< Nǝⱨǝmiya 3 >

1 Xu qaƣda bax kaⱨin Əliyaxib wǝ uning kaⱨin ⱪerindaxliri ⱪopup «Ⱪoy ⱪowuⱪi»ni yengiwaxtin yasap qiⱪti; ular ⱪowuⱪning ⱪanatlirini ornitip, uni [Hudaƣa] atap muⱪǝddǝs dǝp bekitti; ular «Yüzning munari» bilǝn «Ⱨananiyǝlning munari»ƣiqǝ bolƣan ariliⱪtiki sepilni ongxap, uni muⱪǝddǝs dǝp bekitti;
Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.
2 Uningƣa tutax ⱪismini Yeriholuⱪlar yasidi; yǝnǝ uningƣa tutax ⱪismini Imrining oƣli Zakkur yasidi.
Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.
3 «Beliⱪ ⱪowuⱪi»ni Sǝnaaⱨning oƣulliri yasidi; ular uning lim-kexǝklirini selip, ⱪanatliri, taⱪaⱪliri wǝ baldaⱪlirini ornatti.
Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.
4 Uningƣa tutax ⱪismini Ⱨakozning nǝwrisi, Uriyaning oƣli Mǝrǝmot yasidi; uningƣa tutax ⱪismini Mǝxǝzabǝlning nǝwrisi, Bǝrǝkiyaning oƣli Mǝxullam yasidi. Uningƣa tutax ⱪismini Baanaⱨning oƣli Zadok yasidi.
Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.
5 Uningƣa tutax ⱪismini Tǝkoaliⱪlar yasidi; lekin ularning qongliri ɵz hojisining ixini zimmisigǝ ilixⱪa unimidi.
Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.
6 «Kona ⱪowuⱪ»ni Pasiyaning oƣli Yǝⱨoda bilǝn Besodiyaning oƣli Mǝxullam yasidi; ular uning lim-kexǝklirini selip, ⱪanatliri, taⱪaⱪliri wǝ baldaⱪlirini ornatti.
Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.
7 Ularning yenidiki tutax ⱪismini Gibeonluⱪ Mǝlatiya, Meronotluⱪ Yadon ⱨǝmdǝ Dǝryaning bu ƣǝrbiy tǝripidiki waliylarning baxⱪuruxi astidiki Gibeonluⱪlar bilǝn Mizpaⱨliⱪlar yasidi.
Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.
8 Ularning yenidiki tutax ⱪismini zǝrgǝrlǝrdin bolƣan Harⱨayaning oƣli Uzziyǝl yasidi. Uningƣa tutax ⱪismini huxbuy buyum yasaydiƣan ǝtirqilǝrdin Ⱨananiya yasidi. Ular Yerusalem [sepilini] taki «Ⱪelin tam»ƣiqǝ ongxap yasidi.
Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.
9 Ularning yenidiki tutax ⱪismini Yerusalemning yerimining ⱨakimi bolƣan Hurning oƣli Refaya yasidi.
Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.
10 Ularning yenida, Harumafning oƣli Yǝdaya ɵzining ɵyining udulidiki ⱪismini yasidi. Ularning yenidiki ⱪismini Haxabniyaning oƣli Ⱨattux yasidi.
Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.
11 Ⱨarimning oƣli Malkiya bilǝn Paⱨat-Moabning oƣli Ⱨaxxub sepilning baxⱪa bir bɵliki bilǝn «Humdanlar munari»ni yasidi.
Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
12 Ularning yenidiki tutax ⱪismini Yerusalemning yerimining ⱨakimi Halloⱨǝxning oƣli Xallom ɵzi wǝ uning ⱪizliri yasidi.
Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.
13 «Jilƣa ⱪowuⱪi»ni Ⱨanun bilǝn Zanoaⱨ xǝⱨirining aⱨalisi yasidi. Ular uni yasap, uning ⱪanatliri, taⱪaⱪliri wǝ baldaⱪlirini ornatti wǝ yǝnǝ «Tezǝk ⱪowuⱪi»ƣiqǝ ming gǝz sepilnimu yasidi.
Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.
14 «Tezǝk ⱪowuⱪi»ni Bǝyt-Ⱨakkǝrǝm yurtining baxliⱪi Rǝkabning oƣli Malkiya yasidi; ular uni yasap, uning ⱪanatliri, taⱪaⱪliri wǝ baldaⱪlirini ornatti.
Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.
15 «Bulaⱪ ⱪowuⱪi»ni Mizpaⱨ yurtining baxliⱪi Kol-Ⱨozǝⱨning oƣli Xallum yasidi. U uni yasap, ɵgzisini yepip, uning ⱪanatliri, taⱪaⱪliri wǝ baldaⱪlirini ornatti wǝ yǝnǝ xaⱨanǝ baƣning yenidiki Siloam kɵlining sepilini «Dawutning xǝⱨiri»din qüxidiƣan pǝlǝmpǝygiqǝ yengiwaxtin yasidi.
Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.
16 Uningdin keyinki tutax ⱪismini Dawutning ⱪǝbrilirining udulidiki wǝ uningdin keyinki sün’iy kɵlgǝ ⱨǝm uning kǝynidiki «Palwanlarning ɵyi»gǝ ⱪǝdǝr Bǝyt-Zur yurtining yerimining ⱨakimi, Azbukning oƣli Nǝⱨǝmiya yasidi.
Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.
17 Uningdin keyinki tutax ⱪismini Lawiylar — Yǝni Banining oƣli Rǝⱨum yasidi, uning yenidiki tutax ⱪismini Keilaⱨning yerim yurtining ⱨakimi Ⱨaxabiya ɵz yurtiƣa wakalitǝn yasap qiⱪti.
Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.
18 Uning yenidiki tutax ⱪismini ularning ⱪerindaxliri — Keilaⱨning ikkinqi yerimining ⱨakimi, Ⱨenadadning oƣli Baway yasidi.
Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.
19 Uning yenida, Mizpaⱨning ⱨakimi Yǝxuyaning oƣli Ezǝr ⱪoral-yaraƣ ambiriƣa qiⱪix yolining udulida, sepilning doⱪmuxidiki yǝnǝ bir bɵlikini yasidi.
Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.
20 Zabbayning oƣli Baruⱪ uningdin keyinki yǝnǝ bir bɵlikini, yǝni sepilning doⱪmuxidin taki bax kaⱨin Əliyaxibning ɵyining dǝrwazisiƣiqǝ bolƣan bɵlikini kɵngül ⱪoyup yasidi.
Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.
21 Uning yenida Ⱨakozning nǝwrisi, Uriyaning oƣli Mǝrǝmot sepilning Əliyaxibning ɵyining dǝrwazisidin taki Əliyaxibning ⱨoylisining ahiriƣiqǝ bolƣan yǝnǝ bir bɵlikini yasidi.
Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.
22 Bulardin keyinki bir ⱪismini Iordan tüzlǝnglikidikilǝr, kaⱨinlar yasidi.
Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.
23 Bularning yenida, Binyamin bilǝn Ⱨaxxub ɵz ɵyining udulidiki bɵlikini yasidi. Ulardin keyin Ananiyaning nǝwrisi, Maaseyaⱨning oƣli Azariya ɵz ɵyining yenidiki ⱪisimni yasidi.
Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.
24 Uning yenida, Azariyaning ɵyidin taki sepilning doⱪmuxiƣiqǝ bolƣan yǝnǝ bir bɵlikini Ⱨenadadning oƣli Binnuiy yasidi.
Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.
25 [Uning yenida], Uzayning oƣli Palal padixaⱨ ordisining doⱪmuxi, xuningdǝk ordidiki qoⱪqiyip turƣan, zindan ⱨoylisining yenidiki egiz munarning udulidiki bɵlikini yasidi. Uningdin keyinki bir bɵlikini Paroxning oƣli Pidaya yasidi.
Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,
26 Əmdi Ofǝldǝ turidiƣan ibadǝthana hizmǝtkarliri künqiⱪix tǝrǝptiki «Su ⱪowuⱪi»ning udulidiki wǝ qoⱪqiyip turƣan munarning udulidiki sepilni yasidi.
na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.
27 Qoⱪqiyip turƣan qong munarning udulida Tǝkoaliⱪlar taki Ofǝl sepiliƣiqǝ bolƣan ikkinqi bir bɵlikini yasidi.
Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.
28 «At ⱪowuⱪi»ning yuⱪiri bir bɵlikini kaⱨinlar ⱨǝrbiri ɵz ɵyining udulidiki ⱪismini yasidi.
Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.
29 Immǝrning oƣli Zadok ularning yenida, keyinki ⱪismini, ɵz ɵyining udulidiki bir bɵlikini yasidi. Uning yenidiki tutax ⱪismini «xǝrⱪiy dǝrwaza»ning dǝrwaziwǝni Xekaniyaning oƣli Xemaya yasidi.
Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.
30 Uning yenida, Xǝlǝmiyaning oƣli Ⱨananiya bilǝn Zalafning altinqi oƣli Ⱨanun ikkinqi bir bɵlikini yasidi; ularning yenida, Bǝrǝkiyaning oƣli Mǝxullam ɵz ⱪorusining udulidiki bir bɵlǝkni yasidi.
Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.
31 Uning yenida, xu yǝrdin tartip ibadǝthana hizmǝtkarliri bilǝn sodigǝrlǝrning ⱪoruliridin ɵtüp, «Tǝkxürüx ⱪowuⱪi»ning udulidiki sepil doⱪmuxining balihanisiƣiqǝ bolƣan bɵlikini zǝrgǝrlǝrdin bolƣan Malkiya yasidi.
Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.
32 Doⱪmuxning balihanisi bilǝn «Ⱪoy ⱪowuⱪi»ning ariliⱪidiki bɵlǝkni zǝrgǝrlǝr bilǝn sodigǝrlǝr yasidi.
Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.

< Nǝⱨǝmiya 3 >