< Yohani 9 >
1 Ikighono kimonga uYesu ye ighenda, ali na vavulanisivua vaake, akamwagha umuunhu jumonga umbofu amaaso kuhuma iholua.
Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.
2 Avavulanisivua vala vakamposia uYesu vakati, “Ghwe m'bulanisi, umuunhu uju alyaholilue m'bofu vwimila inyivi saani? Vwimila inyivi saake nambe vwimila inyivi sa vapaafi vaake?”
Basi, wanafunzi wakamwuliza, “Mwalimu! Ni nani aliyetenda dhambi: mtu huyu, ama wazazi wake, hata akazaliwa kipofu?”
3 UYesu akavamula akati, “Umuunhu uju naalyaholilue m'bofu vwimila inyivi saka, nambe vwimila inyivi sa vapaafi vaake. Ulwene alyaholilue mbofu, neke ingufu sa Nguluve sivoneke kukilila umwene.
Yesu akajibu, “Jambo hili halikutukia kwa sababu ya dhambi zake yeye, wala dhambi za wazazi wake; ila alizaliwa kipofu ili nguvu ya Mungu ionekane ikifanya kazi ndani yake.
4 Tulondua kuvomba imbombo ija Nguluve juno asung'hile, pano jijiighe mwisi. Ikilo jikwisa pano umuunhu nangavombe imbombo iji.
Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yule aliyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.
5 Pano nijighe mu iisi, nili lumuli ku vaanhu vooni.
Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu.”
6 UYesu ye ajovile isio, akafuunya amati paasi, akakanda akatope na mati ghala, akapaka amaaso gha m'bofu jula.
Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni,
7 Akambuula akati, “Lutagha ghwoghe ku maaso mu lilamba ilya Siloamu (Ilitavua ili Siloamu kwe kuti juno asunghile). Pepano akaluta kukwogha ku maaso, akagomoka ilola.
akamwambia, “Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.” (maana ya jina hili ni “aliyetumwa”). Basi, huyo kipofu akaenda, akanawa, kisha akarudi akiwa anaona.
8 Avabading'hani vaake na vange vooni vano valyale vikumwagha ulutasi isuuma ifiinu, vakava vikuposania viiti, “Asi, umuunhu uju naghwe juno ikalagha pamonga isuuma ifiinu?”
Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, “Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?”
9 Vamonga vakati, “Ghwe mwene. “Avange vakati, “Naghwe mwene looli ahwaniine fiijo nu mwene. “Neke umwene akavavuula akati, “Neene!”
Baadhi yao wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “La! Ila anafanana naye.” Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, “Ni mimi!”
10 Pe vakamposia vakati, “Luveele ndaani kuhanga amaaso ghaako ghilola?”
Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”
11 Umwene akavamula akati, “Umuunhu juno itambulua Yesu, avele akandile akatope, amhakile amaaso, pe ambulile atiile, 'Lutagha ghwoghe mu lilamba ilya Siloamu.' Naluta, noogha, ye navonagha ilola.”
Naye akawajibu, “Yule mtu aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka machoni na kuniambia: Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu. Basi, mimi nikaenda, nikanawa, nikapata kuona.”
12 Avaanhu vala vakamposia, vakati, “Umuunhu ujuo alikughi?' Umwene akavamula akati, “Nwisi.”
Wakamwuliza, “Yeye yuko wapi?” Naye akawajibu, “Mimi sijui!”
13 Pe avaanhu vala vakantwala ku Vafalisayi umuunhu jula juno alyale m'bofu.
Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.
14 Ikighono kino uYesu alyakandile akarope na kukunsosia um'bofu jula, kilyale kighono kya Sabati.
Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato.
15 Pe aVafalisayi vakamposia umuunhu jula vakati, “Asi, usokile ndaani uvubofu vwako?” Akavamula akati, “Umuunhu jumonga amhaka akatope amaaso, neke noogha, lino nilola.”
Basi, Mafarisayo wakamwuliza mtu huyo, “Umepataje kuona?” Naye akawaambia, “Alinipaka tope machoni, nami nikanawa na sasa naona.”
16 Pepano aVafalisayi vamonga vakati, “Umuunhu juno avombile uluo, naahumile kwa Nguluve, ulwakuva ivomba mukighono ikya Sabati luno nalukwitikisivua mu ndaghilo. “Neke avange vakati, “Umuunhu umhosi ndepoonu ivomba ifidegho fino fihufia ifivalilo ndavule ifi?” Mu uluo vakalekeng'hana.
Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, maana hashiki sheria ya Sabato.” Lakini wengine wakasema, “Mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?” Kukawa na mafarakano kati yao.
17 Pe aVafalisayi vakamposi kange umuunhu jula vakati, “Asi, uve ghwiti ndaani vwimila umuunhu juno akusosisie amaaso?” Umwene akavamula akati, “Une niiti umuunhu jula m'bili ghwa Nguluve.”
Wakamwuliza tena huyo mtu aliyekuwa kipofu, “Maadam yeye amekufungua macho, wasemaje juu yake?” Naye akawaambia, “Yeye ni nabii!”
18 Avalongosi va Vayahudi vala navalyitiike kuuti umuunhu jula alyaholilue m'bofu neke lino asokile ilola, kuhanga vakavakemela avapaafi vaake.
Viongozi wa Wayahudi hawakusadiki kwamba mtu huyo alikuwa kipofu hapo awali na sasa anaona mpaka walipowaita wazazi wake.
19 Vakavaposia avapaafi avakati, “Asi, umuunhu uju juno mwiti aholilue m'bofu, mwana ghwinu? Asokile ndaani uvubofu vwake?”
Basi, wakawauliza hao wazazi, “Je, huyu ndiye mtoto wenu ambaye ninyi mwasema alizaliwa kipofu? Sasa amepataje kuona?”
20 Avapaafi vaake vakavamula vakati, “Usue tukagwile kuuti, uju ghwe mwana ghwitu, alyaholilue m'bofu.
Wazazi wake wakajibu, “Tunajua kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba alizaliwa kipofu.
21 Neke natukagwile atengwile ndaani kulola. Kange naju muunhu juno ansosisie amaaso, natummanyile. Mumposie, muunhu n'goyo, ikuvavuula jujuo.”
Lakini amepataje kuona, hatujui; na wala hatumjui yule aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima, anaweza kujitetea mwenyewe.”
22 Avapaafi vaake valyajovile uluo, ulwakuva valyale vikwoghopa avalongosi va Vayahudi. Avalongosi avuo valyiting'hiine kuuti umuunhu juno ikwitika kuuti uYesu ghwe Kilisite, vikun'daga mumasinagogi ghaave.
Wazazi wake walisema hivyo kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi kwani viongozi hao walikuwa wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi.
23 Fye nambe avapaafi vala valyatiile, “Umwene muunhu n'goyo, mumposie jujuo.”
Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”
24 Avalongosi va Vayahudi vakankemeela ulwa vuvili umuunhu jula juno alyale m'bofu, vakam'buula vakati, “Jova isa kyang'haani pamaaso gha Nguluve! Usue tukagwile kuuti umuunhu ujuo juno akusosisie, mhosi.”
Basi, wakamwita tena aliyekuwa kipofu, wakamwambia, “Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”
25 Umwene akavamula akati, “kuuti umuunhu ujuo mhosi, une nanikagwile, looli nikagwile kuuti nilyale m'bofu, lino nilola.
Yeye akajibu, “Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.”
26 Vakamposia kange vakati, “Asi, umuunhu ujuo avombile kiki kukukusosia amaaso ghaako?”
Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”
27 Umwene akavamula akati, “Une nivavulile, umue namulonda kukumhulika, kiki mulonda nivavuule kange? NeKe najumue mulonda kuuva vavulanisivua vaake?”
Huyo mtu akawajibu, “Nimekwisha waambieni, nanyi hamkusikiliza; kwa nini mwataka kusikia tena? Je, ninyi pia mnataka kuwa wafuasi wake?”
28 Pe vakam'bepanula vakanjova vakati, “Uve veeve m'bulanisivua ghwake! Usue tulivavulanisivua va Moose.
Lakini wao wakamtukana wakisema, “Wewe ni mfuasi wake; sisi ni wafuasi wa Mose.
29 Tukagwile kuuti uNguluve alyajovile nu Moose, neke umuunhu ujuo, natunkagwile na kuno ahumile.
Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!”
30 Umwene akavamula akati, “Isi sa kudegha! Namunkagwile kuno ahumile umuunu juno asosisie amaaso ghaango!
Naye akawajibu, “Hili ni jambo la kushangaza! Ninyi hamjui ametoka wapi, lakini amenifumbua macho yangu!
31 Tukagwile kuuti uNguluve naipulika inyifunyo isa vahosi looli ikumpulika umuunhu juno ikumwoghopa nakuvomba isa vughane vwake.
Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi, ila humsikiliza yeyote mwenye kumcha na kutimiza mapenzi yake.
32 Kuhuma uNguluve ipela iisi, natughelile kupulika nambe lusiku kuuti umuunhu jumonga ansosisie umuunhu juno aholilue m'bofu. (aiōn )
Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
33 Umuunhu ujuo aale aave naahumile kwa Nguluve, naale ivomba isi.”
Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”
34 Avene vakamwamula vakati, “Uve ulyaholilue mu vuhosi, ghulonda pikutuvulanisia usue? Pe vakan'daga mu sinagogi.
Wao wakamjibu, “Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi; unawezaje kutufundisha sisi?” Basi, wakamfukuzia mbali.
35 UYesu akapulika kuuti umuunhu jula van'dagile mu sinagogi. Pe akalondagha kutang'hana naghwo. Ye amwaghile, akamposia akati, “Uve, ghukumwitika uMwana ghwa Muunhu?
Yesu alisikia kwamba walikuwa wamemfukuzia mbali, naye alipomkuta akamwuliza, “Je, wewe unamwamini Mwana wa Mtu?”
36 Umuunhu jula akamwamula akati, “Gwe Mutwa, ghwe veeni uMwana ghwa Muunhu, nimwitike?”
Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”
37 UYesu akamwamula akati, “Umwaghile, umuunhu ujuo ghwe juno ijova nuuve lino.”
Yesu akamwambia, “Umekwisha mwona, naye ndiye anayesema nawe sasa.”
38 Umuunhu jula akati, “Nikwitika! “Pe akamwimika uYesu.
Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.
39 UYesu akati, “Une nisile mu isi kuhiga avaanhu, kuuti avabofu amaaso valolaghe, vano vikuvona vilola, vave vabofu amaaso.”
Yesu akasema, “Mimi nimekuja ulimwenguni kutoa hukumu, kusudi wasioona wapate kuona, na wale wanaoona wawe vipofu.”
40 Avafalisayi vamonga vano pwevalyale pala, ye vapuliike imhola isio, vakamposia vakati, Asi, kwe kuti usue tulivabofu?
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye walisikia maneno hayo, wakamwuliza, “Je, sisi pia ni vipofu?”
41 UYesu akavamula akati, “Mwale muuve vabofu, namwale muuva vahosi. Neke ulwakuva mwiti mulola, mujigha nu vuhosi vwinu.”
Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa ninyi mwasema: Sisi tunaona, na hiyo yaonyesha kwamba mna hatia bado.