< 1 Yohana 5 >

1 Umuunhu ghweni juno ikwitika kuuti u Yesu kilisite aholilue nu Nguluve. Umwene juno ikumughana umwene juno ahumile kwa Nhaata ikuvaghana na vaanha va mwene.
Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu, na yeyote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.
2 Mu uluo tukagwile kuuti tuvaghanile avaanha va Nguluve — pano tukumughana u Nguluve na kuvingilila indaghilo samwene.
Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.
3 Pe lulinala penetumughanile u Nguluve kuuti kwe kuvingilila indaghilo sake. Kange lndaghilo saake na nhaalamu kukusivingilila.
Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
4 Ulwakuva umuunhu ghweni juno aholilue mwa Nguluve ikusilema isa mu iisi. Na uvu vwe vulemi vwa kusilema isa mu iisi, vwimila ulwitiko lwitu.
Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.
5 Ghweveni juno ikusilema isa mu iisi? Ghwejula juno ikwitika kuuti u Yesu mwana ghwa Nguluve
Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
6 U Yesu Kilisite ghwejuno alisile namalenga ni danda - Yesu Kiliste. Nakwekuuti alisile na malenga ghene looli alisile namalenga najidanda.
Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
7 Looli kwevale vatatu vano vikwoleka:
Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.
8 Umhepo, amalenga ni danda. Ava vatatu vikwiting'ana. (Gadilila: Amasio agha “Nhaata, ilisio, nu Mhepo u Mwimike” naghivoneka mu nakala inofo isa kali).
Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.
9 Nave tukwupila uvwolesi vwa muunhu uvwolesi vwa Nguluve vwe vuvaha kukila uvuo. Ulwakuva uvwolesi vwa Nguluve vwe uvu- kuuti alinuvwolesi vwimila nu mwanake.
Kama tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu ndio ushuhuda wa Mungu kwamba amemshuhudia Mwanawe.
10 Jula juno ikumwitika umwana ghwa Nguluve nu vwolesi mun'kate mwa mwene. Looli umuunhu ghweni juno naikumwitika u Nguluve am'bikile kuuti n'desi, ulwakuuva na itike uvwolesi vuno u Nguluve ahufisie vwimila u mwanake.
Kila mtu amwaminiye Mwana wa Mungu anao huu ushuhuda moyoni mwake. Kila mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu Mwanawe.
11 Uvwolesi vwe uvu — kuuti u Nguluve atupelile uvwumi vwa kuvusila nakusila, kange uvwumi uvu vulimun'kate mwa mwanake. (aiōnios g166)
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios g166)
12 Ghwe ghwoni jula alinu mwana alinu vwumi uvwa kuvusila nakusila. Neke juno alivuvule umwana ghwa Nguluve n'sila vwumi.
Aliye naye Mwana wa Mungu anao uzima, yeye asiye na Mwana wa Mungu hana uzima.
13 Nivalembile agha kuuti mukagule mulinuvwumi vwa kuvusila kusila — umue mwevano mukalyitike ilitavua lya mwana ghwa Nguluve. (aiōnios g166)
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios g166)
14 Uvu vwe vukangafu vuno tulinavo pavulongolo pa mwene, ndavule kuuti tungan'sume ikiinu kye kyooni kila muvughane mwake, ikutupulika.
Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
15 Lino nave tukagwile kuuti ikutupulika — kye kyoni kino tukunsuma apuo tu kagula kuuti tulinakyo ikio kino tunsumile.
Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.
16 Nave umuunhu ikumwagha unyalukolo ivomba uvuhosi vuno navukumpela uvufue, sinoghile ansumilaghe kwa Nguluve ikumpelela uvwumi. Nijova kuvala vano uvuhosi vuvanave vwe vula vuno vukumpelela uvufue — Neke kwevule uvuhosi vuno vukumpelela uvufue — na niiti kuuti simunoghile kun'uma vwimila vwa vuhosi.
Kama mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo.
17 Uvugalusi vwoni vwe vwu vuhosi — looli kulivuhosi vuno navupelela uvufue.
Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
18 Tukagwile kuuti juno aholilue mwa Nguluve naivomba uvuhosi. Looli juno aholilue nu Nguluve ikumulolela mwene vunofu, najula umhosi naangavavombe kimonga.
Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hawezi kumdhuru.
19 Tukagwile kuuti usue tuli va Nguluve kange tukagwile kuuti iisi jooni jili pasi n'temi jula umhosi.
Sisi twajua kuwa tu watoto wa Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu.
20 Looli tukagwile kuuti umwana ghwa Nguluve isile atupelile uvukagusi, kuuti tun'kagule umwene juno ghwa kyang'haani nakuuti tulimu'kate mwa mwene jujuo ughwa kyang'haani, kange umwanake u Yesu Kiliste. Ghwe Nguluve ughwa kyang'haani nhu vwumi uvwa kuvusila na kusila. (aiōnios g166)
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
21 Vaanango vaghanike, namungafighiniaghe ifihwani ifya manguluve.
Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

< 1 Yohana 5 >