< Luuka 10 >

1 pambele uMutwa akatavula fijigho lekela lubale navange, navasung'ua vavili vavili vamulongolele mumakaja ghoni ghano alyahuvilile kuluta.
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2 akavavula akati, “ifinu fimotwike, neke avanyambombo vadebe. lino munsume uMutwa unyamote, neke kuuti avasung'e ng'aning'ani avavombi mu mote jake.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3 mulutaghe mumakaaja. lolagha nikuvasung'ha hwene ng'hollo pakate pa ng'hekeva.
Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4 namungapindaghe inyambe ija ndalama, nambe isa vanyavukyusi, nambe ifilatu, nambe namungamwungilaghe umuunhu hweni musila.
Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5 mu nyumba jojoni jino kyande mukwingila. mutalaghe kwiti, ulutengano luve munyumba iji.
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6 ndeve pwale umuunhu ghwa lutengano pala, ulutengano lwinu lusighala kwa mwene.
Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7 neke mujighaghe munyumba ijio, mulisaghe napinyua kino kyande vihumia, ulwakuva um'bombi anoghile uluhombo lwake. namungahumaghe mu nyumba iji nakuluta ku nyumba ijinge.
Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8 ilikaaja lyolyoni lino kya mukwingila, na kukuvupila, lisagha kyokyoni kino kivikilue pa maaso ghinu,
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9 muvasosyaghe avatamu vano vali umuo, muvavulaghe kuuti, “uvutwa vwa Nguluve vwisile pipi kulyume.
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10 neke mulikaaja lyolyoni lino kyale mukwingila, na kuleka kukuvupila, mulutaghe kunji pa nsevo pe muvavule,
Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11 naliling'unde mulikaaja liinu lino likolile mu maghulu ghitu tukung'una pa maaso ghinu! neke mukagule kuuti, uvutwa vwa Nguluve vuli pipi.
Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12 nikuvavula kuuti ikighono ikya vuhighi kiliva kya lugudo kukila kwa Sodoma kuliko ilikaaja ilio.
Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13 iga uve Kolasini, iga uve Betisaida! nave imbombo imbaha sinosivombike mun'kate mun'kate jako, sale sivombike ku Tiro na ku Sidoni, ndevalatile katali kyongo, vavikukala mu n'kate mu mhenda agha magunila na mapembo.
“Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14 neke kwaki kyongo ikighono kya vuhighi kwa Tiro nu Sidoni kukila umue.
Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15 uve Karelinaumu, ghusagha kuuti vilikukutosia kukyanya kwa Nguluve? nambe vilikukwisia paasi kuhanga kuvulungu. (Hadēs g86)
Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.” (Hadēs g86)
16 juno kyande ikuvapulikisia umue ikumulikisia une, ghwope juno ikuvakana, ikung'hana une, na ghweni juno ikung'hana une ikun'kana juno anisung'ile.
Halafu akasema, “Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.”
17 vala kijigho lekela lubale vakagomoka vahovwike, vakaati, “Mutwa ghope amapepo amalamafu ghikutukunda militavua lyako.
Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, “Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako.”
18 uYesu akavavula akati,” numwaghile usetano pano ighua kuhuma kukyanya hwene lumuli lwa fula?
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19 loola! nivapelile uvutavulua uvwa kukanya injoka ni fing'omilevuli, ni ngufu sooni sa valugu, kange kusila kyokyoni ku sila jojoni ikyakuvalemasia.
Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20 nambe lino namungahovokaghe lwene mu ili, kuuti inumbula sikuvitika, neke muhovokaghe kukila kuuti, amatavua ghinu ghalembilue kukyanya.
Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 mu n'siki ghula ghula akahovokagha kyongo mwa Mhepo uMwimike na kuuti, “nikukughinia uve, Nhaata, Mutwa ghwa kukyanya ni iisi, ulwakuva ughaisile amasio agha kuhuma kwa nya vukoola na vanya luhala, nakukughafunula ku vala vano navavulanisivue, ndavule avaanha avadebe. Ena, Nhaata kwa kuva lukakelile pa maaso ghako.
Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.”
22 ifinu fyoni fitavulilue ku lyune nu Nhaata ghwango, nakwale juno ikagula umwana ghwe veeni, looli u Nhaata, kange nakwale juno ikagula uNhaata ghwe veni looli u mwana. nu muunhu ghweni juno umwana inoghelua kukujivonesia kwa mwene.
Kisha akasema, “Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo.”
23 akavasyetukila avavulanisivua, akati kuvusyefu, vafunyilue vala vano vikusagha sino najumue mukusagha.
Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, “Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24 nikuvavula umue. kuuti avavili vinga na vatwa vakanoghilue kusagha sino mukusagha, neke navakasaghile, na kupulika pulika sino mupulika neke navakapulike.
Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie.”
25 loola! um'bulanisi jumonga ughwa ndaghilo isa vaYahudi akimile na kkumughela akati, “m'bulanisi, nivombe kiki nikave uvwumi uvwa kusila nakusila?” (aiōnios g166)
Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
26 uYesu akamwamula akati, “kilembilue kiki mu ndaghilo? ghukujimba ndani?
Yesu akamwuliza, “Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?”
27 akamwamula akati, “ghulukumughana uMutwa ghwako ku mwojo ghwako ghwoni, na kunumbula jako jooni, na kungufu sako sooni, nakuluhala lwako lwoni, nu nino ndavule ghukughana ghwe mwene.
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
28 uYesu akati, “ghwamwile vunono. vombagha ndiki pe ghuuva nu vwumi.
Yesu akawaambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29 neke um'bulanisi ndeve inoghelua kukujivalila ikyang'hhani jujuo, akam'bulagha uYesu,” nu n'jango ghwe veni?
Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 uYesu akamwamula akati, “umuunhu jumonga akale ikwika kuhuma ku Yelusalemu kuluta ku Yeliko. akaghua pakate pa vakunyi vakankunya ikyuma kyake, na kukuntova na kukumuleka pipi pifua.
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31 hongelagha untekesi jumonga akale ikwika mu sila ijio, ati amwaghile akakila ulubale ulunge.
Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32 naju Mulawi akakila vulevule, ati afikile pala na kukumwagha akakila ulubale ulunge.
Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33 neke un'koola jumonga, pano akale ikyula, akakila pala pano akale umuunhu ujuo. ati amwaghile akaveela kulusungu.
Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34 akam'belelela na kukumpinya ifikong'o fyake, na kukumpaka amafuta mu fikong'o fyake. akantosia pa nkyanya ja kidimua kyake, na kukuntwala ku nyumba ja vaghesi na kum'buvusia.
Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35 ikighono kinokikwisa akatola idinari ivili, na kukumpela unyanyumba jila ija vaghesi na kukum'bula, 'm'buvusie kyokyoni ikya kwongelela nikukuhomba kyande nigomwike.
Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.”
36 ghusagha kuuti, ghweveni mu ava vatatu, juno alyale pipi na jula juno alyaghwilile pakate pa vakunyi?
Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”
37 um”bulanisi akati, “ghwe jula juno akavonisie ulusungu kwa jula juno akaghwile”. uYesu akam'bula akati lutagha na juve ukavombaghe vule vule.
Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo.”
38 lino ye vati vikyula, vakingila mu likaaja limonga, nu mukijuuva jumonga ilitavual lwake ghwe Malita akankalibisia mu nyumba jaake.
Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39 alyale nu nuna juno akakemheluagha Maliya, juno akikalagha pamaghulu gha Mutwa na kukumpulikisia amasio ghake.
Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40 neke uMaliya akava ni mbombo nyinga isa kuteleka ikyakulia. akaluta kwa Yesu na kuti, “Mutwa, naghusagha kuuti u nuna vango anilekile nivombaghe ne mwene? pe lino um'bule anangaghe”.
Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, “Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie.”
41 neke uMutwa akamwamula na kukum'bula kuuti,” Malita Malita, ghupumhuka mu nyinga,
Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42 neke kye kinu kimo kyene ikyakuvomba. uMaliya atavwile kino kinono, kino nakilivuka kuhuma kwa mwene.
Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya.”

< Luuka 10 >