< Fofagini Disu 1 >

1 Yelusaleme da dunu amoga nabaidafa galu. Be wali e da fofagini agoane diala. Musa: fifi asi gala huluane da ema nodoi. Be wali e da uda didalo agoai gala. Yelusaleme ea noga: idafa hou da musa: osobo bagade moilai bai bagade huluane baligi dagoi. Be wali ea dunu huluane da udigili hawa: hamonana.
Tazama jinsi mji ulivyoachwa ukiwa, mji ambao zamani ulikuwa umejaa watu! Jinsi ambavyo umekuwa kama mama mjane, ambaye wakati fulani alikuwa maarufu miongoni mwa mataifa! Yule ambaye alikuwa malkia miongoni mwa majimbo sasa amekuwa mtumwa.
2 Daeya ganini asili hahabe huluane e da dinana. Si hano da ea siguluba: le daha. E da musa: sama bagohame galu. Be waha afae da e dogo denesimu hame ba: sa. Emagai dunu da ema hohonone, wali ema ha lai gala.
Kwa uchungu, hulia sana usiku, machozi yapo kwenye mashavu yake. Miongoni mwa wapenzi wake wote hakuna yeyote wa kumfariji. Rafiki zake wote wamemsaliti, wamekuwa adui zake.
3 Yuda fi dunu da hamedei mugululi udigili hawa: hamosu dunu ba: sa. Ilia ha lai dunu da gasa fili, ili fifi lasu amogai mae esaloma: ne, sefasi dagoi. Ilia da ga soge ganodini esala. Ilia fifi lasudafa da hame gala. Ilia ha lai dunu da ili sisiga: iba: le, hobeamu logo hame ba: sa.
Baada ya mateso na kufanyishwa kazi kikatili, Yuda amekwenda uhamishoni. Anakaa miongoni mwa mataifa, hapati mahali pa kupumzika. Wote ambao wanamsaka wamemkamata katikati ya dhiki yake.
4 Wali da dunu afae da hadigi esoga Debolo Diasuga sia: ne gadomusa: hamedafa maha. Uda a: fini amo da musa: amogawi gesami hea: i, wali da se naba. Amola gobele salasu dunu da gogonomobe fawane. Moilai bai bagade logo holei huluane da mebu dagoi ba: sa amola Saione moilai bai bagade da se nabawane diala.
Barabara zielekeazo Sayuni zaomboleza, kwa kuwa hakuna yeyote anayekuja kwenye sikukuu zake zilizoamriwa. Malango yake yote yamekuwa ukiwa, makuhani wake wanalia kwa uchungu, wanawali wake wanahuzunika, naye yuko katika uchungu wa maumivu makuu.
5 Yelusaleme fi ilia ha lai dunu da ili hasali dagoi. Amo ha lai dunu da ilia gasaga Yelusaleme gagulaligisa. Yelusaleme da wadela: i bagohame hamoi dagoi. Amaiba: le, Hina Gode da ema se dabe i dagoi. Yelusaleme fi ilia mano da ilia ha lai dunu amoga doagala: le, sasamogele lale, asi dagoi ba: sa.
Adui zake wamekuwa mabwana zake, watesi wake wana raha. Bwana amemletea huzuni kwa sababu ya dhambi zake nyingi. Watoto wake wamekwenda uhamishoni, mateka mbele ya adui.
6 Yelusaleme ea isisima: goi ba: su da asi dagoi. Ea ouligisu dunu da ‘dia’ gebo amo da ha: ga gasa hamedeiba: le, benea ahoasu dunu iliba: le hobeamu gasa hame agoane ba: sa
Fahari yote imeondoka kutoka kwa Binti Sayuni. Wakuu wake wako kama ayala ambaye hapati malisho, katika udhaifu wamekimbia mbele ya anayewasaka.
7 Yelusaleme da fofagini mugului dagoi mebui agoane ba: sa. Be e da ea musa: isisima: goi ba: su hou bu dawa: sa. Ema ha lai dunu da ema doagala: loba, e da dafai dagoi. Amola e fidimu dunu afae hame ba: su. Ema hasanasisu dunu da ea dafabe amo ba: loba, eba: le oufesega: i.
Katika siku za mateso yake na kutangatanga, Yerusalemu hukumbuka hazina zote ambazo zilikuwa zake siku za kale. Wakati watu wake walipoanguka katika mikono ya adui, hapakuwepo na yeyote wa kumsaidia. Watesi wake walimtazama na kumcheka katika maangamizi yake.
8 Ema nodosu hou da fisiagai dagoi. E da da: i nabado gala amola eno dunu da e higale ba: sa. E da gogosia: iba: le, gogonomusa: , ea odagi wamolegesa. Yelusaleme da hisu wadela: le bagadedafa hamobeba: le, ledo hamoi dagoi.
Yerusalemu ametenda dhambi sana kwa hiyo amekuwa najisi. Wote waliomheshimu wanamdharau, kwa maana wameuona uchi wake. Yeye mwenyewe anapiga kite na kugeukia mbali.
9 Dunu huluane da Yelusaleme moilai bai bagade ea ledo hou amo ba: i dagoi. Be e da hobea misunu hou mae dawa: le esalu. Amaiba: le e da gugunufinisili dafai ba: i. Ea dogo denesimu da hamedei. Ea ha lai dunu da e hasali dagoi, Amola e da Hina Godema e fidima: ne, disa wele sia: sa.
Uchafu wake umegandamana na nguo zake; hakuwaza juu ya maisha yake ya baadaye. Anguko lake lilikuwa la kushangaza, hapakuwepo na yeyote wa kumfariji. “Tazama, Ee Bwana, teso langu, kwa maana adui ameshinda.”
10 Ha lai dunu da ea noga: idafa liligi huluane wamolai dagoi. Hina Gode da amane sema legei, ‘Dienadaile (Yu fi hame) dunu ilia da Debolo Diasu ganodini masunu da sema bagade. Be Yelusaleme da ba: lalobawane, ema ha lai da Debolo Diasuga golili sa: i.
Adui ametia mikono juu ya hazina zake zote, aliona mataifa ya kipagani wakiingia mahali patakatifu pake, wale uliowakataza kuingia kwenye kusanyiko lako.
11 Yelusaleme fi dunu da ha: i manu hogosa, gogonomosa. Ilia liligi noga: idafa amoga ilia na: iyadoma, ha: i manu ili esaloma: ne manusa: bidi lasa. Yelusaleme moilai bai bagade da disa, amane wele sia: sa, “Hina Gode! Na ba: ma! Na da baligili da: i dione esala!
Watu wake wote wanalia kwa uchungu watafutapo chakula; wanabadilisha hazina zao kwa chakula ili waweze kuendelea kuishi. “Tazama, Ee Bwana, ufikiri, kwa maana nimedharauliwa.”
12 Dunu huluane da bobaligilalebe, ilima e da disa wele sia: sa, “Na ba: ma! Na se nabasu defele, dunu afaega da hame ba: i. Hina Gode da nama ougiba: le, amo se nabasu nama i dagoi.
“Je, si kitu kwenu, ninyi nyote mpitao kando? Angalieni kote mwone. Je, kuna maumivu kama maumivu yangu yale yaliyotiwa juu yangu, yale Bwana aliyoyaleta juu yangu katika siku ya hasira yake kali?
13 Hina Gode da muagadodili, lalu iasili, amo lalu da na da: i ganodini nenanu. E da na sa: ima: ne, sanisi. Amaiba: le, na da osoba gala: la sa: i. Amalalu, E da na yolesili, na da mae fisili se nabasu nabala.
“Kutoka juu alipeleka moto, akaushusha katika mifupa yangu. Aliitandia wavu miguu yangu na akanirudisha nyuma. Akanifanya mkiwa, na mdhaifu mchana kutwa.
14 E da na wadela: i hou huluane ba: lalu, amo huluane gilisili, fedege agoane ‘youge’ hamoi. E da na wadela: i hou huluane ‘youge’ agoane na galogoaga gisa: ginisisi, amoga na da: i da dioi bagadeba: le, na da: i da gogaya: i ba: i. Hina Gode da na ha lai dunuma na ianu, na da ilima bu gegemu hamedei ba: i.
“Dhambi zangu zimefungwa kwenye nira, kwa mikono yake zilifumwa pamoja. Zimefika shingoni mwangu na Bwana ameziondoa nguvu zangu. Amenitia mikononi mwa wale ambao siwezi kushindana nao.
15 Hina Gode da na baligili gasa bagade dadi gagui dunu iliba: le oui. E da na ayeligi dunu wadela: lesima: ne, dadi gagui wa: i asunasi. E da waini fage hano hamoma: ne ososa: gibi, amo defele na osa: gi.
“Bwana amewakataa wapiganaji wa vita wote walio kati yangu, ameagiza jeshi dhidi yangu kuwaponda vijana wangu wa kiume. Katika shinikizo lake la divai Bwana amemkanyaga Bikira Binti Yuda.
16 Amaiba: le, na siga si hano da nabale aduga: le daha. Dunu enoga da na denesimu hamedei. Na ha lai dunu da na hasali dagoi. Na fi dunu da liligi gagui hamedafa gala.
“Hii ndiyo sababu ninalia na macho yangu yanafurika machozi. Hakuna yeyote aliye karibu kunifariji, hakuna yeyote wa kuhuisha roho yangu. Watoto wangu ni wakiwa kwa sababu adui ameshinda.”
17 Na da enoga fidima: ne, lobo ilua: legasa. Be fidimu dunu hame ba: sa. Hina Gode da nama doagala: ma: ne, la: idi la: idiga ha lai dunu misa: ne sia: i. Ilia da na ledo hamoi liligi agoane ba: sa.
Sayuni ananyoosha mikono yake, lakini hakuna yeyote wa kumfariji. Bwana ametoa amri kwa ajili ya Yakobo kwamba majirani zake wawe adui zake; Yerusalemu umekuwa kitu najisi miongoni mwao.
18 Be Hina Gode Ea hou da moloi fawane. Bai na da Ea hamoma: ne sia: i nabawane hame hamosu. Fifi asi gala dunu huluane! Na sia: nabima! Na se nabasu ba: ma! Na ayeligi dunu amola a: fini huluane da mugululi asi dagoi.
“Bwana ni mwenye haki, hata hivyo niliasi dhidi ya amri yake. Sikilizeni, enyi mataifa yote, tazameni maumivu yangu. Wavulana wangu na wasichana wangu wamekwenda uhamishoni.
19 Na da na fuligala: su fi dunuma na fidima: ne wele sia: i. Be ilia da na fidumu higa: i. Gobele salasu dunu amola ouligisu dunu ilia da moilai bai bagade logoga esala ha: i manu hogolalu, be hamedeiba: le udigili bogogia: i.
“Niliita washirika wangu lakini walinisaliti. Makuhani wangu na wazee wangu waliangamia mjini walipokuwa wakitafuta chakula ili waweze kuishi.
20 Hina Gode, ba: ma! Na da se bagadedafa nabala! Fedege agoane, na dogo da faga: i dagoi. Bai na da na wadela: i hou dawa: beba: le, da: i dioi bagade nabala. Moilai bai bagade logoga, dunu oda da eno dunu medole legesa. Amola diasu huluane amo ganodini, bogosu fawane ba: sa.
“Angalia, Ee Bwana, jinsi nilivyo katika dhiki! Nina maumivu makali ndani yangu, nami ninahangaika moyoni mwangu, kwa kuwa nimekuwa mwasi sana. Huko nje, upanga unaua watu, ndani, kipo kifo tu.
21 Na gogonomobe nabima! Na dogo denesimu da dunu hame. Di da amo gugunufinisisu nama iabeba: le, na ha lai dunu ilia da nodosa. Hahawane eso amo Di da nama ima: ne ilegele sia: i, amo iasima. Na se nabasu defele, nama ha lai dunuma se bidi ima.
“Watu wamesikia ninavyolia kwa uchungu, lakini hakuna yeyote wa kunifariji. Adui zangu wote wamesikia juu ya dhiki yangu, wanafurahia lile ulilolitenda. Naomba uilete siku uliyoitangaza ili wawe kama mimi.
22 Ilia da wadela: i hou baligili hamobeba: le, ilima fofada: nanu, ilima se bidi imunusa: ilegema. Di da na wadela: i hou hamoiba: le, nama se bidi i, amo defele ilima se bidi ima. Na da bagadewane da: i dioiba: le, gogonomosa. Na da na dogo ganodini olo bagade gala.”
“Uovu wao wote na uje mbele zako; uwashughulikie wao kama vile ulivyonishughulikia mimi kwa sababu ya dhambi zangu zote. Kulia kwangu kwa uchungu ni kwingi na moyo wangu umedhoofika.”

< Fofagini Disu 1 >