< Chöl-bayawandiki seper 19 >
1 Perwerdigar Musa bilen Harun’gha söz qilip mundaq dédi: —
BWANA akanena na Musa na Haruni, Akasema,
2 Men Perwerdigar emr qilghan qanun-belgilime shuki: — Sen Israillargha buyrughin, ular béjirim, nuqsansiz, boyunturuq sélinmighan qizil yash siyirdin birni séning yéninggha ekelsun.
“Hii ni amri, ni sheria ninayokuamuru: Waambie wana waIsraeli wakuletee ng'ombe mke mwekundu asiyekuwa na kipaku wala waa, ambaye hajawahi kubeba nira.
3 Sen siyirni kahin Eliazargha tapshur, u uni chédirgahning sirtigha epchiqsun, andin birsi siyirni uning aldida boghuzlisun.
Mpatie Eliazari kuhani huyo ng'ombe jike. Naye atamtoa nje ya kambi, na mtu mmoja amchinje mbele yake.
4 Kahin Eliazar barmiqini qan’gha milep, jamaet chédirining aldigha qaritip yette mertem chachsun.
Kisha Eliazari kuhani atachukua sehemu ya damu yake kwa kidole chake na kuinyunyiza mara saba akielekea sehemu ya mbele ya ile hema ya kukutania.
5 Andin birsi Eliazarning köz aldida pütkül siyirni köydürsun, yeni uning térisi, göshi, qéni we tézeklirini köydürsun.
Na kuhani mwingine atamchoma huyo ng'ombe mbele ya macho yake. Ataichoma ngozi yake, nyama yake, na damu yake pamoja na mavi yake,
6 Kahin kédir yaghichi, zofa ösümlüki we qizil rextni siyir köydürülidighan otqa tashlisun.
Yule kuhani atachukua mti wa mwerezi, na hisopo na sufu na kivitupa katikati ya huyo ng'ombe anayechomwa.
7 Andin kahin öz kiyimini yusun we bedinini suda yusun, andin kéyin bargahqa kirishke bolidu; lékin kahin kech kirgüche napak sanalsun.
Kisha atazifua nguo zake na kuoga kwenye maji. Ndipo atakuja kambini, ambapo atabaki najisi mpaka jioni ya siku hiyo.
8 Siyirni köydürgen kishimu kiyimlirini su bilen yuyup, öz bedinini suda yusun, andin u kech kirgüche napak sanalsun.
Yule aliyemchoma huyo ng'ombe mke atafua nguo zake kwa maji na kuoga majini. Naye atabaki najisi mpaka jioni ya siku ile.
9 Pak bir adem siyirning külini yighip bargahning sirtidiki pak bir yerge qoysun; u Israil jamaiti üchün «napakliqni chiqarghuchi su»ni yasashqa shu yerde saqlansun, u bir «gunahni paklighuchi»dur.
Baadaye mtu aliyesafi atayakusanya hayo majivu ya ng'ombe huyo na kuyaweka nje ya kambi kwenye eneo safi. Majivu haya yatatunzwa kwa ajili ya jamii ya watu wa Israeli. Watayachanganya majivu na maji kwa ajili ya utakaso wa dhambi, kwa kuwa majivu yalitokana na sadaka ya dhambi.
10 Siyirning külini yighishturghan adem özining kiyimlirini yusun we kech kirgüche napak sanalsun. Bu Israillargha we ularning arisida turuwatqan musapirlargha menggülük qanun-belgilime bolidu.
Yule aliyeyakusanya majivu ya ng'ombe huyo lazima afue mavazi yake. Atabaki najisi mpaka jioni ya siku ile. Hii itakuwa sheria ya kudumu kwa watu wa Israeli na kwa wageni wanaoishi nao.
11 — Ölükke, yeni herqandaq ölgen kishining jesitige tégip ketken herbir kishi yette kün napak sanilidu.
Yeyote atakayegusa maiti ya mtu atakuwa najisi kwa siku saba.
12 U adem üchinchi küni [ashu su] bilen özini paklisun, hemde yettinchi künimu paklisun, andin u pak sanilidu; eger u üchinchi küni hemde yettinchi küni özini paklimisa, pak sanalmaydu.
Mtu wa jinsi hiyo atajitakasa mwenyewe siku ya tatu na siku ya saba. Ndipo atakapokuwa safi. Lakini kama hatajitakasa mwenyewe katika siku ya tatu, basi hatakuwa safi siku ya saba.
13 Herqandaq adem ölükke, yeni herqandaq ölgen kishining jesitige tégip ketse, hemde özini paklimisa, Perwerdigarning chédirini bulghighan bolidu; shu kishi Israil arisidin üzüp tashlinidu; chünki «napakliqni chiqarghuchi su» uninggha sépilmigechke, u napak sanilidu; uning napakliqi téxiche üstide turidu.
Yeyote atakayegusa mtu aliyekufa, maiti ya mtu aliyekufa na hajajitakasa - mtu huyu anainajisi masikani ya BWANA. Mtu huyo ataondolewa kuwa miongoni mwa Waisraeli kwa sababu maji ya farakano hayakunyunyiziwa kwake. Atabaki najisi; na unajisi wake utabaki kwake.
14 Eger birer kishi bir chédir ichide ölüp qalghan bolsa, u toghruluq qanun-belgilime mundaq bolidu: — shu chédirgha kirgen herbirsi we chédirda turup qalghanlarning herbiri yette kün napak sanilidu.
Hii ndiyo sheri ya mtu anayefia hemani. Kila mtu aingiaye hemani na kila mtu ambaye tayari yumo hemani atakuwa najisi kwa siku saba.
15 Herbir ochuq turghan, aghzi yépilmighan qacha-quchilarning hemmisi napak sanilidu.
Kila chombo ambacho hakina kifuniko kinanajisika.
16 Shuningdek dalada qilich-shemsher bilen öltürülgenlerge, yaki özi ölüp qalghanning ölükige, yaki ademning ustixininigha yaki qebrisige tegken herbir kishi yette kün’giche napak sanilidu.
Vivyo hivyo, kwa mtu aliye nje ya hema ambaye atamgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga wowote, au mfupa wa mtu, au kaburi—mtu huyo atakuwa najisi kwa siku saba.
17 Kishiler bu napak kishi üchün «paklandurghuchi qurbanliq»ning külidin azraq élip komzekke sélip, ularning üstige éqin su quysun.
Fanyeni hivi kwa mtu najisi: twaeni majivu ya sadaka ya dhaambi ya kuteketezwa na myacahanganye kwenye chombo chenye maji ya mto.
18 Andin pak bir kishi zofa ösümlükini élip shu sugha tegküzüp uni chédirgha we ichidiki barliq qacha-quchilargha hem shu yerde turghan barliq kishilerning üstige sépip qoysun, we yene uni ustixan’gha, öltürülgüchige yaki qebrige tegken kishining üstige sépip qoysun.
Ndipo mtu aliye safi atachukua hisopo, na kutia katika hayo maji, na kunyunyizia juu ya hema, na katika vyombo vyote vilivyo hemani, na kwa watu waliokuwepo, na kwa yule aliyegusa ule mfupa, mtu aliyeuawa, maiti, au kaburi.
19 Üchinchi küni we yettinchi küni héliqi pak adem [pak bolmighan ademlerning] üstige shu suni sépip qoysun; shundaq qilghanda, yettinchi künige kelgende u kishi paklan’ghan bolidu; andin u kishi kiyimlirini yuyup, bedinini suda yusun, kech kirgende u pak sanilidu.
Katika siku ya tatu na siku ya saba, yule mtu aliye msafi atamnyunyizia yule mtu asiyekuwa safi. Katika siku ya saba mtu najisi atajitakasa mwenyewe. Atazifua nguo zake na kuoga kwenye maji. Jioni yake atakuwa safi.
20 Lékin napak bolup qélip, özini paklimighan kishi Perwerdigarning muqeddes jayini bulghighini üchün, jamaet arisidin üzüp tashlinidu; «napakliqni chiqarghuchi su» uning üstige sépilmigen, shunga u napak sanilidu.
Lakini yule atakayebaki najisi, anayekataa kujitakasa mwenyewe — huyo mtu ataondolewa kutoka kwenye jamii, kwa sababu amepanajisi patakatifu pa BWANA. Hajanyunyiziwa maji ya utakaso; atabaki najisi.
21 Bu Israillargha menggülük belgilime bolidu, «napakliqni chiqarghuchi su»ni sepken kishi bolsa özining kiyimlirini yusun we «napakliqni chiqarghuchi su»gha tegken kishi kech kirgüche napak sanalsun.
Hii itakuwa sheria ya kudumu kuhusiana na hali ya hivi. Yule mtu anayenyunyizia maji ya farakano atafua mavazi yake. Yule atakayeyagusa maji ya farakano atakuwa najisi mpaka jioni.
22 Napak kishi tegken herqandaq nersimu napak sanilidu; bu nersilerge tegken kishilermu kech kirgüche napak sanalsun.
Chochote kile ambacho kitaguswa na mtu najisi kitakuwa najisi. na mtu atakayekigusa naye atakuwa najisi mpaka jioni.