< Mataayi 3 >

1 Amaaka minga ghakakila. Pambele akahumila umuunhu jumonga juno akatambulwagha Yohani Mwofungi. Umuunhu ujuoalyale ku lihaka ku Yudea ipulisia, iiti,
Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema,
2 Mulataghe inyivi siinu ulwakuva uvutwa uvwa kukyanya vuli piipi.
“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
3 Yohani ujuo ghwe juno um'bili uYesaya alyajovile kuuti, “Ilisio lya muunhu lipulikika kuhuma ku lihaka liiti, 'Munnosekesyaghe uMutwa uNguluve isila, na kuling'hania muno kyaikilila."”
Huyu ndiye yule aliyenenwa habari zake na nabii Isaya aliposema: “Sauti ya mtu aliaye huko nyikani, ‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’”
4 UYohani akafwalagha umwenda ghuno ghwatendilue nu lwaghe lwa ngamila, akipinyagha nu lukova ulwa ng'hwembe mu nsana. Kulihaka ukuo, akalisagha imhaasi nu vwuki.
Basi Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa kwa singa za ngamia, akiwa na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.
5 Avaanhu kuhuma mu likaaja ilya Yelusalemu na mu kighavo kyoni ikya Yudea ni mbale sooni isa kikogha ikya Yolidani, vakava viluta kwa mwene
Watu walikuwa wakimwendea kutoka Yerusalemu, Uyahudi yote na nchi zote za kandokando ya Mto Yordani.
6 na kulaata inyivi saave. Neke uYohani akavofughagha mu kikoghaikya Yolidani.
Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.
7 UYohani ye avwene aVafalisayi na Masadukayi viluta kwa mwene kuuti vofughue, akavavuula akati, “Umue mwe kisina kya njoka! Ghwe veeni jono avapaviile kuuti mkimbile ing'halaasi ja Nguluve jino jikwisa?
Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8 Lino amaghendele ghahufyaghe ululaato lwinu.
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.
9 Mulekaghe kusaagha kuuti, “tukulwike ulwakuva usue tuli kisina kya Abulahamu!' Kyang'haani nikivavuula, nNguluve anoghiile kuhambusia amavue agha kuuva avaana va Abulahamu!
Wala msidhani mnaweza kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka kwa mawe haya.
10 UNguluve angiike inhemo, kuuti umpiki ghuno naghukoma ifipeke ifinofu, aghudumule na kunyaanya pa mwoto.
Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti, basi kila mti usiozaa matunda mazuri, hukatwa na kutupwa motoni.
11 Une nikuvofugha na malenga, kuvonia kuuti mulatile inyivi siinu. Neke juno ikwisa mumbele mulyune ali ni ngufu kukila une. Nanino ghiile nambe kuuva m'banda ughwa kukola ifilatu fyake.
“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini nyuma yangu anakuja yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuvichukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
12 Umwene ikuvofughagha nu Mhepo uMwimike nu mwoto. Umwene ilibaghulania avimike na vahosi, ndavule umuunhu pano ikwelusia ingano pa luvunga, ikong'hania ingano na kuviika mu kihenge, neke ilyelelo inyaanya nu mwoto ghuno naghusima.”
Pepeto lake liko mkononi mwake, naye atasafisha sakafu yake ya kupuria, na kuikusanya ngano ghalani na kuyateketeza makapi kwa moto usiozimika.”
13 Unsiki ughuo, uYesu kuhuma ku Galilaya, akafika ku kikogha ikya Yolidani kuuti ofughue nu Yolidani.
Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yohana ambatize.
14 Neke uYohani akakaana, akati, “Une nilondua kukwofughua nuuve. Iwandaani ghukwisa kulyune?'
Lakini Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?”
15 UYesu akamwamula akati “Uve itika kuvomba uluo lino, ulwakuva lunoghiile kukwikanisia sooni sino uNguluve ilonda.” Pe uyohani akitika, akamwofugha.
Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa, kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kuitimiza haki yote.” Hivyo Yohana akakubali.
16 UYesu ye ofughue, unsiki ghughuo akahuma mu malenga. Uvulanga vukadinduka, akamwagha uMhepo ghwa Nguluve ikwika hwene ng'hunda, jikwisa pakyanya pa mwene!
Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua na kutulia juu yake.
17 Pe ilisio kuhuma kukyanya likati, “Uju ghwe mwanango umughanike, ninkeliile.”
Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, ambaye ninapendezwa sana naye.”

< Mataayi 3 >