< 1 Sa:miuele 15 >

1 Sa: miuele da Soloma amane sia: i, “Hina Gode da na amo dia Isala: ili dunu ilia hina bagade mogiligale ilegei da susuligi sogadigima: ne asunasi. Waha, dia Hina Gode Bagadedafa Ea adobe nabima!
Samweli akamwambia Sauli, “BWANA alinituma nikutie mafuta uwe mfalme wa watu wake Israeli. Basi sikiliza maneno ya BWANA.
2 Hina Gode da A: malege dunuma se dabe imunu. Bai Isala: ili dunu da Idibidi soge fisili, gadili ahoanoba, A:malege ilia aowalali da ilima gegei.
Hivi ndivyo BWANA wa majeshi asemavyo, 'Nilichunguza jinsi Amaleki alivyomfanyia Israeli kwa kuwapinga njiani, walipopanda kutoka Misri.
3 Dilia! Asili, A:malege dunuma doagala: le, liligi ilia galebe amo huluane wadela: lesima. Liligi afae mae yolesili, dunu amola uda, mano, mano dudubu, bulamagau, sibi, ga: mele amola dougi, huluanedafa fane lelegele ebelema!”
Sasa nenda umshambulie Amaleki na ukaangamize kabisa vitu vyote walivyo navyo. Usiwaache, ua wote mwanamme na mwanamke, mtoto na mtoto mchanga, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.”'
4 Solo da ea dadi gagui dunu huluane Dileme moilaiga wele sia: ne guda: le, abedei. Isala: ili dadi gagui dunu da 200,000 agoane ba: i, amola Yuda dadi gagui dunu da 10,000 agoane ba: i.
Sauli akwaita watu na kuwahesabu katika mji wa Talemu: watu mia mbili elfu waendao kwa miguu, na watu elfu kumi kutoka Yuda.
5 Amalalu, Solo amola ea dunu da A: malege moilai afae amoga hano hai logoga asili, logoa legei dialu.
Kisha Sauli akaja hadi mji wa Amaleki akangoja huko bondeni.
6 Ginaide dunu da A: malege dunu gilisibi ba: i. Be Isala: ili dunu da Idibidi fisili ga ahoanoba, Ginaide ilia aowalali da ilima asigiba: le, fidi. Amaiba: le, Solo da ilima sisane sia: i, “Na da dili amola A: malege dunu gilisili fane legesa: besa: le, ili yolesima!” Amaiba: le, Ginaide dunu da A: malege dunu yolesili, asi.
Ndipo Sauli akawaambia Wakeni, “Nendeni, muondoke, mkajitenge na Waamaleki, nisije kuwaangamiza pamoja nao. Kwa maana ulionesha wema kwa watu wote wa Israeli, walipotoka Misri.” Kwa hiyo Wakeni wakajitenga na Waamaleki.
7 Solo da A: malege dunu hasali. Ilia gegesu da Ha: fila sogega muni gegegena ahoana, Sioua hafoga: i sogega doaga: i. (Sioua da Idibidi sogega gusudili ba: i).
Kisha sauli akawashambulia Waamaleki, kutoka Havila hadi kufika Shuri, ulio mashariki mwa Misri.
8 E da A: malege hina bagade A: iga: ge mae medole legele gagui, be ea fi dunu eno huluane medole lelegei.
Basi akamchukua Agagi mfalme wa Waamaleki akiwa hai; aliwaangamiza kabisa watu wote kwa ncha ya upanga.
9 Be Solo amola ea dunu da A: iga: ge hame medole legei amola ilia da noga: idafa sibi, bulamagau, bulamagau mano amola sibi mano hame medole legei. Amola liligi noga: idafa ilia hame wadela: lesi. Ilia wadela: i amola hamedei liligi fawane wadela: lesisi.
Lakini Sauli na watu wake wakamwacha Agagi akiwa hai, pamoja na kondoo wazuri, ng'ombe, ndama wanono, na wanakondoo. Kila kitu kilichokuwa kizuri, hawakukiangamiza. Bali waliangamiza kabisa chochote kilichodharaulika na kisicho na thamani.
10 Hina Gode da Sa: miuelema amane sia: i,
Baadaye neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,
11 “Na da Soloma hina hawa: hamosu iabeba: le higasa. E da Nama baligi fa: i amola Na hamoma: ne sia: i huluane giadofai.” Sa: miuele da ougi bagade ba: i. E da gasia Godema dini iana hadigi.
“Inanihuzunisha kwamba nimemchagua Samweli awe mfalme, kwa maana aligeuka nyuma asinifuate na hakutekeleza maagizo yangu.” Samweli alikasirika; akamlilia BWANA usiku kucha.
12 Golale, hahabedafa, e da Solo hogola asi. Be Solo da Gamele Goumi amoga asi sia: be, e da nabi. Amogawi, Solo da ea hamoi dawa: loma: ne igi wanonesilalu, Giliga: le moilaiga asi.
Samweli aliamka mapema akutane na Sauli wakati wa asubuhi. Samweli aliambiwa, “Sauli alifika Karmeli na amejijengea ukumbusho kwa ajili yake, kisha aligeuka na kuendelea chini hadi Gilgali.” Ndipo
13 Amoga asili, Sa: miuele da Soloma heda: le, Solo da ema amane sia: i, “Sa: miuele! Hina Gode da dima hahawane dogolegele hamomu da defea! Na da Hina Gode Ea sia: defele hamoi!”
Samweli akamwendea Sauli, na Sauli akamwambia, “Umebarikiwa na BWANA! Nami nimetekeleza amri ya BWANA.”
14 Sa: miuele da adole ba: i, “Amaiba: le, abuliba: le na da bulamagau gona: be amola sibi ga: ga: be nabasala: ?
Samweli akasema, “Hicho kilio cha kondoo ni cha nini basi masikioni mwangu, na hiyo milio ya ng'ombe ninayosikia?
15 Solo da dabe adole i, “Na dunu ilia da amo liligi A: malege dunu ilima samogele lai. Ilia da sibi amola bulamagau noga: idafa amo dia Hina Godema gobele salimusa: modalesili, oda amo huluane gugunufinisi dagoi.”
Sauli akamjibu, “Wao wamewaleta kutoka kwa Waamaleki. Kwa sababu watu waliwaacha hai kondoo wazuri na ng'ombe, kwa ajili ya sadaka kwa BWANA Mungu wako. Zilizobaki tuliziangamiza kabisa.”
16 Sa: miuele da amane sia: i, “Yolema! Amalu, na da dima Hina Gode Ea nama gasia adoi amo na dima adomu.” Solo e amane sia: i, “Nama adole ima!”
Ndipo Samweli akamwambia Sauli, “Subiri nitakumbia kile ambacho BWANA amekisema kwangu usiku.” Sauli akamwambia, “Sema!”
17 Sa: miuele da bu adole i, “Di da musa: hamedei dunu disu dawa: lalu. Be di da wali Isala: ili fi dunu huluane ilima ouligisu dunu esala. Hina Gode da dima Isala: ili dunu ilia hina bagade hamoma: ne, susuligi sogagala: le, mogili gagai.
Samweli akasema, “Ingawa wewe ni mdogo machoni pako mwenyewe, je, hukufanywa mkuu wa kabila za Israeli? Na BWANA akakutia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli;
18 Amola E da dia wadela: idafa A: malege dunu huluane amo gugunufinisima: ne sia: si.
BWANA alikutuma katika safari yako akisema, 'nenda na uangamize kabisa wenye dhambi, Waamaleki, na upigane dhidi yao hadi wameangamizwa.'
19 Amaiba: le, dia da abuliba: le Ea sia: hame nababela: ? Dia da abuliba: le momabo nagoma: ia asili liligi uasuli lidibala: ? Dia da abuliba: le Hina Gode Ea hahawane hame ba: ma: ne hamobela: ?”
Kwa nini basi haukuitii sauti ya BWANA, bali badala yake ulishikilia nyara na ukafanya uovu machoni pa BWANA?”
20 Solo da bu adole i, “Na da Hina Gode Ea sia: i defele hamoi. Na da Ea sia: i defele asili, hina bagade A: iga: ge goeguda: oule misini amola A: malege dunu huluane fane lelegei.
Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Kweli kabisa niliitii sauti ya BWANA, Na nimeifuata njia ambayo BWANA alinituma. Nimemteka Agagi, mfalme wa Waamaleki, na kuwaangamiza kabisa Waamaleki.
21 Be na dunu ilia da sibi amola bulamagau noga: idafa, ilia samogele hame medole legei. Be ilia da amo dia Hina Godema gobele salimusa: , Giliga: lega goeguda: oule misi.”
Lakini watu walichukua baadhi ya nyara-kondoo na ng'ombe, na vitu vizuri vilivyokusudiwa kuangamizwa, ili wavitoe dhabihu kwa BWANA, Mungu wako, huko Gilgali.”
22 Sa: miuele da amane sia: i. “Hina Gode Ea baligisu hamoma: ne hanai amo da habola: ? Nabasu hou o Godema iasu amola gobele salasu hou amola: ? Hina Godema nabasu hou da ema noga: idafa sibi gobele salasu hou baligisa.
Samweli akajibu, “Je, BWANA hufurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama ilivyo kuitii sauti yake? Utii ni bora kuliko dhabihu, na kusikia ni bora kuliko mafuta ya beberu.
23 Ema odaga: su hou da wadela: i gabi dawa: su hou defele gala. Amola dodona: gi hou da wadela: idafa loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu hou defele gala. Di da Hina Gode Ea sia: i higale, amo hame nababeba: le, E da di hina bagade hamomu logo hedofai dagoi.”
Kwa maana uasi ni sawa na dhambi ya uchawi, na ukaidi ni sawa na uovu na udhalimu. Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, naye pia amekukataa usiwe mfalme.”
24 Solo da bu adole i, “Dafawane! Na da wadela: le hamoi dagoi. Na da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amola dia nama adoi amo giadofai dagoi. Na da nama fa: no bobogei dunu ilima beda: iba: le, ilia hanaiga fawane hamoi.
Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Nimetenda dhambi; kwa maana nimevunja amri ya BWANA na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu na kuitii sauti yao.
25 Be waha! Na dima edegesa! Na wadela: i hou gogolema: ne olofoma. Amola na da Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: , dia na Giliga: lega sigi masa.”
Sasa, tafadhali nisamehe dhambi yangu, na urudi nami ili nipate kumcha BWANA.”
26 Be Sa: miuele da bu adole i, “Na da ani hame buhagimu. Bai di da Hina Gode Ea sia: i higale, hame nababeba: le, E da di hina bagade hamomu logo hedofai dagoi.”
Samweli akamwambia Sauli, “Sitarudi pamoja na wewe; kwa sababu umekataa neno la BWANA, naye BWANA amekukataa usiwe mfalme juu ya Israeli.”
27 Amalalu, Sa: miuele da masusa: delegiagaloba, Solo da ea abulaga gagulaligili, ea abula gadelai.
Samweli alipogeuka kuondoka, Sauli akashika pindo la kanzu yake, na likachanika.
28 Sa: miuele da ema amane sia: i, “Wali Hina Gode da Isala: ili fi hina bagade hou amo dima dialu amo dusa: le, eno dunu dia hou baligi ema i dagoi.
Samweli akamwambia, “BWANA ameuchana ufalme wa Israeli kutoka kwako leo na amempa ufalme huo jirani yako, aliye bora kuliko wewe.
29 Isala: ili ilia Hina Gode Hadigidafa da ogogosu hame dawa: , amola Ea asigi dawa: su hame afadenesa. E da dunu hame. E da Ea asigi dawa: su hamedafa afadenesa.”
Pia, yeye ni Uwezo wa Israeli hatasema uongo wala kubadili nia yake; kwa sababu si mwanadamu, kwamba abadili nia yake.”
30 Solo da adole i, “Na da wadela: le hamoi dagoi. Be Isala: ili fi asigilai dunu amola dunu huluane da nama nodoma: ne, nama asigima. Na da dia Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: , dia na buhagima: ne sigi masa.”
Kisha Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. Lakini tafadhali nipe heshima wakati huu mbele ya wakuu wa watu wangu na mbele ya Israeli. Urudi tena pamoja nami, kusudi niweze kumcha BWANA, Mungu wako.”
31 Amaiba: le, Sa: miuele ele galu Giliga: le moilaiga buhagi. Amola Solo da Hina Godema nodone sia: ne gadoi.
Hivyo Samweli akamrudia tena Sauli, na Sauli akamcha BWANA.
32 Sa: miuele da amane sia: i, “A: malege ilia hina bagade A: iga: ge nama goeguda: oule misa.” A: iga: ge da beda: ga iagugusa ema misi. E agoane dawa: i, “Na bogoma: beya: le dawa: i amo da baligi dagoi.”
Kisha Samweli akasema, “Mmlete hapa kwangu Agagi mfalme wa Waamaleki.” Agagi akafika kwake akiwa amefungwa minyororo na kusema, “Hakika uchungu wa kifo umepita.”
33 Be Sa: miuele da amane sia: i, “Dia gegesu gobihei da uda bagohame ilia mano medole legei dagoi. Waha dia: me ea mano da medole legei dagoi ba: mu.” Amalalu, e da Giliga: le gobele salasu fafai (oloda) midadi, A:iga: ge fane, heda: sini fofonobone fasi.
Naye Samweli akamjibu, “Jinsi upanga wako ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto miongoni mwa wanawake.” Kisha Samweli akamkata Agagi vipande vipande mbele za BWANA huko Gilgali.
34 Amalalu, Sa: miuele da La: ima moilaiga asi. Amola hina bagade Solo da hi moilai Gibiaga asi.
Samweli akaenda Rama, na Sauli akapanda kwenda nyumbani kwake Gibea ya Sauli.
35 Sa: miuele ea esalusu amogalu, Solo bu hame ba: i. Be e da eha fofagisu. Amola Hina Gode da musa: Solo Isala: ili ouligima: ne ilegeiba: le, da: i dioi galu.
Samweli hakumuona tena Sauli hadi siku ya kifo chake, lakini alimwombolezea Sauli. Na BWANA alijuta kwa kumfanya Sauli awe mfalme juu ya Israeli.

< 1 Sa:miuele 15 >