< Ludi 1 >

1 Musa: hemonega, Isala: ili hina bagade amo mae hamone, bisisu dunu ilia Isala: ili soge ouligibiga, amo soge da ha: i bagade galu. Be dunu afae ea dio amo Ilimelege esalu, E da Efala: de sosogo fi amoga galu, amola E da Yuda soge amo ganodini, Bedeleheme moilaiga esalusu. Amalu Ea uda Na: ioumi amola elea dunu mano aduna Malone amola Gilione, ilia da Yuda soge yolesili, Moua: be sogega asili esalusu. Ilia da amogai esalu,
Wakati Waamuzi walipotawala Israeli, kulikuwa na njaa katika nchi. Mtu mmoja kutoka nchi ya Bethlehemu ya Yuda, pamoja na mke wake na wanawe wawili, akaenda kuishi katika nchi ya Moabu.
2
Mtu huyu aliitwa Elimeleki, mkewe aliitwa Naomi, na hao wanawe wawili waliitwa Maloni na Kilioni. Walikuwa Waefrathi kutoka Bethlehemu ya Yuda. Wakaenda katika nchi ya Moabu, wakaishi huko.
3 Ilimelege e bogoi, amola Na: ioumi e da ea dunu mano ilisu fawane esalusu.
Elimeleki mumewe Naomi akafa, hivyo Naomi akabaki na wanawe wawili.
4 Be ela da Moua: be fi uda a: fini amo Oba amola Ludi elea lai. Amalu ode nabuane agoane galagale,
Nao wakaoa wanawake Wamoabu, jina la mmoja aliitwa Orpa, na wa pili aliitwa Ruthu. Baada ya kama miaka kumi,
5 Malone amola Gilione ela bogoi. Amalu Na: ioumi e da gawa o mano hamedene hisu esalu. Na: ioumi amola Ludi ela Bedeleheme Moilaiga buhagi.
Maloni na Kilioni pia wakafa. Basi Naomi akabaki hana mume wala wanawe wawili.
6 Eso enoga Na: ioumi e da amane nabi, Hina Gode e da Ea dunu fi ilima hahawane dogolegele amo gamisu noga: i amola ha: i manu sagale moma: ne bagade ilima i. Amabeba: le e amola esoa: , ilia Moua: be soge amoga masunusa: liligi momagei.
Aliposikia akiwa huko Moabu kwamba Bwana amewasaidia watu wake kwa kuwapa chakula, Naomi na wakweze wakajiandaa kurudi nyumbani.
7 Ilia gilisili Yuda sogega sinidigi, be logoga ahoanoba,
Yeye na wakweze wawili wakaondoka pale walipokuwa wakiishi na kushika njia kurudi nchi ya Yuda.
8 Na: ioumi e da esoa: elama amane sia: i, “Sinidigili amola dia: me ali esaloma. Ali da nama amola bogogia: i dunu ilima asigi bagade hamoi. Gode da alima amo defele asigimu na da hanai.
Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe zake wawili, “Rudini, kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Bwana na awatendee fadhili kama mlivyowatendea hao waliofariki, na pia mimi.
9 Amola Hina Gode da ali noga: le asigiba: le ali afae afae bu dunuma fimu amola diasu lamu da defea.” Be Na: ioumi ea ela nonogone asigibio sia: i. Be amomane ilia didiga: le,
Bwana na amjalie kila mmoja wenu maisha mema nyumbani kwa mume mwingine.” Kisha akawabusu, nao wakalia kwa sauti kubwa,
10 amola ema amane sia: i, “Hame mabu! Ninia da gilisili dia dunu fi ilima masunu.”
wakamwambia, “Tutarudi pamoja na wewe nyumbani kwa watu wako.”
11 “Nadiwi alia da sinidigima!” Na: ioumi e sia: i. “Abuliba: le alia nana gilisili misunusa: sia: bela: ? Alia amola da na dunu mano eno galabeale amoma fimusa: mabela: ?
Lakini Naomi akasema, “Rudini nyumbani, binti zangu. Kwa nini mnifuate? Je, mimi nitaweza tena kuwa na wana wengine ambao wataweza kuwaoa ninyi?
12 Bu sinidigima! Na da da: i hamoi dagoiba: le, bu gawa hame fimu galebe. Be na dawa: loba da na da wali gasi ganodini gawa fili amola dunu mano lai galea,
Rudini nyumbani, binti zangu; mimi ni mzee kiasi kwamba siwezi kumpata mume mwingine. Hata kama ningefikiria kuwa bado kuna tumaini kwangu, hata kama ningekuwa na mume usiku huu na kuwazaa wana,
13 ali da amo mano asigilama: ne ouesaloma: bela: ? O amo hou da alia eno dunu fimusa: yolema: bela? Hame mabu, nadiwi! Amo da amane hame hamomu. Hina Gode da nama baligifa: i. Amaiba: le na da alima asigisa.”
je, mngesubiri mpaka wakue? Mngebakia bila kuolewa mkiwasubiri? La, hasha, binti zangu. Nimepata uchungu kuliko ninyi, kwa sababu mkono wa Bwana umekuwa kinyume nami!”
14 Bu ilia da muni didigia: i. Amalu Oba ea uda esoa: amo nonogoi amola asigibio sia: i. Amalalu bu sinidigi. Be Ludi da e gagulaligi.
Kisha wakalia tena kwa sauti. Orpa akambusu mama mkwe wake, akaenda zake, lakini Ruthu akaambatana naye.
15 Be Na: ioumi ema amane sia: i “Ludi, di bai da ea dunuma bu ogobele asili amola ilia ogogosu ‘gode’ma asi. Di e amola gilisili moilaiga ogobema.”
Naomi akamwambia, “Tazama, mwenzako anarejea kwa watu wake na kwa miungu yake. Rudi pamoja naye.”
16 Be Ludi da amane sia: i, “Di da na di yolesima: ne, mae sia: ma! Na da ani masunu, di habi ahoasea na masunu. Habi di fisia, na gilisili fifi masunu. Dia dunu fi amo da na dunu fi ganumu amola dia Gode amo da na Gode ganumu.
Lakini Ruthu akajibu, “Usinisihi nikuache au niache kukufuata. Utakakokwenda nami nitakwenda, na wewe utakapoishi nitaishi. Watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
17 Di habi bogosea, na amogai bogomu amola na da amogai uli dogone salimu. Di amola na ania bogobeba: le fawane da afafamu. Amai hame galea, Gode da nama baligili se dabe imunu da defea.”
Pale utakapofia nami nitafia hapo, na papo hapo nitazikwa. Bwana na aniadhibu vikali, kama kitu kingine chochote kitanitenga nawe isipokuwa kifo.”
18 Be Na: ioumi ea Ludi ba: loba e da ele masunusa: hanai bagade ba: i, be amaiba: le ea liligi eno hame sia: i.
Naomi alipotambua kwamba Ruthu amenuia kufuatana naye, hakuendelea kumsihi tena.
19 Ilia ahoana amola Bedeleheme moilaiga doaga: i. Amola ilia doaga: loba, moilai fi dunu ilia bagade nodoi amola hahawane ba: i. Ilia fofogadigili amane sia: i;, “Goe da dafawane Na: ioumila: ?”
Kwa hiyo hao wanawake wawili wakaondoka, wakafika Bethlehemu. Walipofika Bethlehemu, mji mzima ulitaharuki, wanawake wakashangaa, wakasema, “Huyu aweza kuwa ni Naomi?”
20 Amola Na: ioumi e amane sia: i, “Na dio Na: ioumi mae sia: ma! Be na da Mala sia: ma! Bai Gode Bagadedafa Ea nama se iasu.
Akawaambia, “Msiniite tena Naomi, niiteni Mara, kwa sababu Mwenyezi amenitendea mambo machungu sana.
21 Na gui yolesiba, na da liligi bagohame galu. Be amomane Hina Gode Ea na oule bu sinidigili, na liligi hame gaguli misi. Abuliba: le nama Na: ioumi sia: sala: ? Hina Gode Bagadedafa da nama fofada: nanu nama bidi hamosu ia dagoi.”
Mimi niliondoka hali nimejaa, lakini Bwana amenirudisha mtupu. Kwa nini kuniita Naomi? Bwana amenitendea mambo machungu; Mwenyezi ameniletea msiba.”
22 Amo da bu Na: ioumi ea Moua: be sogega buhagi. Esoa: Ludi (Moua: be uda) amola da misi. Amola ela da bu Bedeleheme moilaiga doaga: loba, ‘bali’ ha: i manu gamisu eso da doaga: i dagoi ba: i.
Kwa hiyo Naomi alirudi pamoja na Ruthu Mmoabu mkwe wake, nao wakafika Bethlehemu mwanzoni mwa kuvuna shayiri.

< Ludi 1 >