< 1 Sa:miuele 25 >

1 Sa: miuele da bogoi. Amola Isala: ili fi dunu huluane da ema asigiba: le idigimusa: gilisi. Ilia da moi hi lai (La: ima) amogai e uli dogone sali. Amolalu, Da: ibidi da wadela: i hafoga: i soge Ba: ila: ne amoga asi.
Basi Samweli akafa, nao Israeli wote wakakusanyika na kumwombolezea; wakamzika nyumbani kwake huko Rama. Kisha Daudi akateremka kwenye Jangwa la Maoni.
2
Mtu mmoja huko Maoni, aliyekuwa na makao huko Karmeli, alikuwa tajiri sana. Alikuwa na mbuzi elfu moja na kondoo elfu tatu, aliokuwa akiwakata manyoya huko Karmeli.
3 Amogawi, Ga: ilebe fi dunu ea dio amo Na: iba: le da Ma: ione moilaiga esalebe ba: i. E da Gamele moilai gadenene dialebe soge gagui. E da bagade gagui dunu. E da sibi 3,000 agoane amola goudi 1,000 agoane gagui galu. Ea uda da isisima: goi ba: i amola bagade dawa: su ba: i. Be Na: iba: le da uasu amola hedolo mi hanasu dunu agoane ba: i. Na: iba: le da Gamele amoga ea sibi hinabo dadamunanebe ba: i,
Jina la mtu huyo lilikuwa Nabali, naye mkewe aliitwa Abigaili. Alikuwa mwanamke mwenye busara na mzuri wa sura, lakini mumewe, ambaye alikuwa wa ukoo wa Kalebu, alikuwa mwenye hasira na mchoyo katika utendaji wake.
4 amola Da: ibidi da wadela: i hafoga: i soge ganodini esalu, amo hou nabi.
Daudi alipokuwa huko jangwani, akasikia kuwa Nabali alikuwa anakata kondoo manyoya.
5 Amaiba: le, e da ayeligi dunu nabuane amo Na: iba: lema hahawane sia: sia: ma: ne, Gamele moilaiga asunasi.
Basi akatuma vijana kumi na kuwaambia, “Pandeni kwa Nabali huko Karmeli, mkamsalimie kwa jina langu.
6 E da ili Na: iba: lema amane sia: ma: ne sia: i, “Sama! Da: ibidi da dima, dia sosogo amola dili huluane dilima ea asigi sia: sia: sisa.
Mwambieni: ‘Amani iwe kwako! Amani iwe kwako pamoja na wa nyumbani mwako! Pia amani iwe pamoja na vyote ulivyo navyo!
7 E da nabi amo di da dia sibi ilia hinabo dadamusa: esala. Ea hanai da dia sibi ouligisu da nini esala amola ninia da ilima se hame iasu, di da amo dawa: mu e da hanai. Ilia da Gamele amogai esaloba, ilia liligi afae wamolai hame ba: i.
“‘Nasikia kuwa huu ni wakati wa kukata kondoo manyoya. Wachunga mifugo wako walipokuwa pamoja nasi, hatukuwatendea mabaya na wakati wote waliokuwa huko Karmeli hakuna chochote chao kilipotea.
8 Di da dia hawa: hamosu dunu ilima adole ba: sea, ilia da amo defele dima olelemu. Ninia da lolo nabe esoga dima misi wea. Di da nini aowama: ne, Da: ibidi da dima edegesa. Nini amola dia na: iyado Da: ibidi fidima: ne, dia imunu amo ninima ima.”
Waulize watumishi wako nao watakuambia. Kwa hiyo uwatendee wema vijana wangu, kwani tumekuja wakati wa furaha. Tafadhali wape watumishi wako na mwanao Daudi chochote kitakachokuja mkononi mwako kwa ajili yao.’”
9 Da: ibidi ea dunu da Da: ibidi ea sia: amo Na: iba: lema olelelalu, ouesalu.
Watu wa Daudi walipofika wakampa Nabali ujumbe huu kwa jina la Daudi. Kisha wakangojea.
10 Na: iba: le da aligili, amalu amane adole i, “Da: ibidi da nowala: ? Na da ea dio hamedafa nabi. We galu ninia soge da hobeale asi udigili hawa: hamosu dunu amoga nabai gala!
Nabali akawajibu watumishi wa Daudi, “Huyu Daudi ni nani? Huyu mwana wa Yese ni nani? Watumishi wengi wanakimbia kutoka kwa bwana zao siku hizi.
11 Na da na agi gobei, hano amola ohe na da na sibi hinabo dadamusu dunugili ima: ne fanelegei, amo lale, dunu amo da habodili misi na hame dawa: , amogili hamedafa imunu!”
Kwa nini nichukue mkate wangu, maji yangu na nyama niliyochinja kwa ajili ya wakata manyoya wangu, na kuwapa watu ambao hakuna anayejua wanakotoka?”
12 Da: ibidi ea dunu da ema buhagili, Na: iba: le ea sia: i ema adodole i.
Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno.
13 Da: ibidi da ea dunuma amane sia: i, “Dilia! Gegesu gobihei salawane idinigima!” Amalalu, ilia da amane hamoi. Da: ibidi amola da ea gegesu gobihei idiniginisi. E amola ea dunu 400 agoane da Na: iba: le e doagala: musa: asi. Ea dunu eno 200 agoane da ilia liligi ouligima: ne, Ba: ila: ne sogega ouesalu.
Daudi akawaambia watu wake, “Jifungeni panga zenu!” Basi wakajifunga panga zao, naye Daudi akajifunga upanga wake. Watu kama mia nne hivi wakapanda pamoja na Daudi, na watu mia mbili wakabaki na vifaa.
14 Na: iba: le ea hawa: hamosu dunu afae da Na: iba: le idua A: biga: ilema amane sia: i, “Di da nabibala: ? Da: ibidi da hafoga: i sogega asigi sia: ninia hina ema sia: si. Be e da bu Da: ibidima ougili sisa: noi.
Mmoja wa watumishi akamwambia Abigaili, mkewe Nabali: “Daudi alituma wajumbe kutoka jangwani kumpa bwana wetu salamu zake, lakini akawavurumishia matukano.
15 Be Da: ibidi amola ea dunu da ninima obenane hamoi. Ilia da ninima se hame iasu. Amola ninia da ili amola sogega gilisili esalea, ninia da liligi afae wamolai hamedafa ba: i.
Hata hivyo watu hawa walikuwa wema sana kwetu. Hawakututendea mabaya, na wakati wote tulipokuwa nje huko mashambani karibu nao, hatukupotewa na kitu chochote.
16 Ninia da sibi wa: i ouligisa esalea, ilia da yoga amola gasia, ninima noga: le gaga: su.
Usiku na mchana walikuwa ukuta wakituzunguka wakati wote tulipokuwa tukichunga kondoo zetu karibu nao.
17 Amo hou noga: le dawa: lalu, dia hamomu ilegema. Ea hamobeba: le, ninia hina amola ea sosogo huluane da se bagade nabimu agoai galebe. E da gasa fi bagade hamobeba: le, e da dunu eno ilia sia: hamedafa naba.”
Sasa fikiri juu ya jambo hili na uone unaweza kufanya nini, kwa sababu maafa yanakaribia juu ya bwana wetu na nyumba yake yote. Yeye ni mtu mwovu kiasi kwamba hakuna mtu awezaye kuzungumza naye.”
18 A: biga: ile da hedolowane agi ga: gi 200 amola bulamagau gadofoga hamoi daba waini hano nabai aduna, sibi houi biyale, gagoma egegei17 gilogala: me, waini fage gagabu fofogai 100 agoane amola figi ifa fage fofogai ga: gi 200 agoane amo lale, dougi da: iya lidili lelegesa lai.
Abigaili akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili, viriba viwili vya divai, kondoo watano waliochinjwa vipimo vitano vya bisi, vishada mia moja vya zabibu kavu, mikate mia mbili ya tini, akavipakia juu ya punda.
19 Amalalu, e da ea hawa: hamosu dunu ilima amane sia: i, “Dilia bisili masa! Na da fa: no bobogemu.” Be e da egoa ema hamedafa sia: i.
Kisha akawaambia watumishi wake, “Tangulieni; mimi nitakuja nyuma yenu.” Lakini hakumwambia Nabali mumewe.
20 E da dougi da: iya fila heda: le, agolo goulole aliagaloba, hedolowane Da: ibidi amola ea dunu migadenene manebe ba: i.
Ikawa alipokuwa amepanda punda wake kwenye bonde la mlima, tazama, Daudi na watu wake wakawa wanateremka kumwelekea, naye akakutana nao.
21 Da: ibidi amane dadawa: lu, “Na da abuliba: le amo dunu ea liligi hafoga: i sogega ouligilalula: ? E da liligi afae wamolai hamedafa ba: i. Be na da e fidibiba: le, e da nama wadela: i bidi dabe iaha.
Daudi alikuwa amesema, “Ilikuwa ni kazi bure kuchunga kwangu kote mali za huyu mtu huko jangwani hivi kwamba hakuna chochote chake kilichopotea. Yeye amenilipa baya kwa ajili ya wema.
22 Na da hame hadigia amo dunu huluane hame fane lelegesea, Hina Gode da na fane legemu da defea.”
Bwana na amshughulikie Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai miongoni mwa watu wake wote!”
23 A: biga: ile da Da: ibidi ba: beba: le, hedolowane dougi da: iya esalu alia gudui amalu hi gobele Da: ibidi ea emo bega: osoba gala: la sa: ili,
Abigaili alipomwona Daudi, akashuka haraka kwenye punda wake, akainama kifudifudi uso wake mpaka nchi mbele ya Daudi.
24 amola ema amane sia: i, “Dafawane hina! Na sia: nabima! Na da amo da: i diosu dabe lala!
Akamwangukia miguuni pake na kusema: “Bwana wangu, kosa hili na liwe juu yangu mwenyewe. Tafadhali mruhusu mtumishi wako aseme nawe. Sikia kile mtumishi wako atakachosema.
25 Na: iba: le da noga: i hame dunu! Ea sia: mae nabima! Dafawane! E da ea dio dawa: loma: ne defele gagaoui dunu esala! Hina! Dia hawa: hamosu dunu da doaga: loba, na da amogawi hame galu.
Bwana wangu na asimjali huyo mtu mwovu Nabali. Yeye anafanana na jina lake; jina lake ni Mpumbavu, nao upumbavu huenda pamoja naye. Lakini kwangu mimi, mtumishi wako, sikuwaona hao watu waliotumwa na bwana wangu.
26 Dia ha lai dunuma dabele fane legemu logo, Hina Gode E da hedofai. Amola wali na da Hina Gode Ea Dioba: le amane sia: sa, dia ha lai amola dunu huluane da dima se imunusa: dawa: lala, amo da Na: iba: le ea se iasu lamu defele, se iasu ba: mu.
“Basi sasa, kwa kuwa Bwana amekuzuia, wewe bwana wangu, kutokumwaga damu na kutolipiza kisasi kwa mikono yako mwenyewe, hakika kama Bwana aishivyo na kama uishivyo, maadui zako na wote wanaokusudia kumdhuru bwana wangu wawe kama Nabali.
27 Dafawane hina! Na dima udigili imunusa: gaguli misi goe lale, dia dunuma ima.
Nayo zawadi hii ambayo mtumishi wako amemletea bwana wangu, wapewe watu wanaofuatana nawe.
28 Dafawane hina! Na da wadela: i hou hamoi galea, amo gogolema: ne olofoma. Hina Gode da di amola digaga fi hina bagade hamomu. Bai di Ea gegesu hamonana. Amola di da esalea, wadela: i hou hamedafa hamomu.
Tafadhali samehe kosa la mtumishi wako, kwa kuwa Bwana kwa hakika ataifanya imara nyumba ya ufalme kwa bwana wangu, kwa sababu anapigana vita vya Bwana.
29 Nowa da dima doagala: le, fane legemusa: dawa: sea, dia Hina Gode da dunu da gobolo gene ouligibi defele, di gaga: mu. Be dia ha lai dunu amo Hina Gode da dunu da ifa badaga ga: muga: dadiga gele fodole gala: be defele, galagamu.
Hata ingawa yuko mtu anayekufuatia kuuondoa uhai wako, usiruhusu baya lolote kuonekana kwako siku zote za maisha yako, uhai wa bwana wangu utafungwa salama kwenye furushi la walio hai na Bwana Mungu wako. Lakini uhai wa adui zako atavurumishwa kama vile jiwe kutoka kwenye kombeo.
30 Amola Hina Gode da dima amo noga: i hou huluane E ilegei amo hamone dagosea, amola di Isala: ili hina bagade hamoi dagosea,
Bwana atakapokuwa ameshamtendea bwana wangu kila kitu chema alichoahidi kumhusu yeye na kumweka kuwa kiongozi wa Israeli,
31 amola di da dia hamobeba: le, dia asigi dawa: su ganodini se hame nabimu. Bai di da dabele dunu hame fai amola udigili hame fai. Amola Hina Gode da dima hahawane dogolegele hou hamoi dagosea, dafawane na amola mae gogolema.”
bwana wangu hatakuwa na dhamiri inayolemewa na mzigo kwa kumwaga damu kusiko na sababu, au kujilipizia kisasi yeye mwenyewe. Bwana atakapomletea bwana wangu mafanikio, umkumbuke mtumishi wako.”
32 Da: ibidi da A: biga: ilema amane sia: i, “Hina Godema nodoma! Isala: ili Gode da wali eso di nama asunasiba: le, Ema nodomu da defea.
Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli aliyekutuma kunilaki leo.
33 Di da wali eso noga: le dawa: beba: le, noga: le hamoi. Na da wadela: i medole legesu hou amola dabe medole legesu hou dawa: i galu. Be di da amo logo hedofaiba: le, na Godema nodosa.
Ubarikiwe kwa uamuzi wako mzuri na kwa kunizuia nisimwage damu leo na kulipiza kisasi kwa mikono yangu.
34 Na dima se imunusa: dawa: i. Be Hina Gode da amo logo hedofai. Be na Esalebe Isala: ili Gode amo Ea Dioba: le amane dafawane sia: sa. Di da hedolowane nama doaga: musa: hame misi ganiaba, hahabe galu Na: iba: le ea dunu huluane da bogogia: i dagoi ba: la: loba.”
La sivyo, hakika kama Bwana, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye amenizuia nisiwadhuru, kama usingekuja haraka kunilaki, hakuna hata mwanaume mmoja wa Nabali angeachwa hai kufikia mapambazuko.”
35 Amalalu, Da: ibidi da A: biga: ile ea gaguli misi liligi amo lai. E ema amane sia: i, “Dina: diasuga buhagima. Amola mae dawa: ma! Na dia hanai defele hamomu.”
Ndipo Daudi akapokea kutoka mkononi mwake kile alichokuwa amemletea, naye akasema, “Nenda nyumbani kwako kwa amani; nimesikia maneno yako na kukujalia ombi lako.”
36 A: biga: ile da Na: iba: lema buhagi. E da lolo nabe amo hina bagade ea lolo nabe defele nanebe ba: i. E da feloai amola hahawane galu. Amaiba: le, A:biga: ile e da ea hamoi ema mae adole, golale hahabe fawane adoi.
Abigaili alipokwenda kwa Nabali, alikuwa ndani ya nyumba yake akifanya karamu kama ile ya mfalme. Naye alikuwa ana furaha nyingi, akiwa amelewa sana. Kwa hiyo Abigaili hakumwambia mumewe kitu chochote mpaka asubuhi yake.
37 Amalalu, e da feloai gumibiba: le, A:biga: ile e da liligi huluane ema adodole i. Na: iba: le da bagade olole, da: i hulu gadoi dagoi ba: i.
Basi asubuhi, Nabali alipokuwa amelevuka, mkewe akamwambia mambo yote, nao moyo wake ukazimia, akawa kama jiwe.
38 Eso nabuyane baligili, Hina Gode da Na: iba: le fane, e bogoi.
Baada ya siku kumi, Bwana akampiga Nabali, naye akafa.
39 Da: ibidi da Na: iba: le bogoi nababeba: le, amane sia: i, “Hina Godema nodosa! Na: iba: le da nama sisa: nobeba: le, Hina Gode da ema dabe i. Amola, na Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu, na da wadela: le mae hamoma: ne E da gaga: i. Hina Gode da Na: iba: le hina: wadela: i houga se iasi.” Amalalu, Da: ibidi da A: biga: ile lama: ne sia: sia: si.
Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, akasema, “Ahimidiwe Bwana, ambaye amenitetea shauri langu dhidi ya Nabali kwa kuwa alinitendea kwa dharau. Amemzuia mtumishi wake asitende mabaya na Bwana ameuleta ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe.” Kisha Daudi akatuma ujumbe kwa Abigaili kumwomba awe mke wake.
40 Da: ibidi ea hawa: hamosu dunu ilia da Gamele amoga asili, A:biga: ilema amane sia: i, “Da: ibidi da di lamu sia: beba: le, e da ninia di lala masa: ne asunasi.”
Watumishi wa Daudi wakaenda mpaka Karmeli na kumwambia Abigaili, wakisema, “Daudi ametutuma kwako kukuchukua uwe mkewe.”
41 A: biga: ile da osoboa beguduli, amane sia: i, “Na da ea hawa: hamosu uda. Na da ea hawa: hamosu dunu ilia emo dodofemusa: momageiwane esala.”
Akainama chini uso wake mpaka ardhini, akasema, “Mjakazi wako yuko hapa, tayari kuwatumikia na kuwanawisha miguu watumishi wa bwana wangu.”
42 E da hedolo wa: legadole, ea dougi da: iya fila heda: i. E amola ea hawa: hamosu a: fini biyale gala, da Da: ibidi ea hawa: hamosu dunu ili bisili asili, amola Da: ibidi ema fi.
Abigaili akainuka kwa haraka, akapanda punda wake, akihudumiwa na wajakazi wake watano, akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, naye akawa mkewe.
43 Da: ibidi da musa: Ahinoua: me (Yeseliele uda) amo lai galu, amola waha da A: biga: ile amowane ea uda hamoi.
Pia Daudi alikuwa amemwoa Ahinoamu wa Yezreeli, wote wawili wakawa wake zake.
44 Amabe galuwane, Solo da ea uda mano Ma: iga: le amo da Da: ibidi igili i galobawane, bu Ba: ladai (Ga: lime moilai dunu La: ise, amo egefe) amogili i galu.
Lakini Sauli alikuwa amemwoza Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi, kwa Palti mwana wa Laishi, kutoka Galimu.

< 1 Sa:miuele 25 >