< Mousese Ea Malasu 7 >

1 Mousese da eno amane sia: i, “Dilia Hina Gode da dili soge amo dilia da gesowale fimu amoga oule misini, fi bagohame amo ganodini esalebe, E da gadili sefasimu. Dilia da gusuba: i ahoasea, E da fi fesuale gala amo huluane ilia idi amola ilia gasa da dilia baligisa, amo E da gadili sefasimu. Amo fi da Hidaide, Gegasaide, A:moulaide, Ga: ina: naide, Belesaide, Haifaide amola Yebiusaide.
Wakati Yahwe Mungu wenu atuleta katika nchi ambayo mnaenda kuimiliki na kuwaondoa mataifa mengi mbele zenu- Mhiti, Mgirgashi na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, Mhivi, Myebusi- mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko wewe.
2 Dilia Hina Gode da amo dunu fi dilima iasea, dilia amo huluane medole legema. Ilima gousa: su mae hamoma amola ilima mae asigima.
Na wakati Yahwe Mungu wenu awapa ninyi ushindi juu yao pindi mnakutana nao katika vita, mtawashambulia, basi mnapaswa kuwateketeza kabisa. Hamtafanya agano nao, wala kuonesha huruma kwao.
3 Ilima uda lasu mae hamoma amola dilia mano da ilima uda lasu hou hamedafa hamoma: mu.
Wala hamtapanga ndoa zozote pamoja nao, hamtawatoa binti zenu kwa vijana wao, na hamtawachukua binti zao kwa vijana wenu.
4 Bai agoai hamosea, ilia da dilia mano Hina Godema fadegasea, eno ogogosu ‘gode’ liligi amoma nodone sia: ne gadomusa: oule masunu. Amasea, Hina Gode da dilima ougimu amola dili hedolo gugunufinisimu.
Kwa kuwa watawabadilisha vijana wenu kutonifuata mimi, ili kwamba waweze kuabudu miungu yao. Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu na atawaangamiza haraka.
5 Amaiba: le, ilia oloda huluane muguluma. Ilia sema mogomogoi gele amoma sia: ne gadosu liligi goudanesima. Ilia ogogosu uda ‘gode’ A: sela ea olei liligi amo abima amola ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi laluga ulagisima.
Hivi ndivyo mtakavyo washughulikia nao; mtavunja madhabahu zao, vunja nguzo zao za mawe katika vipande, kata chini ncha za Asherahi, na kuzichoma sanamu za kutupwa.
6 Bai dilia da dilia Hina Gode Ea Fidafa. E da osobo bagade fifi asi gala huluane ba: lalu, dilisu Ea fidafa hamoma: ne ilegei dagoi.
Kwa kuwa wewe ni taifa uliyetengwa kwa Yahwe Mungu wako. Amekuchagua wewe kuwa watu kwa ajili yake kumiliki, zaidi ya watu wengine wote ambao wako katika uso wa dunia.
7 E da dilia idi da osobo bagade fi huluane eno ilia idi baligiba: le, dili Ea fi hamoma: ne hame ilegei. Bai dilia da osobo bagade fifi asi gala amo ganodini fonobahadidafa fi ba: i. Eno fi huluane ilia idi da dilia idi baligi.
Yahwe hakuweka upendo wake juu yenu au kuwachagua kwa sababu mlikuwa zaidi katika idadi kuliko watu wowote, kwa kuwa mlikuwa wachache kuliko watu wote-
8 Be Hina Gode da dilima asigi amola E da Ea musa: sia: i amo dilia aowalali ilima ilegele sia: i amo hamomusa: hanai galu. Amaiba: le, E da dilia musa: Idibidi hina bagade ea se iasu diasu udigili hawa: hamonanu, dili halegale masa: ne, amo logo doasi dagoi.
Lakini kwa sababu anawapenda ninyi, anataka kushika kiapo alichoapa kwa baba zenu. Huyu ni Yahwe aliyewatoa kwa mkono wa uweza na kuwakomboa kutoka nyumba ya utumwa, kutoka mkono wa Farao, mfalme wa Misri.
9 Dilia Hina Gode Hisu da Godedafa amola E da Ea fi yolesimu hame dawa: Amo mae gogolema. E da Ea gousa: su noga: le ouligimu amola E mae yolesili asigi hou amo E da Ema asigi dunu amola nabasu dunu egaga fifi misunu idi amo1000 asili ilima olelemu.
Kwa hiyo tambua ya kuwa Yahwe Mungu wako-ni Mungu, Mungu mwaminifu, anayetunza maagano na uaminifu kwa vizazi elfu kwa wale wanaompenda na kuyashika maagizo yake,
10 Be E da hedolowane Ema higa: i dunuma se nabasu imunu.
lakini huwalipa wale wanaomchukia kwa sura zao, kuwaangamiza, hatakuwa na huruma kwa yeyote anayemchukia; atamlipa kwa uso wake.
11 Amaiba: le, dilia na olelei liligi huluane nabawane hamoma. Dilia sema huluane na da wali eso dilima olelei, amoma fa: no bobogema.
Kwa hiyo utashika maagizo, amri, na sheria ninazokuamuru leo, ili kwamba uzifanye.
12 Dilia da mae yolesili amo hamoma: ne sia: i nabawane hamosea, dilia Hina Gode amola da Ea gousa: su dilima i amo noga: le ouligimu. Amola E da dilia aowalali ilima dafawane ilegele sia: i defele, E da Ea asigidafa hou mae yolesili dilima olelemu.
Kama mtasikiliza maagizo haya, kuyashika na kuyafanya, itakuwa Yahwe Mungu wenu atawashika pamoja na agano na uaminifu ambao aliapa kwa baba zenu.
13 E da dilima asigimu amola hahawane dogolegelewane imunu. Dilia idi da heda: mu amola dilia mano bagohame lalelegemu. E da dilia ifabi amoma hahawane dogolegele hamomu. Amasea dilia da gagoma, waini amola olife susuligi bagade ba: mu. E da dili hahawane fidili, bulamagau amola sibi bagohame dilima imunu. E da dilima amo hahawane dogolegele hou hamomu. E da amo hou soge amo E da dilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo ganodini hamomu.
Atawapenda, atawabariki, na kuwazidisha, pia atabariki tunda la miili yenu na tunda la ardhi yenu, nafaka zenu, divai mpya, mafuta yenu, atazidisha mifugo na kundi lako la mifugo michanga, katika nchi ambayo aliapa kwa baba zenu kuwapa.
14 Ea hahawane fidisu hou dilima da amo hou eno fifi asi gala hamosu bagadewane baligimu. Dilia amola dilia ohe fi da aligime hamedafa ba: mu.
Mtabarikiwa zaidi kuliko watu wengine wote; hapatakuwa na mwanaume asiyekuwa na mtoto au mwanamke tasa miongoni mwenu au miongoni mwa mifugo.
15 Dilia da mae oloma: ne, Hina Gode da dili gaga: mu. Dilia olo bagade Idibidi soge ganodini madelai amo da dilima hame madelamu. Be E da dilima ha lai dunu ilima amo olo madelama: ne imunu.
Yahwe atawaondolea magonjwa yote; hakuna magonjwa mabaya ya Misri ambayo mnayajua yatawekwa juu yenu, Lakini atayaweka kwa wote wanaowachukia ninyi.
16 Gode da dunu fi mogili dilia gasaga ilima hasalasima: ne, dilima imunu. Amo dunu fi ilima mae asigili wadela: ma. Dilia da bogosa: besa: le, ilia ogogosu ‘gode’ma mae nodone sia: ne gadoma.
Mtayaondoa makundi ya watu wote ambayo Yahwe Mungu wenu awapa ushindi, na jicho lenu halitawaonea huruma. Na hamtaabudu miungu yao, kwa kuwa huo utakuwa mtego kwenu.
17 Amo dunu fi ilia idi da dilia idi amo baligiba: le, dilia da ili sefasimu da hamedei mae dawa: ma.
Kama mtasema kwenye mioyo, Haya mataifa ni mengi zaidi kuliko mimi; nitawezaje kuwafukuza?
18 Ilima mae beda: ma! Hina Gode da Idibidi Hina amola ea dunu fi ilima gasa bagade hou hamoi. Amo mae gogolema.
Usiwaogope; utakumbuka akilini Yahwe nini Mungu wenu alifanya kwa Farao na Misri yote?
19 Se nabasu bagade da ilima doaga: i. Amo dilia da siga ba: i dagoiba: le mae gogolema. Hina Gode da dilia se iasu diasu logo doasima: ne, gasa bagadedafa hawa: hamosu amo amola mae gogolema. E da Idibidi dunu fi gugunufinisi dagoi. Amo defele E da dunu fi amo dilia da wali ilima beda: i, E da amo dunu gugunufinisimu.
Mateso makuu ambayo macho yenu yaliona, ishara, maajabu, mkono wa uweza, mkono ulionyoshwa ambao Yahwe Mungu wenu alivyowatoa. Yahwe Mungu wenu atafanya kile kile kwa watu wote ambao mnawaogopa.
20 Ea hamobeba: le, ilia da beda: iba: le, ededenale hobeamu. Ilia da hobeale, wamoaligimusa: dawa: mu, be E da amo huluane gugunufinisimu.
Zaidi ya yote, Yahwe Mungu wenu atatuma nyigu miongoni mwao, mpaka wale waliobaki na wale wanaojificha wenyewe mbele yenu waangamizwa mbele ya uwepo wenu.
21 Amaiba: le, amo dunu fi ilima mae beda: ma. Hina Gode da dili fidimusa: esala. E da Gode bagadedafa amola dunu huluane da Ema beda: mu da defea.
Hamtatishikeni nao, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu yuko miongoni mwenu, Mungu mkuu na wa kuogofya.
22 Dilia da gusuba: i ahoasea, E da amo dunu fi huluane afae afae gadili sefasimu. Dilia da eso afae amo ganodini amo dunu fi gugunufinisimu hamedei ba: mu. Amai galea gasonasu ohe fi ilia idi da heda: le, dili gugunufinisimu.
Yahwe Mungu wenu atayaondoa mataifa mbele zenu kidogo kidogo. Hamtayashinda yote kwa wakati mmoja, au wanyama wa mwitu watakuwa wengi karibu yenu.
23 Be Hina Gode da dilima ha lai amo dili gugunufinisima: ne dilima imunu. Ilia da bagadewane ededenale beda: lalu, gugunufinisi dagoi ba: mu.
Lakini Yahwe Mungu wenu atawapa ninyi ushindi dhidi yao wakati mkutanapo vitani; atawachanganya kwa kiasi kikubwa mpaka wameangamizwa.
24 E da ilia hina bagade dunu dilia gasaga ilima hamoma: ne dilima imunu. Dilia da amo medole legemu amola ilia dio gogolei dagoi ba: mu.
Atawaweka wafalme wao chini ya utawala wenu, na mtafanya jina lao kuangamia toka chini ya mbingu. Hakuna atakayeweza kusimama mbele yenu, mpaka muwaangamize.
25 Dilia da ilia loboga hamoi ‘gode’ liligi huluane laluga ulagisima. Silifa, gouli amola amo liligi ganodini diala mae hanaiwane ba: ma amola mae lama. Amane hamosea, amo da dilima bogosu liligi agoaiwane gala. Bai Hina Gode da loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi ilima sia: ne gadosu hou bagadewane higasa.
Utazichoma sanamu za kuchonga za miungu yao- usitamani madini ya fedha au dhahabu yanayofunika na kuichukua kwa ajili yenu, kwa sababu mkifanya, mtanaswa nayo-kwa kuwa ni chukizo kwa Yahwe Mungu wenu.
26 Dilia amo loboga hamoi ‘gode’ liligi amo dilia diasu ganodini mae gaguli misa. Agoane hamosea, Gode Ea gagabusu da dilima aligima: ne madelamu. Hina Gode da amo liligima Ea gagabusu aligima: ne ilegei dagoi. Amaiba: le, dilia amola amo liligi higamu da defea.
Hamtaleta chukizo lolote ndani ya nyumba zenu na kuanza kuiabudu. Mtachukizwa kabisa na kuchukia kwa kuwa imetengwa kwa ajili ya uharibifu.

< Mousese Ea Malasu 7 >