< Wǝⱨiy 13 >

1 Andin, dengizdin on münggüzlük, yǝttǝ baxliⱪ bir diwining qiⱪiwatⱪanliⱪini kɵrdüm. Uning ⱨǝrbir münggüzidǝ birdin taj bar idi, ⱨǝrbir bexida kupurluⱪ namliri yeziⱪliⱪ idi.
Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
2 Mǝn kɵrgǝn bu diwǝ yilpizƣa ohxaytti, putliri eyiⱪning putliriƣa, aƣzi bolsa xirning aƣziƣa ohxaytti. Əjdiⱨa uningƣa ɵz ⱪudriti, tǝhti wǝ zor ⱨoⱪuⱪini bǝrdi.
Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
3 Diwining baxliridin biri ǝjǝllik yarilanƣandǝk turatti. Lekin, bu ǝjǝllik yara saⱪayƣanidi. Pütkül dunya diwigǝ ⱨǝyranuⱨǝs bolup uningƣa [ǝgǝxti].
Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
4 Əjdiⱨa diwigǝ [sǝltǝnǝtlik] ⱨoⱪuⱪ bǝrgǝqkǝ ular ǝjdiⱨaƣa qoⱪunuxti. Ular yǝnǝ diwigimu qoⱪunup: — Diwining tǝngdixi barmu? Uning bilǝn kimmu elixalisun? — dedi.
Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, “Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?”
5 Diwigǝ tǝkǝbburluⱪ wǝ kupurluⱪ ⱪilidiƣan eƣiz berildi; uningƣa ⱪiriⱪ ikki ay ix kɵrüxkǝ ⱨoⱪuⱪ berildi.
Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6 U Hudaƣa kupurluⱪ ⱪilƣili — Uning namiƣa wǝ Uning dǝrgaⱨiƣa, xundaⱪla ǝrxni makan ⱪilƣanlarƣa kupurluⱪ ⱪilƣili aƣzini aqti.
Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni.
7 Uning muⱪǝddǝs bǝndilǝrgǝ ⱪarxi jǝng ⱪilip, ularning üstidin ƣalib kelixigǝ yol ⱪoyuldi; ⱨǝr ⱪǝbilǝ, ⱨǝr millǝt, ⱨǝr hil tilda sɵzlixidiƣan ǝllǝrgǝ ⱨɵkümranliⱪ ⱪilix ⱨoⱪuⱪi uningƣa berildi.
Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
8 Yǝr yüzidikilǝrning ⱨǝmmisi — alǝm apiridǝ bolƣandin buyan boƣuzlinip bolƣan Ⱪozining ⱨayatliⱪ dǝptirigǝ nami yezilmiƣanlar bolsa, uningƣa sǝjdǝ ⱪilidu.
Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa.
9 Ⱪuliⱪi barlar, buni anglisun!
“Aliye na masikio, na asikie!
10 ««Tutⱪun bolidu» dǝp bekitilgǝnlǝr qoⱪum tutⱪun bolidu, «ⱪiliqlinidu» dǝp bekitilgǝnlǝr qoⱪum ⱪiliqlinip ɵlidu». Muⱪǝddǝs bǝndilirining sǝwri-taⱪiti wǝ etiⱪadi mana xu ixlarda mǝlum bolidu.
Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani.”
11 Mǝn yǝrdin qiⱪiwatⱪan yǝnǝ bir diwini kɵrdüm. Uning ⱪoziningkidǝk kiqik ikki münggüzi bar idi, lekin awazi ǝjdiⱨaningkidǝk qiⱪatti.
Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka.
12 U awwalⱪi diwigǝ wakalitǝn uning pütün ⱨoⱪuⱪini yürgüzüp, yǝr yüzini wǝ uningda turuwatⱪanlarni ǝjǝllik yarisi saⱪayƣan awwalⱪi diwigǝ qoⱪunduridu.
Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.
13 U zor mɵjizilik alamǝtlǝrni kɵrsitǝtti, ⱨǝtta kixilǝrning kɵz aldida asmandin yǝr yüzigǝ ot yaƣduratti.
Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.
14 U awwalⱪi diwigǝ wakalitǝn kɵrsitixkǝ ⱨoⱪuⱪlandurulƣan alamǝtlǝr bilǝn yǝr yüzidǝ turuwatⱪanlarni azdurup, ularƣa «ⱪiliq bilǝn yarilanƣan, lekin tirik ⱪalƣan» degǝn awwalⱪi diwigǝ atap bir but-ⱨǝykǝl yasap tiklǝxni tapilidi.
Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
15 Diwining but-ⱨǝykiligǝ nǝpǝs kirgüzüp, uningƣa uni sɵzliyǝlǝydiƣan ⱪilix wǝ uningƣa qoⱪunmiƣanlarning ⱨǝmmisini ɵltürgüzüx ⱪudriti berildi.
Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
16 U tɵwǝn wǝ katta, bay wǝ kǝmbǝƣǝl, ⱨɵr wǝ ⱪullarning ⱨǝmmisini ong ⱪoli yaki pexanisigǝ tamƣa basturuxⱪa mǝjburlidi.
Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao.
17 U yǝnǝ bu tamƣa, yǝni diwining nami yaki uning namidiki rǝⱪǝm besilƣanlardin baxⱪa ⱨeqkim bir nǝrsǝ setiwalalmaydu yaki satalmaydu, dǝp bekitti.
Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
18 Mana bu yǝrdǝ ⱨekmǝt bar. Əⱪil-parasiti barliki kixilǝr diwining rǝⱪimini ⱨesablap baⱪsun; qünki bu rǝⱪǝm bir adǝmning rǝⱪimi bolidu. Uning rǝⱪimi 666dur.
Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.

< Wǝⱨiy 13 >