia dhahabu na fedha katika hazina zako.
5 Di da bidi lasu hou hamobeba: le, muni baligili lalu. Di da dia bagade gagui hou dawa: beba: le, hidale dawa: lala.
Kwa werevu wako mwingi katika biashara, umeongeza utajiri wako na kwa sababu ya utajiri wako moyo wako umekuwa na kiburi.
6 Be wali, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa,’ Dia da dia dawa: lai da ‘gode’ ea dawa: lai defele gala dawa: beba: le,
“‘Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Kwa sababu unafikiri una hekima, mwenye hekima kama mungu,
7 Na da ougi nimi bagade ha lai dunu dima doagala: musa: oule misunu. Ilia da dia liligi noga: iwane di da dia dawa: lai amola hahamosu dawa: amoga lai, amo huluane wadela: lesimu.
mimi nitawaleta wageni dhidi yako, taifa katili kuliko yote; watafuta panga zao dhidi ya uzuri wa hekima yako, na kuchafua fahari yako inayongʼaa.
8 Ilia da di medole legele, hano wayabo bagadega sanasimu.
Watakushusha chini shimoni, nawe utakufa kifo cha kikatili katika moyo wa bahari.
9 Ilia da di famusa: masea, di da ‘na da gode’ sia: ma: bela: ? Amo esoha, di medole legesu dunu odagi gadenesea, di da ‘gode’ hame be osobo bagade dunu fawane esala, amo noga: le dawa: mu.
Je, wakati huo utasema, “Mimi ni mungu,” mbele ya wale wanaokuua? Utakuwa mwanadamu tu, wala si mungu, mikononi mwa hao wanaokuua.
10 Di da wa: me ea bogoi amo defele, Gode Ea hou hame lalegagui ga fi dunu ilia lobo da: iya bogomu. Na, Ouligisudafa Hina Gode, da ilima amo hamoma: ne sia: beba: le, ilia da di medole legemu.”
Utakufa kifo cha wasiotahiriwa kwa mkono wa wageni. Kwa kuwa mimi nimenena, asema Bwana Mwenyezi.’”
11 Hina Gode da bu nama amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia kusema:
12 “Dunu egefe! Daia hina bagade da dafamuba: le, gogolole dawa: ma. Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa, amo ema adosima, ‘Di da musa: eno dunu dawa: digima: ne, moloidafawane esalu. Di da bagade dawa: su amola ayeligi da: da: loiwane ba: su esalu.
“Mwanadamu, mfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, nawe umwambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Ulikuwa kipeo cha ukamilifu, ukiwa umejaa hekima na mkamilifu katika uzuri.
13 Di da Gode Ea ifabi amo Idini soge ganodini esalu. Di da igi ida: iwane gala gaga: si amo (lubi amola daimode, douba: se, belole, ganiliane, ya: seba, sa: faia, emelalede amola ganedi). Di da nina: hamoi liligi gouliga hamoi galu. Na da amo liligi dia hahamoi eso amoga digili i.
Ulikuwa ndani ya Edeni, bustani ya Mungu; kila kito cha thamani kilikupamba: akiki nyekundu, yakuti manjano na zumaridi, krisolitho, shohamu na yaspi, yakuti samawi, almasi na zabarajadi. Kuwekwa kwa hayo mapambo na kushikizwa kwake kulifanywa kwa dhahabu; siku ile ulipoumbwa yaliandaliwa tayari.
14 Na da a: igele (amoga dunu da beda: i), di sosodo ouligima: ne, amogawi leloma: ne asunasi. Di da Na hadigi goumia esalu, nenema: gi igi ida: iwane dialebe amo ganodini golili ahoasu.
Ulitiwa mafuta kuwa kerubi mlinzi, kwa kuwa hivyo ndivyo nilivyokuweka wakfu. Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu; ulitembea katikati ya vito vya moto.
15 Di da dia hahamoi eso amogainini moloidafa hou hamosu. Be di da bu wadela: i hou muni hamosu.
Ulikuwa mnyofu katika njia zako tangu siku ile ya kuumbwa kwako, hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 Di da bidi lasu bagade hamobeba: le, bu ogogosu amola bidi hamoi hamosu. Amaiba: le, Na da di Na hadigi goumi amoga fadegai. Amola a: igele amo da di sosodo ouligi lelu, da di igi nenemigi sogebiga sefasi.
Kutokana na biashara yako iliyoenea, ulijazwa na dhuluma, nawe ukatenda dhambi. Hivyo nilikuondoa kwa aibu kutoka mlima wa Mungu, nami nikakufukuza, ee kerubi mlinzi, kutoka katikati ya vito vya moto.
17 Dia ba: su da isisima: goiba: le, di da hidale hamoi. Amola, eno dunu da dima nodoiba: le, di da gagaoui ba: i. Amaiba: le eno hina bagade dunu dawa: digima: ne, Na da di osobo gudu gisalugala: i. Ilia da amo sisasu ba: ma: ne.
Moyo wako ukawa na kiburi kwa ajili ya uzuri wako, nawe ukaiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Kwa hiyo nikakutupa chini; nimekufanya kioja mbele ya wafalme.
18 Di da wadela: ledafa bidi lasu hou hamobeba: le, dia nodone sia: ne gadosu sogebi huluane da ledo bagade ba: i. Amaiba: le, Na da dia moilai huluane laluga ulagisili, nene sa: i dagoi. Dunu huluane wali dima ba: sea, da nasubu fawane ba: sa.
Kwa dhambi zako nyingi na biashara yako ya dhuluma, umenajisi mahali pako patakatifu. Kwa hiyo nilifanya moto utoke ndani yako, nao ukakuteketeza, nami nikakufanya majivu juu ya nchi, machoni pa wote waliokuwa wakitazama.
19 Di da bu mae ba: ma: ne, asi dagoi. Amola fifi asi gala huluane da di dawa: i, amo da beda: gia: sa. Bai dima doaga: i hou da ilima doaga: sa: besa: le, ilia da beda: i.”
Mataifa yote yaliyokujua yanakustajabia; umefikia mwisho wa kutisha na hutakuwepo tena milele.’”
20 Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia kusema:
21 “Dunu egefe! Saidone moilai bai bagade amoma se ima: ne mimogoa diwaneya udidima!
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake,
22 Saidone fi ilima Na, Ouligisudafa Hina Gode da ilia hou olelema: ne amane sia: sa, amo adosima, ‘Saidone! Na da dia ha lai. Na da dima se bidi iasea, dunu eno da Nama nodomu. Na da di amo ganodini esala dunu ilima Na hadigi olelema: ne se bidi iasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
nawe useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Mimi ni kinyume chako, ee Sidoni, nami nitapata utukufu ndani yako. Nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana, nitakapotekeleza hukumu zangu na kuonyesha utakatifu wangu ndani yake.
23 Na da dima olo iasimu. Amola Na hamobeba: le, maga: me da dia logo ganodini bagade a: iahoabe ba: mu. Eno dunu da la: di huluane amoga misini dima doagala: mu, amola dia fi dunu da medole legei dagoi ba: mu. Amasea, di da Na da Hina Gode dawa: mu.”
Nitapeleka tauni ndani yake na kufanya damu itiririke katika barabara zake. Waliochinjwa wataanguka ndani yake, kwa upanga dhidi yake kila upande. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.
24 Hina Gode da amane sia: i, “Fifi asi gala amo Isala: ili sisiga: i, ilia da Isala: ili fi amo higabeba: le, ilima se bagade iasu. Be ilia agoaiwane bu hamedafa hamomu. Amola ilia da Na da Ouligisudafa Hina Gode dawa: mu.”
“‘Nyumba ya Israeli hawatakuwa tena na majirani wenye nia ya kuwadhuru wanaoumiza kama michongoma na miiba mikali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.
25 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Na da Isala: ili fi dunu amo fifi asi gala amoga, Na da ili afagogoi, amoga lale, ilia sogedafa buhagima: ne oule misunu. Amasea, fifi asi gala huluane da Na da Hadigi dawa: mu. Isala: ili fi dunu da ilia sogedafa amo Na da musa: Na hawa: hamosu dunu Ya: igobema i, amo ganodini esalumu.
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitakapoikusanya nyumba ya Israeli kutoka mataifa ambako wametawanyika, nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwao machoni pa mataifa. Ndipo watakapoishi katika nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu Yakobo.
26 Ilia da amo ganodini hahawane gaga: lewane esalumu. Ilia da diasu gagumu amola waini efe sagamu. Ilia na: iyado fi dunu amo da ilima higasu, ilima Na da se bidi imunu. Amola Isala: ili fi da gaga: i dagoi ba: mu. Amasea, ilia da Na da ilia Hina Gode dawa: mu.”
Wataishi humo kwa salama na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu, wataishi kwa salama nitakapowaadhibu majirani zao wote ambao waliwafanyia uovu. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao.’”

< Isigiele 28 >