< Mousese Ea Malasu 4 >

1 Amalalu, Mousese da Isala: ili dunuma amane sia: i, “Dilia da sema huluane na da waha dilima olelelala, amo huluane nabawane hamosea, dilia da esalumu, amola dilia soge amo dilia aowalali ilia Hina Gode da dilima iaha, amo dilia da gesowale fimu.
Sasa, Israeli, sikiliza sheria na amri ambayo niko karibu kukufundisha, kuzifanya, ili kwamba uweze kuishi na kuingia ndani na kumiliki nchi ambayo Yahwe, Mungu wa baba zako, anakupa.
2 Na sema dilima olelesa amoga eno sema mae gilisima, amola amoga mae fadegama. Na da Hina Gode Ea sema dilima i dagoi. Amo huluane nabima.
Hautaongeza maneno ambayo nakuamuru, wala hautayapunguza, ili kwamba uweze kushika amri ya Yahwe Mungu wako ambazo naenda kukuamuru.
3 Dilisu da Hina Gode Ea hou Bio Goumia ba: i dagoi. E da dunu huluane amo da ogogosu ‘gode’ Ba: ile amoma nodone sia: ne gadosu, amo huluane gugunufinisi dagoi.
Macho yako yamekwisha ona nini Yahwe alifanya kwa sababu ya Baal Peor, kwa kuwa watu wote waliomfuata Baali Peor, Yahwe Mungu wenu amekwisha kuwaangamiza kutoka miongoni mwenu.
4 Be nowa da dilia Hina Godema fa: no bobogesu hou hame fisi da wali esoga esala.
Lakini walioambatana na Yahwe Mungu wenu wako hai leo, kila moja wenu.
5 Na da na Hina Gode nama hamoma: ne sia: i defele, sema huluane dilima olelei dagoi. Dilia da wali Ga: ina: ne soge doagala: le, gesowale fimu. Amo ganodini, amo sema huluane nabawane hamoma.
Tazama, nimewafundisha sheria na amri, kama Yahwe Mungu wangu alivyoniamuru mimi, ila kwamba mfanye hivyo katikati mwa nchi ambayo mnaiendea ili kusudi muimiliki.
6 Dilia amo sema mae yolesili nabawane hamosea, dilia da eno osobo bagade fi dunu ilima, dilia bagade dawa: su hou olelemu. Ilia da amo sema nabasea, ilia da amane sia: mu, ‘Amo Isala: ili dunu da bagade. Ilia asigi dawa: su hou da bagadedafa.’
Kwa hiyo washikilieni na kuwafanya, kwa kuwa hii ni hekima yenu na uelewa wenu mbele ya macho ya watu watakaosikia amri hizi zote na kusema, “Hakika taifa hili kubwa lina watu wa hekima na uelewa.'
7 Ninia da fidisu hanai galea o se nabasea, ninia Hina Gode da nini fidimusa: gadenene esala ba: sa. Ninia da Ema fidima: ne wele adosea, E da hedolo fidimusa: maha. Eno dunu fi huluane, amola bagadedafa fi huluane, da agoaiwane Gode hame gala.
Kuna taifa gani jingine la vile liko hapo lina mungu karibu nao, kama Yahwe Mungu wetu tunapomwita wakati wowote?
8 Na da wali sema moloidafa amola noga: idafa dilima olelei. Eno dunu fi huluane fonobahadi amola bagadedafa, huluane da agoaiwane sema hame gala.
Kuna taifa kubwa gani jingine liko hapo ambalo lina sheria na amri ili kwamba haki pamoja na sheria ambayo ninaweka mbele yenu leo?
9 Dawa: ma! Ha: esaloma! Dilia da osobo bagadega esalea, dilia siga ba: i liligi mae gogolema. Dilia mano amola dilia aowa ilima olelema.
Zingatia peke na kuwa makini kujilinda, ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona, ili kwamba yasiuwache moyo wako kwa siku zote za maisha yako. Badala yake, yafanye yajulikane kwa watoto wako na wana watoto wako.
10 Dilia da Sainai Goumia Hina Gode amo Ea midadi lelu. E da nama amane sia: i, ‘Dunu fi huluane gilisima. Na hanai da Na dima sia: mu liligi ilia huluane nabimu. Amasea Na da ilima nabasu hou olelemu. Ilia da osobo bagadega esalea, Nama nabasu hou hamomu da defea. Amola ilia da ilia manoma Nama beda: su hou olelemu da defea.’
Kuhusu siku ile uliyosimama mbele ya Yahwe Mungu wako katika Horeb, wakati Yahwe alisema nami, 'Nikusanyie watu, na nitawafanya wasikia maneno yangu, ili kwamba waweze kujifunza kuniogopa mimi siku zote ambazo wanazoishi duniani, na kwamba waweze kuwafundisha watoto wao.
11 Dilia da asili goumi ea baiga lelu. Goumi da bunumai mobi bagade amoga dedeboi dagoi amola lalu bagade ea gona: su da muagado heda: i. Amo hou dilia manoma olelema.
Mlikuja karibu na kusimama katika wayo wa mlima. Mlima uliwaka moto kwenye moyo wa mbinguni, pamoja na giza, mawingu na giza jembamba.
12 Hina Gode da lalu ganodini esalebe, amoga E da dilima sia: i. Dilia da Ea sia: nabi be hodo hame ba: i. Amo amola dilia manoma olelema.
Yahwe alizungumza katikati ya moto, ulisikia suati pamoja na maneno yake, lakini hakuona umbo, ila ulisikia sauti peke.
13 Hina Gode da dilima logo olelei. Dilia da Gousa: su amo E da dilima hamoi amo noga: le fa: no bobogema: ne, Hamoma: ne Sia: i Nabuane Gala E da gele gasui aduna da: iya dedei amo nabawane hamoma E sia: i. Amo sia: huluane dilia manoma olelema.
Alitangaza kwenu agano lake ambalo aliwaamuru ninyi kulifanya, amri kumi. Aliziandika kwenye vibao viwili vya mawe.
14 Hina Gode da nama dilima sema huluane soge wali dilia gesowale fimu amo ganodini fa: no bobogemu amo dilima olelema: ne sia: i.”
Yahwe aliniamuru mimi kwa wakati huo kuwafundisha sheria na amri, ili kwamba muweze kuzifanya katika nchi mnaoivuka kwenda kuimiliki.
15 Mousese da eno amane sia: i, “Hina Gode da Sainai Goumia lalu amo ganodini esalebe dilima sia: noba, dilia da hodo hame ba: i. Amaiba: le, dilia hahawane esaloma: ne, noga: le dawa: ma!
Basi iweni waangalifu ninyi wenyewe - kwa kuwa mliona hakuna namna ya umbo siku hiyo ambapo Yahweh alizungumza nanyi huko Horeb kutoka katikati mwa moto,
16 Wadela: le hamomusa: dilia loboga hamoi ‘gode’ agoaila: liligi maedafa hamoma.
ili kwamba usiharibike na kuchonga umbo katika sura ya kiumbe chochote, umbo la mwanaume au mtu wa kike,
17 Dunu agoai o uda agoai o ohe fi o sio o
au sura ya mnyama aliye katika nchi, au sura ya ndege yoyote wa mabawa arukae katika anga, au
18 sania o menabo agoaiwane liligi amoma sia: ne gadomusa: , mae hedofale hamoma.
sura ya kitu chochote kitambaacho katika ardhi, au sura ya samaki yoyote katika maji chini ya ardhi.
19 Amola dilia da eno ilia dafama: ne olelesu nabasea, liligi dilia da mu amo ganodini ba: sa amoma mae nodone sia: ne gadoma. Amo da eso amola oubi amola gasumuni. Hina Gode da amo liligi osobo bagade fifi asi gala ilima i dagoi.
Hautainua macho yako juu mbinguni na kutazama jua, mwezi, au nyota - jeshi lote la mbinguni- ukusogezwa na kuviabudu na kuvisujudia- vile vyote ambavyo Yahwe Mungu wenu amewapa hisa watu wote walio chini ya anga lote.
20 Be dilia da hisu. Dilia da Idibidi soge ganodini lalu bagade defele ganodini esalu. Amoga Hina Gode da dili fadegai. E da dilia Ea Fidafa (wali dilia da Ea Fidafa esala) amo hamoma: ne dili gadili oule asi.
Lakini Yahwe amewatoa ninyi na kuwaleta nje ya tanuru la chuma, nje ya Misri, kuwa kwake watu wa urithi wake, kama mlivyo leo.
21 Dilia houba: le, Hina Gode da nama ougi galu. E da nama moloiwane olelei, na da Yodane Hano mae degele, soge noga: idafa E da dilima iaha amo ganodini hamedafa masunu.
Yahwe alinikasirikia mimi kwa sababu yenu; aliapa kwamba nisiende ng'ambo ya Yordani, na kwamba nisiende kwenye nchi nzuri, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa ninyi kama urithi.
22 Na da guiguda: bogomu amola hano hamedafa degemu. Be dilia da amo hano degemu amola amo soge noga: idafa gesowale fimu.
Badala yake, ninapaswa kufa katika nchi hii, sipaswi kwenda ng'ambo ya Yordani, lakini mtaenda ng'ambo na kuimiliki nchi nzuri
23 Be dawa: ma! Dilia gousa: su amo Hina Gode da dilima hamoi amo mae gogolema. E da dilima loboga hamoi ‘gode’ liligi maedafa hedofama, amo sema noga: le fa: no bobogema: ne sia: i.
Zingatia ninyi wenyewe, ili kwamba msisahau agano la Yahwe Mungu wenu, alilolifanya pamoja nanyi, na kujichongea mfano wa sanamu katika uombo la kitu chochote ambacho Yahwe Mungu wenu amewakataza kufanya.
24 Bai dilia Hina Gode da lalu bagade defele esala. E da Hi sogebi lamu hanai dunu, ilima bagade higalala.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni moto ulao, Mungu wa wivu.
25 Dilia da amo soge ganodini ode bagohame esalu, mano amola aowa lai dagoi ba: sea, amo esoga amola wadela: i loboga hamoi ‘gode’ liligi ea hodo defele mae hamoma. Bai amo hou Hina Gode Ea siga da wadela: idafa ba: sa, amola E da mi hanamu.
Wakati mnapozaa watoto na wana watoto, na wakati mtakapo kuwa katika nchi kwa muda mrefu, na kama mtaharibikiwa ninyi na kuchonga umbo la umbo lolote, na kufanya uovu machoni pa Yahwe Mungu wenu, kumchoche katika hasira-
26 Na da wali fedege agoane mu amola osobo bagade, dilima ba: su dunu defele adosa. Dilia da na sia: noga: le hame nabasea, dilia fi da amo soge ganodini eso bagahame fawane esalebe, hedolowane alalolesi dagoi ba: mu. Dilia da soge Yodane Hano la: idi amo dilia da waha gesowale fimu soge amo ganodini ode bagahame fawane esalumu. Dilia fi da dafawanedafa gugunufinisi dagoi ba: mu.
Nitaita nchi na mbingu kushuhudia dhidi yenu leo kwa kuwa mapema kabisa mtaangamia kutoka katika nchi ambayo mnaiendea huko ng'ambo ya Yordani kuimiliki, hamtazidisha siku zenu ndani yake, lakini mtaangamizwa kabisa.
27 Hina Gode da dilia eno fifi asi gala amo ganodini esaloma: ne galadigimu. Amo ganodini dilia dunu da bagahame fawane esalumu.
Yahwe atawatawanyisha ninyi miongoni mwa watu, na mtabaki wachache ki-idadi miongoni mwa mataifa, ambapo Yahwe atawaongoza mbali.
28 Amo ga fifi asi gala ilia soge ganodini esalea, dilia da ogogosu ‘gode’ liligi, osobo bagade dunu ilia loboga hamoi liligi amoga hawa: hamomu. Amo liligi da ifa amola igi, amoga hamoi. Ilia siga hame ba: sa, hame naba, ha: i manu hame naha amola miga hame naba ba: sa.
Huko mtatumikia miungu mingine, kazi ya mikono ya watu, mbao na mawe, ambayo wala haioni, kusikia, wala kunusa.
29 Amo ga fifi asi gala ganodini dilia da dilia Hina Gode hogoi helemu. Dilia da dilia dogo amola asigi dawa: su huluane amoga hogoi helesea, dilia da E bu ba: mu.
Lakini kuanzia hapo mtamtafuta Yahwe Mungu wenu, na mtampata, wakati mtakapomtafuta kwa moyo wenu wote na roho zenu zote.
30 Dilia se bagade nabasea amola na waha sia: i liligi dilia ba: sea, ouesalu, dilia da Hina Godema sinidigili, Ea sia: bu nabimu.
Wakati mnakuwa katika dhiki, na wakati haya yote yatakuwa yamekuja kwenu, katika siku za badae mtamrudia Yahwe Mungu wenu na kusikia sauti yake.
31 Hina Gode da gogolema: ne olofosu bagade dawa: E da dili hamedafa yolesimu amola dili hame gugunufinisimu. Amola E da gousa: su amo Hisu dilia aowalali ilima hamoi amo hamedafa gogolemu.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni Mungu wa rehema; hatawaangusha wala kuwaangamiza ninyi, wala kusahau agano la baba zenu ambalo aliapa kwao.
32 Musa: hemone dilia da hame lalelegei eso amoga Gode da dunu fi osobo bagadega fima: ne hamoi, amo eso ea hou hogoi helema. Osobo bagade soge huluane amo ganodini hogoi helema. Amo bagade hou Gode da waha hamobe da musa: ba: bela: ? Dunu da amo hou hamoi amo nabibala: ? Hame mabu!
Kwa ajili ya kuuliza sasa kuhusu siku zilizopita ambazo zilikuwa mbele yenu: tangu siku ile ambayo Mungu alimuumba mtu katika nchi, kutoka pande moja ya mbingu hadi nyingine, uliza kama kumekuwepo chochote kama hiki kikubwa, au chochote kama hicho imewahi kusikiwa?
33 Dunu fi afae da Gode laluga ilima sia: i dilia defele nabi, amo bu esalebe ba: bela: ? Hame mabu!
Ilishawahi kutokea watu kusikia sauti ya Mungu kuongea katikati ya moto, kama mlivyosikia, na kuishi?
34 Eno ‘gode’ liligi da mae beda: iwane dunu fi afae amo eno dunu fi amoga fisili masa: ne, ea fidafa hamoi, dilia Hina Gode da Idibidi soge dilima hamoi defele, eno ‘gode’ da agoane hamobela: ? Hame mabu! Dilia siga ba: ma: ne E da Ea gasa bagadega hamoi. E da olo bagade amola gegesu bagade hamoi. E da musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu amola beda: su bagade liligi hamoi dagoi.
Au Mungu ameshawahi kujaribu kwenda na kujichukulia kwa ajili yake taifa kutoka miongoni mwa taifa, kwa majaribu, ishara na maajabu na kwa vita, na mkono wa nguvu, na mkono ulionyoshwa, na magaidi wakuu, vile vyovyote ambavyo Yahwe Mungu wenu alifanya kwa ajili yenu Misri mbele ya macho yenu?
35 Hina Gode Hisu da Gode - eno hame - amo dilima olelema: ne, Hina Gode da amane hamoi.
Kwenu haya yalioneshwa, ili muweze kujua kuwa Yahwe ni Mungu, na kwamba hakuna mwingine zaidi yake.
36 E da dilima olelema: ne, Hebene soge amoga dilima sia: i. Amola osobo bagadega E da Ea Hadigi lalu dilima olelei, amola amoga dilima sia: i.
Toka mbinguni alifanya msikie sauti yake, ili kwamba aweze kuwaelekeza, juu ya nchi aliwafanya muone moto wake mkuu, mlisikia maneno yake toka katikati ya moto.
37 E da dilia aowalali ilima asigiba: le, dili ilegei, amola Hisu da Ea gasa bagade amoga dili Idibidi soge fisili masa: ne gadili hiougi.
Kwa sababu aliwapenda baba zenu, alichagua wazao wao baada yao, na kuwatoa ninyi Misri kwa uwepo wake, kwa nguvu yake kubwa,
38 Dilia da gusuba: i ahoanoba, E da dunu fi amo ilia idi amola gasa da dili baligi, amo sefasi. Bai E da dili amo ilia soge ganodini (amo da wali dilia soge) oule masunu hanai galu.
ili kusudi awatowe kutoka mbele ya mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi, kuwaleta ndani, kuwapa ninyi nchi yao kama urithi, hivi leo.
39 Amaiba: le, wali eso maedafa gogolema! Hina Gode da Godedafa Hebene ganodini amola osobo bagadega. Eno ‘gode’ da hamedafa.
Tambua hivi leo, weka kwenye moyo wako, Yahwe ni Mungu juu ya mbingu na chini ya dunia, hakuna mwingine yeyote.
40 Dilia Ea sema huluane na da wali eso dilima olelei, amo nabawane hamosea, dilia amola diligaga fi da hahawane esalumu. Amola dilia da mae fisili, amo soge dilia Hina Gode da dili eso huluane amo ganodini esalalaloma: ne dilima iaha, amo ganodini esalalalumu.”
Mtazishika sheria zake na amri zake ambazo nawaamuru leo, ili kwamba iweze kuwa vizuri kwenu na watoto wenu baada yenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu amewapa milele.”
41 Amalalu, Mousese da moilai bai bagade udiana Yodane Hano eso maba gusudili ilegei.
Kisha Musa alichagua miji mitatu mashariki mwa Yordani,
42 Amo moilai bai bagade da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade. Nowa dunu da ea ha lai dunu hame amomane mae ougili giadofale medole legesea, e da amo moilaiga hobeale ahoasea, maga: me dabe iasu dunu amoga mae medole legele, gaga: su ba: mu.
ili kwamba yoyote aweze kukimbia kati ya moja yao kama imemuua mtu mwingine kwa ajili, pasipo kuwa adui hapo awali. Kwa kukimbilia kwenye moja ya miji hii, atakuwa amenusurika.
43 Liubene fi dunu ilia Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade da Bisa (hafoga: i bi da: iya umi sogega dialu). Ga: de fi dunu ilia Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade da Lamode (Gilia: de soge amo ganodini). Amola Eso Mabadili Mana: se fi dunu ilia Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade da Golane (Ba: isia: ne soge amo ganodini).
Walikuwa: Bezeri katika jangwa, nchi tambarare, kwa Warubenites; Ramothi huko Gileadi, kwa Gadites; na Golani huko Bashani, kwa Manassites.
44 Mousese da Gode Ea sema amola Ea olelei huluane Isala: ili dunu fi ilima i.
Hii ni sheria ambayo Musa aliweka mbele ya watu wa Israeli,
hizi ni amri za agano, sheria, na amri zingine alizungumza na watu wa Israeli wakati walipotoka Misri,
46 Ilia da Idibidi soge yolesili, fago soge Yodane Hano eso mabe la: ididili Bedebio la: ididili esaloba, amo sema ilima olelei. Amo soge da musa: hina bagade Saihone, A:moulaide ouligisu musa: Hesiabone moilaiga esalu, amo ea soge. Mousese amola Isala: ili dunu fi da Idibidi soge yolesili amo hina bagade dunu hasali.
pindi walikuwa Mashariki mwa Yordani, katika bonde mkabala wa Beth Peori, katika nchi ya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyewahi kuishi Heshbon, ambaye Musa na watu wa Israeli waliwahi kumshinda wakati walipotoka Misri.
47 Ilia da ea soge gesowale fi amola hina bagade Oge (Ba: isia: ne soge ouligisu, e amola da A: moulaide dunu Yodane Hano eso mabe la: ididili esalu) amo ea soge fedelale fi.
Walichukua nchi yake kama urithi, na nchi ya Ogi mfalme wa Bashani- hawa, wafalme wawili wa Amorites, waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani kuelekea Mashariki.
48 Amo soge da Aloua moilai (Anone Hano bega: dialu) amo oleiga asili Silione Goumi (eno dio Hemone Goumi) amoga doaga: i.
Himaya hii ilienda kutoka Aroer, katika ukingo wa bonde la Arnon, kwa mlima wa Sion (mlima Hermon),
49 Soge huluane Yodane Hano eso mabe bega: ga (north) asili Bogoi Hano Wayabo doaga: i amola eso mabe amoga asili Bisiga Goumi amoga doaga: i, amo soge huluane da ilia lai soge ganodini dialu.
na ilijumuisha tambarare zote za bonde la mto Yordani, Mashariki mwa ng'ambo ya pili ya Yordani, kuelekea bahari ya Arabah, kuelekea miteremko ya mlima Pisgah.

< Mousese Ea Malasu 4 >