< Mousese Ea Malasu 18 >

1 Lifai fi (Gobele Salasu dunu fi) amo dunu da Isala: ili soge amo ganodini soge hame gagumu. Be ilia labe amola ha: i manu da eno dunu ilia Hina Godema hahawane udigili iasu amola gobele salasu liligi i.
Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
2 Lifai fi da eno dunu fi defele soge lai amo hame lamu. Be Hina Gode Ea sia: i defele ilia da Hina Gode Ea gobele salasu hamobeba: le, hahawane gaguiwane ba: mu.
Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
3 Isala: ili dunu da bulamagau o sibi Hina Godema gobele salasea, ilia da amo ea gida, magado amola hagomo amo gobele salasu dunuma imunu.
Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
4 Amola gobele salasu dunu (Lifai fi dunu) da degabo lai gagoma, waini, olife susuligi amola sibi hinabo lamu.
Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
5 Dilia fi amo ganodini, Hina Gode da Lifai fi amo eso huluane Ema gobele salasu dunu hawa: hamomusa: gini ilegei dagoi.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
6 Nowa Lifai dunu da hanai galea, e da hi moilai Isala: ili soge ganodini amo yolesili, Godema nodone sia: ne gadosu sogebi afae Gode da ilegei amoga masunu da defea.
Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
7 Amogawi e da Lifai dunu eno amoga hawa: hamonana amo defele e da hawa: hamomu da defea.
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
8 E da eno gobele salasu dunu defele ha: i manu lamu amola ea sosogo fi da ema ha: i manu o eno liligi iasisia, e da amo huluane lamu da defea.
Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
9 Dilia soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha amo ganodini masea, dilia dunu fi waha amo ganodini esala amo ilia wadela: idafa hou defele mae hamoma: mu.
Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
10 Dilia mano amo ilia oloda da: iya mae laluga gobesima. Amola dilia fi dunu oda da wamuni dawa: su o yagono hou maedafa hamoma: mu.
Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
11 Amola ilia gabi amoma hame dawa: mu amola gesami dasu hou da dilima sema bagade.
yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
12 Amo hou huluane da wadela: idafa amola Hina Gode da amo hou higasa. Ga: ina: ne soge dunu da amo wadela: i hou hamonana. Amaiba: le, dilia da ilia soge ganodini gusuba: i ahoasea, Hina Gode da amo dunu gadili sefasimu.
Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
13 Dilia moloidafa mae fisili, Hina Gode Ea sia: nabawane hamoma.”
Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
14 Amalalu, Mousese da eno amane sia: i, “Ga: ina: ne dunu wali dilia gesowale fimu soge ganodini esala da gesami dasu amola wadela: i ba: la: lusu dunu ilia sia: naba. Be dilia Hina Gode da amo hou da dilima sema bagade sia: sa.
Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
15 Be fa: no, E da balofede dunu na (Mousese) defele, dilia fi dunu, amo dilima asunasimu. Dilia ea sia: noga: le nabima.
Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
16 Dilia da musa: Sainai gilisilalu, dilia da Hina Godema bu “mae sia: ma” amola Ea hadigi bu mae ba: ma: ne sia: i. Bai dilia da bogosa: besa: le, bagade beda: i.
Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
17 Amaiba: le, Hina Gode da Goumia nama amane sia: i, ‘Ilia da dawa: iwane adole ba: i.
Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
18 Na da Isala: ili fi balofede dunu, di agoane, ilima asunasimu. E da Na sia: amo Isala: ili dunuma olelemu.
Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
19 E da Na Dioba: le sia: mu amola nowa dunu da ea sia: hame nabasea, Na da ema se dabe imunu.
Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
20 Be balofede dunu afae da hi sia: fawane Na sia: mae nabawane, ogogole Na Dioba: le sia: sea, defea, amo dunu medole legema. Amola balofede dunu da eno ogogosu ‘gode’ liligi amo ilia dioba: le sia: sea, amo dunu medole legema.
Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
21 Amabela: ? Dilia da gilisili sia: dasea agoane, ‘Ninia da habodane balofede dunu da ogogole Gode Ea sia: mae nabawane hi sia: fawane olelesa, amo habodane dawa: ma: bela: ?’
Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
22 Dilia da agoane dawa: mu. Balofede dunu da Hina Gode Ea Dioba: le amo hou da fa: no misunu sia: sa amola amo hou da hame doaga: sea, defea, amo dunu da Gode Ea sia: hame olelesa dawa: ma. E da hisu hi asigi dawa: su fawane olelesa amola dilia ema mae beda: ma.
Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.

< Mousese Ea Malasu 18 >