< Pend-nesihetler 20 >
1 Sharab kishini reswa qilar, Haraq kishini ghaljirlashturar; Kimki uninggha bérilip ézip ketse, eqilsizdur.
Divai ni dhihaka na kinywaji kikali ni mgomvi; anayepotea kwa kunywa hana busara.
2 Padishahning ghezipi shirning hörkirishige oxshash qorqunchluqtur; Uning achchiqini keltürgen, öz jénigha jaza chüshürer.
Kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana aungurumaye, yeyote anayemkasirisha hutoa fidia ya maish yake.
3 Özini majiradin néri qilish kishining izzitidur; Biraq herbir exmeq özini basalmas.
Ni heshima kwa mtu yeyote kujiepusha na mafarakano, bali kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano.
4 Hurun adem qishta yer heydimes; Yighim waqtida yoqluqta qélip ashliq tiler.
Mtu mvivu halimi majira ya kipupwe; hutafuta mazao wakati wa mavuno lakini hapati kitu.
5 Kishining könglidiki oy-niyetliri chongqur sugha oxshashtur; Yorutulghan adem ularni tartip alalaydu.
Makusudi ndani ya moyo wa mtu ni kama maji yenye kina, bali mtu mwenye ufahamu huyateka.
6 Özini sadiq deydighanlar köptur; Biraq ishenchlik bir ademni kim tapalisun?
Mara nyingi mtu husema yeye ni mwaminifu, lakini ni nani awezaye kumpata yule mwaminifu?
7 Heqqaniy adem diyanetlik yolda mangar; Uning perzentlirige bext-beriket qaldurular!
Mtu atendaye haki hutembea katika uaminifu wake na wana wake wanaofuata baada yake wanafuraha.
8 Padishah adalet textide olturghanda, Hemme yamanliqni közi bilen qoghlaydu.
Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
9 Kim özini gunahdin tazilandim, Wijdanim paklandi, déyeleydu?
Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
10 Ikki xil taraza téshi, Ikki xil küre ishlitish, Oxshashla Perwerdigargha yirginchliktur.
Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
11 Hetta bala öz xisliti bilen biliner; Uning qilghanlirining pak, durus yaki emesliki heriketliridin körünüp turar.
Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
12 Köridighan közni, anglaydighan qulaqni, Her ikkisini Perwerdigar yaratti.
Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
13 Uyqugha amraq bolma, namratliqqa uchraysen; Közüngni échip oyghaq bol, néning mol bolar.
Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
14 Xéridar mal alghanda: «Nachar iken, nachar iken!» dep qaqshaydu; Élip ketkendin kéyin [«Ésil nerse, erzan aldim» dep] maxtinidu.
“Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
15 Altun bar, leel-yaqutlarmu köptur; Biraq bilimni béghishlighan lewler némidégen qimmetlik göherdur!
Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.
16 Yatqa képil bolghan kishidin qerzge tonini tutup alghin; Yat xotun’gha kapalet bergen kishidin kapalet puli al.
Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
17 Aldap érishken tamaq tatliqtur; Kéyin, uning yégini shéghil bolar.
Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
18 Pilanlar meslihet bilen békitiler; Pishqan körsetme bilen jeng qilghin.
Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
19 Gep toshughuchi sirlarni ashkarilar; Shunga walaqtekkür bilen arilashma.
Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
20 Kimki ata-anisini haqaret qilsa, Uning chirighi zulmet qarangghusida öcher!
Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
21 Téz érishken miras haman beriketlik bolmas.
Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
22 Yamanliqqa yamanliq qayturay déme; Perwerdigargha tayinip küt, U derdingge yéter.
Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
23 Ikki xil taraza téshi Perwerdigargha yirginchliktur; Saxta ölchem qet’iy yarimas.
Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
24 Insanning hayatliq qedemlirini Perwerdigar belgileydu; Undaqta insan öz musapisini nedin bilsun?
Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
25 Bir nersisini yéniklik bilen «[Xudagha] atalghan!» dep wede bérish, Qesemlerdin kéyin ikkilinip qayta oylinish, Öz jénini qiltaqqa chüshürgen’ge barawer.
Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
26 Dana padishah yamanlarni topanni sorughandek soruwétidu, Xaman tepkendek tuluq bilen yanjiwéter.
Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
27 Ademning roh-wijdani — Perwerdigarning chirighidur, U qelbning herbir teglirini tekshürüp perq éter.
Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
28 Méhir-shepqet we heqiqet padishahni saqlaydu; U méhir-shepqet bilenla öz textini mustehkemleydu.
Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
29 Yash yigitlerning qawulluqi ularning pexridur; Qérilarning izziti aq chachliridur.
Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
30 Terbiye yariliri yamanliqni tazilap chiqirar, Tayaq izliri ich-baghirni taza qilar.
Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.