< 1 Sa:miuele 22 >

1 Da: ibidi da Ga: de moilaiga hobeale, magufu gelaba Adalame moilai gadenene amoga asi. Ea olalali amola sosogo fi eno da e amogawi esalebe nababeba: le, ilia da ema madelamusa: asi.
Basi Daudi aliondoka hapo na akatoroka kwenda kwenye pango la Adulamu. Kaka zake na wote wa nyumba ya baba yake waliposikia hayo, wakateremka kumwendea huko.
2 Amola dunu 400 eno, mogili da enoga banenesi, mogili da hame gagui, mogili da enoma dabe imunu gala o hahawane hame esala, ilia Da: ibidima madelale, e da ilia bisilua hamoi.
Kila mmoja aliyekuwa na mahangaiko, kila mmoja aliyekuwa na deni, na kila mmoja ambaye hakuwa na furaha moyoni-wote walijikusanya kwake, na Daudi akawa jemedari wao. Kulikuwa na wanaume wapatao mia nne waliokuwa pamoja naye.
3 Da: ibidi da amo sogebi yolesili, Misiba moilai Moua: be soge ganodini amoga asi. E da Moua: be hina bagade ema amane sia: i, “Dafawane! Dia na ada amola ame ela misini dilimagai esalawane, na da Gode Ea nama adi hamomu ganabela: le, hogoma: ma.”
Kisha Daudi alitoka huko akaenda Mispa huko Moabu. Akamwambia mfalme wa Moabu, “Tafadhali waruhusu baba na mama yangu wakae kwako hadi hapo nitakapojua kitu gani ambacho Mungu atafanya kwa ajili yangu.”
4 Amaiba: le, Da: ibidi da ea ada amola ame Moua: be hina bagade ea ouligima: ne yolesilalu, Da: ibidi da Adalame magufu gelaba wamoaligili esalu defele, ela da amogawi esalu.
Basi akawaacha kwa Mfalme wa Moabu. Baba na mama yake wakakaa na mfalme kwa muda wote ambao Daudi alikuwa kwenye ngome yake.
5 Amalalu, balofede dunu Ga: de da Da: ibidima misini, amane sia: i, “Gui maedafa esaloma! Hedolodafa Yuda sogega masa!” Amaiba: le, Da: ibidi da yolesili amola Helede iwilaga asi.
Kisha nabii Gadi akamwambia Daudi, “Usikae tena katika ngome yako. Ondoka na uende katika nchi ya Yuda.” Kwa hiyo Daudi akatoka hapo na akaenda katika msitu wa Harethi.
6 Eso afaega, Solo da Gibia sogega agolo damana ea goge agei hi loboga gaguli amola ea dadi gagui ouligisu dunu ilia e beba: le sisiga: le aligili, ‘da: malisige’ ifa ougiha esalu. E da Da: ibidi amola ea dunu ili ba: i sia: be nabi galu.
Sauli akasikia kwamba Daudi amepatikana, akiwa pamoja na watu aliokuwa nao. Wakati huo Sauli alikuwa akikaa Gibea chini ya mti wa mkwaju huko Rama, akiwa na mkuki wake mkononi mwake, na watumishi wake wote walikuwa wamesimama wamemzunguka.
7 Amola e da ea dadi gagui ouligisu dunuma amane sia: i, “Dilia Bediamini dunu nabima! Dilia adi dawa: bela: ? Da: ibidi da dili huluanema soge amola waini efe sagai ima: bela: ? E da dili huluane ea dadi gagui ouligisu dunu hamonesima: bela: ?
Sauli akawaambia watumishi wake, Sasa sikilizeni, watu wa Benyamini! Je, mwana wa Yese atawapa mashamba na mashamba ya mizabibu? Je, atawafanya nyote kuwa majemedari wa maelfu na majemedari wa mamia,
8 Amo dawa: beba: le, dilia da na sogebi lamusa: wamo sia: ga ilegesala: ? Dilia afaega da nama nina: manodafa amoea Da: ibidima gilisi amo nama hame sia: i. Afaega da nama hame asigisa amola Da: ibidi ninia: dunudafa da wahadafa na fane legema: ne logo hogolala. Amola na manodafa da Da: ibidi e noga: le denesima: ne sisasa.”
hata ninyi nyote mnapanga njama dhidi yangu? Hakuna hata mmoja wenu anayenijulisha kwamba mwanangu anafanya agano na mwana wa Yese. Hakuna hata mmoja wenu anayenionea huruma. Hakuna hata mmoja wenu anayenijulisha kwamba mwanangu anamchochea mtumishi wangu Daudi awe kinyume changu. Leo mejificha na ananisubiri ili anishambulie.”
9 Douege da Solo amola ea ouligisu dunu amo ili gilisili lelefula. E amane sia: i, “Na da Da: ibidi amo Noube moilai bai bagadega, Ahaidabe egefe Ahimelege ema ahoanebe ba: i.
Kisha Doegi Mwedomu, aliyesimama karibu na watumishi wa Sauli, akajibu, Nilimwona mwana wa Yese akienda Nobu, kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu.
10 Ahimelege da Hina Godema Da: ibidi da adi hamoma: bela: le adole ba: i. Amalalu, e da Da: ibidima ha: i manu amola Filisidini dunu Goulaia: de ea gegesu gobihei i.”
Alimwomba BWANA ili apate kumsaidia, na alimpatia mahitaji na upanga wa Goliathi, Mfilisti”
11 Amaiba: le, Solo da gobele salasu dunu Ahimelege amola ea sosogo fi huluane (amo amola da Noube gobele salasu dunu esalu) amo huluane lala masa: ne sia: sili, amola ilia da Soloma mafia: i.
Kisha Mfalme akamtuma mtu amwite kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu na watu wote wa nyumba ya baba yake, makuhani waliokuwa huko Nobu. Wote walifika mbele ya mfalme.
12 Solo da Ahimelegema amane sia: i, “Ahimelege nabima!” Ahimelege da bu adole i, “Hina! Na da dia hawa: hamosu dunu wea!”
Sauli akasema, “Sasa sikiliza, mwana wa Ahitubu,” Naye akajibu, “Niko hapa, bwana wangu.”
13 Solo da ema adole ba: i, “Abuliba: le, di amola Da: ibidi ali da na sogebi lamusa: sia: ga ilegesala: ? Abuliba: le, di da ha: i manu amola gegesu gobihei ianu, Godema Da: ibidi ea hawa: hamoma: ne adole ba: bela: ? E da wali nama ogobele amola na fane legemusa: logo hogolala.”
Sauli akamwambia, “Kwa nini unapanga njama dhidi yangu, wewe pamoja na mwana wa Yese, kwa kumpatia mikate, na upanga, na umemwomba Mungu kusudi amsaidie Daudi, kusudi aniasi mimi, na kujificha sehemu ya siri, kama alivyofanya leo?”
14 Ahimelege da bu adole i, “Da: ibidi da dia baligili moloidafa hawa: hamosu ouligisu dunu. E da disoa: dafa, dia da: i ouligisu dunu ilia hina gala. Amola dia diasua fi amola hawa: hamosu dunu huluane da ema nodosa.
Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema, “Je, ni nani miongoni mwa watumishi wako wote aliyemwaminifu kama Daudi, ni nani mkwe wa mfalme na yuko juu ya walinzi wako, na mwenye heshima nyumbani mwako?
15 Dafawane! Na da e fidima: ne, Godema sia: ne gadolesi, amola amo da degabo hame galu. Be na amola na sosogo da dia sogebi lamusa: wamowane ilegemu hame dawa: Hina noga: idafa! Dia da niniagoane diwaneya udidimu da defea hame.”
Je, leo ni mara ya kwanza kwangu kumuomba Mungu apate kumsaidia? Hapana! Mfalme usinilaumu mimi mtumishi wako kwa jambo lolote wala jamaa zangu wote. Maana mimi mtumishi wako sijui lolote kuhusu kadhia hii.”
16 Solo da amane sia: i, “Ahimelege! Di amola dia sosogo huluane da bogogia: mu.”
Mfalme akamjibu, “Hakika utakufa, Ahimeleki, wewe na jamaa yote ya nyumba ya baba yako.”
17 Amalalu, e da da: igene ouligisu dunu e gadenene lelefulubi ilima amane sia: i, “Hina Gode Ea gobele salasu dunu medole legema! Bai ilia amola Da: ibidi da gilisili wamowane ilegele, Da: ibidi ea hobea: i amo nama mae olelele, ilia ogogole hame dawa: be sia: i, be ilia da dawa: i galu.” Be da: igene ouligisu dunu ilia da lobo lalegadole, Hina Gode Ea gobele salasu dunu fane legemu higa: iba: le, hame hamoi.
Mfalme akamwambia mlinzi aliyesimama karibu naye, “Geuka na uwauwe makuhani wa BWANA. Kwa sababu wanamuunga mkono Daudi, na sababu walijua kwamba alikimbia, lakini hawakunijulisha.” Lakini watumishi wa mfalme hawakunyoosha mkono wao kuwaua makuhani wa BWANA.
18 Amaiba: le, Solo da Douegema amane sia: i, “Dia ili fane legema!” Amalalu, Douege da ili huluane fane legei. Amo esoha e da gobele salasu dunu85 (huluane da Ifode gaguli ahoasu defele esalu) amo hulu fane legei dagoi.
Ndipo mfalme akamwambia Doegi, “Geuka na uwauwe makuhani.” Hivyo Doegi Mwedomu akageuka na kuwapiga makuhani; akawaua watu themanini na watano waliovaa naivera ya kitani siku hiyo.
19 Amola Solo da dunu huluane gobele salasu dunu ilia moilai Noube amoga esalebe, amo huluane fane legema: ne sia: i. Dunu amola uda amola mano, mano dudubu, bulamagau, dougi, sibi-huluanedafa da fane legei dagoi ba: i.
Kwa ncha ya upanga, aliupiga Nobu, mji wa makuhani, akiwaua wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ng'ombe na punda na kondoo. Wote aliwaua kwa ncha ya upanga.
20 Be Ahimelege egefe afae ea dio amo Abaia: da e hobeale asili, Da: ibidima madelai.
Lakini mmoja wa wana wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, aliyeitwa Abiathari, aliponyoka na kukimbilia kwa Daudi.
21 E da Da: ibidima Solo ea da Hina Gode Ea gobele salasu dunu fane legei, amo adodole i.
Abiathari akamwambia Daudi kwamba Sauli amewaua manabii wa BWANA.
22 Da: ibidi da ema amane sia: i, “Amohaga na da Douege esalebe ba: loba, na da dawa: digi, e da Soloma adomu galebeya dawa: i galu. Amaiba: le, na giadofale hamobeba: le, dia sosogo huluane da bogogia: i.
Daudi akamwambia Abiathari, “Nilifahamu kuwa siku hiyo, Doegi Mwedomu alikuwa mahali pale, kwamba hakika angemwambia Sauli. Nina wajibika kwa kifo cha kila mtu katika familia ya baba yako!
23 Ani esala: di! Mae beda: ma! Solo da di amola na fane legemusa: hanai. Be di da ani esalea gaga: i ba: mu.”
Kaa pamoja nami na usiogope. Maana mtu anayetafuta roho yako anatafuta pia roho yangu. Utakuwa salama ukiwa pamoja nami.”

< 1 Sa:miuele 22 >