< Ayup 16 >
1 Andin Ayup jawabǝn mundaⱪ dedi: —
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Mǝn muxundaⱪ gǝplǝrni kɵp angliƣanmǝn; Silǝr ⱨǝmminglar azab yǝtküzidiƣan ajayib tǝsǝlli bǝrgüqi ikǝnsilǝr-ⱨǝ!
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Mundaⱪ watildap ⱪilƣan gǝpliringlarning qeki barmu? Silǝrgǝ mundaⱪ jawab berixkǝ zadi nemǝ ⱪutratⱪuluⱪ ⱪildi?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 Halisamla ɵzüm silǝrgǝ ohxax sɵz ⱪilalayttim; Silǝr mening ornumda bolidiƣan bolsanglar, Mǝnmu sɵzlǝrni baƣlaxturup eytip, silǝrgǝ zǝrbǝ ⱪilalaytim, Beximnimu silǝrgǝ ⱪaritip qayⱪiyalayttim!
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 Ⱨalbuki, mǝn ǝksiqǝ aƣzim bilǝn silǝrni riƣbǝtlǝndürǝttim, Lǝwlirimning tǝsǝllisi silǝrgǝ dora-dǝrman bolatti.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Lekin mening sɵzlixim bilǝn azabim azaymaydu; Yaki gepimni iqimgǝ yutuwalisammu, manga nemǝ aramqiliⱪ bolsun?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Biraⱪ U meni ⱨalsizlandürüwǝtti; Xundaⱪ, Sǝn pütkül ailǝmni wǝyran ⱪiliwǝtting!
Lakini sasa, Mungu,
8 Sǝn meni ⱪamalliding! Xuning bilǝn [ǝⱨwalim manga] guwaⱨliⱪ ⱪilmaⱪta; Mening oruⱪ-ⱪaⱪxal [bǝdinim] ornidin turup ɵzümni ǝyiblǝp guwaⱨliⱪ ⱪilidu!
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Uning ƣǝzipi meni titma ⱪilip, Meni ow oljisi ⱪilidu; U manga ⱪarap qixini ƣuqurlitidu; Mening düxminimdǝk kɵzini alayitip manga tikidu.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 [Adǝmlǝr] manga ⱪarap [mazaⱪ ⱪilixip] aƣzini aqidu; Ular nǝprǝt bilǝn mǝngzimgǝ kaqatlaydu; Manga ⱨujum ⱪilay dǝp sǝp tüzidu.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Huda meni ǝskilǝrgǝ tapxurƣan; Meni rǝzillǝrning ⱪoliƣa taxliwǝtkǝnikǝn.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Əslidǝ mǝn tinq-amanliⱪta turattim, biraⱪ u meni paqaⱪlidi; U boynumdin silkip bitqit ⱪiliwǝtti, Meni Ɵz nixani ⱪilƣanikǝn.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Uning oⱪyaqiliri meni ⱪapsiwaldi; Ⱨeq ayimay U üqǝy-baƣrimni yirtip, Ɵtümni yǝrgǝ tɵküwǝtti.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 U u yǝr-bu yerimgǝ üsti-üstilǝp zǝhim ⱪilip bɵsüp kiridu; U palwandǝk manga ⱪarap etilidu.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 Terǝmning üstigǝ bɵz rǝht tikip ⱪoydum; Ɵz izzǝt-ⱨɵrmitimni topa-qangƣa selip ⱪoydum.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Gǝrqǝ ⱪolumda ⱨeqⱪandaⱪ zorawanliⱪ bolmisimu, Duayim qin dilimdin bolƣan bolsimu, Yüzüm yiƣa-zaridin ⱪizirip kǝtti; Ⱪapaⱪlirimni ɵlüm sayisi basti.
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 Aⱨ, yǝr-zemin, ⱪenimni yapmiƣin! Nalǝ-pǝryadim tohtaydiƣanƣa jay bolmiƣay!
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 Biraⱪ mana, asmanlarda ⱨazirmu manga xaⱨit Bolƣuqi bar! Ərxlǝrdǝ manga kapalǝt Bolƣuqi bar!
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Ɵz dostlirim meni mazaⱪ ⱪilƣini bilǝn, Biraⱪ kɵzüm tehiqǝ Tǝngrigǝ yax tɵkmǝktǝ.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 Aⱨ, insan balisi dosti üqün kelixtürgüqi bolƣandǝk, Tǝngri bilǝn adǝm otturisidimu kelixtürgüqi bolsidi!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 Qünki yǝnǝ birnǝqqǝ yil ɵtüxi bilǝnla, Mǝn barsa ⱪaytmas yolda mengip ⱪalimǝn.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.