< Vagalatia 5 >
1 ulwakuva uKilisite alyatupelile uvwelu neke tuuve nu vwelu. lini mwime mu lukangafu kange namungakolwaghe kuva vavombi.
Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo simameni imara wala msikubali tena kulemewa na kongwa la utumwa.
2 lola une ne Paulo, nikuvavula kuuti ndeve mulikekua, uKilisite nailikuvwagha uvufumbue ku sila jojoni.
Sikilizeni! Mimi, Paulo, nawaambieni kwamba kama mkikubali kutahiriwa, basi Kristo hatawafaidia chochote.
3 kange, nikumwagha umughosi ghweni juno akekilue kuuti anoghiile kuvomba ku ndaghilo joni.
Namshuhudia tena kila mtu anayekubali kutahiriwa kwamba inampasa kushika sheria yote.
4 vala vooni vano vivalilua ikyang'haani mu ndaghilo, muvikilue kutali nu Kilisite, mughwile kutali nu vumosi.
Ninyi mnaotafuta kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria mmetengwa na Kristo, mko mbali na neema ya Mungu.
5 lwakuva ku sila ja Mhepo ku lwitiko tughula ulukangasio lwa kyang'haani.
Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki.
6 kwa Kilisite Yesu kukekua nambe kisila kukekua kusila luvumbulilo lwolwoni lwe lwitiko lwene luno luvomba imbombo kukilila ulughano luno luleta uluvumbulilo.
Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.
7 mukale mukimbila vunono, veeni juno akavasighile kuleka kukujitikila ilweli?
Mlikuwa mkipiga mbio vizuri. Ni nani aliyewazuia msiitii kweli?
8 uvusyangi vya kuvomba ndikio navuhuma kwa mwene juno alyavakemhelile umue.
Ushawishi wa namna hiyo haukutokana na yule anayewaita.
9 ikilule kidebe kinangania i nonge jooni.
“Chachu kidogo huchachua donge zima.”
10 nili nu luhuvilo numue mwa Mutwa kuuti namusagha ku sila ijinge jojoni, nu mwene juno ikuvasyanga ilihighua mwene.
Nina hakika katika Bwana kwamba hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu anayewachanganya anastahili adhabu, hata awe nani.
11 vanyalukolo ndeve nighendelea kupulisia itohala, kiki nifipumhuka? mu ulio kila kino kye kisighi kya kikovekano kilinangisivua.
Lakini ndugu zangu, kama mimi bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Katika hiyo hali basi, kwazo la msalaba limeondolewa.
12 lwe lunoghelua lwango kuuva vala vano vikuvalongosia fivi fikujisyanga vavuo.
Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!
13 uNguluve avakemhelile umue vanyalukolo ku vwelu. neke namungatumilaghe uvweru vwinu hwene kyuma kya m'bili. pe pano ku lughano mutanganaghe jumue kwa jumue.
Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru, hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi kwa ninyi kwa upendo.
14 ulwakuva indaghilo joni jikamilike ku ndaghilo jimo; jope je “unoghile kukumughana juno ulipipi naghwo ndavule juve.
Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
15 neke ndeve mubudala na kulisana, mujilolelelaghe kuuti namungajinanganiaghe jumue kwa jumue.
Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.
16 niti, mughendaghe mwa Mhepo, namulivomba isa mubili.
Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
17 ulwakuva um'bili ghuli ni noghelua ing'ome kukila inumbula, ni numbula jili ni noghelua in'gome kukila um'bili. isi ssoni sipingana, amahumile ghake kwe kuuti namuvomba ifinu fino munoghelua kuvomba.
Kwa maana mwili hutamani yale yaliyo kinyume na Roho, naye Roho hutamani yale yaliyo kinyume na mwili. Roho na mwili hupingana na kwa sababu hiyo hamwezi kufanya mnayotaka.
18 neke ndeve uMhepo ikuvalongosia umue, namuli mundaghilo.
Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko chini ya sheria.
19 lino amaghendee gha mbili ghivoneka. ghope uvuvwafu, uvulamafu,
Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: Uasherati, uchafu, ufisadi,
20 ulufunyo lwa kihwanikisio, uvuhavi, uvulugu, ilibaatu, ni mbedo, kuva ni lyojo, kusindana, ing'aning'ano,
kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
21 kiltule, vuhasi, vulia kyongo, ni singi sino sihwanine nisio. nikuvavunga umue ndavele nilyavavungule mu vutengulilo, kuuti voni vanovivomba isio navilikuvwagha uvutwa vwa Nguluve.
husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu.
22 neke ulughano lwa Mhepo lwe lughano. kuhovoka, ulutengano ulugudo,
Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
23 uvukoola uvumuunu uvunofu, ulwitiko, uvukoola, nu vudebe, kusila ndaghilo mu ndavule isio.
upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.
24 vala vano va Kilisite Yesu vaghupumwisie um'bili palikimo ni noghelua saae imbivi.
Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.
25 ndeve tukukala kwa Mhepo, kange tughendaghe kwa Mhepo.
Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho.
26 natungavisaghe na kukughinia, natungahovesanaghe nambe kuvonelanila kitule.
Tusijisifu bure, tukichokozana na kuoneana wivu.