< Zebur 150 >
1 Hemdusana! Tengrini Uning muqeddes jayida medhiyilenglar; Qudriti parlap turidighan ershlerde Uni medhiyilenglar;
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu za ukuu wake.
2 Uni qudretlik ishliri üchün medhiyilenglar; Ghayet ulughluqi üchün Uni medhiyilenglar;
Msifuni yeye kwa matendo yake makuu; msifuni yeye kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
3 Uni burgha sadasi bilen medhiyilenglar; Uni rawab hem chiltar bilen medhiyilenglar;
Msifuni kwa mlipuko wa pembe; msifuni kwa kinanda na kinubi.
4 Uni dap hem ussul bilen medhiyilenglar; Uni tarliq sazlar hem ney bilen medhiyilenglar;
Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa vyombo vya nyuzi na filimbi.
5 Uni jarangliq changlar hem yangraq changlar bilen medhiyilenglar;
Msifuni kwa matoazi yavumayo; msifuni kwa matoazi avumayo sana.
6 Barliq nepes igiliri Yahni medhiyilisun! Hemdusana!
Kila kilicho na pumzi kimsifu Yahwe. Msifuni Yahwe.