< Yohani 15 >

1 UYesu akati, “Une neene nsabibu ghwa kyang'haani, uNhaata ghwe nya mughunda.
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
2 Ilitaafi mulyune lino nalikoma isabubu, uNhaata ikulivusia. Looli lino likoma, ikulinosia vunofu kuuti likome fiijo.
Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
3 Umue munosivue, ulwakuva mwitiike sino nivavulile.
Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
4 Mukalaghe nkate mulyune, najuune nikukalagha nkate mulyumue. Ilitaafi nalingakome isabibu nave nalili mu nsabibu, fye lulivuo, na jumue namungavombe sino ilonda uNguluve, nave namuli nkate mulyune.
Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
5 Une nili nsabibu, umue muli matafi. Juno ikukala nkate mulyune, najume mwa mwene; ujuo ivombagha sino ilonda u Nguluve, ulwakuva kisila kuuva nkate mulyune, namungavombe kimonga.
“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
6 Umuunhu juno naikukala nkate mulyune itaghua, ndavule ilitaafi lino nalikoma vule litaghua na kukwuma, avaanhu vihola na kunyanya.
Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
7 Nave mujigha mukukala nkate mulyume na masio ghango ghikale mulyumue, musumaghe kwa Nhaata kino mulonda, ghwope ikuvapeela.
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
8 Pano mukoma fiijo ifipeke, muuva vavulanisivua vango kyang'haani. Mu uluo uNhaata ghwango ighinisivua fiijo.
Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
9 Ndavule uNhata vule anganile une, enendiiki najuune nivaghanile umue. Lino mukalaghe mu lughano lwango.
Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
10 Nave muvingilila sino nikuvalaghila, apuo mukukala mu lughano lwango, ndavule une vule nikusivingilila sino uNhaata andaghiile na kukukala mu lughano lwake.
Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
11 Nivavulile isi kuuti muuve nu lukeelo ndavule une, kange muuve nu lukeelo uluvaha fiijo.
Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
12 Lino nikuvalaghila kuuti mughananghe ndavule une vule nivaghanile umue.
Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
13 Nakwale umuunhu unya lughano kukila ulu, ulwa kuuti, itavule uvwumi vwake vwimila umanyaani ghwake.
Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
14 Nave muvomba sino nivalaghiile, muuva vamanyani vango.
Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
15 Lino nanikutambula vakami vango, ulwakuva unkami naivomba sino ivomba untwa ghwake. Looli nikuvatambula umue kuuti muli vamanyaani vango, ulwakuva nivavulile sooni sino nipuliike kuhuma kwa Nhaata.
Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
16 Umue namulyasalwile une, looli une nilyavasalwile umue na kukuvasuung'ha kuvomba sino ilonda uNguluve, kuuti, kino mukunsuuma umwene mu litavua lyango avapelaghe.
Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
17 Lino nikuvalaghila umue kuuti mughananaghe.
Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
18 Nave avaanhu ava mu iisi muno, vikuvakalalila umue mukagulaghe kuuti valyatalile kukung'halalila une.
“Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
19 Mwale muuve vaanhu va mu iisi muno, avaanhu avuo vaale vikuvaghana, ulwakuva muli vaanhu vaave. Neke umue nivasalwile kuhuma mu iisi muno, lino umue namuli va mu iisi. Mu uluo avaanhu ava mu iisi vikuvakalalila.
Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
20 Mukumbukaghe ilisio lino nilyavavulile kuuti, Unkami nam'baha kukila untwa ghwake.' Lino, nave vakamhumwisie une, najumue vikuvapumusyagha, nave vakitiike imbulanisio sango, nasi siinu vikwitikagha.
Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
21 Vikuvavombelagha isio sooni vwimila vwa kukumbingilila une ulwakuva navammanyile juno asung'hile une.
Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
22 Naale nileke kukwisa kukuvavuula, navaale viiva vahosi, neke lino navangakaane vwimila uvuhosi vwave.
Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
23 Umuunhu juno ikung'halalila une, ikunkalalila na ju Nhaata.
Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
24 Nivombile ifidegho ifivaha, fino nambe muunhu na aghelile kuvomba, vaale valeke kukufyagha, ngale vasila makole. Nambe vafyaghile fyoni nivombile, vajiighe vikung'halalila une naju Nhaata.
Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
25 Isio sivombeka mulwa kukwilanisia aMalembe aMimike ghano ghiiti, 'Vakang'halaliile vuvule.'
Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
26 Nikunsuung'ha kulyumue uNtangili kuhuma kwa Nhaata. Untangili ujuo ghwe Mhepo juno ihufia uvwakyang'aani, umwene ikwolekagha imhola sango.
“Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
27 Najumue mukwolekagha imhola sango, ulwakuva muli palikimo nuune kuhuma ye nitengula imbombo.
Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.

< Yohani 15 >