< 1 Hou Olelesu 12 >

1 Da: ibidi da hina bagade Solo amoba: le, hobeale asili, Sigela: ge sogega esalu. Dadi gagui dunu amo da musa: gegesu ganodini Da: ibidi fidi, ilia da Da: ibidima madelai.
Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
2 Ilia da Bediamini fi dunu. Solo amolawane da Bediamini fi dunu galu. Ilia da dadiga gala: su amola lobo ele galu amoga ga: musa: dadiga gala: su dawa: i.
Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
3 Ilima ouligisu dunu da Ahaisa amola Youa: sie (elea eda da Gibia fi dunu Sima: ia). Amo dadi gagui dunu ilia dio da Yisele amola Bilede (elea eda da A: sama: ifede), Belaga, Yihiu (A: nadode fi dunu), Isiama: ia (e da Gibione fi dunu, noga: idafa dadi gagui dunu. E da gilisisu ea dio “Gasa Bagade Dunu 30” amo ganodini ouligisu dunu esalu.), Yelemaia, Yaha: isiele, Youha: ina: ne, Yosaba: de (Gedila fi dunu), Iliusa: iai, Yelimode, Bialaia, Siemalaia, Siefada: ia, (Halufaide dunu), Elega: ina, Isiahaia, Asa: iliele, Youisia, Yasioubia: me (Goula fi dunu), Youila amola Sebadaia (ela da Yihoula: me egefela amola ela da Gido moilaiga misi).
Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
4
Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
5
Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
6
Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
7
Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
8 Da: ibidi ea dadi gagui wa: i da hafoga: i soge gagili sali diasua esaloba, Ga: de fi gegesu noga: le dawa: i dunu da ema madelai. Ilia da medenegini dadawa: su da: igene ga: su amola dadi gagui dunu. Ilia nimi da laione wa: me gesenesu odagi agoai ba: i, amola dia ea fonomei agoai.
Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
9 Ilia da mogodigili aliligi dialebe ba: i da Isa, Oubadaia, Ilia: be, Misima: na, Yelemaia, A:da: i, Ilaiele, Youha: inane, Elesa: iba: de, Yelemaia amola Magabanai.
Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Mishimana wanne, Yeremia watano,
Atai wasita, Elieli wasaba,
Yohana wanane, Elizabadi watisa,
Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
14 Amo Ga: de fi dunu mogili da bisilua dadi gagui ouligisu dunu. Ilia da dadi gagui dunu 1,000 agoane ouligisu. Mogili da bisilua bagia dadi gagui ouligisu dunu. Ilia da dadi gagui dunu 100 agoane ouligisu.
Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
15 Ode afaega, oubi age amoga, (amo oubiga, Yodane Hano da bagade heda: le bi fananu) ilia da hano degei. Ilia da dunu huluane amo da fago amo da Yodane Hano gusudili amola guma: dini amogai fifi lasu dunu, amo huluane sefasi.
Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
16 Eso afaega Bediamini amola Yuda sosogo fi mogi da Da: ibidi ea esalebe gagili sali diasuga asi.
Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
17 Da: ibidi da ili ba: la asili, ilima amane sia: i, “Dili da na fidimusa: maha galea, hahawane misini, ninima madelama. Na da dilima hame se nabasisu. Be dilia da na ha laima na hohonomusa: misi galea, ninia aowalalia Gode da amo hou dawa: mu. Amola E da dilima se iasu imunu.”
Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
18 Gode Ea A: silibu Hadigidafa da dunu afae ea dio Amasa: iai (e fa: no da “Gasa Bagade Dunu 30” amo ouligisu), ema aligila sa: i. E amane wele sia: i, “Da: ibidi! Yesi egefe! Nini da dimagai! Di amola di fidisu dunu da didili hamomu! Gode da dimagai esala!” Da: ibidi da ili yosia: ne, e dadi gagui wa: i amo ganodini ili bisilua hamoma: ne ilegei.
Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
19 Da: ibidi da Filisidini dunu gilisili, hina bagade Solo ema gegemusa: , mogodigili ahoanoba, Ma: na: se fi dunu mogili da Da: ibidima madelai. Be Da: ibidi da Filisidini dunu hame fidi. Bai Filisidini dunu da Da: ibidi da ili Soloma hohonomu dawa: sa: besa: le, ilia da e bu Sigela: ge moilai bai bagadega asunasi.
Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
20 Da: ibidi da buhagilaloba, Ma: na: se fi dunu da ema madelai ilia dio da A: dana, Yosaba: de, Yidaia: le, Maigele, Yosaba: de, Ilaihu amola Silidai. Musa: , ilia huluane afae afae da Ma: na: se soge ganodini dadi gagui dunu 1,000 agoane ouligisu.
Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
21 Ilia da Da: ibidi ea dadi gagui dunuma ouligisu hawa: hamosu. Bai ili huluane da medenegini dadawa: su dadi gagui dunu galu. Fa: no, ili da Isala: ili dadi gagui wa: i amo ganodini ouligisu hou hamonanu.
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
22 Gadenene eso huluane, dunu eno bagohame da Da: ibidi ea dadi gagui wa: i ilima madelasu. Amaiba: le, ea dadi gagui wa: i da hedolowane bagadedafa ba: i.
Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
23 Da: ibidi da Hibalone moilaiga esaloba, dadi gagui noga: le gegesu adoba: i dunu bagohame da ema madelai. Ilia da Da: ibidi fuli gala: le, Solo ea hina bagade sogebi lama: ne, fidimusa: ilegei. Bai Hina Gode da Da: ibidi hina bagade hamoma: ne ilegele sia: i. Ilia idi da: - Yuda fi - 6,800 dadi gagui dunu. Ilia da da: igene ga: su ibi amola goge agei gegemusa: medenegi dadawa: su dunu esalu. Simione fi- 7,100 gegesu noga: le adoba: i dunu. Lifai fi- 4,600 dadi gagui dunu: Yihoiada (Elane egaga fi dunu) ema fa: no bobogesu dunu - 3,600 agoane. Sa: idoge (noga: idafa gegesu ayeligi dunu) amo ea sosogo fi dunu - ouligisu dunu 22 agoane. Bediamini fi (Solo ea fidafa) - dunu 3,000 agoane (Bediamini fi bagohame da Solo hame hagai) Ifala: ime fi- dunu 20,800 agoane (ilia da ilia fi ganodini mimogo dunu ba: i) Guma: dini Ma: na: se fi- dunu 18,000 agoane (ilia da Da: ibidi hina bagade hamoma: ne ilegei) Isaga fi- ouligisu dunu 200 agoane amola ilima fa: no bobogesu dunu (amo ouligisu dunu da Isala: ili fi ilia fa: no hamomu hou bagadewane dawa: digi) Sebiulane fi- dunu 50,000 agoane (ilia da Da: ibidima noga: le madelai amola gegesu liligi huluane amoga gegemusa: momagele esalu) Na: fadalai fi- ouligisu dunu 1,000 agoane amola ilima fa: no bobogesu dunu 37,000 agoane. Huluane da goge agei amola da: igene ga: su gagui.) Da: ne fi- dunu 28,600 agoane. Huluane da gegemusa: adoba: i dagoi. A: sie fi- dunu 40,000 agoane. Ilia huluane da gegemusa: momagele esalu. Liubene fi, Ga: de fi amola Gusudili Ma: na: se fi - dunu 120,000 agoane. Ilia huluane da gegesu liligi huluane amoga gegemusa: ado ba: i dagoi, amola gegemusa: momagele esalu.
Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
38 Amo dadi gagui dunu huluane da Da: ibidi amo Isala: ili fi huluane ilia hina bagade hamoma: ne, dafawane dawa: i galu. Ilia da gegemusa: momagele, Hibalone moilaiga misi. Amola Isala: ili dunu eno huluane da asigi dawa: su afadafa hamone, Da: ibidi hina bagade hamoma: ne dawa: i.
Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
39 Ilia da Hibalone moilaiga doaga: le, Da: ibidima gilisili eso udiana lolo nabe hamoi. Ilia da ha: i manu amo ilia fi dunu da ilima ima: ne momagei, amo hahawane mai.
Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
40 Ilia sedaga esalu fi dunu (gafi amo Isaga, Sebiulane amola Na: fadalai) amola gadenene fi dunu da dougi, ga: mele, miule amola bulamagau bagohame oule misi. Ilia bulamagau ilia baligi da: iya ligisili, ilia falaua, figi fage, hafoga: i waini fage, waini hano amola olife susuligi gaguli misi. Amola ilia da sibi amola bulamagau medole gobele manusa: oule misi. Isala: ili soge huluane ganodini, dunu da hahawane bagadeba: le, agoane hamosu.
Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea

< 1 Hou Olelesu 12 >