< Malika 3 >

1 Kange akingila munkate mu sinagogi mula mwe alyale umuunhu juno uluvoko lulyafwile.
Na tena aliingia ndani ya sinagogi na mle palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
2 Mwevalyale vamo valyale vikumwuvila kuuti nave kya ikunsosia umuunhu jula mu kighino kya Sabati vantwale pa vuhighi.
Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili kwamba wamshitaki.
3 U Yesu akam'bula unyaluvoko luno lufwile akati, “Ima pakate palipugha ili.”
Yesu alimwambia mtu mwenye mkono uliopooza, “Inuka na usimame katikati ya umati huu.”
4 Pe akavavula avaanhu, “Asi, luliku luno lunoghile mukighono ikya Sabatinambe ku vomba imbivim; kupoka u vwumi nambe ku buda?” Looli navakamula kimonga.
Kisha akawaambia watu, “Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato au kutenda yasiyo haki; kuokoa maisha, au kuua?” Lakini walibaki kimya.
5 Akavalola ni ng'halasi, akasukunala vwimila vwa vusiiki vwa numbula save, kange akam'buula umuunhu jula, “Gholosia uluvoko lwako” Akagholosia u Yesu akansosia uluvoko lwa mwene.
Akawaangalia kwa hasira, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, na akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako”. Akaunyoosha na Yesu akamponya mkono wake.
6 Ava Farisayo vakahuma kunji pe vakava vipiling'ana nhu Herode vule kya vikum'buda.
Mafarisayo wakaenda nje na mara wakafanya njama pamoja na Maherode dhidi yake ili kumuua.
7 Pe u Yesu, navavulanisivua vaake, vakaluta ku lisumbe, nililigha ilivaha ilya vaanhu vukam'bingilila kuhuma ku Yerusalemu na kuvuyahudi
Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi wake, walienda baharini, na umati mkubwa wa watu uliwafuata ukitokea Galilaya na Uyahudi
8 kuhuma ku Yerusalemu na kuhuma ku Idumaya na kuvulongolo ku Yorodani na kumbale isa ku Tiro ni Sidoni, ilipugja likome, pono alyapulika ifiinu fyooni fino alya ivomba, valisile kwa mwene.
na kutoka Yerusalemu na kutoka Idumaya na mbele ya Yorodani na jirani ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa, uliposikia kila kitu alichokuwa anakifanya, walikuja kwake.
9 Pe akavavula avavulanisivua vaake kuuti vaveghelesie ingalava indebe vwimila vwa mwene lwakuuti ilipugha lya vaanhu, ulwakuuti navangampitaghe.
Na aliwaambia wanafunzi wake kuandaa mtubwi mdongo kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasije wakamsonga.
10 Ulwakuva alya sosisie vinga, ulwakuuti umuunhu ghweni unya mumuko alyale nuvunoghelua vwa kum'bona neke amwabasie.
Kwa kuwa aliponya wengi, ili kila mtu aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumfikia ili amguse.
11 pooni imhepo indamafu pano vakamwaghagha, vakaghwisaka pasi na pilila pamaghulu gha mwene, vakatisagha, “uve uli Mwana ghwa Nguluve”.
Popote roho wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia, na walisema, “Wewe ni Mwana wa Mungu”.
12 Akaghadalikilagha kuuti naghangampulisiaghe akagulike.
Aliwaamuru kwa msisitizo wasifanye ajulikane.
13 Akatogha pakyanya pa kidunda, akavakemela vano alighanile, vakaluta kwa mwene.
Alienda juu ya mlima, na akawaita aliowataka, na wakaenda kwake.
14 Akavasalula kijigho na vavili (akavatambula vasung'ua), ulwakuuti vave palikimo nu mwene alwakuti avomole kupulisia,
Akawachagua kumi na wawili (aliowaita mitume), ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri,
15 kuuti uvutavulilua uvwa kudaga amapepo.
na kuwa na mamlaka ya kutoa mapepo.
16 Akavasalula kange kijigho na vavili: U Simono juno akantambulagha Petro,
Na akawachagua kumi na wawili: Simoni, aliyempa jina la Petro,
17 U Yakobo nswambe ghwa Zebedayo, nu Yohani nyalukolo ghwa Yakobo, alkapeelilue ilitavua lya Bonagesi, avuo ve, vaana va lugulumo,
Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, aliyepewa jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo,
18 nu Ndeleeya, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, tomaso Yakobo mwana ghwa Alfayo, Thadayo, SimoniMukananayo,
na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
19 nhu Yuda Iskariote, juno alya mwohiile.
na Yuda Iskariote, ambaye atamsaliti.
20 Pe akaluta ku nyumba, nilipugha lya vaanhu vakisa palikimo kange, vakakunua nakulia u nkate.
Kisha alienda nyumbani, na umati wa watu wakaja pamoja tena, hata wasiweze kula hata mkate.
21 Ikikolo kya mwene yevapulike imhola ijio, vakaluta kukun'kola, vakaati, “Ahasiling'ine uluhala”
Familia yake waliposikia habari hiyo, walienda kumkamata, kwani walisema, “Amerukwa na akili”.
22 Voope avalembi vano valisile kuhuma ku Yerusalemu vakatisagha, “U Yesu ali nili pepo lywa Beelzebuli,” ilipepo ili lyelino likumpeela ingufu isakudaga amapepo”.
Waandishi waliokuja kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli,” na, “Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo”.
23 Uyesu akavakemelile kwamwene nakujova navope kuhwanikisio, “ndaponi usetano idaghw kwa setano?
Yesu aliwaita kwake na kusema nao kwa mifano, “Jinsi gani Shetani aweza kumtoa Shetani?
24 Nave uvutua vughavana vwene uvutwa uvuo navu ngime.
Kama ufalme ukigawanyika wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
25 Nave inyumba jingaghaving'hane jeene, inyumba ijio najivwesia jiime.
Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
26 Nave usetano angagalung'hane mwene na kughavinga'ana, nangavwesie kukwima, iva afikile kuvusililo vwake.
Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake.
27 Looli nakwale nambe umuunhughweni nangingile munyumba ja muunhu unyangufu kughoma ifiini fyake looli tasi ankunge unyanyumba, neke aghome ifiinu fyake fyooni.
Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.
28 Kyang'haani ni kuvavula, inyivi sooni isa vaanha va vaanhu nalavasaghila, namaligho ghave ghoni,
Kweli nawambieni, dhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka,
29 looli umuunhu juno ikumuligha u Mhepo u Mwimike ujuo u Nguluve nalansaghila lusiku, ujuo iiva nu nkole ughwa kuvusila kusila”. (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
30 U Yesu akajova ilio ulwakuva akatile, “Alinilipepo ililamafu”.
Yesu alilisema hili kwa sababu walikuwa wakisema, “Ana roho chafu”.
31 Kange u ng'ina navanyalukolo va mwene vakisa na vakiima panji. Vakansung'haa umuunhu, kuku nkemela.
Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita.
32 Nikipugha kya vaanhu vano vakikalile pipi naghwope vakam'buula, “umama ghwako navanunavo valipanji, vikukulonda uve”.
Na umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia, “mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe”.
33 Akavamula akati, “Umama navanuna vaango ve vaveeni?”
Aliwajibu, “Ni nani mama yangu na ndugu zangu?”
34 Akavasyetukila avaanhu vooni vano valikalile vakansungutile, akaati, “Lolagha ava ghwe mama navanuna vaango!
Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema, “Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu!
35 Umuunhu ghweni juno ivomba isa vughane vwa Nguluve, umuunhu ujuo ghwe nuna kange kwe lumbu ghwango ghwango, nu mama ghwango”.
Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu”.

< Malika 3 >