< 1 Hina 4 >

1 Soloumane da Isala: ili fi huluane ouligilalusu.
Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
2 Amola ea eagene hawa: hamosu dunu bagade da amo: - Gobele salasu ouligisu-A: salaia (Sa: idoge egefe)
Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
3 Hina bagade ea dedesu dunu-Elihoulefe amola Ahaidia (ela da Siaisia ea mano) Dedene legei ouligisu dunu-Yihosiafa: de (Ahailade ea mano)
Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
4 Dadi gagui wa: i ouligisu dunu-Bina: ia (Yihoida egefe) Gobele Salasu dunu-Sa: idoge amola A: baia: da
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
5 Soge afae afae ouligisu dunu ilia bai ouligisu dunu-A: salaia (Na: ida: ne ea egefe) Hina bagade fada: i sia: fidisu dunu-gobele salasu dunu Sa: iba: de (Na: ida: ne ea egefe)
Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
6 Hina bagade diasu hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu-Ahaisia Udigili hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu-A: dounaila: me (A: bada egefe)
Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
7 Soloumane da Isala: ili soge ganodini, sogebi ouligisu bai dunu fagoyale gala amo ilegei. Ilia hawa: hamosu da afae afae ode huluane ganodini, ilia oubi afaega hina bagade amola ea diasua esalebe dunu ilima ha: i manu, amo ilia dunu fi amoga lale iasu.
Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
8 Amo sogebi bai ouligisu dunu fagoyale amola ilia ouligi sogebi bai dio da haguduga dedei. Ouligisu Dunu Sogebi Bai Benehe - Ifala: ime agolo soge
Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
9 Benedege - Ma: iga: se, Sia: ilibimi, Bede Simese, Ilone amola Bede Ha: ila: ne (huluane da moilai bai bagade).
Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
10 Benehisidi - Alubode amola Sougo (moilai bai bagade) amola Hife soge huluane.
Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
11 Benabinada: be (e da Soloumane ea uda mano Da: ifa: de lai dagoi) - Do soge huluane.
Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
12 Ba: iana (Ahailade egefe) - Da: ianage amola Megidou (moilale gagai bai bagade), Amola soge huluane amo da Bedesia: ne soge amola Sa: leda: ne moilaigadenene galu. Amo soge da Yeseliele moilai bai bagadega ga (south) asili, A:ibele Mihoula amola Yogomia: ime moilale gagai bai bagadega doaga: i.
Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
13 Benegiba - La: imode moilai bai bagade (Gilia: de soge ganodini) amola moilai Gilia: de soge ganodini amo Ya: ie fi da gagui. (Ya: ie da Ma: na: se ea fi). Amola moilai huluane Agobe sogebi (Ba: isia: ne soge ganodini) amo ganodini e ouligi. Ea ouligibi huluane da moilai bagade 60 agoane. Ilia da gasa bagade gagili sali amola ilia logo ga: su da balasega hamoi galiamo agoai liligi amoga ga: i.
Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
14 Ahinada: be (Idou egefe) - Ma: ihana: ime soge
Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
15 Ahima: ia: se (e da Soloumane uda mano eno amo Ba: sema: de lai) - Na: fadalai soge
Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
16 Ba: iana (Hiusiai egefe) - A: sie soge amola Bialode moilai
Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
17 Yihosiafa: de (Balua egefe) - Isaga soge
Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
18 Simiai (Ila egefe) - Bediamini soge
Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
19 Giba (Ulai egefe) - Gilia: de soge (musa: A:moulaide hina bagade Saihone amola Ba: isia: ne hina bagade Ogo da Gilia: de soge ouligisu) Amo dunu fagoyale gala afae afae da Isala: ili sogebi bai huluane ouligisu. Amola ilia da ouligisudafa hina dunu afae eno gala. E da Isala: ili soge huluane ouligi.
na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
20 Yuda amola Isala: ili dunu ilia idi da sa: iboso gasei amo hano wayabo bagade bega: gala amo idi defele ba: su. Ilia da ha: i manu amola hano hahawane nanu, hahawane esalu.
Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
21 Soloumane ea ouligisu ganodini, eno fi amo da Iufala: idisi Hano bega: asili Filisidini soge amola Idibidi alalo amoga doaga: le, amo fi huluane Soloumane da ouligi. Ilia da ema su ianu, ea esalusu huluane ganodini, ea sia: nabawane hamosu.
Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
23 Eso huluane, eso afae afae amoga, Soloumane da ea diasua esalebe dunu ilia moma: ne, hagudu dedei liligi lai: - noga: idafa falaua- 5,000 lida agoane, gala: ine goudai-10,000 lida agoane, bulamagau (amo ilia da diasu ganodini alema: ne ha: i manu iasu)- 10, bulamagau amo da gisi bugi nana alei-20, sibi-100, amola ‘dia’ ohe, ‘gasele’, ‘lobage’ amola ‘gagala’.
makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
24 Soloumane da soge huluane amo da Iufala: idisi Hano guma: dini gala amo huluane ouligi. Ea soge da Difisa (hano degesu) amogainini guma: dini asili Ga: isa moilai bai bagadega doaga: i. Hina bagade huluane Iufala: idisi Hano amo guma: dini esalu da eha esalu. E amola ea na: iyado fi da olofole esalu.
Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
25 E da esaloba, dunu fi huluane Yuda soge amola Isala: ili soge amo ganodini esalu da gaga: iba: le, hahawane esalu. Sosogo fi higagale da ilila: waini efe amola figi ifa defe gagai.
Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
26 Soloumane da ‘sa: liode’ hosi ilia sesei 40,000 agoane galu, amola dadi gagui dunu ilia fila heda: ma: ne hosi 12,000 agoane galu.
Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
27 Ea sogebi bai ouligisu dunu fagoyale da higagale ea oubi ilegei amoga hina bagade amoma ha: i manu, e amola dunu huluane ea diasua esala defele moma: ne, ema i.
Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
28 Amola sogebi bai ouligisu dunu ilia da higagale, bali gala: ine amola gisi ilima ilegei defele, ‘sa: liode’ hosi amola hiougisu ohe ilia moma: ne iasu.
Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
29 Gode da Soloumanema asigi dawa: su bagadedafa amola ea dogo ganodini dawa: su bagade i. Ea asigi dawa: su da defemu hamedei ba: i.
Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
30 Soloumane ea asigi dawa: su da bagadedafaba: le, gusudili bagade dawa: su dunu amola Idibidi bagade dawa: su dunu ilia dawa: su baligi dagoi.
Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
31 Ea asigi dawa: su da dunu huluanedafa ilia asigi dawa: su amo baligi dagoi. Ea asigi dawa: su da Ida: ne (Eselahaide dunu) amola Ma: ihole egefelali (Hima: ne, Galagole amola Dada: ), amo dunu huluane ilia asigi dawa: su baligi dagoi. Dunu huluane e beba: le fifi asi da ea bagade dawa: su hou amo lalaba asi.
Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
32 E da malasu sia: 3,000 agoane hahamoi amola gesami 1,000 agoane baligili hahamoi.
Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
33 E da ifa amola ifalabo amoma gogosele sia: asi. E da Lebanone dolo ifa amola ‘hisobe’ amo da dobeaba: le heda: i amo ea hou gogosele sisa: asi. E da ohe fi, sio fi, hanome, goma: , sania enoenoi amola menabo fi huluane ilia hou gogosele sisa: asi.
Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
34 Osobo bagade hina bagade ilia da ea hina bagade hou nababeba: le, amo sia: naba masa: ne, dunu ema asunasisi.
Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.

< 1 Hina 4 >