< Ulusetulilo 4 >
1 Yesikilile sooni iisi nikalolile, nikavweene kuuti umulyango ghudindulilue ku kyanya. Ilisio lila ililongosi, likajovagha nune heene lukelema, likatisagha, “Isagha apa, nikukusona sino sihumila yesikilile sooni iisi.”
Baada ya mambo hayo nilitazama, nami nikaona mbele yangu mlango uliokuwa wazi mbinguni. Nayo ile sauti niliyokuwa nimeisikia hapo mwanzo ikisema nami kama tarumbeta ikasema, “Njoo, huku, nami nitakuonyesha yale ambayo hayana budi kutokea baada ya haya.”
2 Nakalingi nikale mwa Mhepo, nikalolile kwe kikale ikitengo kya vutua kivikilue ku kyanya, nhumunu akikalile.
Ghafula nilikuwa katika Roho, na hapo mbele yangu kilikuwepo kiti cha enzi mbinguni, kikiwa kimekaliwa na mtu.
3 Jumo juno akikalile akavonike ndavule ilivue ilya yaspi nu akiki. Kwelulyale ulu kangigulu ulwafuula lusyungutile ikitengo ikya vutua. Ulukangigulu ulwafula lukavonike ndavule i zumaridi.
Aliyekuwa amekikalia alikuwa anaonekana kama yaspi na akiki. Kukizunguka kile kiti cha enzi palikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.
4 Lukisyungukile ikitengo ikya vutua pefilyale ifiinga ifitengo ifya vutua fijigho fiviili na fiine, vano vakikalile kufitengo ifya vutua valyale avaghogholo ifijigjo fivili na vane, vafwasivue amenda amavalafu ni ngela isa sahabu kumatu ghave.
Kukizunguka hicho kiti cha enzi palikuwa na viti vingine vya enzi ishirini na vinne, na juu ya hivyo viti walikuwa wameketi wazee ishirini na wanne. Walivaa mavazi meupe, na walikuwa na taji za dhahabu vichwani mwao.
5 Kuhumila pa kitengo ikya vutua lulyahumile ulumuliulwa lagi, ulugulumo nii lagi. Itala lekela lubale sikale sivika pavulongolo pa kitengo ikya vutua, itana sino Mhepo lekela lubale sa Nguluve.
Kwenye kile kiti cha enzi palikuwa panatoka miali ya umeme wa radi, ngurumo na sauti za radi. Mbele ya kiti cha enzi, taa saba zilikuwa zinawaka. Hizi ndizo roho saba za Mungu.
6 Kange pavulongolo pakitengo kya vutua kwejilyale inyanja, jino jiili pavalafu heene kilolelo. Vooni kusyungutila ikitengo kya vutua kwevalyale avanyavwumi vaane, vano valya memile amaso kuvulongolo na kunsana.
Pia mbele ya kiti cha enzi palikuwa na kile kilichoonekana kama bahari ya kioo, iliyokuwa angavu kama bilauri. Katikati, kukizunguka kile kiti cha enzi, kulikuwa na viumbe wanne wenye uhai, wakiwa wamejawa na macho mbele na nyuma.
7 Ikipelua ikyakwasia ikinya vwumi kilyale heene nyalupala, ikipelua kya vuvili ikinyavwumi kilyale heene ngwada, ikipelua ikya vutatu ikinyavwumi kilyalebni sura heene ja muunhu, ghwopebjula umunya vwumi ghwa vuune jilyale heene masimula jino jitogha ku kyanya.
Kiumbe wa kwanza mwenye uhai alikuwa kama simba, wa pili alikuwa kama ngʼombe dume, wa tatu alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na wa nne alikuwa kama tai anayeruka.
8 Ifipelua fya vwumi fiine na fila nakila kilyale na mapika n'tanda, fimemile amaso kukyanya na pasi pa fyeene. pakilo na pamwisi navijika kujova, “Mwimike, mwimike, ghwe Mutua u Nguluve, untemi ghwa vooni, juno kwalyiale, kange pwale, juno ilikwisa.”
Kila mmoja wa hawa viumbe wanne wenye uhai alikuwa na mabawa sita, na kujawa na macho pande zote hadi chini ya mabawa. Usiku na mchana hawaachi kusema:
9 Amasiki ghooni ifipelua ifinya vwumi pano vakahumisie uvwimike, uvwoghopua na pikwoghopaua, naa pihongesia pavulongolo pajuno alikalile pakitengo ikio ikya vutua, umwene juno ikukala kisila na kusila jatu, (aiōn )
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn )
10 avaghogholo ifijigho fiivili na vaane vakafughime vavuo pavulongolo pa mwene pajuno akikalile ikitengo ikya vutua. Vakinamagha pasi pasjuno ikukala kisila na kusila jaatu na kutagha pasi ingeela sivanave pavulongolo pa kitengo ikya vutua vakatisagha, (aiōn )
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn )
11 “Unoghilue uve, Mutua ghwiitu Nguluve ghwiitu, pikukwupila uvwimike nu vwoghopua ni ngufu. Ulwakuva ulyapelile ifiinu fyooni na kuvugjane vwako, nakuvughane vwako, kwefililyale kange filyapelilue.”
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”