< Luuka 9 >
1 akavakemhela avavvulanisivua kijigho na vavili palikimo. akavapela uvutavulilua uvwa kudaga amapepo amalamafu mu vwakusosia inhamu.
Yesu kisha akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa mamlaka na uwezo wa kutoa pepo wachafu wote na kuponya magonjwa yote,
2 akavasung'a valute kupulisia iMhola isa Vutwa vwa Nguluve napikuvasosia avatamu.
kisha akawatuma waende wakahubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
3 akavavuula akati, mulekaghe pipinda kimonga nambe ulukwegho nambe inyambe nambe unkate nambe indalama nambe umwenda ughwa kukwandula.
Akawaagiza akisema, “Msichukue chochote safarini: sio fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala fedha, hata msichukue kanzu ya ziada.
4 inyumba jino kyande mukwingila mukalaghe mumuo kuhanga pano muvuka mulikaha ilio.
Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
5 neke kuvano navamwupile, pano muhuma mulikaja ilio muhumaghe napikung'uana ulung'unde mu maghulu ghinu kuva kivalilo kuvanave.
Kama watu wasipowakaribisha, mnapoondoka katika mji wao, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu ili kuwa ushuhuda dhidi yao.”
6 vakavuka nakuluta mumakaja kukilila mumakaja, napikilila iMhola inofu napisosia avatamu poni pano vakalutagha.
Hivyo wale wanafunzi wakaondoka wakaenda kutoka kijiji hadi kijiji, wakihubiri habari njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
7 lino uHelode untemi akapulike ghoni ghano ghalyale ghihumila alyapumwike kyongo, ulwakuva jilyajovilue na vaanhu vamonga kuuti, uYohani mwofughi asyukile kuhuma kuvafue.
Basi Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za yote yaliyotendeka. Naye akafadhaika, kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu.
8 na ghamonga kuuti, uElia ahumiile nakuvange kwiti ghwejumo na vavili avakuulu kange ahumila kuvafue.
Wengine wakasema Eliya amewatokea, na wengine wakasema kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuka.
9 uHelode akati, “une nilyan'dumwile uYohani, neke ujuo ghwe veni juno nipulika imhola ja mwene? naju Helode akalonda isila ija kumwagha uYesu.
Herode akasema, “Yohana nilimkata kichwa. Lakini ni nani huyu ambaye ninasikia mambo kama haya kumhusu?” Akatamani sana kumwona.
10 ye vakagomwike avasung'ua, vakampangila sino valyavombile akavatola akaluta palikimo na vene. akaluta mwene mu likaaja lya Betsaida.
Mitume wake waliporudi, wakamweleza Yesu yote waliyofanya. Akawachukua, akaenda nao faraghani mpaka mji uitwao Bethsaida.
11 neke avaanhu vinga yevapilike imhola iji vakam'bingilila, akavupila akajova navoimhola ja Vutwa vwa Nguluve, kange avasosia vano vakalondagha kusooka.
Lakini umati wa watu ukafahamu alikokwenda, ukamfuata. Akawakaribisha na kunena nao kuhusu Ufalme wa Mungu na kuwaponya wale wote waliokuwa wanahitaji uponyaji.
12 ye vwilileavavulanisivua vaake kijigho na vavili vakaluta kwa mwene vakati, uvatavule avaanhu valute mumakaaja ghano ghalipipi nu mpulo vakalonde ikyakulia, napa kughona ulwakuva apa tuli palunyika.
Ilipokaribia jioni, wale mitume kumi na wawili wakaenda kwa Yesu na kumwambia, “Waage makutano ili waende vijijini jirani na mashambani, ili wapate chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa tuko nyikani.”
13 neke akavavula, “umue muvapelagha ikyakulia.” vakati tulivasila kinu ikyakulia pamo amakate ghahano ni swi iviili pamo lwale tulute kughula kumpulo kuhanaga nu vwinga vwa vaanhu.”
Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.” Nao wakajibu, “Hatuna zaidi ya mikate mitano na samaki wawili. Labda twende tukanunue chakula cha kuwatosha watu hawa wote.”
14 pwevalyale na vaghosi imbilima ihananopala. akavavula avavulanisivua vake akati, “muvakasie paasi mufipugha fipugha vave ifijigho fihaano ifipugha fyoni.
Walikuwako wanaume wapatao 5,000. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini hamsini.”
15 pe vakavomba ndikio na vaanhu vakikala paasi.
Wanafunzi wakafanya hivyo, wakawaketisha wote.
16 akatola amakate ghahaano ni swi ivili pe akalola kukyanya akaghasumila akamenyulania akavapela avavulanisivua vaake kuuti, vavike kuvulongolo kulipugha lya vaanhu.
Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akavibariki na kuvimega. Kisha akawapa wanafunzi ili wawagawie watu.
17 vooni vakalia vakikuta ni fimenyulila fya makate fino fisighile nakaholania na kukufivika mu ndilo sikamema kijigho ni fivili.
Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
18 neke lulyale kuti, uYesu alyale kuvusyefu ye ikufunya mwene. avavulanisivua vake valyale palikimo nu mwene, akavaposia akati, “avaanhu viiti une nene veni?
Wakati mmoja, Yesu alipokuwa akiomba faraghani, nao wanafunzi wake wakiwa pamoja naye, akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
19 vakamwamula vakati, “Yohani umwofughi. neke avange vati Elia na vange viiti veve jumo mwene na vavili avakuulu asyukile kange”.
Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema kwamba ni mmoja wa manabii wa kale amefufuka kutoka kwa wafu.”
20 akavavula,” neke umue muti nene veni? akamula uPeteli akati, “Kilisite kuhuma kwa Nguluve”.
Kisha akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo wa Mungu.”
21 neke uYesu akavavula akati, namungam'bulaghe umuunhu ghweni ku ulu,
Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.
22 uYesu akati, umwana ghw nyamuunhu lunoghiile kupumusivua kughano minga nakukanua na vaanhu avagojo na vatekesi avavaha na vavulanisi vandaghilo nakubudua nikighono kya vutatu isyuka.
Yesu akasema, “Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na itampasa auawe, lakini siku ya tatu kufufuliwa kutoka mauti.”
23 akavavula vooni, “akajova umuunhu” ghweni juno ilonda pikum'bingilila. avuleke uvugho no vwake neke itwike ikikovekano kyake, neke am'bingilile.
Kisha akawaambia wote, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake kila siku, anifuate.
24 ghweni juno ighela pikuluusia uvwumi vwake isofia. neke ghweni juno isofia uvwumi vwake vwimila une ujuo alakulusia.
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayaokoa.
25 pe ivumbulila kiki umuunhu, nave ipelua iisi jooni, neke akasofia nambe am'busie uvwumi vwake?
Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au kuangamiza nafsi yake?
26 ghweni juno ikum'bonela soni une na masio ghango, kwa mwene jujuo umwana ghwa muunhu alam'bonela isoni pano alava pa vwimike vwake nu vwimike vwa Nhhata na vanyaMhola avimike.
Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu atakapokuja katika utukufu wake na katika utukufu wa Baba, pamoja na malaika watakatifu.
27 neke nijova isakyang'haani kwevale mukipugha kinu vano vimile apa navalalola uvufue kuhanga vavuvone uvutwa vwa Nguluve”.
Amin, nawaambia, wako baadhi ya watu waliosimama hapa ambao hawataonja mauti kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.”
28 ye fifikile ifighono lekela kwooni kuhuma uYesu ijova amasio aghuo kuuti, avatoola palikimo nu mwene Peteli, uYohani nu Yakovo vakatogha kukidunda kukufunya.
Yapata siku nane baada ya Yesu kusema hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana, akaenda nao mlimani kuomba.
29 ye alikukufunya uluvonesio ku maaso ghake lukanduka, naghamhenda ghake ghakava mavalafu ghimulika.
Alipokuwa akiomba, sura ya uso wake ikabadilika, nayo mavazi yake yakametameta kama mwanga wa umeme wa radi.
30 pevalyale avakinhaata vavili vakajovagha naghwo valyale uMoose nu Elia,
Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Mose na Eliya, wakizungumza naye.
31 valyavonike kuvwimike valyajovile isa kuvuka kwa mwene alyale pipi kughelanisia kuYelusalemu.
Walionekana katika utukufu wakizungumza na Yesu kuhusu kifo chake ambacho kingetokea huko Yerusalemu.
32 lino uPeteli navala vano valyale palikimo nu mwene valyale vanyatulu inyinga. neke ye vasisimwike, valyavuvwene uvwimike vwake navakibaba vavili vano valyimile nu mwene.
Petro na wenzake walikuwa wamelala usingizi mzito. Walipoamka, wakaona utukufu wa Yesu na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye.
33 lulyahumile kuuti, ye vivuuka kwa Yesu, uPeteli akam'bula,” Mutwa, lunofu kulyusue kukukala bahapa kange lunoghile tujenge ifyeve fitatu kino kive kyako, kimo kive kya Moose, ni kingi kimo kive kya Eliya”, nalyakagwile kio ijova.
Mose na Eliya walipokuwa wanaondoka, Petro akamwambia Yesu, “Bwana, ni vizuri tukae hapa! Tutajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.” Lakini Petro alikuwa hajui asemacho.
34 ye ijova aghuo, likisa ilifunde likavakupikila. vakoghopa ye vavwene ilifunde livasyungutile.
Alipokuwa bado anazungumza, pakatokea wingu, likawafunika, nao wakaogopa walipoingia mle kwenye wingu.
35 ilisio likapulikika lihuma mumafunde liiti, “uju ghwe mwanango umwimikua. mumpulikisiaghe umwene”.
Sauti ikatoka kwenye lile wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, niliyemchagua. Msikieni yeye.”
36 ilisio ye lijikile uYesu alyale mwene. vaki kalile kimie, na fiighono ifio navalyam'bulile nambe jumo lyolyoni mughano valyaghavwene.
Baada ya sauti hiyo kusema, walimkuta Yesu akiwa peke yake. Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili, wala kwa wakati huo hawakumwambia mtu yeyote yale waliyokuwa wameyaona.
37 ikighono ikya vuvili, ye ahumile kukidunda ilipugha lya vaanhu viinga vakatang'ana naghwo.
Kesho yake waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
38 lolagha! umukinhaata kuhuma mulipugha alyakolile fiijo, akati, “ghwe m'bulanisi nisuuma usoosie umwango. ulwakuva ghwe mwanango jujuo.
Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapaza sauti, akasema, “Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, kwani ndiye mtoto wangu wa pekee.
39 ghulola amapepo amalamafu ghikun'kola, kange yee ikolagha kange ghikumpelela kuhasing'ana na pihumia ilitotofulo mumulomo lyope lyope lihuma kuvuvafi fiijo lyelimpeliile uvuvafi.
Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa hata akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana, na hamwachi ila mara chache.
40 nivasuumile avavulanisivua vake vope vakunilue”.
Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
41 uYesu akamula akati, umue mwekisikina ikisila lwitiko kange kino kili nu vuhosi, nilikukala numue un'siki ghuliku neke musikagule mulete umwanako apa.
Yesu akawajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka! Nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
42 unsoleka ye ikwisa amapepo amalamafu ghakamughwisia paasi napikunsukania na kugiila neke uYesu akalidalikila ilipepo ililamafu, akansoosia unsoleka. napikuntwala kwa viise.
Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa. Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu amtoke, akamponya yule mtoto, na akamrudisha kwa baba yake.
43 vooni valyadeghile nu vuvaha vwa Nguluve. neke ye videgha ku ghano ghalyahumile ghano alyavombile, akati kuvavulanisi vake.
Watu wote wakastaajabia uweza mkuu wa Mungu. Wakati bado watu walikuwa wanastaajabia hayo yote aliyokuwa akiyafanya Yesu, yeye akawaambia wanafunzi wake:
44 amasio agha mughakole fiijo mumbughulutu siinu, ulwakuva umwana ghwa muunhu itavuulua mumavoko gha vaanhu.
“Sikilizeni kwa makini haya nitakayowaambia sasa: Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.”
45 neke navalyasitaghinie ulukangasio lwa masio aghuo, kange alyaghavisile pa maaso ghave, neke valeke pikusikagula. vakooghopa pikumposia vwimila ilisio ilio.
Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.
46 bahuo vakatengula kulwaana vavuo veni juno ave m'baha.
Kukazuka mabishano miongoni mwa wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao atakayekuwa mkuu kuliko wote.
47 neke uYesu ye akagwile sino viposesania munumbula saave. akantola umwana un'debe na kukum'bika ulubale lwa mwene.
Lakini Yesu akayatambua mawazo yao, naye akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha kando yake.
48 pe akajova,”ndeve umuunhu ghwoghwoni angamwupile umwana un'debe ndavule uju mu mulitavua lyango, ujuo kange iiva anyupile une, kange ghweni anganyupile une kange iiva amwupile juno anisung'ile, ulwakuva juno ndebe kulyumue mweni ghwejuno m'baha.
Kisha akawaambia, “Yeyote amkaribishaye mtoto huyu mdogo kwa Jina langu, anikaribisha mimi, na yeyote atakayenikaribisha mimi, atakuwa amemkaribisha yeye aliyenituma. Kwa maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu, ndiye aliye mkuu kuliko wote.”
49 uYohani akamwamula akati, Mutwa tukam'wene umuunhu akaleidaga amapepo kulitavua lyako neke tun'kanile, ulwakuva nan'jiitu”.
Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”
50 neke uYesu akam'bula akati, “muleka pikun'kana, juno ali ulubale lwinu ujuo ghwinu.
Yesu akasema, “Msimzuie, kwa sababu yeyote ambaye si kinyume nanyi, yu upande wenu.”
51 lulyahumile kuuti, kulingana ni fighono fifikile ifya kutogha kukyanya, kulukangasio alyalungime amaaso ghake kuluta kuYelusalemu.
Wakati ulipokaribia wa yeye kuchukuliwa mbinguni, alikaza uso wake kwenda Yerusalemu.
52 akavasung'a avaanhu kuluta mu likaaja lya vasamalia neke vanosekesie pamonga.
Akatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu;
53 neke avaanhu kula navakamwupila ulwakuva alyalungime amaaso ghake ku Yelusalemu.
lakini watu wa kijiji kile hawakumkaribisha kwa sababu alikuwa anakwenda zake Yerusalemu.
54 avavulanisivua vaake uYakovo nu Yohani ye valivwene ili vakati, “Mutwa ghulonda tusukulile umwoto ghwike paasi kuhuma kukyanya ghuvamalisie?
Wanafunzi wake, yaani Yakobo na Yohana, walipoona hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuagize moto kutoka mbinguni ili uwaangamize?”
55 neke akavasyetukila akavadalikila.
Yesu akageuka na kuwakemea,
56 neke vakaluta kulikaaja ilinge.
nao wakaenda kijiji kingine.
57 ye viluta vighenda musila umuunhu jumo akam'bula akati,” nikukuvingilila kwoni kuno ghuluta.
Walipokuwa njiani wakienda, mtu mmoja akamwambia Yesu, “Nitakufuata kokote uendako.”
58 uYesu akam'bula akati, “ing'heve sili namiina, injuni isa kukyanya sili ni fivwasu neke umwana ghwa muunhu nsila napakuvika umutu ghwake?
Yesu akamjibu, “Mbweha wana mapango, nao ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
59 pe pano akam'bula umuunhu ujunge akati, “um'bingililaghe” neke umwene akati “Mutwa unavule taasi nilute ninsyile ubaba ghwango.”
Yesu akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Mtu huyo akamjibu, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
60 neke umwene akam'bula akati, “valeke avaue vavasyile avafue vaave, looli uve ulute kupulisia uvutwa vwa Nguluve pooni
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
61 kange umuunhu ujunge akati, “nikukuvingila, Mutwa lino nisuuma unavule taasi nikavalaghe muvano vali munyumba jango”.
Mtu mwingine akamwambia, “Bwana, nitakufuata lakini naomba kwanza nikawaage jamaa yangu.”
62 neke uYesu akam'bula akati “nakwale muunhu juno itavwile amavooko ghake kulima nakulola kumbele ghwe anoghile kuvutwa vwa Nguluve.
Yesu akamwambia, “Mtu yeyote atiaye mkono wake kulima, kisha akatazama nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu.”