< 1 Sa:miuele 25 >

1 Sa: miuele da bogoi. Amola Isala: ili fi dunu huluane da ema asigiba: le idigimusa: gilisi. Ilia da moi hi lai (La: ima) amogai e uli dogone sali. Amolalu, Da: ibidi da wadela: i hafoga: i soge Ba: ila: ne amoga asi.
Basi Samweli akafariki. Waisraeli wote wakakusanyika pamoja na kumwomboleza, na wakamzika nyumbani kwake huko Rama. Kisha Daudi akainuka na akashuka hadi jangwa la Parani.
2
Kulikuwa na mtu mmoja huko Maoni, na mali zake zilikuwa huko Karmali. Mtu huyo alikuwa tajiri sana. Alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja. Naye alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake huko Karmeli.
3 Amogawi, Ga: ilebe fi dunu ea dio amo Na: iba: le da Ma: ione moilaiga esalebe ba: i. E da Gamele moilai gadenene dialebe soge gagui. E da bagade gagui dunu. E da sibi 3,000 agoane amola goudi 1,000 agoane gagui galu. Ea uda da isisima: goi ba: i amola bagade dawa: su ba: i. Be Na: iba: le da uasu amola hedolo mi hanasu dunu agoane ba: i. Na: iba: le da Gamele amoga ea sibi hinabo dadamunanebe ba: i,
Na mtu huyo aliitwa Nabali, na jina la mke wake aliitwa Abigaili. Mwanamke huyo alikuwa mwenye busara na mzuri kwa sura. Lakini mwanaume alikwa mkaidi na mwovu katika mambo yake. Alikuwa wa uzao wa nyumba ya Kalebu.
4 amola Da: ibidi da wadela: i hafoga: i soge ganodini esalu, amo hou nabi.
Daudi akasikia akiwa jangwani kwamba Nabali alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake.
5 Amaiba: le, e da ayeligi dunu nabuane amo Na: iba: lema hahawane sia: sia: ma: ne, Gamele moilaiga asunasi.
Hivyo Daudi aliwatuma kwake vijana kumi. Akawaambia wale vijana, “Pandeni kwanda Karmeli, mwendeeni Nabali, na mkamsalimie kwa jina langu.
6 E da ili Na: iba: lema amane sia: ma: ne sia: i, “Sama! Da: ibidi da dima, dia sosogo amola dili huluane dilima ea asigi sia: sia: sisa.
Mtamwambia, 'Uishi katika baraka, Uwe na amani na nyumba yako iwe na amani, na wote ulionao wawe na amani.
7 E da nabi amo di da dia sibi ilia hinabo dadamusa: esala. Ea hanai da dia sibi ouligisu da nini esala amola ninia da ilima se hame iasu, di da amo dawa: mu e da hanai. Ilia da Gamele amogai esaloba, ilia liligi afae wamolai hame ba: i.
Nasikia kwamba unao wakata manyoya. Wachungaji wako walikuwa pamoja nasi, na hatukuwafanyia ubaya, na muda wote wakiwa Karmeli hawakupotelewa kitu chochote.
8 Di da dia hawa: hamosu dunu ilima adole ba: sea, ilia da amo defele dima olelemu. Ninia da lolo nabe esoga dima misi wea. Di da nini aowama: ne, Da: ibidi da dima edegesa. Nini amola dia na: iyado Da: ibidi fidima: ne, dia imunu amo ninima ima.”
Waulize vijana wako, nao watakuambia. Basi vijana wangu wapate kibali machoni pako, maana tumefika siku ya sherehe. Tafadhali utoe cho chote ulicho nacho mkononi kwa watumishi wako na kwa Daudi mwanao.'”
9 Da: ibidi ea dunu da Da: ibidi ea sia: amo Na: iba: lema olelelalu, ouesalu.
Vijana wa Daudi walipofika, walimwambia Nabali yote haya kwa niaba ya Daudi na kisha wakasubiri.
10 Na: iba: le da aligili, amalu amane adole i, “Da: ibidi da nowala: ? Na da ea dio hamedafa nabi. We galu ninia soge da hobeale asi udigili hawa: hamosu dunu amoga nabai gala!
Nabali akawajibu watumishi wa Daudi, “Daudi ni nani? Na ni nani mwana wa Yese? Siku hizi wapo watumishi wengi wanaotoroka bwana zao.
11 Na da na agi gobei, hano amola ohe na da na sibi hinabo dadamusu dunugili ima: ne fanelegei, amo lale, dunu amo da habodili misi na hame dawa: , amogili hamedafa imunu!”
Je, nichukue mkate wangu na maji yangu na nyama yangu ambayo nimewachinjia wakata manyoya wangu, na niwape watu wanaotoka nisikokujua?”
12 Da: ibidi ea dunu da ema buhagili, Na: iba: le ea sia: i ema adodole i.
Hivyo vijana wa Daudi waligeuka na kurudi, nakumwambia kila kitu kilichosemwa.
13 Da: ibidi da ea dunuma amane sia: i, “Dilia! Gegesu gobihei salawane idinigima!” Amalalu, ilia da amane hamoi. Da: ibidi amola da ea gegesu gobihei idiniginisi. E amola ea dunu 400 agoane da Na: iba: le e doagala: musa: asi. Ea dunu eno 200 agoane da ilia liligi ouligima: ne, Ba: ila: ne sogega ouesalu.
Daudi akawaambia watu wake, “Kila mtu ajifunge upanga wake.” Kila mtu akajifunga upanga wake. Daudi naye pia akajifunga upanga wake. Yapata kama watu mia nne wakafuatana na Daudi, na wengine mia mbili walibaki kulinda mizigo yao.
14 Na: iba: le ea hawa: hamosu dunu afae da Na: iba: le idua A: biga: ilema amane sia: i, “Di da nabibala: ? Da: ibidi da hafoga: i sogega asigi sia: ninia hina ema sia: si. Be e da bu Da: ibidima ougili sisa: noi.
Lakini kijana mmojawapo alimwambia Abigaili, mke wa Nabali akasema, “Daudi aliwatuma wajumbe kutoka jangwani waje wamsalimu bwana wetu, na yeye akawatukana.
15 Be Da: ibidi amola ea dunu da ninima obenane hamoi. Ilia da ninima se hame iasu. Amola ninia da ili amola sogega gilisili esalea, ninia da liligi afae wamolai hamedafa ba: i.
Bado watu hawa walitutendea mema. Hatukudhurika na hatukupoteza chochote wakati wote tulipotembea nao tulipokuwa mbugani.
16 Ninia da sibi wa: i ouligisa esalea, ilia da yoga amola gasia, ninima noga: le gaga: su.
Walikuwa ukuta wetu usiku na mchana, wakati wote tulikuwa pamoja nao tukichunga kondoo.
17 Amo hou noga: le dawa: lalu, dia hamomu ilegema. Ea hamobeba: le, ninia hina amola ea sosogo huluane da se bagade nabimu agoai galebe. E da gasa fi bagade hamobeba: le, e da dunu eno ilia sia: hamedafa naba.”
Kwa hiyo tambua hili na zingatia utafanya nini, maana ubaya unamvizia bwana wetu, na utakuwa juu ya nyumba yake yote. Yeye ni mtu asiyefaa na hakuna awezaye kushauriana naye.”
18 A: biga: ile da hedolowane agi ga: gi 200 amola bulamagau gadofoga hamoi daba waini hano nabai aduna, sibi houi biyale, gagoma egegei17 gilogala: me, waini fage gagabu fofogai 100 agoane amola figi ifa fage fofogai ga: gi 200 agoane amo lale, dougi da: iya lidili lelegesa lai.
Ndipo Abigaili akaharakisha na akachukuwa mikate mia mbili, chupa mbili za divai, kondoo watano waliokwisha andaliwa, vipimo vitano vya bisi, vishada mia moja vya zabibu, na mikate mia mbili ya tini na akavipakia juu ya punda.
19 Amalalu, e da ea hawa: hamosu dunu ilima amane sia: i, “Dilia bisili masa! Na da fa: no bobogemu.” Be e da egoa ema hamedafa sia: i.
Akamwambia kijana wake, “Tangulia mbele yangu, nami nitakuja nyuma yako.” Lakini hakumwambia mmewe Nabali.
20 E da dougi da: iya fila heda: le, agolo goulole aliagaloba, hedolowane Da: ibidi amola ea dunu migadenene manebe ba: i.
Alipokuwa akienda juu ya punda wake na kutelemka penye kificho cha mlima, Daudi na watu wake walishuka chini wakimwelekea Abigaili, naye akakutana nao.
21 Da: ibidi amane dadawa: lu, “Na da abuliba: le amo dunu ea liligi hafoga: i sogega ouligilalula: ? E da liligi afae wamolai hamedafa ba: i. Be na da e fidibiba: le, e da nama wadela: i bidi dabe iaha.
Basi Daudi alikuwa amesema, “Hakika nimelinda bure vyote alivyonavyo mtu huyu huko nyikani, na vyote alivyonavyo hakuna kilichopotea, pamoja na hayo amenilipa mabaya badala ya mema.
22 Na da hame hadigia amo dunu huluane hame fane lelegesea, Hina Gode da na fane legemu da defea.”
Mungu na anitendee hivyo mimi, Daudi, pia iwe zaidi, iwapo nitamwacha hata mtu mmoja wa kwake akiwa hai ifikapo kesho asubuhi.
23 A: biga: ile da Da: ibidi ba: beba: le, hedolowane dougi da: iya esalu alia gudui amalu hi gobele Da: ibidi ea emo bega: osoba gala: la sa: ili,
Abigaili alipomwona Daudi, aliharakisha na kushuka chini ya punda wake, akalala kifudifudi na kujiinamisha hadi chini.
24 amola ema amane sia: i, “Dafawane hina! Na sia: nabima! Na da amo da: i diosu dabe lala!
Akamwangukia miguuni pake na kusema, “Juu yangu tu, bwana wangu, na uwe uovu. Tafadhali acha mjakazi wako aseme nawe, tena uyasikilize maneno ya mjakazi wako.
25 Na: iba: le da noga: i hame dunu! Ea sia: mae nabima! Dafawane! E da ea dio dawa: loma: ne defele gagaoui dunu esala! Hina! Dia hawa: hamosu dunu da doaga: loba, na da amogawi hame galu.
Nakusihi bwana wangu usimjali mtu huyu asiyefaa, Nabali, kwa maana kama jina lake lilivyo, ndivyo alivyo. Jina lake ni Nabali, na upumbavu uko pamoja naye. Lakini mimi mjakazi wako sikuwaona vijana wa bwana wangu, uliowatuma.
26 Dia ha lai dunuma dabele fane legemu logo, Hina Gode E da hedofai. Amola wali na da Hina Gode Ea Dioba: le amane sia: sa, dia ha lai amola dunu huluane da dima se imunusa: dawa: lala, amo da Na: iba: le ea se iasu lamu defele, se iasu ba: mu.
Sasa basi, bwana wangu, kama BWANA aishivyo, na kama unavyoishi, kwa kuwa BWANA amekuondoa kutoka kumwaga damu, na kuacha kulipiza kisasi kwa mkono mwenyewe, basi adui zako, na wale ambao wanatafuta kumfanyia uovu bwana wangu, wawe kama Nabali
27 Dafawane hina! Na dima udigili imunusa: gaguli misi goe lale, dia dunuma ima.
Na sasa zawadi hii ambayo mjakazi wako ameileta kwa bwana wangu, na wapewe vijana ambao wanamfuata bwana wangu.
28 Dafawane hina! Na da wadela: i hou hamoi galea, amo gogolema: ne olofoma. Hina Gode da di amola digaga fi hina bagade hamomu. Bai di Ea gegesu hamonana. Amola di da esalea, wadela: i hou hamedafa hamomu.
Tafadhali ulisamehe kosa la mjakazi wako, maana BWANA hakika atamfanyia bwana wangu nyumba imara, kwa sababu bwana wangu anapigana vita vya BWANA; na uovu hautaonekana ndani yako maadamu unaishi.
29 Nowa da dima doagala: le, fane legemusa: dawa: sea, dia Hina Gode da dunu da gobolo gene ouligibi defele, di gaga: mu. Be dia ha lai dunu amo Hina Gode da dunu da ifa badaga ga: muga: dadiga gele fodole gala: be defele, galagamu.
Na ingawa watu wangeinuka na kukuandama ili wakuue, bado uhai wa bwana wangu utafungwa katika furushi la walio hai na BWANA Mungu wako; na atayatupa maisha ya adui zako mbali, kama vile kutoka katika mfuko wa kombeo.
30 Amola Hina Gode da dima amo noga: i hou huluane E ilegei amo hamone dagosea, amola di Isala: ili hina bagade hamoi dagosea,
Na itakuwa, BWANA atakapokuwa amemtimizia bwana wangu mambo yote mazuri ambayo amekuahidi, na alivyokufanya kiongozi juu ya Israeli,
31 amola di da dia hamobeba: le, dia asigi dawa: su ganodini se hame nabimu. Bai di da dabele dunu hame fai amola udigili hame fai. Amola Hina Gode da dima hahawane dogolegele hou hamoi dagosea, dafawane na amola mae gogolema.”
jambo hili halitakuwa huzuni kwako, wala chukizo moyoni kwa bwana wangu, kwa sababu hukumwaga damu bila sababu, na hujajilipizia kisasi. Na BWANA akikuletea mafanikio, umkumbuke mjakazi wako.”
32 Da: ibidi da A: biga: ilema amane sia: i, “Hina Godema nodoma! Isala: ili Gode da wali eso di nama asunasiba: le, Ema nodomu da defea.
Ndipo Daudi akamwambia Abigaili, “BWANA, Mungu wa Israeli, abarikiwe, aliyekutuma uonane na mimi leo.
33 Di da wali eso noga: le dawa: beba: le, noga: le hamoi. Na da wadela: i medole legesu hou amola dabe medole legesu hou dawa: i galu. Be di da amo logo hedofaiba: le, na Godema nodosa.
Na hekima yako ibarikiwe, nawe umebarikiwa, kwa sababu leo umenizuia nisiwe na hatia ya kumwaga damu, na kutojilipizia kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.
34 Na dima se imunusa: dawa: i. Be Hina Gode da amo logo hedofai. Be na Esalebe Isala: ili Gode amo Ea Dioba: le amane dafawane sia: sa. Di da hedolowane nama doaga: musa: hame misi ganiaba, hahabe galu Na: iba: le ea dunu huluane da bogogia: i dagoi ba: la: loba.”
Kwa kweli, kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye amenizuia nisikuumize, kama usinge harakisha kuja ukutane nami, kwa hakika kesho asubuhi asinge salia hata mtoto mmoja wa kiume kwa Nabali.”
35 Amalalu, Da: ibidi da A: biga: ile ea gaguli misi liligi amo lai. E ema amane sia: i, “Dina: diasuga buhagima. Amola mae dawa: ma! Na dia hanai defele hamomu.”
Kwa hiyo Daudi akavipokea kutoka mkononi mwake vile alivyokuwa amemletea; akamwambia, “Nenda kwa amani hadi nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako na nimekubali.”
36 A: biga: ile da Na: iba: lema buhagi. E da lolo nabe amo hina bagade ea lolo nabe defele nanebe ba: i. E da feloai amola hahawane galu. Amaiba: le, A:biga: ile e da ea hamoi ema mae adole, golale hahabe fawane adoi.
Abigaili akarudi kwa Nabali; tazama, alikuwa akifanya sherehe katika mji wake, kama sherehe ya mfalme; na moyo wa Nabali ulifurahi ndani yake, kwa sababu alikwa amelewa sana. Kwa hiyo hakumwambia chochote kabisa hadi kulipopambazuka
37 Amalalu, e da feloai gumibiba: le, A:biga: ile e da liligi huluane ema adodole i. Na: iba: le da bagade olole, da: i hulu gadoi dagoi ba: i.
Ikawa asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, basi mkewe akamwambia mambo hayo; moyo wake ukafa ndani yake, na akawa kama jiwe.
38 Eso nabuyane baligili, Hina Gode da Na: iba: le fane, e bogoi.
Ikawa baada ya siku kumi BWANA alimpiga Nabali naye akafa.
39 Da: ibidi da Na: iba: le bogoi nababeba: le, amane sia: i, “Hina Godema nodosa! Na: iba: le da nama sisa: nobeba: le, Hina Gode da ema dabe i. Amola, na Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu, na da wadela: le mae hamoma: ne E da gaga: i. Hina Gode da Na: iba: le hina: wadela: i houga se iasi.” Amalalu, Da: ibidi da A: biga: ile lama: ne sia: sia: si.
Naye Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, akasema, “BWANA abarikiwe, aliyenichukulia hatua ya shutuma yangu kutoka mkono wa Nabali, na kumzuia mtumishi wake asifanye maovu. Na amemrudishia Nabali tendo la uovu juu ya kichwa chake mwenyewe.” Ndipo Daudi akawatuma watu wakaongee na Abigaili, ili amchukue awe mke wake.
40 Da: ibidi ea hawa: hamosu dunu ilia da Gamele amoga asili, A:biga: ilema amane sia: i, “Da: ibidi da di lamu sia: beba: le, e da ninia di lala masa: ne asunasi.”
Watumishi wake Daudi walipofika kwa Abigaili huko Karmeli, wakaongea naye na kusema, “Daudi ametutuma kwako tukuchukue hadi kwake uwe mke wake.”
41 A: biga: ile da osoboa beguduli, amane sia: i, “Na da ea hawa: hamosu uda. Na da ea hawa: hamosu dunu ilia emo dodofemusa: momageiwane esala.”
Abigaili aliinuka, akainamisha uso chini, na akasema, “Tazama, mjakazi wako ni mtumwa aoshaye miguu ya watumishi wa bwana wangu.”
42 E da hedolo wa: legadole, ea dougi da: iya fila heda: i. E amola ea hawa: hamosu a: fini biyale gala, da Da: ibidi ea hawa: hamosu dunu ili bisili asili, amola Da: ibidi ema fi.
Akaharakisha na kuamka, akapanda punda akiwa na vijakazi wake watano waliofuatana naye; akawafuata wajumbe wa Daudi, na akawa mke wake.
43 Da: ibidi da musa: Ahinoua: me (Yeseliele uda) amo lai galu, amola waha da A: biga: ile amowane ea uda hamoi.
Daudi pia alimchukua Ahinoamu wa Yezreeli akamwoa; wote wawili wakawa wake zake.
44 Amabe galuwane, Solo da ea uda mano Ma: iga: le amo da Da: ibidi igili i galobawane, bu Ba: ladai (Ga: lime moilai dunu La: ise, amo egefe) amogili i galu.
Wakati huo Sauli alikuwa amempa Palti, mwana wa Laishi mtu wa Galimu, Mikali, binti yake, aliyekuwa mke wa Daudi.

< 1 Sa:miuele 25 >