< Ayup 19 >

1 Ayup jawabǝn mundaⱪ dedi: —
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 «Silǝr ⱪaqanƣiqǝ jenimni azablimaⱪqisilǝr, Ⱪaqanƣiqǝ meni sɵz bilǝn ǝzmǝkqisilǝr?
lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
3 Silǝr meni on ⱪetim harlidinglar; Manga uwal ⱪilixⱪa nomus ⱪilmaysilǝr.
Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
4 Əgǝr mening sǝwǝnlikim bolsa, Mǝn ǝmdi uning [dǝrdini] tartimǝn.
Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
5 Əgǝr silǝr meningdin üstünlük talaxmaⱪqi bolsanglar, Yüzüm aldida xǝrm-ⱨayani kɵrsitip meni ǝyiblimǝkqi bolsanglar,
Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
6 Əmdi bilip ⱪoyunglarki, manga uwal ⱪilƣan Tǝngri ikǝn, U tori bilǝn meni qirmaxturup tartti;
kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
7 Ⱪara, mǝn nalǝ-pǝryad kɵtürüp «Zorawanliⱪ!» dǝp warⱪiraymǝn, Biraⱪ ⱨeqkim anglimaydu; Mǝn warⱪiraymǝn, biraⱪ manga adalǝt kǝlmǝydu.
Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
8 U yolumni meni ɵtüwalmisun dǝp qit bilǝn tosup ⱪoydi, Ⱪǝdǝmlirimgǝ ⱪarangƣuluⱪ saldi.
Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
9 U mǝndin xan-xǝripimni mǝⱨrum ⱪildi, Beximdin tajni tartiwaldi.
Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
10 U manga ⱨǝr tǝrǝptin buzƣunqiliⱪ ⱪiliwatidu, mǝn tügǝxtim; Ümidimni U dǝrǝhni yulƣandǝk yuluwaldi.
Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
11 Ƣǝzipini manga ⱪaritip ⱪozƣidi, Meni Ɵz düxmǝnliridin ⱨesablidi.
Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
12 Uning ⱪoxunliri sǝp tüzüp atlandi, Pǝlǝmpǝylirini yasap manga ⱨujum ⱪildi, Ular qedirimni ⱪorxawƣa elip bargaⱨ tikiwaldi.
Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
13 U ⱪerindaxlirimni mǝndin neri ⱪildi, Tonuxlirimning meⱨrini mǝndin üzdi.
Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
14 Tuƣⱪanlirim mǝndin yatlixip kǝtti, Dost-buradǝrlirim meni unutti.
Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
15 Ɵyümdǝ turƣan musapirlar, ⱨǝtta dedǝklirimmu meni yat adǝm dǝp ⱨesablaydu; Ularning nǝziridǝ mǝn musapir bolup ⱪaldim.
Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
16 Mǝn qakirimni qaⱪirsam, u manga jawab bǝrmǝydu; Xunga mǝn uningƣa aƣzim bilǝn yelinixim kerǝk.
Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
17 Tiniⱪimdin ayalimning ⱪusⱪusi kelidu, Aka-ukilirim sesiⱪliⱪimdin bizar.
Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
18 Ⱨǝtta kiqik balilar meni kǝmsitidu; Ornumdin turmaⱪqi bolsam, ular meni ⱨaⱪarǝtlǝydu.
Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
19 Mening sirdax dostlirimning ⱨǝmmisi mǝndin nǝprǝtlinidu, Mǝn sɵygǝnlǝr mǝndin yüz ɵridi.
Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
20 Ət-terilirim ustihanlirimƣa qaplixip turidu, Jenim ⱪil üstidǝ ⱪaldi.
Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
21 Aⱨ, dostlirim, manga iqinglar aƣrisun, iqinglar aƣrisun! Qünki Tǝngrining ⱪoli manga kelip tǝgdi.
Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
22 Silǝr nemixⱪa Tǝngridǝk manga ziyankǝxlik ⱪilisilǝr? Silǝr nemixⱪa ǝtlirimgǝ xunqǝ toymaysilǝr!
Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
23 Aⱨ, mening sɵzlirim yezilsidi! Ular bir yazmiƣa pütüklük bolƣan bolatti!
Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
24 Ular tɵmür ⱪǝlǝm bilǝn ⱪoƣuxun iqigǝ yezilsidi! Əbǝdil’ǝbǝd tax üstigǝ oyup pütülgǝn bolatti!
Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
25 Biraⱪ mǝn xuni bilimǝnki, ɵzümning Ⱨǝmjǝmǝt-Ⱪutⱪuzƣuqim ⱨayattur, U ahirǝt künidǝ yǝr yüzidǝ turup turidu!
Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
26 Ⱨǝm mening bu terǝ-ǝtlirim buzulƣandin keyin, Mǝn yǝnila tenimdǝ turup Tǝngrini kɵrimǝn!
baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
27 Uni ɵzümla ǝyni ⱨalda kɵrimǝn, Baxⱪa adǝmning ǝmǝs, bǝlki ɵzümning kɵzi bilǝn ⱪaraymǝn; Aⱨ, ⱪǝlbim buningƣa xunqǝ intizardur!
Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
28 Əgǝr silǝr: «Ixning yiltizi uningdidur, Uni ⱪandaⱪ ⱪilip ⱪistap ⱪoƣliwetǝlǝymiz?!» — desǝnglar,
Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
29 Əmdi ɵzünglar ⱪiliqtin ⱪorⱪⱪininglar tüzük! Qünki [Hudaning] ƣǝzipi ⱪiliq jazasini elip kelidu, Xuning bilǝn silǝr [Hudaning] sotining ⱪuruⱪ gǝp ǝmǝslikini bilisilǝr».
ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”

< Ayup 19 >